Annoint Amani - Chumba cha siri ( Official music Video )
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- #chumbachasiri#annointamani#
Ni vizuri kuficha baadhi ya mambo yetu muhimu saan,ili tufanikiwe kwenye maisha,
maana ni rahisi kuficha jambo jema unapo anza kufanya,baada ya kumaliza unalisema,hata kama sio kwa watu wote.
Lakini jambo lolote ambalo unaficha sana sana sana,
huwezi kabisa kusema ,mala nyingi halina uhalali kwa Mungu na jamii inayo kuzunguka 🙏
na jambo lolote lisilo halali kwenye maisha yetu,kwa kadri unavyolificha ndivyo linaendelea kukumaliza.
( NI BORA KUTENGENEZA NA MUNGU NA KUMWAMBIA MTU UNAE MUAMINI JAMBO LAKO,HATA KAMA NI GUMU VIPI ,
UTAKUA UMEJIWEKA HURU MAANA MFICHA MALAZI KIFO HUMUUMBUA )
Annoint Amani .
👇
Tiktok ,Annoint Amani tz ,
instagram,Annoint Amani tz,
whatsaApp & call
👇
+255767240181 = +255755099942 )
👇
Video,Directed by Stephen Kipande
+254 723 207135 )
Audio,A.E.A Tones studio,
prod by Meddy +255748262634
Dar es Salaam Tanzania )
Me ni muislam lakn kwa hiz nyimbo za annoint napenda kuzickilza sana ,kwani zinafundisha jamii Moja kwa Moja hongera sana.
From kenya Western side ❤❤❤❤❤❤❤ your songs brother ni za kujenga sana
Wimbo mzur kweli
Vrmt courage 🎉🎉
Daaa unajua 😂
🎉🎉🎉🎉
From Facebook let gather here🎉
Tuko wengi😊
Tuko hapa
Mungu ndiye tu anajuwa Siri ya hiki chumba🙏🙏🙏🙏
Ambao mnakubali Anniont amani tujuane Kwa Like
Annoint Ako sawa mungu amzidishe
@@Slddhhh😮😢5th 😅😊😊😅2w5😅😅😂😂
If tiktok brought you, lets gather here
Kaka mimi Nashukuru sana kwa wimbo zako zote za gospel..ila naomba hivii kuna ile wimbo uliimba usimzike bado yuko hai.pia tunge omba utuletee video yake please 🙏🙏kenya tunakupenda sana
Usjal rafiki mzuri,iyo video utaiona tu kwa wakati wa Mungu,enderea kutuombea 🙏
Pia Tunashukuru sana kwa sapoti yako 🙏
Okay nashukuru sana mtumishi wa mungu.acha tuzidi kumuomba mungu atujalie tuweze kupata video nyingi kutoka kwako
Amen amen , MUNGU AIMIDIWE milele
@@PatrickBihembo Amina Amina
Nyimbo zako zimenifanya niwe jinzi nilivyo leo nakushukuru sana ndoto yangu siku moja nikuone mi natoka kenya.
Kwa nini usishiriki nyimbo za annoint ikiwa ulisikiliza wimbo, tafadhali shiriki kila mahali wanahitaji kufikia angalau mamilioni ya maoni kwa mwezi, mwisho wa wimbo unanigusa tafadhali shiriki, ana sauti ya kushawishi, mimi na DRCongo 🇨🇩 , asante sana #Amani🙏🙏🙏
Woow hongera rafk angu Mungu akupiganie ufike mbali Zaidi🙏🙏🥰
eishi bro hichi kitu n kizito kweli kweli hata cha kuongezea sioni wanawake hii inawausu kupewa nafasi kidogo unaharibu mungu tusaidie waume
Wimbo mzuri sana ❤❤❤❤from kenya
Waaa haya yaone tu kwa jirani 😢
Duu maumivu
Ni wimbo tu hakuna mwanaume wa kuvumilia haya
CHUMBA CHA SIRI!!!! Mungu azidi kukubariki na akutumie zaidi kakangu!!! Congratulations 👏 endelea kuleta makubwa tunakupenda sana
Duuuuh huu wimbo atari sijawahi kusikia wimbo wenye ujumbe kama huu Tanzania 🇹🇿 ongera sana kijana naitwa Jumanne nipo Mbeya mbalizi
Wape hi mbaliz
Wimbo mzuri ni fuzo kuu Barikiwa sana Annoint Amani ❤❤❤❤❤❤❤
From Facebook wapi likes
Tuko wengi😊
Nipo
Mwimbaji bora huyu❤❤ He deserves more than (1M) Subscribers ❤
Even more than a million, I love anoint
Very true ❤❤
kweli kabisa
Nimekukulenda kwa unavyoimba nipo zambia ndo Mala ya kwanza kukusikiliza na nitazidhi kukufuatilia ❤️❤️🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Waaaa 😢 ukweli wote usha sema, this round sisemi kitu😭😭 ooh God please i need to download this🇰🇪🇰🇪
Amen this song has a strong message....sometimes faithfulness is Good.....Good work mtumishi we love you🙏
The song has a big massage my guys ,,,,end that's why I surely say fear the people who are called ladies,,,,, 🙂↕️🙂↕️🙂↕️ ogopa ogopa usije ukafariki mapema Life is shots.
Nashukuru sana kaka kwaizi nyimbo zako zote ,Mungu akuongezeye pawa
siri yangu nampa mungu ndiye atakaye tatua siri yangu mungu akubariki kakangu twakupena sana from Kenya 🇰🇪 ❤
AISEE...Kwanza una una sauti nzuri Sana yenye kubeba utukufu na mafundisho kede WA kede...Leo nimejitunza mengi Zaidi ya Jina la nyimbo...Barikiwa🙏🙏🙏
Big up Daddy Q
wow I love this song .................... Chumba cha siri
Nashindwa kusubiri mie harakisheni!!!!
