Salama Na BILLNASS SE6 EP57 | MJUKUU PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    Katika pita pita zangu siku si nyingi nilimsikia mtu akimzungumzia mgeni watu wa wiki hii kwamba ni ‘Jay Z’ wa Bongo na si kwasababu kamuoa mmoja wa wasanii hodari wa kike na ambao wako juu ki muziki, ila pia akili yake ya kibiashara kwa kiasi kikubwa imemfanya yeye aone hivyo. Kwa ufahamu wangu niliambiwa na kushuhudia suala la maneno na mawazo ‘kuumba’. Pale mtu au watu wanapo kuona na ukichanganya na juhudi zako na nia na madhumuni ya wewe kutaka kufika pale basi mengine kutimia huwa ni suala la wakati tu.
    Hivyo pia ndivyo ambavyo mimi namuona Ndugu William Nicholaus Lyimo almaaruf Bill Nass. Mara yangu ya kwanza kukutana nae uso kwa macho ni miaka kama sita au saba iliyopita wakati nafanya kipindi cha Ngaz kwa Ngaz special edition. Ambacho mimi na Josh Murunga tulikua tunafanya ilikua kuwapa nafasi wasanii hodari kuwa ma host wa countdown hiyo ya ngoma zao kali 20 kwa wakati huo na kuzitolea maelezo yake. Kwa Bill Nass ilikua kama kumtafuta Kuku tu, yaani RAHISI sana. Alikua natural wataalam wanasema, kuanzia matamshi (haya wengi huwashusha hadhi kwa kiasi flani) mpaka swagg ambayo mtangazaji anatakiwa awe nayo kwake ilikua ipo. Kuvaa kwake, kuheshimu wakati na kuskiliza maelekezo na kisha kuyafanyia kazi ilikua 100, na mimi kwenye hili nilikua mtazamaji tu, kazi kubwa aliifanya Ndugu Josh akiwa kama Director. Yangu matumaini Bill Nass siku moja atataka kufanya kitu kama kile maana kitamfaa mno na itakua moja ya income zake nyingi ambazo anazo.
    Kwake yeye kuamua kumuoa mmoja ya wasanii hodari wa kike ambaye ana mashabiki wengi na pengine wengi wao ni wanaume nadhani lilikua si amuzi mdogo kwao wote wawili. Wawili hawa mahusiano yao yalikua hadharani kwa sote kuyaona na kuwa na maoni nayo. Kuanzia ku leak kwa video yao ya faragha mpaka mahusiano ya mkewe na Marehemu Ruge, kila kitu kilikua nje nje. Je haya yaliathiri au kuyajenga mahusiano yao kwa kiasi gani?
    Vipi kuhusu suala la Marehemu Godzilla ambaye kulikua na shutma kwamba alikua anauiga style yake na baadhi ya Radio zilikua zinampa nafasi yeye ili kumficha Zilla? Na je suala la kifo chake ambalo lilimleta yeye karibu na mtoto wa Zilla? Hii ilikua inamsumbua vipi wakati watu wanasema hivyo? Na je alikua anaona jinsi ambavyo ilikua inamsumbua Zilla?
    Ukiachana na muziki Nenga pia ni mfanyabiashara mzuri tu ambaye amekua akitumia jina lake ipasavyo ili kuweza kujitengenezea kipato cha pembeni ambacho ni cha uhakika zaidi kuliko mziki ambao anafanya. Nna uhakika na yeye anajua kwamba ana uhakika wa kuuza electronics zaidi kwa mara nyingi kuliko uhakika wa kuwa na hit song nyingi kwa mwaka. Na hiyo haimaanishi kama yeye si msanii HODARI ila zaidi kwenye suala la wimbo kuwa mzuri lakini watu wasiupokee kama matarajio yanavyokua.
    Humu pia tulichambua kiasi kuhusu jina lake ambalo amelirithi. Majukumu, biashara, mapenzi, urafiki, usia na familia.
    Ningependa u enjoy kama ambavyo sisi tu enjoy wakati tunaongea.
    Love,
    Salama.
    Support us through anchor.fm/yahs...
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪TH-cam Link bit.ly/TH-camS...
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

