DK 15 ZA SHEKH MZIWANDA ALIVYOMPAMBA MTUME HEDARU KWA SHEKH KIDAGO. KWA NINI ALLAH ALIMLETA KWETU.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
  • Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090

ความคิดเห็น • 60

  • @AbassShabani
    @AbassShabani 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mawahabi Ni wababe tangia Enzi izo walivyoanza kuaua waislamu wakweli

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mwaka wenu wandengereko

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli tz mtume anaswaliwa sana tena kwa unyenyekevu mkubwa

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 10 หลายเดือนก่อน +1

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! Allahumma Swalli Wassallim Wa Baarik Ala Sayyedna Muhammad Wa Alihi Wa As'Habihi Wassallaam ❤

  • @TwalibuMkwawa-ib9vt
    @TwalibuMkwawa-ib9vt 10 หลายเดือนก่อน

    Muharamu nakupenda Sana maalimu wangu Allah akujaze kheri

  • @YusufuDunga
    @YusufuDunga 10 หลายเดือนก่อน

    Allah akujalie shekh mziwanda we nijeshi nikweli

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline 10 หลายเดือนก่อน

    MaashaaAllah. Shukran Habyb Sheikh Mziwanda.

  • @swalehabdulrahman4118
    @swalehabdulrahman4118 10 หลายเดือนก่อน

    Allah akuhifadhi shekh wangu,tunafaidika sana kupitia wewe

  • @mohammedal7864
    @mohammedal7864 10 หลายเดือนก่อน

    Tumsifu kwa sifa zake zilizothibiti ktk hadithi sahiih

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula8622 10 หลายเดือนก่อน

    Allahumma swally alaa sayydina Muhammad

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline 10 หลายเดือนก่อน

    Umeeleweka mwamba, Allah akuweke

  • @hamadimussa2119
    @hamadimussa2119 10 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni mpotoshaji huna jipya wewe na wenzako woote hapo

    • @adinanimzimbiry
      @adinanimzimbiry 10 หลายเดือนก่อน

      Acha matatizo kijana

  • @ngoni7944
    @ngoni7944 10 หลายเดือนก่อน

    Hivi mbona wanawake hawaonyeshwi katika hizi shughuli za kiislamu au wanawake hawaudhurii

    • @abuujibriltv5233
      @abuujibriltv5233 10 หลายเดือนก่อน

      Wana kuwepo ila hawachanyikani na wanaume na pili siyo ustaarabu Kwenye uislamu kuwadhihirisha wanawake (wana sitiriwa)

    • @ngoni7944
      @ngoni7944 10 หลายเดือนก่อน

      @@abuujibriltv5233 mbona wanaume wanaonyeshwa, kwani wanaume hawataki kusitiriwa?

  • @jamalibella9707
    @jamalibella9707 10 หลายเดือนก่อน

    ماشاءالله

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 10 หลายเดือนก่อน

    Safi sana shkhe mziwanda

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 10 หลายเดือนก่อน

    Maa shaa ALLAH 🇰🇪💚💚💚

  • @Feresisimeo-l5n
    @Feresisimeo-l5n 10 หลายเดือนก่อน

    Twaybu

  • @abuubakarihussein2664
    @abuubakarihussein2664 10 หลายเดือนก่อน

    Mnapiga makelele et mnamswalia mtume s,a,w.

    • @zayumbahussein5766
      @zayumbahussein5766 10 หลายเดือนก่อน

      Allah akuongoze Yan kutajwa Allah na Mtume kwako makelele huu ,,,,muombe Allah msamah

    • @ahmedhassan2619
      @ahmedhassan2619 8 หลายเดือนก่อน

      Kale matunda

  • @AhmedMohamedMadaiMadai
    @AhmedMohamedMadaiMadai 10 หลายเดือนก่อน

    Mziwanda tukup bachu umfundish maan hpo hajaelew kitu

    • @mohammedlipindula5415
      @mohammedlipindula5415 10 หลายเดือนก่อน +1

      Usilete ushabiki ktk dini wewe baki na bidaah

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@mohammedlipindula5415wewe mwenyewe bidaatun dhwalala

    • @aymanmangube4092
      @aymanmangube4092 10 หลายเดือนก่อน

      sio rahisi kama unavyohisi

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 10 หลายเดือนก่อน

      @@aymanmangube4092 sio nahisi weee pia bidaatun dhalala, ni dhwahir wala sihisi

  • @IbrahimSuleyman-j8n
    @IbrahimSuleyman-j8n 10 หลายเดือนก่อน

    Bachu atawatesa sana

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 10 หลายเดือนก่อน

    Swallu Alaa Annabiiii

  • @MuhdharMuhammad-qv3zl
    @MuhdharMuhammad-qv3zl 10 หลายเดือนก่อน

    Shukran Sana Sheikh Wetu kwakutuelimisha na Tunakuomba usife moyo hata Mtumi Muhammad SAW alipingwa shukran sana

