SALEH JEMBE:CHAMA NI USAJILI MZURI YANGA SIO BORA|NIMEJIULIZA MASWALI UTAMBULISHO WA YANGA KWA CHAMA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 มิ.ย. 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136. - กีฬา
UPO VIZURI SALEHE JEMBE
Huyu ndo waga anaongea point
Huyu akapimwe akili kwanza halafu ajetena studio yenu, tena akapimiwe Milembe. Kwa mtazamo anaonekana ni mtu mwenye akili timamu, kumbe ni gamba la ubuyu
Kabisa
Siku zote ukiongea ukweli unatukanwa uko vizuri kaka
MATUSI YA NINI NYINYI MAUTOPOLO.....jushua Mutale ana NGUVU speed na AKILI ya MPIRA....
Hapana, ni tofauti kabisa na lameck lawi, kwasababu chama ameshamaliza mkataba Simba kwahiyo amesajiliwa kama mchezaji huru.
Unaumia vibaya mzee baba! Na bado utaumia zaidi. Eti simba hawamtaki chama! Nyokweeee
Wewe S Jembe mbona watu tushakujua ,huna jipya
Mna mhoji kolo hamuoni anavyoumia na asivyo amini!!
Ameonyesha kuumizwa kwake pole sana!
Salehe wewe ni kolo😂kwanini utaki kuamini chama kaja yanga
Point sana kaka angu umeongea
Yanga tukifanya jambo mnakuwa na mashaka labda sio kweli Aaminini ndo hivo
Wwe jembe uwe na aaakili sasa wanampenda chama simba ndomaana awake taka kuumpa asante mapema
Wee naee 🤣🤣 ! Kuna watu pale wanatekereza majukum bwana ! Wanajua ni nn wanakifanya sa wew unapiga kelele hapa 🤣🤣
Wanaoumia wako wengi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Anavyojibu aibu naona mimi
Ndo maana nakupenda we kaka unaongea point sana
Aliongea vizuri sana kwenye mkutano mwaks jana. Mnapenda sana kupakwa mafuta na sio kuambiwa ukweli😅😅
@@fredylucas2484njoo chukue maji makubwa ya Kilimanjaro baridiii ndugu yanguu
Ni kweli Simba walikuwa hawamtaki Chama?
JEMBE USIZUNGUKE ZUNGUKE,ROHO INAKUUMA
Kama umeumia vile
Na muendelee hivyohivyo nyie yanga kutoa Rushwa kwa wachezaji ili muharibu timu za wenzenu, tumesafisha bado kipa, ukiwa unapenda kula rushwa na msenge. Wenu zeruzeru chawa,
Hili jamaa limeumia limeumia halafu limeumia na tenaaaaa .....ni kijana wa hovyooooo huyuuu ni miongoni mwaooo
Kwani kumtambulisha mchezaji xi niuamuz wa klabu imta.bulishe kwa wakati gani unahoja na hilo mchambuz uwe mkwer saree
H
Mm nimiongoni nakufuatia naona unaukolo weee
Hawezi kuosifia yanga
Huyu mbwa tumemuumbia fara wew
Huyu fara yupo kwenye kamatu furani simba hivyo udunduka unamsumbua
We unaumia
Wew jembe umiaa2 naww ni simba
Mzee mlisema Leo amekua kijana
Huyo NI Simba damu
Huyu nae mchambuzi uchwara amekuwa bias siku zote
Mchambuzi mwenye mahaba anaonyesha wazi kabisa ameumizwa na Chama kuhamia Yanga sikiliza hata point yaani haeleweki
Simba sio Yanga 😂
Jamaa ameumia saaana , kwakweli unateseka saaana kolo huyu
Jembe ni koloo😅
Yanga hawakoseinmkuuu kesho keki
Aibu imwkushika acha usimba wako
Huyu naye ni mchawi kama alivyo binikazumari
Yaan jamaa hana furaha kabisa😅
Utopolo bna
usituongopee yeye ndo alikuwa kipendwa no 1 pale simba
Kweli tulimpenda sana chama lkn kabla hajaharibika na kuihujumu simba lkn kwa misimu miwili iliyopita na kuanza kula rushwa tukaanza kumuona c lolote.
Huyu kolo hamumjui
Jembe hauna jipya tumesha mchukua chama kajinyonge kenge wewe
Hili jingaaa sanaàa
Tena kk hili ni tahahira
Mjinga mweupeee .....
Jamaa anaumia cnaa
Mwehu
wewe huwezi kuwapangia wamtambulisheje mchezaji salehe acha unafki utakuwa unaumia wewe
niwale wale
Huyu si John boco
Mm