UKIMUOTA PAKA USINGIZINI | HIZI NDIO TAFSIRI ZAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 79

  • @faridywabu5280
    @faridywabu5280 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atuepushie inshallah😢

  • @ashashaban6484
    @ashashaban6484 2 ปีที่แล้ว +2

    mashallah mashallah Allah Akulipe kila la kheri inshallah

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust1234 ปีที่แล้ว +2

    Walaikum salam warahmatullahi wabarakatuh
    Sheikh mimi nimeota napigana na paka

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 3 ปีที่แล้ว +1

    Waalaykumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 3 ปีที่แล้ว +1

    Shukran ta sheykh

  • @AsiaAlly-m8w
    @AsiaAlly-m8w หลายเดือนก่อน

    Mimi nimeota paka 2 nimewabeba nawapeleka sehemu

  • @janarkboy-ch3tq
    @janarkboy-ch3tq ปีที่แล้ว +1

    Subhanaah Allah

  • @muragizinourah1042
    @muragizinourah1042 3 ปีที่แล้ว +2

    Mansha allah

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar439 ปีที่แล้ว +3

    Mana nimeota kuna mtu anawachinja paka kinyama wengii mpaka wanatoka kinyesi 😭😭🤦🏿💔

  • @RahmaKheri-di3eq
    @RahmaKheri-di3eq ปีที่แล้ว +2

    Nimeota paka wengi wameinhia ukumbini.kwangu nikawafukuza wote

  • @mkibandulo1231
    @mkibandulo1231 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @islamsaid4830
    @islamsaid4830 3 ปีที่แล้ว +4

    naomba uniambie nijue tafadhali nakuomba

  • @DianeMbabazi-mw1mm
    @DianeMbabazi-mw1mm 5 หลายเดือนก่อน

    Nimeota paka iko kitandani kwangu,nikajaribu kumfukuza akawa anasita kuondoka,mudakidogo nikaota nimelala najifunika shuka mpaka kicwani yule paka akiwa anajitaidi kuningata ila hakufanikiwa kuningata ju nilikua nilijifunika shuka mwili mzima.tahadhari niambie nini maana ya hiyo ndoto.🙏

  • @ShijaKulwa-r2l
    @ShijaKulwa-r2l 28 วันที่ผ่านมา

    Nimeota paka anauwa mtoto wangu akafa na paka nae akafa huku ameng'ang'ania kwenye mkonon wa mtoto

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 3 ปีที่แล้ว +1

    A aleikum nimeota paka njee Ya nyumba na hakuingia na pia paka mwenyewe Rangi kama chai lakini upande moja amechomeka upande moja wote amechomeka . Na hajingia kwa nyumbani

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar439 ปีที่แล้ว +2

    Mh wakati wengine inakutea wasiwasi mana unapata vitu vya ajab😭😭

  • @hawaissaramsdhan5704
    @hawaissaramsdhan5704 ปีที่แล้ว +1

    Asalam alaykum samahni shekhe me nimeota nimelala na watoto wapaka...inaman gan.

  • @ishanihijabstyles5364
    @ishanihijabstyles5364 3 ปีที่แล้ว +3

    Assalam aleykum sheikh..samahani kwa usumbufu😔,,,mimi nimeota paka wawili wamebebana (yule wa aliebebwa ni mweusi) na mmoja yupo peke yake wanaitana “asha,hawa,tondokeni”😥 wanatoka ndani nikaanza kuwasomea nimewasomea (nliwaelekezea viganja vyanga)😥adi wakafa,,yan wakati nasoma viganja vya mikono yangu vilikua vinatoa nguvu adi moshi😥

  • @anwarabduullahrawahi2067
    @anwarabduullahrawahi2067 3 ปีที่แล้ว +1

    Sheh je ukiota paka amekufa

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimeotapaka Mara tatu
    Nipaka weusi wananiparua mgongoni naskia maumivu pia huwa nawaona mbka nikistuka siwaoni hiyo niliota Mara ya Kwanza na ya pili. Mara ya tatu niliota paka wawili weusi lakini Mmoja nikamuua Sasa sijui Inamaana gani

  • @fatmaahmed4754
    @fatmaahmed4754 4 หลายเดือนก่อน

    Je ukiota una he za na yy unambeba na nimzito paka mwenyewe mkubwa lakini hakutishii

  • @MaryamIssa-e6u
    @MaryamIssa-e6u หลายเดือนก่อน

    Kutafunwa je na paka usingzn

  • @FeisalChombo-um4ow
    @FeisalChombo-um4ow ปีที่แล้ว

    A salaam Aleykum. Shekhe Mir nmeota paka mweupe yupo juu yakabat bidae yule paka akanirukia mie nkamuwahi nkamdaka nkamfinyanga finyanga hadi akaishiwa nguvu nkamuachia.. Baada ya kumuachia akajitahid kukimbia ajarudi tena,, hii ipoje shekhe wangu..

