CHAKULA CHA NGURUWE CHA KUKUZIA NA KUMALIZIA KWENDA SOKONI KWA UZITO MKUBWA|Jinsi tunavyochanganya!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • Mchanganyiko wa chakula na fomula tunayotumia shambani

ความคิดเห็น • 12

  • @LindaNjau-s4j
    @LindaNjau-s4j หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana Kwa elimu unayotupatia. Kiukweli inatia hamasa kubwa. Nitakutafuta kwenye simu.

  • @leonardphilip565
    @leonardphilip565 4 วันที่ผ่านมา

    Siku nyingine mjitahidi wote kuwa na boots kupunguza magonjwa

  • @Elymsuya
    @Elymsuya วันที่ผ่านมา

    Gunia nane tuambie kiasi gani mashudu , pigi nk

  • @sizanisiame5964
    @sizanisiame5964 2 หลายเดือนก่อน +1

    Je maandalizi ya soya yakoje zinakaangwa kwanza au mbichi

  • @flavianswai2195
    @flavianswai2195 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kinafaa kwa nguruwe wanaonenepeshwa kwa ajili ya kwenda sokoni??

    • @mulapfarm9664
      @mulapfarm9664  3 หลายเดือนก่อน

      @@flavianswai2195 kinafaa mkuu

  • @Agusanga
    @Agusanga 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pumba ya mpunga vip??

    • @mulapfarm9664
      @mulapfarm9664  3 หลายเดือนก่อน

      @@Agusanga unaweza weka mkuu

    • @NathaliaKimaryo
      @NathaliaKimaryo 3 หลายเดือนก่อน +1

      Asante sana

    • @NickierNduche
      @NickierNduche 3 หลายเดือนก่อน

      Ukitaka kua na nguruwe wanye uzito wa kuanzia kg 100 na kuendelea kwa mchanganyiko huo inabidi ufuge kwa miezi mingapi au nguruwe wako unawafuga kwa miezi mingapi ili kua na kg 100 au Zaid asante

    • @Mrp_manguluwe
      @Mrp_manguluwe 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@NickierNduchemiez 7

    • @DavidMasawe-l9w
      @DavidMasawe-l9w 6 วันที่ผ่านมา

      Mm natumia pumba ya mahind pumba ya mpunga mashud dagaa mifup damu chumv soy chokaa na pig bust hapo nakosea au vip