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 10 หลายเดือนก่อน +2

    Acha kupotosha watu nakueneza uzushi na biadaa

    • @AhmedMohamedMadaiMadai
      @AhmedMohamedMadaiMadai 10 หลายเดือนก่อน

      Ww bachu kila sehem upo dozi ya shekh said haijakutosh tu wach ujing kasome

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 10 หลายเดือนก่อน

      Utaishia hyohyo lkn ulitklo haliwi na mtu atazid kupambwa ijapokuwa wanachkia mkafri kw kucfiwa mtume

    • @saedmakongoro3584
      @saedmakongoro3584 10 หลายเดือนก่อน

      Nduguyangu Epuka Sana kukaririshwa maana Kama haujui kitu Ni vizur ukauliza,hapo sheikh amezusha kipi!?? unijibu ukiwa na ushahid Kama hauna Epuka Sana kuzungumza zungumza kila kitu na kila na kila wakati Akhui

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 10 หลายเดือนก่อน

      wewe mwenyewe zushi la kiyahudi

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 10 หลายเดือนก่อน +1

      Fata yako unayoyaamini usiwaite watu wazushi ila hali wewe mwenyewe hujielewi

  • @abuubakarihussein2664
    @abuubakarihussein2664 10 หลายเดือนก่อน

    Wanatoka hapo namadhambi tele. Mtume Gani kafundisha ujinga huo mnakuwa kama Wajinga Wakati mmesoma mnaogopa Kusema ukweli mnapotosha umma Kwaujinga.
    Mziwanda na wewe namaulidi kumbe maneno yote hamfaham Nini IBADA na mila. Mnachokifanya siyo haki

    • @FarajiAbdallah-yw2wn
      @FarajiAbdallah-yw2wn 10 หลายเดือนก่อน

      hayo madhambi sijuwi unayandika wewe huko . hii dini niyako .
      wewe mwerevu baki werevu wako wache na ujinga wao.

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 10 หลายเดือนก่อน

      Tupe ushahidi wa hizo dhambi

    • @maulidalyaaamiin46
      @maulidalyaaamiin46 10 หลายเดือนก่อน

      Pumbavu bidaa ni wewe mwenyewe mahasid wa kiwahabi nyie.

    • @ahmedhassan2619
      @ahmedhassan2619 8 หลายเดือนก่อน

      Nini maana ya ibada na alafu tuambie ni wapi mtu akikaa akamtaja mtu kwa mazuri yake haandikiwi thawabu na mtu akikaa akawa anamsema mtu vibaya haandikiwi dhambi, alafu uone watu wansema kwa sifa nzuri ama mbaya, shida ya watu wasiompenda mtume kwanza wamesoma kwa kukaririshw lkn hawajaelika, akili zao zimefungwa, yaani jitu liko radhi kumsifu mkewe lkn ukimsifu mtume haifai hhh

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 10 หลายเดือนก่อน

    Dini hacienda na akilia zwatu

    • @mwanawamrima6138
      @mwanawamrima6138 10 หลายเดือนก่อน

      Dini inakwenda nacakili za watu ndio maana hakuna mtume Mjinga

  • @hamynas
    @hamynas 10 หลายเดือนก่อน

    mziwanda masuni wenzako wanauawa Gaza wewe na masheikh uchwara mumekaa kimyaaa kama hamna kitu kinaendelea..kila siku kushambuliana madhehebu tuu leo sasa mazayuni yamekupeni mtihani wapalestina wanauawa sijakusikia ukifungua domo lako

    • @jamaldeenhussein
      @jamaldeenhussein 10 หลายเดือนก่อน +1

      Acha kashfa ndugu tumia kauli nzuri

    • @HusseinKhatibu
      @HusseinKhatibu 10 หลายเดือนก่อน

      Assalaamu a'laykum!ALLAAHU atawafanyia wepesi,ama kwahakika wako katika kheiri na natamani kuwa miongoni mwao kwani wanakufa mashahidi!

    • @jumaahmadi-oz1zo
      @jumaahmadi-oz1zo 10 หลายเดือนก่อน +1

      Yakufanywa yapo mengi sana tena ya kheri wengine wakiwa huku wewe nenda gaza

    • @abassmohammedmohammed5948
      @abassmohammedmohammed5948 10 หลายเดือนก่อน

      Assalamualaikum ila pia mmi sijakusikia wewe ukifungua domo lako Kwa jambo Hilo kaka waonaje uanze wewe

    • @zayumbahussein5766
      @zayumbahussein5766 10 หลายเดือนก่อน

      Dini sio ya shekhe na ww mchango wako ni wajib wako usema kuhusu parestina