Ss we umechupa mipka na ww pia unakosea kwann ukashifuuu mtume hakashif mtu kwani ww malaika una makosa mengi tu na hio shule yako nayo si wanafanya udanganyifu kaa kimya kimya we mxxxw kama mwanamke kila siku fitina tu😒😒😒😒😏😏😏
Mtume mwenyewe kakosea mara kadhaa mbona Allah anamrekebisha!!! Sharif wa Masharif kakosea pia. Je mimi na wewe tukikosea ndio dunia kuisha? Tusiwekane TH-cam na mitandaoni kwa kukosea bali kuna njia ya utaratibu mbona.
Kwa mtazamo wako lakin ndo umewaza hvo usitegemee kutukana kwako watakuja waislam kukujibu kwa matusi ..tunaheshimu mawazo yako na tunakupenda embu badilika ndugu yang na uamke katika usingizi huo
ASANTE KWA KUFUATILIA TH-cam CHANNEL YETU PIA AHSANTE KWA KUTAZAMA VIDEO HII ILA TUNAOMBA USISAHAU KU SUBSCRIBE 🙏🙏🙏
Tatizo mnaweka Matangazo ya Waganga wa kienyeji katika Darsa nzuri kama hizi. Tafadhali msiweke Matangazo ya hao mataperi
Allah akupe maisha marefuu yenye kherii ndani yake uzd kutuongozaa kweny haki
Allah akuhifadhi shekh nurdini kishki
MashaAllah Allah Procter you InshaAllah ❤❤❤❤❤❤❤
Shukran sana sheikh wetu
Sheikh sasa hii ndio hoja zinazoitajika Mwenyezi Mungu akulinde kwa herim hii inshallah
Allah akuhifadhi sheikh kishk
Allah akuhifadh sheikh
Amiin 🤲🏾
Mashaallah nazani watakua wameelewa mpka hapo
Kishiki alla akufanyie wepesi yule hana mke hana qur, ana anayo ijuwa zaidi ya utapeli
Masha-allah ❤❤❤❤
Yule dogo anayejiita sharifu anaongozwa na mazinge.Ni wapigaji tu.
Hili yahud linahangaika kweli
Sadakta
Ss we umechupa mipka na ww pia unakosea kwann ukashifuuu mtume hakashif mtu kwani ww malaika una makosa mengi tu na hio shule yako nayo si wanafanya udanganyifu kaa kimya kimya we mxxxw kama mwanamke kila siku fitina tu😒😒😒😒😏😏😏
Wako wapi matabibu hao kama ibn Taymiya twende tukapate tiba? Mkamilifu mkuu ni Allah.
Fuata taratibu za mtume au fuata quraan sio unavo zani au kufikili kwa akili yako
Mtume mwenyewe kakosea mara kadhaa mbona Allah anamrekebisha!!! Sharif wa Masharif kakosea pia. Je mimi na wewe tukikosea ndio dunia kuisha? Tusiwekane TH-cam na mitandaoni kwa kukosea bali kuna njia ya utaratibu mbona.
Huyu shek anaongea km Ana mungu wa kwr daaa kumbe yup kwny din ya mapepo
Kwa mtazamo wako lakin ndo umewaza hvo usitegemee kutukana kwako watakuja waislam kukujibu kwa matusi ..tunaheshimu mawazo yako na tunakupenda embu badilika ndugu yang na uamke katika usingizi huo
Allah katupa chaguo na maono ivo chaguo unalo wewe😢😢
Mwenyez mungu akuongoze cku moja upate kutambua km dini ya kiislamu ndio dini ya haki
Ww ndoo upo kwenye dini ya mapepo
Una akili duni