Sauti iliyobeba ujumbe wenye muwala. Maneno yenye kuishi miaka kwa miaka bila kungia ukungu.Kiko wapi kizazi kilichokuwa kikiasika na kuifanya jamii izinduke,kuogopa na kumhofia Muumba mbingu na ardhi. Allah msamehe makosa yake na kumfutia madhambi sheikh Abass Mzee
Hongera kwa kuuweka huu wimbo. Pamoja na hilo, nahisi huu wimbo beti zake hazikutimia. Kumbukumbu zangu zinakumbuka maneno yafuatAyo ambayo ktk wimbo huu yanakosekana:- USIJIONE NADHIFU WAZAZI KUWAKATAA JAPO WAZAZI DHAIFU NDIO WALIOKUZAA HAPANA JAMBO TUKUFU JAMBO TUKUFU JAMBO TUKUFU - KAMA KUOLEWA HAPANA JAMBO TUKUFU JAMBO TUKUFU JAMBO TUKUFU - KUOA NA KUOLEWA WAZAZI WANALOKHOFU KIZAZI KUJA KUPOTEA KIZAZI KUJA POTEA KIZAZI KUJA POTEA WAO WATALAUMIWA
Huo ndio muziki wa taarabu ni mtamu sana hebu wekeni nyimbo za vikundi vyote mfano Jkt kiwira bima shani yaani vikundi vyote vya kabla ya 1995 hata hivyo shukrani kwenu mlioweka hizo chache
Sauti iliyobeba ujumbe wenye muwala. Maneno yenye kuishi miaka kwa miaka bila kungia ukungu.Kiko wapi kizazi kilichokuwa kikiasika na kuifanya jamii izinduke,kuogopa na kumhofia Muumba mbingu na ardhi.
Allah msamehe makosa yake na kumfutia madhambi sheikh Abass Mzee
Hongera kwa kuuweka huu wimbo. Pamoja na hilo, nahisi huu wimbo beti zake hazikutimia.
Kumbukumbu zangu zinakumbuka maneno yafuatAyo ambayo ktk wimbo huu yanakosekana:-
USIJIONE NADHIFU WAZAZI KUWAKATAA
JAPO WAZAZI DHAIFU NDIO WALIOKUZAA
HAPANA JAMBO TUKUFU JAMBO TUKUFU JAMBO TUKUFU - KAMA KUOLEWA
HAPANA JAMBO TUKUFU JAMBO TUKUFU JAMBO TUKUFU - KUOA NA KUOLEWA
WAZAZI WANALOKHOFU KIZAZI KUJA KUPOTEA KIZAZI KUJA POTEA
KIZAZI KUJA POTEA WAO WATALAUMIWA
Huo ndio muziki wa taarabu ni mtamu sana hebu wekeni nyimbo za vikundi vyote mfano Jkt kiwira bima shani yaani vikundi vyote vya kabla ya 1995 hata hivyo shukrani kwenu mlioweka hizo chache
Hakika sina lakusema zaidi bali kuwaombeya Mngu awaweke umri mrefu na afya njema . langu ni kuwaomba mutuletee nyimbo zote za Egyptian Musical Club
Kwan hii nyimbo imeimbwa na epyption???
jamani ahsanteni sana Mungu akujazeni kheri nyie watu mnotutilia nyimbo hizi zote ahsanteni jamaa
Wakati huo mziki ulipokua mziki Allah amrehemu Abbasi Mzee
mawaidha tele
Mashallah
hatuwezi katu kusahau nyumbani Zanzibar
Harusi jambo la Kheri
hakika ni za kwetu
Home is home. Home is sweet home
Safi mziki wa kizamani tuuenseleze
,