KINACHO ENDELEA KATIKA UJENZI WA FLYOVER ZANZIBAR

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 30

  • @Shdy2569
    @Shdy2569 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ahsante Raisi wetu Mungu akusimamie utuletee maendeleo usiwasikilize vipofu hawaoni usiwalaumu

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 4 หลายเดือนก่อน

      Bora hao vipofu kuliko walorogwa aakili zao maenddleo fly over hiyo mwisho wake wapi

    • @AbdallahSalim-is3db
      @AbdallahSalim-is3db 3 หลายเดือนก่อน

      Kipofu mwenyewe mjinga wewe hayo sio mambo ya maendeleo kabisa...ni mambo madogo tena ya kawaida tu bwege wewe

  • @AbdulSuleiman-w2m
    @AbdulSuleiman-w2m 3 หลายเดือนก่อน +1

    pemba bado hatuko huru lazima wapemba tujitambue

  • @DoctorBondia
    @DoctorBondia 3 หลายเดือนก่อน

    Wameanzia kwerekwe kwenda Fuoni?

  • @sifuelinyaki3341
    @sifuelinyaki3341 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ati flying over zanzibar jamenii

  • @mohddelo
    @mohddelo 4 หลายเดือนก่อน +1

    Safi

  • @harithwhite589
    @harithwhite589 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mji hautoleta haiba kamwe kama hamtoamua kubomoa vibanda vibanda kando ya barabara kuu mnazozijenga

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa

    • @saidiomar6642
      @saidiomar6642 3 หลายเดือนก่อน

      Kweli vibanda vichafu vya kahawa lazima sio vivujwe bali visagwesagwe hata fusi lisipatikane 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @faki-i2t
      @faki-i2t หลายเดือนก่อน

      ​@@saidiomar6642na mikwajuu water maana zanzibar tumezoea kuishi kwa mazoea

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gj 4 หลายเดือนก่อน +2

    Raisi mwinyi oyeee na pemba utujengee

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd 4 หลายเดือนก่อน

      Labda matako..angelijenga hizo barabara kwanza

    • @AliKhamiss-r5k
      @AliKhamiss-r5k หลายเดือนก่อน

      Anakuja ucjal ndugu

  • @eddynaeem6708
    @eddynaeem6708 4 หลายเดือนก่อน

    Pemba hamna ata ground over panya nye

    • @keisRamadhan
      @keisRamadhan 4 หลายเดือนก่อน +1

      Pemba kuna uhaba wa watu huwezi kujenga km hiyo

    • @Khamisalih4g
      @Khamisalih4g 4 หลายเดือนก่อน

      io ground over pemba hakuna Sawa ila mama ako a anayo inatosha 2ta2mia io io

    • @DoctorBondia
      @DoctorBondia 3 หลายเดือนก่อน

      Binaadamu hakosi la kusema😂

    • @DoctorBondia
      @DoctorBondia 3 หลายเดือนก่อน

      Allah ampe afya njema zaidi ili azidi kuijenga Zanzibar

  • @najimmaalim976
    @najimmaalim976 4 หลายเดือนก่อน

    Nahutaona

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 4 หลายเดือนก่อน

    Ondoeni Round about hiyo sijawahi ona Flyover chini kukiwa na Roundabout msituletee mapyoro bhana

    • @allymazrui9744
      @allymazrui9744 4 หลายเดือนก่อน +2

      Tembea ndug mm spo upande wwt hule ila tembea utaona mingi

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 4 หลายเดือนก่อน

      @@allymazrui9744 Yaani flyover chini kuna round about?wacha nitembee tu ndugu yangu

    • @saidkhatib9146
      @saidkhatib9146 4 หลายเดือนก่อน

      Tembea uone zipo nyng sana

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 4 หลายเดือนก่อน

      @@saidkhatib9146 nitembee tu bro maana kiukweli sijaona ila nishashuhudia sehemu kuna round about the kuna kuja ujenzi wa Flyover ikimaliza na roundabout huwa haipo tena

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 4 หลายเดือนก่อน

    Nafikiri mngefikiria kujenga kwanza miundo mbinu Ya maji taka ili iwe rahisi na kunusuru kila mwanchi kuchimba mashimo kila nyumba inapotokea mafuriko kipindupindu Kina kuwa hatari

    • @FatmaAbdulhalim
      @FatmaAbdulhalim 4 หลายเดือนก่อน +1

      Unasemaje weye

    • @jituakilimali15
      @jituakilimali15 4 หลายเดือนก่อน

      Hukusikia au huyataki?

    • @KS-iw7qv
      @KS-iw7qv หลายเดือนก่อน

      Hii barabara muhimu saana ndugu

  • @najimmaalim976
    @najimmaalim976 4 หลายเดือนก่อน

    Nahutaona