WAZEE SIMBA WAMKATAA CHAMA |WANINI SISI TUMECHOKA MIZENGWE YAKE HATUMBEMBELEZI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 มิ.ย. 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

ความคิดเห็น • 12

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 7 วันที่ผ่านมา +6

    Cmba ina wachezaji wazee mbona mnawachukua hamjambo yanga

  • @kilianmtotowamungu3885
    @kilianmtotowamungu3885 7 วันที่ผ่านมา +6

    Kikosi (B)alicho cheza nacho Mgunda tumekiona na namna walivyo jitoa hadi wengine wakifunga wanalia .HIKI KIKOSI (A) KATA WOTEEEEEEEEEEEEEEEEEE

  • @kilianmtotowamungu3885
    @kilianmtotowamungu3885 7 วันที่ผ่านมา +1

    Safi sana ameondoka ,walete kijana eneo lake ❤

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 7 วันที่ผ่านมา +2

    Na kweli chama analitaka kushujudiwa alikuwa anauza meche anacheza kama hataki kwa heli wasalimie

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 6 วันที่ผ่านมา

    Duka nalo limehamia kwao

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 7 วันที่ผ่านมา

    Simba inawachezaji wazee kumbe wanawataka.

  • @Luganoamos-jv5in
    @Luganoamos-jv5in 7 วันที่ผ่านมา +1

    Chama alikuwa anauza mechi ,achana naye aende

    • @Luganoamos-jv5in
      @Luganoamos-jv5in 6 วันที่ผ่านมา

      Kwaanza wamemchelewesha,ilikuwa ufukuzwe kabiisa hyo

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 7 วันที่ผ่านมา +2

    Aende tu kwani yeye ni nani?

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 7 วันที่ผ่านมา

      Mwacheni akatafute malisho mengine, kama vile alivyokwenda tafuta malisho Fei.

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 6 วันที่ผ่านมา

    Simba kweli wametua mzigo kwani Chama kaisumbua Uongozi wa Simba kwa muda wa miaka 3 mfululizo.
    Halafu Chama ni wa kawaida tu. Uwanjani akikabwa tu na mtu, hatembei.

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 7 วันที่ผ่านมา

    acha aende tu yeye na inonga ndo waliyouza mechi ile ya tano moja ,nandiyomana moo akasema hamtaki kwasababu umri ,nakingine yanga wanasajiri kwamihemko