Hekma na adabu zilzomo kwenye nyimbo za ustadh Abbass wallah ni za juu znashinda hizo zinazoitwa qaswida za maukht na ma akhy wa sasa.... yaan ile fitina mbaya, yatima na hii pia ni vtu adhim ujumbe murua. Allah amswameh makosa yke pamoja na mait wetu wa kiislaaam... اللهم آمين
Marehemu Abbas Mzee Mungu amrehemu. Na hii ilikuwa Egyptian Musical Club Dar ya enzi hizo... tulikuwa watoto wadogo zikiimbwa hizi nyimbo- ujumbe maridhawa sana Ma sha Allah
Hekma na adabu zilzomo kwenye nyimbo za ustadh Abbass wallah ni za juu znashinda hizo zinazoitwa qaswida za maukht na ma akhy wa sasa.... yaan ile fitina mbaya, yatima na hii pia ni vtu adhim ujumbe murua. Allah amswameh makosa yke pamoja na mait wetu wa kiislaaam... اللهم آمين
Tunatoka mbali sanaaaa... Vya kale ni dhahabu...
Mashaallah nyimbo inamafunzo na kupata mjukuu raha sana
Hekma nyingi na Busara za kiwango cha juu zimetumika humu Masha Allah.
Kwa kweli wimbo ni mzuri sana.
abass mzee kaimba maneno kuntuuuuu
beautiful island Zanzibar
Old is gold nice song
Maa Shaa Allah.
Majirani wote pia ni Wazazi.... si Leo😢
Ukaingie peponi Abass" Maneno yako ya maana sana..
Wallah nasikia raha sana
Sio nyimbo za siku hizi hazina maadili
Nyimbo nzur sn nawakumbuka wazazi wangu waliotangulia mbele ya haki.
Mungu awarehem awalaze pema peponi aamina
Harusi jambo la kheeeeeeir yassalam
Nakubuka harusi yangu kutoka lek tanganyika kirando
Majirani wote pia ni wazazi !
😥nawakumbuka wazazi wangu waliotangulia mbele ya haki. Inna Lillahi Wa Inna Ilahi Rajiun.
Mungu awalaze pema peponi aamina
👌
HUU WIMBO NI MZURI SANA NA UNANIKUMBUSHA SIKU NILIYOFUNGA NDOA.
Akhree Zaman,Tilkal Ayaam
Muimbaji Abas Mzee
hii nyimbo nzuri sana harusi jambo la kheiry lakini sijamjuwa muimbaji nani aloimba wimbo huu
Abass mzee
Marehemu Abbas Mzee Mungu amrehemu. Na hii ilikuwa Egyptian Musical Club Dar ya enzi hizo... tulikuwa watoto wadogo zikiimbwa hizi nyimbo- ujumbe maridhawa sana Ma sha Allah
❤🔥❤🔥❤🔥😍
Haya ni maneno ya Quran na mafunzo ya dini
Kila nafsi itaonja umauti,ewe mola waweke pema peponi watunzi wa nyimbo,na marehem wote walio mbele ya haki" Hamisi Dale Boston USA
Naomba namba yko bro
.
msondo ngoma izakaza moyo
VIPI SHEIKH, MBONA MAUDHUI TAFAUTI !!!!!!!!!!!!!!!!!
Mbingu zotè huwa wazi harusi jambo la kherii. Yasalaam bwanaharusi na bibiharusii waishi vizurii