    • @HajiSuleiman-y6h
      @HajiSuleiman-y6h 7 หลายเดือนก่อน

      Isingeendelea kumfinyanga hadi afe

  • @HasnuMbauro
    @HasnuMbauro ปีที่แล้ว

    Asalam hlykm je ukiota unapigana na paka usingizini halafu ukampiga

  • @jestinngimbuchi-pf7jr
    @jestinngimbuchi-pf7jr ปีที่แล้ว

    Shikamoo mimi nimeota kuku akiwa mgonjwa

  • @sharonpaur9640
    @sharonpaur9640 2 ปีที่แล้ว +1

    Mie mara nyingi naota paka mara ananisaidia nikiwa napigwa au mfano Leo nimeota paka af nimepata paka Leo leo

  • @mamuamin1929
    @mamuamin1929 3 ปีที่แล้ว +1

    Umemuota paka kakupalula alafu akajigeuza mwanamke anakuongelesha

  • @Anneekisa-jk7yg
    @Anneekisa-jk7yg 3 หลายเดือนก่อน

    Nimeota tumeshirikiana na mwanangu tumemuua paka

  • @elimuyachumbani4280
    @elimuyachumbani4280 3 ปีที่แล้ว +1

    Mąsha Alah
    Nimeota nimeletewa paka, ila kafungwa miguu mitatu, mmoja upo haujafungwa, sasa eti namwambia nitampa nauli aende, paka huyu anaongea kabisa, . Sheikh naomba itafakari hii, paka kafungwa maana ongea

  • @selemanmandolya9758
    @selemanmandolya9758 3 ปีที่แล้ว +1

    Shekhe nimeota paka wawili wameingia ndani kabla hawaja ingia uliaza upepo mkali kisha paka wawili wakaingi muda kidogo akaingia mdada lakini paka wale niliwashika wote

  • @stahilimohamed9127
    @stahilimohamed9127 3 ปีที่แล้ว +2

    Mm niliota napigana Na paka

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 หลายเดือนก่อน

    Nimeota paka wawili wananing'ata kwenye kidole gumba na baada ya hapo nikaota vidole viwili gunda kwenye mguu mmoja

  • @riqofficial3532
    @riqofficial3532 2 ปีที่แล้ว +2

    Mimi nimeota baka amening'ata mguu wa kushoto mara tatu nikiwa nimelala

  • @MercyKadenge
    @MercyKadenge 8 หลายเดือนก่อน

    Nimeota na panya kuniona akatoroka baadaye katika nyumba yangu nikamwona paka na mtoto wake wamelala kama wametulia sasa hiyo inamanisha😮

  • @suleimanhaji7232
    @suleimanhaji7232 3 ปีที่แล้ว +2

    Nimeota natoka chumbani katika kutoka nikakutana na paka rangi ya kijivu na nikahitaji kukimbia lakini akanipunguzia kasi ya kukimbia na akaniingia kuazia miguuni alipofika kiunoni nikasoma ayatul kursiyy nikashituka kilichonishangaza ilipofika magharibi natoka chumbani nikamuona yule paka anatoka chumba chengine na kukimbia nje

  • @MilicentMuhonja
    @MilicentMuhonja 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi nmeota kuku mweusi na nmeota manyoa imebaki ya mwisho na nikawa na boma nyumba pia

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 ปีที่แล้ว

    Warangi mweupe siyo kweupe sana macho yake meupe nini maana yake shehe

  • @elennydotto334
    @elennydotto334 3 ปีที่แล้ว +1

    Ukiota paka amezaa watoto wawili

    • @aggie7008
      @aggie7008 ปีที่แล้ว

      Mimi nimeota amezaa watoto watatu

  • @TausitamimuRukaika
    @TausitamimuRukaika 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi nimeota paka kaingia ndani akajificha nyuma ya kiti

  • @anwarabduullahrawahi2067
    @anwarabduullahrawahi2067 3 ปีที่แล้ว +1

    Asalam aleykum

  • @sabrahramadhani3765
    @sabrahramadhani3765 2 ปีที่แล้ว +1

    Assalamualaikum ustadi me nliota Kuna sehem tunasafri na gar.... Tulivyofka katkat ya safar gar ilpata ajali lakin hakuna alieumia.... Tukawa tumetulia abiria hatuelew Cha kufanya ndio akapita paka tukaambiana tumpande paka ili safar iendelee .... Tukampanda yule paka .... Sasa hatujafka mbal yule paka akafa Tena akawa anatoa harufu balaa abiria tukashuka.... Nam nkastuk

  • @ThumaAbeid
    @ThumaAbeid ปีที่แล้ว

    Nimeota paka kamchukua mwanangu

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว +1

    Ndio kuna mtu anaitwa sanura nilishangaa oman nilivyosikia sanura paka

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 3 หลายเดือนก่อน

    A aleikum ukimuona paka wa kawaida tuu Rangi nyekundu na uka mgonga na gari akafa maana yake nini ?

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Ukiota ngombe kilema

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 ปีที่แล้ว

    Hajafanya kitu kachuchumatu mupore sana

  • @saidmohamed3009
    @saidmohamed3009 3 ปีที่แล้ว +2

    A,alaykum
    ostaz mi nmeota paka mchafuu,lakini muda amegeuka amekua msafii, hujasema tafsiri yake !!

