Annoint Amani = KAOGE ( official music video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
- #kaoge#annointbistar#
Kaoge ni wimbo wa matengenezo ya watu wote kwa Mungu,mtu akitaka kuingia Mbinguni au kuwa karibu na Mungu,ni lazima kujitakasa ili kujiweka Safi kwaajili ya Mungu,
ukiwa mtu wa toba mda wote siku ya unyakuo utakuwa Moja ya watakao nyakuliwa,
au ikitokea umekufa kabra ya unyakuo,
uwe na uhakika utaingia mbinguni🙏
👇
Annoint Amani
Song,Kaoge
Album, We need you
(Language Swahili )
Video,Directed by Meddy
Studio A.E.A Tones pro meddy
👇
Annoint Amani
Tiktok,Annoint Amani tz
Instagram,Annoint Amani tz
whatsapp & call
+255767240181=+255755099942
Dar es salaam Tanzania)
I like the way lady in pink lesso doing it
Nyimbo zako zinanibariki
❤❤Mungu akupe nguvu naiyo kibari ata mimi natamani sana kuimba. Nyimbo zako nzuri sana
Amen, nagupenda walahi
Tundeni tukaoge jamani,,mbinguni kuzuri hakuna uchafu Wala mawaa yeyote
Wimbo mzuri huu ndugu,Mola akubariki zaidi from Kenya
Hii wimbo nimeipenda saaaaaaana I love you mtumishi wa Mungu
That lady can act uweh
Lazima tuoge yesu ni mtakatifu sanaaaa❤
Aki Amani nakupenda sana ata Mungu anajua ninavio kupenda Aki napenda sana nyimbo zako zote
Kweli ndugu lakini kwa mwarabu
Lazima ni oge kila siku, chakula nayo na maziwa naiba😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇯🇴🇯🇴🇯🇴🇯🇴🇯🇴
Amen mtumishi nimebarikiwa sana hiyo wimbo ni kali 🤣🤣🤣🤣👉👉👉👉🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mimi nakuwa namshauli aoge hivo vipombe na vinyumba vido hataki kunisikiliza
Kaoge kaoge
Loo! Wimbo Mzuri sana mtumishi Mbinguni hawaingii wachafu. MUNGU azidi kukuinua
Kaoge hiki ni kibao Cha miaka na Miaka. Mungu akuzidishie neema na kibali mtumishi.
Uuuuwi nilikua wapi mmi kumbe mwajuma ndalandefu ako apa😂😂😂😂❤❤❤❤
More love from 254❤️❤️ my best male artist
Watu waoge nice song indeed
Umebarikiwa na nyimbonzuri
Hapao sawa kaka. Inabidintu usafi binguni. Aksante shana kaka Anoint
Sasa hapo kaka waweza mungu akuinue sana
❤❤❤ ubarikiwe brothe
Niko hapa tuende tuoge kabla tuende mbinguni🇪🇺🇪🇺🇪🇺🇪🇺🇪🇺🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪naomba tuimbe na wewe hiyo ndo ndoto yangu
❤
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Barikiwa sana mtumishi
Hiyo imeenda kaka
Ujumbe mwena kambisaa keep it up my brother
Hapa umeweza mtumishi
Ubarikiwe sana
❤wow hii nyimbo nzuri Anoint endelea Ivo Ivo mungu aibariki kazi Yako🙏🙏
Kaoge👏👏 kali sana Hadi imekubalika Hadi na walevi huku kenya wameamua kuoga
Tuende tukaoge sote🌧️🧽🚿let us all bath so that we can go to heaven ok
Very good nice song
So amazing🎉🎉.be blessed
Namimi ni oge😢
Amen amen and amen 🙏🙏🙏
Amen
Sugua uchafu ukome kabisa
Shetani unanuka shombo kabisa
Tuoge djamani ❤❤❤
Amen amen ❤❤❤❤
🇸🇳🇸🇳🇸🇳🇸🇳 mungu akubaliki kaka
Sawaaa
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏ameen mungu akubaliki kaka kazizuli
Kaoge
woow.pure entertainment and awesome message
Amen 🙏 kaoge ❤️❤️🙏🙏
Good work
Congratulations 🎉❤😂
❤it
Kaogeeee❤❤❤. Powerful!
Irene
❤❤❤ nkaoge cyo 😂😂😂😂
Amen 🙏🙏🙏 be bless bro
Amen 🙏🙏
weweeee kaogeeee asante sana mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe mtumishi mtumishi wa MUNGU kwa kazi hii
What a song. i love your songs brother Amani. More grace and much love from Kenya
❤❤❤❤❤ amen 🙏
Kuoga kwangu kuna kuhusu nini
❤
❤❤❤
Sio kawa breeze watu waoge 😂😂😂😂
❤❤❤❤🎉
😘❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊😅😅😅😅😅
Amazing,,,the true ,,,may God bless you sana
𝒏𝒊𝒄𝒆 𝒔𝒐𝒏𝒈
Kweli umenifanya nianze kukufuatilia tena mana kwanza ulinikela mnyoo wako kichwani lakini namtukuza Mungu umekiondoa sasa mungu akuinue viwango vya juu
Amen ni lazima tuoge tuwe safi ili kumuona Mungu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
barikiwa kaka.nyimbo zako nzuri zina mafunzo!Anayekushonea nguo hongera
Amen 🙏🙏🙏 nice song.
Annoit amani from tz am from kenya napenda nyimbo zako mungu abariki kazi yako
Be blessed🙏🙏🙏🙏🙏
wacha mungu ashidi kukushidishia kibali na nehema siku zote God needs clean heart be blessed ❤
Mama mwanzani wa zahanati ya kijiji hongera sana kumbe pia kwa kuimba uko 😂😂😂😂😂😂❤ u from Kenya
Sin yangu dady sawa nimekuelewa sana ningecheza
Wow kaoge uingie mbinguni asante kaka kwa ujumbe huu
❤Hakika ❤mbinguni hakuingia kitu chafu
Amen❤
It's koo ni langu siyo hodi langu waaa😂😂😂😂😂😂😂thanks for the English translation
Kuoga mpango mzima 😂😂😂
Pongezi my bro l like your songs
Nice one, it's blessing 🙏🏼💯💯♨️♨️
Video iko sawa sana
Hii Kali sana
Mungu akuzidishie mtumishiwamu
Take a bathe🤝
Great song and great message,
I really touched by this song.
I wish you many years. From Australia 🇦🇺
So blessing
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 love from here
Ameeeen❤❤❤❤
Naupenda sana huu wimbo
Barikiwa sana na bwana
Be blessed
Barikiwa Sana mtumishi
Wanine❤
WIMBO MUKUBWA ƙwakweli❤🎉
Kazi nzuri dady
🙏🙏💃💃💃💃🕺🕺🕺🕺
Amen 🙏🙏🙏🙏
Nice
Nikweli.lakini.pia.nyinyi..msiwe.kama.kaburi.lisilo.pakwa.rangi.inje.maridadi.nandani.umbwa.mwitu
Amen
Amen