ความคิดเห็น • 103

  • @issrahayattv1356
    @issrahayattv1356 ปีที่แล้ว +9

    Nenga kama Nenga namkubali sana huyu kaka ana busara katikakuongea kisomi sana salama my best interview so in Tanzania

  • @brendamrema693
    @brendamrema693 ปีที่แล้ว +9

    Nandy qnd Bill are so true to themselves yani interview zao kwangu ni must watch

  • @emmanuelmashamba6804
    @emmanuelmashamba6804 ปีที่แล้ว +4

    Yaaah sure Nenga unajuaa kupangilia vitu unajieleza vzr keep moving

  • @Yessjamal
    @Yessjamal ปีที่แล้ว +11

    Best show ever

  • @frankjohachim5405
    @frankjohachim5405 ปีที่แล้ว +2

    Huyu jamaa ninamuangalia tangia ligindogo na Nisha chapisha frana ya chafu pozz mwenyewe2 mtaan kwangu for love kwa nenga ninamkubali vibaya kinomanoma Big love bro 🇹🇿🇮🇶🌍✌️

  • @anicyaedward6257
    @anicyaedward6257 ปีที่แล้ว +31

    Hakunaga interview ya William billinas na Nandy inatonipitaga na always a play it more than ones...congratulations Brither am super proud of you ....2020 kuna mtu alikuwa anakuponda I told her billinas is genius and smart in and out waut you will this nansy kapata mme bora still hawakuamin but alla and all Yr here na kila kukicha unapaaa juuu ..congratulations alot nawapenda wewe na Nandy I wish mjue aiseee .Mungu awatangulieeee

    • @pendokissatu937
      @pendokissatu937 ปีที่แล้ว +3

      Yani Mimi Naatafutaga hata za miaka Mingiiiiiiiiii Iliyopita naangalia

    • @rahabyjoseph3373
      @rahabyjoseph3373 ปีที่แล้ว +1

      😂😂Kama mimi vile Yan huwa napenda sana kuwasikiliza

    • @rahabyjoseph3373
      @rahabyjoseph3373 ปีที่แล้ว +1

      @@pendokissatu937 wewe ni mimi tena huwa narudia 😂😂😂😂😂😂

    • @asmahassan5661
      @asmahassan5661 ปีที่แล้ว +1

      Jmn tupo wng kumbe daa kumpnda Mt ambae hujawah kukutan nae nikipaj et🤣🤣

    • @devothastive8007
      @devothastive8007 ปีที่แล้ว +1

      Billnas yupo smart sana

  • @johnphilipo6760
    @johnphilipo6760 ปีที่แล้ว +7

    Jamaa kweli ni educated asee

  • @adamkazembe8745
    @adamkazembe8745 ปีที่แล้ว +5

    Salama jabil we ndo namba Moja wangu kati ya mtangazaji ninaekukubali mpaka napitiliza

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 ปีที่แล้ว +10

    Billy yuko composed,this guy is cool ..much love from 🇧🇭🇧🇭

  • @wanzakleruu
    @wanzakleruu ปีที่แล้ว +2

    Nenga ni future Mwana efuei

  • @shaddaadkengwah8619
    @shaddaadkengwah8619 ปีที่แล้ว +10

    Allah kashasema kuwa mtu mwenye elimu na asiekuwa na elimu wapo tofaut sana napenda sana kuangalia interview za watu wengi na naonaga utofauti mkubwa sana wa mahojiano ya mtu aliesoma na ambae hajasoma

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +4

    Hakuna zawadi nzuri kama upendo

  • @sumaiyamikidadi3589
    @sumaiyamikidadi3589 ปีที่แล้ว +2

    Uyu kaka amevaa gold tupu aise napenda anavowekeza kwenye vitu vya thaman kama gold maana ata ukiishiwa unachakukiuza ukacover palipolegea. Safi sana

