Mimi niliota paka ananitazama tuu akakosa nguvu akihema kwa shida mpaka akafa nyuma mwenye paka akawa analiya kwa kumpoteza paka wake , ina maana gani nisaidiye unijibu tafadhali 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Nashukuru nimeota siku mbiri nikishamburiwa na paka mweuzi mama na mtoto imeshikiria mtoto ni kama ananyonyesha arafu ikanisamburia mikono nikiwa nina safiri nisaindie 🙏
Mimi nimeota huyo paka rangi ya Chini hapo akanibana kidole cha mkono wa kudhoto na meno yake lakininilimpiga nafimbo nikamtoboa namti seem ya hajakubwamti ukatokea upande wapili
Bwana yesu asifiwe mm nimeota paka wakijivu ana tushambulia miguun nikawa na kemea kwajina la yesu paka anaongea kwasauti ya mwanamke eti ngoja niwaonyeshe hawa watu akawa anatupiga aka nikwarua ila sio sna nikamkemea nikashutuka nipo na kemea usiku 3 -35 usiku
Mm nimeota paka wa brown ywanifatulia kila mahali nikiruka juu ywaruka yaani hataki kuniacha na niliona msichana fulani akiwa na huyo paka..so sijui nia yao ilikua nn
Nimeota napambana na paka mjamzito na huyo paka hua anapenda sana kuja kwenye maeneo yngu ya biashara nilimuota yupo chumban kwangu juu ya kabati nilianza kumtoa kwa mti kule juu ya kabati akachukia akanirukia alitaka kuniparua mkono nikamsukuma hakuwahi kuniparua nikaamka😢 nisaidie nn maana yake.
Niliota nimeona paka ameingia kwang kutokea darini akabeba hela mezani kwa mdomo nikawa namfukuza ila nikawa nashindwa maana nilifundwa fungwa na nguo had mikono nikawa namfukuza ila akawa anaondoka na hela kuelekea darin, nn maana yake
Mimi niliota paka ananitazama tuu akakosa nguvu akihema kwa shida mpaka akafa nyuma mwenye paka akawa analiya kwa kumpoteza paka wake , ina maana gani nisaidiye unijibu tafadhali 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Nashukuru nimeota siku mbiri nikishamburiwa na paka mweuzi mama na mtoto imeshikiria mtoto ni kama ananyonyesha arafu ikanisamburia mikono nikiwa nina safiri nisaindie 🙏
Piga simu namba zipo hapo
Nimeota paka wawili wamekufa shigon kwangu
Mimi nimeota huyo paka rangi ya Chini hapo akanibana kidole cha mkono wa kudhoto na meno yake lakininilimpiga nafimbo nikamtoboa namti seem ya hajakubwamti ukatokea upande wapili
Thafadhali naomba uniambie hii mm nimeota pakq.wawili.wa.kijivu wamekuja na.kuqngukq singing kwangu na wakafa
Duuuh piga simu namba ipo hapo
Paka wa orange 🍊 kikung'ata mguu inamanisha nn?
Na ni mara ya pili mara wa kwanza ni mweusi but hakunifikia alikuwa anataka kuniuma kidole
Bwana yesu asifiwe mm nimeota paka wakijivu ana tushambulia miguun nikawa na kemea kwajina la yesu paka anaongea kwasauti ya mwanamke eti ngoja niwaonyeshe hawa watu akawa anatupiga aka nikwarua ila sio sna nikamkemea nikashutuka nipo na kemea usiku 3 -35 usiku
Piga simu namba ipo hapo
Mm nimeota paka wa brown ywanifatulia kila mahali nikiruka juu ywaruka yaani hataki kuniacha na niliona msichana fulani akiwa na huyo paka..so sijui nia yao ilikua nn
Nimeota napambana na paka mjamzito na huyo paka hua anapenda sana kuja kwenye maeneo yngu ya biashara nilimuota yupo chumban kwangu juu ya kabati nilianza kumtoa kwa mti kule juu ya kabati akachukia akanirukia alitaka kuniparua mkono nikamsukuma hakuwahi kuniparua nikaamka😢 nisaidie nn maana yake.
Piga simu namba ipo hapo
Mi nliota nashambuliwa na paka mweusi mikononi nikaomba akapukutika hadi akapotea
Mimi niota paka mweusi akinishambulia nyuma ya mgongo.
Piga simu namba ipo hapo
Niliota napigana na paka mweupe😮
Nafaa nifanye aje nisaidike juu nimeshambuliwa usiku.
Nimeota nimepambana na paka nimemupasuwa kati kati
Niliota nimeona paka ameingia kwang kutokea darini akabeba hela mezani kwa mdomo nikawa namfukuza ila nikawa nashindwa maana nilifundwa fungwa na nguo had mikono nikawa namfukuza ila akawa anaondoka na hela kuelekea darin, nn maana yake
Niliota paka wa kijani akininyonya damu
Grey
Piga simu namba ipo hapo
Niliota nikishambuliwa na paka wa kijivu na aliniuma kwa mdomo maake ni nn tafadhali
Piga simu namba ipo hapo
@@ptvtanzaniaonline6673 Poa nitakupigia
Umeshambuliwa na Roho za mauti
Mm nimeota paka amenishambulia mkono wa kulia kwenye kiganja na kwenye paji la uso