  • @ummulkheirmashjary1579
    @ummulkheirmashjary1579 2 ปีที่แล้ว +1

    Shekhe mm nataka nikuulize swali kuhusu kuota paka,lkn naona hapo maswali mingi hujibu hata moja,INAKUAJEE HIVII!!!??

  • @aishatarimo6780
    @aishatarimo6780 3 ปีที่แล้ว +2

    Mm niliota paka jike na dume wamegandana na pia watu wengi wanna watizama

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Ndio ipo dawa ya kumgandisha mchawi niliona wakifundisha na tulifundishwa au kumchapa mchawi na fimbo ya muhogo

  • @azizaali195
    @azizaali195 3 ปีที่แล้ว +1

    Je ukiota jina la Allah kwa kiarabu kwenye mbingu limejichora kwa harufi kubwa rangi ya dhahabu au nyeupe ya kungara inamaanisha nini shekhe

  • @alfanifaraji
    @alfanifaraji ปีที่แล้ว

    Mimi nimeota mbwa anammeza paka nini maanak 🙉

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 ปีที่แล้ว

    Mimi nimeota paka mudogo amekaa jirani na mimi kitadani kwangu

  • @joynatasha2456
    @joynatasha2456 2 ปีที่แล้ว +2

    Mimi nimeota napigana na paka

  • @shemsaahmed918
    @shemsaahmed918 3 หลายเดือนก่อน

    Nini maana ya paka kunguka nyumba usiku akipiga kelele?

  • @KhadijaAbdulySuleiman-su9nr
    @KhadijaAbdulySuleiman-su9nr 10 หลายเดือนก่อน

    Nimeota ninamnyonga paka mpaka akafa

    • @DOCTORYUSSUF
      @DOCTORYUSSUF 8 หลายเดือนก่อน

      Utamkamata mwizi wako, au mchawi wako,

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 2 ปีที่แล้ว +1

    Mii nimemuota paka anazaa maana yake nini,, siku ya pili nikaota ng'ombe anazungumza

  • @AzaShamba
    @AzaShamba ปีที่แล้ว

    Maneno mengi punguza😂

  • @ProsperKyando-b9t
    @ProsperKyando-b9t 6 หลายเดือนก่อน

    Kuota paka wanafanya mapenzi maanake nini

  • @sofiamkutano2979
    @sofiamkutano2979 3 ปีที่แล้ว +1

    Ukiota paka watatu wametoka kwenye mvungu wa kitanda chako na wawili wao wanafanya tendo la ndoa ina maana gani?

  • @mariammariamomary4911
    @mariammariamomary4911 ปีที่แล้ว

    Kwahyoo nafanyaje ili yasinifike

  • @fatimahussein6396
    @fatimahussein6396 3 ปีที่แล้ว +1

    As'salam alaikum warahmatullah wabarakatuh,,,Mimi niliwahi kuota kuona paka yuazaa,,,nn maana yake??

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 3 ปีที่แล้ว +1

    Na ukimuona paka mweusi yuko ndani Ya draw . Kabati Ndiyo nini

  • @faudhiangwegwe4852
    @faudhiangwegwe4852 3 ปีที่แล้ว +1

    Assalam alaykum,Shekh naomba unambie maana ya hii ndoto.. Mume wangu kaota anapigana Na paka wa 3 katika papatua yake akawa amewaminya shingo lkn mmoja akamponyoka akenda kumpara sehem zake za siri alivo shituka ameshika sehemu zake za siri akizivuta na kupiga ukelele... inamaana gani? Msaada plz

  • @jaminyussuf3790
    @jaminyussuf3790 9 หลายเดือนก่อน

    Nimeota paka amekufa nje ya nyumba nini maana yake

  • @OliverSamwel
    @OliverSamwel ปีที่แล้ว

    Naomba unisaidie mim nimeota nimechinja paja la paka nikataka kwenda kuuza nikaogopa nikaenda kuitupa Kwa siki la chooni lkn huyo mnyama sikumaliza kumchinja et ananitafta huku ananungunika hyo mnyama

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q 2 ปีที่แล้ว +2

    Asa Sheikh ndo unaturusha roho? Si utupe!😣

  • @husinahamiss6607
    @husinahamiss6607 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimeota punda wamebeba mizigo

    • @chaukachauchau9187
      @chaukachauchau9187 2 ปีที่แล้ว +1

      Mimi nimeota paka ananing'ata nikamkamata nikaanza kupambananae nikamkamata kichwa gafla nikashtuka nikawa nimekamata kwanguvu tumbo lamkewangu

    • @naominapendwa141
      @naominapendwa141 2 ปีที่แล้ว +1

      Shehe Mimi nimeota nipo ndani ya nyumba ghafla akatokea paka akataka kunigusa nyayo zangu alivyo taka kunisogelea tuu ghafla akawa anzunguka mara akanguka akafa nikaona dam zinamchuruzika Nini maana yake shehe