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +3

    Baraaaah sana hiii Nenga

  • @leonidamsungu7208
    @leonidamsungu7208 ปีที่แล้ว +2

    Anaitwa bless

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +2

    Mziki mzuri puuh

  • @bumbuli4170
    @bumbuli4170 ปีที่แล้ว +1

    No one will talk about the sound system and mic setting, congrats salama

  • @shangweyussuf640
    @shangweyussuf640 ปีที่แล้ว +4

    Baby 🙌 blessing

  • @lucianmartin-kn9xj
    @lucianmartin-kn9xj ปีที่แล้ว +2

    Naomba intaviu ya ney wa mitego

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +2

    This is Much Good

  • @eliaskalinda7007
    @eliaskalinda7007 ปีที่แล้ว +3

    Mtoto wao anaitwa #Adom

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +1

    Big Time

  • @johnlusungu-ki8fy
    @johnlusungu-ki8fy ปีที่แล้ว +1

    Kipindi chako Kiko poa sana! Mhoji Mike Tee

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +2

    Respect sana hiki

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +2

    Super Star Right Now

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +6

    Keep On Mzee One of the big tanzanian rapper 🇹🇿

  • @siphifahashimu9723
    @siphifahashimu9723 ปีที่แล้ว +1

    Maashalah

  • @abuukonga6664
    @abuukonga6664 ปีที่แล้ว +3

    He is genius asee

  • @bagumandongwe8566
    @bagumandongwe8566 ปีที่แล้ว +6

    I can guess the name, jina lake ni Dorothy

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +3

    Good Words Big Thinking So Creative ☑️

  • @rojahussein9530
    @rojahussein9530 ปีที่แล้ว

    very powerful

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 ปีที่แล้ว +10

    Top 20 watangazaji bora wa media Tanzania 🇹🇿 2023.
    1.Millardayo
    2.Salama jabir
    3.Maulid kitenge
    4.Fredrick Bundala(SNS)
    5.jonijo
    6.Lily Ommy Tambwe
    7.B.Dozen
    8.Adam mchomvu
    9.Mamybaby Na Dullar planet bongo EATV.
    10.Didashaibu wasafi media
    11.Diva wasafi media
    12.Meena Ally
    13.Vido vidox ayotv
    14.Ammygal Na yule gal wasafi media
    15.Edo kumwembeee wasafi media
    16.Mwijaku
    17.Aaliyah wasafi media
    18.Din Nassor Wa Dizzim online
    19. Shilawadu kwisaaa na mzee wa maski
    20. Mwijaku

  • @ruthdavie1175
    @ruthdavie1175 ปีที่แล้ว +9

    Wa 5 mwamba nenga huyu hapa🥰

  • @naimanimo4925
    @naimanimo4925 ปีที่แล้ว +2

    😀😀 kweli mungu ni fundi did see that gal friend

  • @fabianwebiro7005
    @fabianwebiro7005 ปีที่แล้ว +1

    Big up

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +2

    Hakika sana

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +2

    Keep on miving ❤️

  • @amanibrown-jx2sq
    @amanibrown-jx2sq ปีที่แล้ว +3

    Salamaaaaa

  • @rehemaally211
    @rehemaally211 ปีที่แล้ว

    talented one

  • @pamanyango8917
    @pamanyango8917 ปีที่แล้ว +4

    Nenga congratulations kwa majibu mazuri, salama kazi nzuri sana, nakukubali sanaaa, from 254