Waharakishe kufanyaj 😅😅
😂😂
Nice I love the song ❤nice work director Steve kipande
Nice song l love it baba yetu.❤
Mimi nakuobea Kila siku Kaka mungu akubaliki uendelee kufaya kazi yako my brother 🙏🙏
Great work director Steve kipande and song is legit🔥🔥🔥
kaka nyimbo zako zina ujumbe kweli mungu awenawe katka kazi zako
Congratulations mtumishi 🎉big song sir..
Kaka nyimbo zako aime ni bariki sana n'a kunipa muelekeo
Big up to the best director ever @steven kipande🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Be blessed moreee the Servant of the Messiah let Him give you strength to work more!❤🎉
Ubarikiwe mtumishi
This song is teaching me so nicely God bless you bro
Director Kipande never fails
Kaliiiiiii sanaaaaaaaa
Tumebeba mangu Sana moyon jamañ
This is true many fathers don't know whether the kids they have with his wives are his the one who knows is the mother, n kweli moyo n chumba cha siri
Wimbo mzuri Sana, Lakini mimi Ningefukuza Hukohuko Hospitali
Tunangoja sana 🙆
Kaka Mungu akubariki sana kwa kazi anayofanya ndani yako.
Shughuli safi steve
Jikaze kakagu jamani mngu akulinde siku zote
Linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana umo ndiko kutokako chemichemi za uzima... 😭😭😭
I'm waiting
Wanawake mue nautu chameni mtatua mapema shuali
Sana daddy mm nimebarikiwa
Nashukuru sana kwa wimbo wenye ujumbe mzito sana🙏🙏🙏
Kweli moyo ni chumba cha siri,
Jeremiah 17:9
Mimi napenda nyimbo zako zote %100 nakua nafraha gadi nabaki kuduwaaa try sielewu❤❤❤❤❤
Mungu azidi kukulinda shetani hapendi kabisa hizi jumbe
Mmh kapimeni tu dam wa Baba mnapingwa na kitu kizito
Nyota ya Dunia na ulimwengu mzima Yu hapa Amani .Mungu tulindie hii nyota tukaiskiza humu Kenya Kwa upendo na Kwa muda kweli
Huyu mtumishi ahamie Kenya tafadhali!!! Tunakupenda sana tena zaidi kaka annoint
Kwanini wewe usiamie tanzania 😂
Wewe ndo inatakiwa uje tanzania😂😂😂
@@Johnmagambohatutaki kumiss vurugu ya maandamano 😂😂
Waiting
Brilliant work, well directed...kudos to director Steve
Ladies its good be faithful to our husbands
wimbo mzuri sana wenye funzo aseeeee ila sisi wanawake tutafika mbingunk tukiwa hoi jamani, Mungu akusimamie Aman nakupenda sana my love bro endelea kumtumikia Mungu❤❤❤❤❤❤
Tunangoja sana 🙆
Wanawake wana siri kubwa ndani ya nyumba zetu
kweli nyumba usitiri mengi hayaendani na upendo uliomo humo ndani ya familia,mungu tujalie wanao.
The song is 🔥 the director @steve kipande is on fleek eve thing about this video is on fleek
wimbo mzuri sana nmetoka kule Facebook hadi mafundisho kibao usijiringe ati uko na watoto bila DNA🙏🙏❣️❣️
Uyu mm ningempiga panga jaman kama Niko buchani
Mtumish wa mung unajua kuomba sana mung sktangulie sana
Very powerful message.Annoit be blessed
🙏🙏🙏🙏
Safi sana ujumbe mzuri sana wanawake tupone
Nyimbo nzuli sana inamafunzo mengi
Waiting for this
Like ur song
❤❤
I love your songs man
Wanawake sisi hatutaiona pepo
I love this. Am crying 😭😭 nkt ombea Kenya jameni
Napenda nyimbo zako mtumishi wa mungu ❤❤❤❤❤❤🙌🙌🙌🙌
Bona ninalia 😭😭ukweli watoto si damu yako ndio usaindia mungu azidi na kukubariki mtumishi wa mungu watching from Jordan 🇯🇴🙏🙏🙏🙏
Nimebarikiwa sana hongera kaka anoint from tz
Hakika moyo ni chumba cha Siri mno
Thumbs up kipande🎉🎉
Amen nangoja sanaaaa
Asante Sana kaka nyimbo no nzuri Sana in mafundisho mengi kabisa mungu akuzidishie huduma❤❤❤❤
Nakupenda sana kaka yangu mungu akubaliki sana
I love your music you music lift me up and give me hope. God continue to bless my brother. The message is what is happening in this world. We needs this every day. Much love my brother.
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kazi nzuri sana ujumbe mzito mno nimeipenda sana
Moto sana mtumishi
Mungu akubariki sana ujumbe mzuri sana❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Even me am waiting come quickly from Kenya
I love your songs
Wow...so great brother. Be blessed more
I love this song you are brasing
wooow hakika smart sana hizi nyimbo zote
Hallelujah oh sana. Good work. Watching from Kenya, Kitui county.
Nyimbo nzuri sana wow nazipenda sana nyimbo zako kwazna ile ya huko wanaulizana weeeee moto saana from kenya nyimbo zako zimejaa kwenye simu yangu kaka❤❤❤❤❤❤