Maggie Muliri - Chakula Chako (Official Music Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2020
- Mungu wetu chakula chake ni sifa na kumuabudu yeye ungana na mimi muda huu kumwambia Mungu anastahili sifa na ukutufu kwa yale yote ailiyotenda kwenye maisha yako.#MaggieMuliri#ChakulaChako#MusicVideo.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital - เพลง
Nakuku Bali sana mma mungu
Akubariki
Wow ,chakula change huku ,am blessed mum ,🇧🇭🇧🇭🇧🇭🇧🇭
Mama mchungaji mtumishi wa mungu elisha MULIRI huyo baba ameona mengi simama nae kbs na kumbe ww ndie uliimba song ya nitafika na bukuku mungu yupo
Good sauti fresh sana mum God bless your family
Mwanamke jasiri ktk kumtumikia MUNGU napendaga sana
Napenda nyimbo zako mummy Mungu wetu akubariki
Amen dear you bless me
Ninabarikiwa zaidi ka huu wimbo
Amen
hapo sawa kabisa nyimbo iko poa sana
Amen
Avance mamy
Hallelujah chakula cha mungu musifu
Yes yes dear
Barikiwa mno dada yangu🙏🙏🥰🥰🥰🥰
Hongera sana mwana wa MUNGU barikiwa
Dah mama mungu azidi kukubariki sauti
Ubarikiwe na Mungu mama kwa wimbo huu.
Amen
I love you so much 😍😍😍😍
Nyimbo zako zote zinanibariki sana
God bless you
Amen Bwana sikiliza Maombi yangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu.ni.mwema.siku.zote.ahadi.zake.ni.kweli
Ubarikiwe da Maggie🙏
Amen dear
Rip Angela Chibalonza, we miss u
Here watching 2020
+254
Vocals 👌
Dress code ❤️
Dancing 💞
💃💃💃💃💃💃
God bless u
Jaman maisha ya Sasa unaimba mambo ya mungu umebana matako hatar sana
Wimbo mzuri sana!! I can’t stop listening to the song!! God bless you mama.
Nyimbo yangu pendwa Hadi nalia😢🙏
Barikiwa
Amen
Nice song Dada barikiwa🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Very good mama
Ubarikiwe sana niko na wewe siku zote
Ni uliponitosha siri ya moyo wangu
i have seen someone like Wonder Muliri here, nyc song am blessed
I guess this is her other lovely mum who has been talking care of her.
Thank you Maggie for being a good mother to wonder....
We love her unconditionally....her mum was so dear to us🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nyimbo nziri sana ubarikiwe
Woow mumy ilove more... Jaman ulivo mrembo sasa ...
Love y than more
@@maggiemuliri3739 thank you my mummy.... Welcome again arushaa..
Very nice ❤❤music
Ameeen
Nzambe merci Pô bisika olokota ngai mutu akoki koyeba tei
Nzr san
Asant
Mungu akubariki sana
❤️❤️❤️
😍😍😍😘
Kenyans pita na like huku ♥️♥️🙌be blessed
Amen amen
Wimbo mzuri sana,ila jaman ifke hatua wanawake tumheshimu Mungu na kumuogopa unasema Mungu amekutoa mbali n kweli ila sasa huo mwonekano wa kikahaba wanini kwanini hujikubali ulivoumbwa na Bwana,hayo mapambo ya kuzimu yakazi gani,soma 1petro3:3,mwanamke atakiwa kuwaje jaman,uwe chanzo cha watu kuokoka na kumfuata Yesu uswe chanzo cha kipeleka watu jehanam,hayo mapepo ya mapambo na nguo za kubana na uwazi Yesu hapendezwi ata ungemsifiaje tukatae kazi za ibilis yanini kupenda uumbaji wakishetani n mapepo tu hayo shetani anawadanganya na muonekano wake wa bandia huoo shauri yenu
Wewe unakipimo gani hicho cha kujua yote ayo ?
MUNGU akubariki Sana maman
@@didoskingofgospelrhumba2487 Amen akubariki nawewe piaaa
@@stalonstanley8808 Roho mtakatifu ndicho kipimo nilichonacho kwa kuniwezesha kusoma neno lake MUNGU BABA LINASEMAJE,,HCHO NDO KIPIMO CHANGU CHA KUJUA YOTE HAYA.
@@ivonaevarista4654 mwenyewe anakaa wa marine kingdom....wajinga ndio wanasema wimbo inaupako...hii wimbo kama wewe ni mtu wa kiroho haina upako mwenyewe amekaa jezebel.
Wow God bless you my pastor
Thanks my Mom
Amen amen maman songa mbele
Amen amen
Ubarikiwe sana mjakazi wa mungu
nabarikiwa snaa, Mungu azidi kukutumia zaidi na zaidi
Amen
Hallelujah
Amen
Aleluya
Mungu azidi kukuinua mamy
Amen dear
Hauchoshi kusikiliza chakula Cha Mungu maabudu,,,sifa so amaizing song barikiwa mtumishi wa Mungu👉🇹🇿♥️
Amen amen Sarah
Nimebarikika amazing song
Amen
God doesn't compete with the enemy instead He comes in His own appointed time.
