Salaam aleykum warahma tullah wabarakatu jina langu ibrahim sheikhe mimi nimeota nachinja mtu nikachinja mpaka nikaachanisha kichwa baada yahapo ikabidi nikimbie hukunikifikilia marengo nilionayo kwamba sito yatimiza tena kabla yahii niliota mvua inanyesha
Asalam aleykum mi nimeota nvua inanyesha lakini nikondani nyumba inavuja namaji yameingia ndani kitanda kimeloa godoro limeloa tepetepe nikashangaa sana mpaka godoro limeloa sana na kitanda kilikua kibovi kwa pembeni hivi
Assalamualaikum warhmatullah wabarakatuh shekhe wangu ,naomba nikuulize swali! Mimi nimeota nyumba ninayokaa imejaa maji mpaka kwenye madirisha, na nje kama bahari Haina kikomo nn manayake?
Asalam aleykum mimi nimeota ndoto nikiwa na watu wengi tuko kwenye kisomo cha dua na badae mvua ikaanza kunyesha.hii inabashiri nini 🙏🙏 lkn Naomba namba yako nina mengi sana
Shekhe naomba uni saidie kila saa kinyw changu ki atamla kuw mama kafariki yanı wiki hii nzima kinyw changu kinatamka wakati mama yangu ni mzima jipo nipo mbali hebu niambie inamana gani
Je ukiota mvua inanyesha lakini maji yanaingia uvunguni na mpaka godoro lime roa na uvunguni kulikua na kifaranga cha kuku cheusi kime kufa na mwanamke mwingine ame kitupa Nje
Mvua ile ya lashalasha inanyesha imetulia nzuli, ila mim siloi naiangalia na inavyonyesha ardhi matone yake yakiwa yametonea ardhini vizuli na tope lake zuri naiangalia tuu uzuli wake
Sasa vua ya upepo handi inaharibu nyumba tukakimbilia kwanyumba lakini hiyo nyumba ilikuwa dogo upepo ukapinga drisha kukawa kunataka kumbomoa lakini tukazimba ila bado ikawa inanyesha kubwa
Shukran sheikh Allah akujalie kheri inshallah
Inshaallaah Allah aniongoze amin 🤲🤲
Masha allah jazakallahu kheryy
Masha'allaaaah!
Mimi napenda sana ilmu hii ya ndoto na nafuatilia. Naomba namba yako ya simu Shk.
Amin❤❤
Shukran
SHUKRANI SHEHK
Asante kwa tfs zako nimeota nanyeshewa nanikaoga mikono Maji ya mvua
Asante. shehe
Shukrani
Mashallah
Allaah huaqbar
Inshaallah
A salaam alykum Mimi nimeota ndoto nipo ndani ya nyumba ya marehema bibi mzaa mama mvua inanyesha sana mabati yametoboka mvua inaingia ndani
Amini
Salaam aleykum warahma tullah wabarakatu jina langu ibrahim sheikhe mimi nimeota nachinja mtu nikachinja mpaka nikaachanisha kichwa baada yahapo ikabidi nikimbie hukunikifikilia marengo nilionayo kwamba sito yatimiza tena kabla yahii niliota mvua inanyesha
Asalam waleykum .nimeota mvua inanyesha mdogo wangu ananyeshewa nikawa nimefunga mlango nikamfungulia mlango nikamkumbatia halafu nimjamzito nikafunga mlango . Mara nasikia kondoo wawili wananyeshewa nikawafungulia nawao mlango nikafunga..nn maana yake shehe
Asalam aleykum mi nimeota nvua inanyesha lakini nikondani nyumba inavuja namaji yameingia ndani kitanda kimeloa godoro limeloa tepetepe nikashangaa sana mpaka godoro limeloa sana na kitanda kilikua kibovi kwa pembeni hivi
Waalaykumsalam msikilize vizur shekh amesema ndoto iliyosababisha madhara si nzuri.... hivo ni vema ukamtafuta ili akushauri zaidi
Nimeota mvua imenyesha kwangu ilikuwa shwali tu ila kwajirani zangu mambo yamekuwa mabaya wakaja kuniomba niwasahidie hii inamaana gani
Assalamualaikum warhmatullah wabarakatuh shekhe wangu ,naomba nikuulize swali! Mimi nimeota nyumba ninayokaa imejaa maji mpaka kwenye madirisha, na nje kama bahari Haina kikomo nn manayake?
Assalam aleikum sheikh,tatizo SheIn wangu tunapo uliza hutupi majibu,kwa TH-cam,nimeota jeneza mbili zinamaiti ndanimwe ila wakawa hao watu si waisilam pakawa kunawatu wengi wanajiandaa kwenda kuzika,mudapunda mvua ikanyesha ila watuwakasema hatakama mvua imenyesh lazima twendekuzika hivohivo ndoto ikaishiahapo
Asalam aleykum mimi nimeota ndoto nikiwa na watu wengi tuko kwenye kisomo cha dua na badae mvua ikaanza kunyesha.hii inabashiri nini 🙏🙏 lkn
Naomba namba yako nina mengi sana
Mm nimeota ndiyo nayishewa namvua yenye utulivu na nimenyanyua.mikono naomba Dua ila sikujuwa Hina gani
Assalam alaikum
Fatma mambo
Samahan nimeota mvua imeisha nying sana maji yakajaa nikawanatembea juu yake kuwaangalia wenzangu ila awakudhulika
Nimeota juzi mvua kubwa snaaa mpka miti inadondoka
Nimeota mvua mpk nakinga maji kwenye ndoo
Shekhe naomba uni saidie kila saa kinyw changu ki atamla kuw mama kafariki yanı wiki hii nzima kinyw changu kinatamka wakati mama yangu ni mzima jipo nipo mbali hebu niambie inamana gani
Je ukiota mvua inanyesha lakini maji yanaingia uvunguni na mpaka godoro lime roa na uvunguni kulikua na kifaranga cha kuku cheusi kime kufa na mwanamke mwingine ame kitupa Nje
Shee nijibu nakuomba
Shee ukiota unajaza upepo baskeli kwa kutumiya pambu hlf unajaza kwa nguvu hlf baskeli inamzigo half taili haijai haraka maanayake nini
Mvua ile ya lashalasha inanyesha imetulia nzuli, ila mim siloi naiangalia na inavyonyesha ardhi matone yake yakiwa yametonea ardhini vizuli na tope lake zuri naiangalia tuu uzuli wake
Sasa vua ya upepo handi inaharibu nyumba tukakimbilia kwanyumba lakini hiyo nyumba ilikuwa dogo upepo ukapinga drisha kukawa kunataka kumbomoa lakini tukazimba ila bado ikawa inanyesha kubwa
Je ukiotaa mvua imesha nyesha majii nimeng sn yalio nyesha barabarani nikawa. Navukaa
Nimeota. nanyeshewa. mvua. nikiwa. ndani. ya. nyumba. nikapata. balidi.
Nimota nyumba inanyesha chumban vitu vinalowa vyote na muda uwo nipo na mwanaume nilio achana nae