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo6417 ปีที่แล้ว +5

    Hauwezi, ukipatia hiyo? Ntakupa zawadi kubwa sanaa👏👏👏👏

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +4

    Here We Go Mzee

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +2

    The boy is talented

  • @allycantara3873
    @allycantara3873 ปีที่แล้ว +3

    Maboi Nenga

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +2

    Tanzanian Rapper is here

  • @popiya2368
    @popiya2368 ปีที่แล้ว +2

    Blessing

  • @gracempanda5051
    @gracempanda5051 ปีที่แล้ว +3

    Calm,thoughful convo

  • @fatmatz5086
    @fatmatz5086 ปีที่แล้ว +4

    Mtoto wa Billnass anaitwa blessing au grace 😆😆😄

  • @AmandoEzebio
    @AmandoEzebio ปีที่แล้ว

    Naamin nimaombi na mungu amejibu

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +1

    Kindly ☄️☄️

  • @mrishojumaamrisho3212
    @mrishojumaamrisho3212 ปีที่แล้ว +1

    Sana mafioxo

  • @mwanahkombo9496
    @mwanahkombo9496 ปีที่แล้ว

    Respect 🙏💋

  • @zenarzchenga2631
    @zenarzchenga2631 ปีที่แล้ว +1

    Mtoto anaitwa Gianna

  • @ahmedhamdan8526
    @ahmedhamdan8526 ปีที่แล้ว +2

    Bless

  • @ironhd4932
    @ironhd4932 ปีที่แล้ว

    Kohoa Upale Tonge

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +2

    Never Lie Mzee

  • @manigb
    @manigb ปีที่แล้ว +5

    🔥🔥🔥🔥

  • @richardcastromzena5136
    @richardcastromzena5136 ปีที่แล้ว

    6:09 📌📌📌
    12:54 📌📌📌
    24:35 📌📌📌
    "Me hata dingi simjui ndo mana story za dingi hazinisumbui" billnas

  • @mwanahkombo9496
    @mwanahkombo9496 ปีที่แล้ว

    Haina interview mbovu

  • @mushimalik7354
    @mushimalik7354 ปีที่แล้ว +3

    Nengaaa 😅

  • @naimanimo4925
    @naimanimo4925 ปีที่แล้ว +3

    Whaaat??? He is the father of Dylan copyright no DNA needed at list he has a father am at peace now ,watching from ug love u Salam J thanks for the show mi nishabiki yako since 2008 EAtv

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว +2

    Wow

  • @Lys292
    @Lys292 ปีที่แล้ว +1

    🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼

  • @Yusufu940
    @Yusufu940 ปีที่แล้ว +3

    Salma una maswali ihi ya cm imenikosha

  • @amirlehao8945
    @amirlehao8945 ปีที่แล้ว +2

    Sasa nandy umemwacha salama

  • @UgandanAllstar
    @UgandanAllstar ปีที่แล้ว

    jama is so deep sana pale alipo gusa swala la meaning ya majina tunayo wapa watoto wetu

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +1

    Guid

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +2

    Ahaaaaaaaa 😂

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +4

    EDUCATED ONE ❤️

  • @subraissiaka5164
    @subraissiaka5164 ปีที่แล้ว

    Billnass akili nyigi sana

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +2

    Repsect Sana Kaka

  • @rehemaally211
    @rehemaally211 ปีที่แล้ว

    ilove you all

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +2

    Mishale mingi

  • @ramadhanomar8346
    @ramadhanomar8346 ปีที่แล้ว

    JINA LENYE MAANA YA BARAKA KUTOKA KWA MUNGU NI NATALIAH. NAOMBA ZAWADI YANGU HHHHHH

  • @assumaninadja315
    @assumaninadja315 ปีที่แล้ว +1

    I liked it 🥰but I would like to to see Diamond one day please

  • @stevennyondo2215
    @stevennyondo2215 ปีที่แล้ว

    Anaitwa NTUNTUFYE NINI? KAMA WA MKOJAN 😂

  • @ramlaamiri5601
    @ramlaamiri5601 ปีที่แล้ว

    Salama ile ya fetty densa mbn haijatok¿

  • @crownprince399
    @crownprince399 ปีที่แล้ว +2

    💕💕💕💕💕💕💕💕💕

  • @stellah3844
    @stellah3844 ปีที่แล้ว

    Atakua anaitwa Blessing,,,,,,,,,Blessings

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +1

    Over sana

  • @ramlaamiri5601
    @ramlaamiri5601 ปีที่แล้ว

    Nenga

  • @ylonlinetv
    @ylonlinetv ปีที่แล้ว +2

    🇹🇿🇹🇿🎼🎼🎼🎼

  • @fatumamohammed9964
    @fatumamohammed9964 ปีที่แล้ว +2

    Nengaaa

  • @benjakiwelu8910
    @benjakiwelu8910 ปีที่แล้ว +2

    Mchaga nenga

  • @tylucci6492
    @tylucci6492 ปีที่แล้ว +3

    Mafioso

  • @UgandanAllstar
    @UgandanAllstar ปีที่แล้ว

    jama is so deep sana pale alipo gusa swala la meaning ya majina tunayo wapa watoto wetu

  • @wisemelodytz589
    @wisemelodytz589 ปีที่แล้ว +3

    🔥🔥

  • @victorianfabian7618
    @victorianfabian7618 4 หลายเดือนก่อน

    Mafioso