Thank you Jesusfor the song
Ameeen..barikiwa..Mama.🇧🇮🇸🇦
FIRST TIME LISTENING TO THIS SONG....MUCH BLESSINGS MOM...THE SONG IS SO TOUCHING AND A BLESSING....CHAKULA CHAKO MAABUDU,,,CHAKULA CHAKO SIFA YESU
Wow wimbo ni mafuta matata barikiwa maman Maggie!
Amen amen
Yesu kweli umenitowa jararani
Maggi
Muriri akisanti
Amen dear
Amen amen dada yetu
Mungu akubariki
Hongeea sana mama wimbo umejaa utukufu Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu sana
Amen my mom love u
Amen nice song be blessed
Amen amen
Yesu unastahiri kabisa
Ninayosababu ya kumuabudu
Yesu
Amen Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen
Chakula kitamu Cha Mungu kimepikwa kweli kweli sifa nashukrani ni kwa Mungu kwa ajili ya mtumishi wake 😘😘😘😘😘
Amen anen
Barikiwa sana kwa nyimbo zako nzuri mpnz
Asante dear
Yaani nimekupenda
Sana wewe chombo
Mungu akutunze.
Amen amen lov
Wimbo mtam Sana ujumbe mzuli muonekano wako mzuri mungu amekutengezeza 👍
Amen 🙏Mungu asifiwe siku zote anastahili
Amen
Wow❤️🔥 I love youu mamaaa😘
Love u too
Hallelujah 🙌
💥💥💥💥💥💥❤️❤️❤️❤️
Chakula cha mungu ni sifa...Wow!! Wow!! Wow!!...❤️💚💛🖤💟💜... Maggie Muliri this is Outstanding.
Saaana
maman ajela chibalonza i miss you maman please come back
Ubarikiwe DA Maggie 🙏🙏🙏
Amen
Great song with superb video, just love everything , bless you
Amen amen
Aleluyaaa nyimbo nzuri sana mpk nasisimkwa mwili,barikiwa dada
Amen thank u
Aksanti dada ,Mungu akubariki kwa kazi zake,mimi ni mkongomani/Kinshasa,nipo Dubai,shauri: punguza kujipamga hakuna tafauti wewe na jezabel.
Amen amen
Kabisa
Woooooooooow this song makes me cry yaani umeimba kuusu maisha yangu kabisa haleluya Amen Amen Amen Amen nikitafakari kwenye Mungu alinilogota miye from zero to same way uyu Mungu nimwema ❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶💉🎶🎶🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇦🇨🇩🇨🇩🇨🇩best song asante yesu
Amen amen amen ametutoa mbali
Naujiunganisha na hii neema kubwa...love you mom 💞💞💞
@@maggiemuliri225 thanks mumy I got the message I worship at buswelu under the supervision of daddy peter
Ubarikiwe
Amen amen
Be blessed dada Maggie 🙏
Amen
Glory to Jesus
MUNGU AKUBARIKI SANA HAKIKA KAZI NZUUURI
Amen
Very nice song
Thanks
Super mama
Thanks dear
Ilove u xo much
Ubarikiwe sana mama mtumishi
Amen amen
Wow. Chakula chako Mungu ni sifa. Halelujaaaaaaaaaa
Amen
Aiseeee Hongera Sana Madam Maggie Murili Mana daaaaa hili Ni Bonge Moja la Wimbo na Bonge Moja la Video,, Video Kali Sana Ni ya viwango,, Mungu azidi kukuinua Mana Unafanya Kazi Nzuriiiiii saanaaa!! TUMAINI JIPYA tunakupenda Sana na kukufatilia na kujifunza vingi kutoka kwako,, ""CHAKULA CHAKE NI SIFA""@
Amen amen
Wooow thank u very much
Mungu akubariki ndani yako umelijaza neno la Mungu ubarikiwe Sana Kwa kazi nzuri usitishwe na wanaokusema eti umejipamba walitaka ufanyeje jipe moyo utashinda
Amen amen
Mtu akivaa vizuri wanasema akivaa vibaya asipopendeza wanasema cjui binadamu tuna nini mungu mweny kasema tupendeze......Maggie momy may god always protect u and guide u in everything u do🙏🙏
@@hawakapinga5495 amen dear thanks
Amen mum
Ubarikiwe sana mjakazi wa Mungu da Maggie Muliri kwa wimbo nzuri 💪💪💋
Be blessed.
Amen chakula chako sifa ubarikiwe mama murili
Yes dear
Wow nice song,, Be blessed abundantly beautiful woman of God
Amen amen
I love it this song god bless you mama
Tanks amen
Superb!2020 and beyond 💪🇹🇿👍
🤝🤝🤝
Woooow wooow halleluya
Thanks ndugu yangu
Amina mama barikiwa sana
Amen amen
I love you maggie from+254
Love u too
I had given up in life completely, but because of this song, am giving my life to God again
Dear Maggie Muliri be blessed, hujawahi nianguasha since Aratambagira. Nice song🙏
Thanks dear wangu
Thanks mamo jamni,naskiliz nyimbo zako kila siku
Amen dear
Amen amen maman nimeingiya kilindini
My melanie love u
I love u Mama. Thankx kwa wimbo mzuri
Love more