@@saidkhatib9146 nitembee tu bro maana kiukweli sijaona ila nishashuhudia sehemu kuna round about the kuna kuja ujenzi wa Flyover ikimaliza na roundabout huwa haipo tena
Nafikiri mngefikiria kujenga kwanza miundo mbinu Ya maji taka ili iwe rahisi na kunusuru kila mwanchi kuchimba mashimo kila nyumba inapotokea mafuriko kipindupindu Kina kuwa hatari
Ahsante Raisi wetu Mungu akusimamie utuletee maendeleo usiwasikilize vipofu hawaoni usiwalaumu
Bora hao vipofu kuliko walorogwa aakili zao maenddleo fly over hiyo mwisho wake wapi
Kipofu mwenyewe mjinga wewe hayo sio mambo ya maendeleo kabisa...ni mambo madogo tena ya kawaida tu bwege wewe
pemba bado hatuko huru lazima wapemba tujitambue
Wameanzia kwerekwe kwenda Fuoni?
Ati flying over zanzibar jamenii
Safi
Mji hautoleta haiba kamwe kama hamtoamua kubomoa vibanda vibanda kando ya barabara kuu mnazozijenga
Kabisa
Kweli vibanda vichafu vya kahawa lazima sio vivujwe bali visagwesagwe hata fusi lisipatikane 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@saidiomar6642na mikwajuu water maana zanzibar tumezoea kuishi kwa mazoea
Raisi mwinyi oyeee na pemba utujengee
Labda matako..angelijenga hizo barabara kwanza
Anakuja ucjal ndugu
Pemba hamna ata ground over panya nye
Pemba kuna uhaba wa watu huwezi kujenga km hiyo
io ground over pemba hakuna Sawa ila mama ako a anayo inatosha 2ta2mia io io
Binaadamu hakosi la kusema😂
Allah ampe afya njema zaidi ili azidi kuijenga Zanzibar
Nahutaona
Ondoeni Round about hiyo sijawahi ona Flyover chini kukiwa na Roundabout msituletee mapyoro bhana
Tembea ndug mm spo upande wwt hule ila tembea utaona mingi
@@allymazrui9744 Yaani flyover chini kuna round about?wacha nitembee tu ndugu yangu
Tembea uone zipo nyng sana
@@saidkhatib9146 nitembee tu bro maana kiukweli sijaona ila nishashuhudia sehemu kuna round about the kuna kuja ujenzi wa Flyover ikimaliza na roundabout huwa haipo tena
Nafikiri mngefikiria kujenga kwanza miundo mbinu Ya maji taka ili iwe rahisi na kunusuru kila mwanchi kuchimba mashimo kila nyumba inapotokea mafuriko kipindupindu Kina kuwa hatari
Unasemaje weye
Hukusikia au huyataki?
Hii barabara muhimu saana ndugu
Nahutaona