PART 1: SHEIKH KISHKI achafukwa "wewe sio SHARIF hujui hata surat fat'ha tapeli mkubwa"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 27

  • @nyundotv
    @nyundotv  3 หลายเดือนก่อน +3

    ASANTE KWA KUFUATILIA TH-cam CHANNEL YETU PIA AHSANTE KWA KUTAZAMA VIDEO HII ILA TUNAOMBA USISAHAU KU SUBSCRIBE 🙏🙏🙏

    • @AbdillahMassawe-k3e
      @AbdillahMassawe-k3e 3 หลายเดือนก่อน

      Tatizo mnaweka Matangazo ya Waganga wa kienyeji katika Darsa nzuri kama hizi. Tafadhali msiweke Matangazo ya hao mataperi

  • @Rashdaswafi
    @Rashdaswafi 3 หลายเดือนก่อน +3

    Allah akupe maisha marefuu yenye kherii ndani yake uzd kutuongozaa kweny haki

  • @SakinaHassan-xc2in
    @SakinaHassan-xc2in 3 หลายเดือนก่อน +3

    Allah akuhifadhi shekh nurdini kishki

  • @mrsab303
    @mrsab303 3 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah Allah Procter you InshaAllah ❤❤❤❤❤❤❤

  • @wazirimwanazuoni5567
    @wazirimwanazuoni5567 3 หลายเดือนก่อน +3

    Shukran sana sheikh wetu

  • @fugakwamalengo707
    @fugakwamalengo707 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh sasa hii ndio hoja zinazoitajika Mwenyezi Mungu akulinde kwa herim hii inshallah

  • @omyking4631
    @omyking4631 3 หลายเดือนก่อน +3

    Allah akuhifadhi sheikh kishk

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto4303 3 หลายเดือนก่อน +4

    Allah akuhifadh sheikh

  • @shabaniadam7015
    @shabaniadam7015 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah nazani watakua wameelewa mpka hapo

  • @SalumSaid-w8i
    @SalumSaid-w8i 2 หลายเดือนก่อน

    Kishiki alla akufanyie wepesi yule hana mke hana qur, ana anayo ijuwa zaidi ya utapeli

  • @sayeedmsct4255
    @sayeedmsct4255 3 หลายเดือนก่อน

    Masha-allah ❤❤❤❤

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 หลายเดือนก่อน +4

    Yule dogo anayejiita sharifu anaongozwa na mazinge.Ni wapigaji tu.

  • @AngumbwikeNdumbwinee
    @AngumbwikeNdumbwinee 3 หลายเดือนก่อน

    Hili yahud linahangaika kweli

  • @ShebbyTheparadiso-hf6fz
    @ShebbyTheparadiso-hf6fz 3 หลายเดือนก่อน

    Sadakta

  • @habibujamali5746
    @habibujamali5746 3 หลายเดือนก่อน

    Ss we umechupa mipka na ww pia unakosea kwann ukashifuuu mtume hakashif mtu kwani ww malaika una makosa mengi tu na hio shule yako nayo si wanafanya udanganyifu kaa kimya kimya we mxxxw kama mwanamke kila siku fitina tu😒😒😒😒😏😏😏

  • @Giftedness.
    @Giftedness. 3 หลายเดือนก่อน

    Wako wapi matabibu hao kama ibn Taymiya twende tukapate tiba? Mkamilifu mkuu ni Allah.

    • @RmoShamte-h9f
      @RmoShamte-h9f 3 หลายเดือนก่อน

      Fuata taratibu za mtume au fuata quraan sio unavo zani au kufikili kwa akili yako

    • @Giftedness.
      @Giftedness. 3 หลายเดือนก่อน

      Mtume mwenyewe kakosea mara kadhaa mbona Allah anamrekebisha!!! Sharif wa Masharif kakosea pia. Je mimi na wewe tukikosea ndio dunia kuisha? Tusiwekane TH-cam na mitandaoni kwa kukosea bali kuna njia ya utaratibu mbona.

  • @DaudiMakaza
    @DaudiMakaza 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu shek anaongea km Ana mungu wa kwr daaa kumbe yup kwny din ya mapepo

    • @MohamedWazirisaid
      @MohamedWazirisaid 3 หลายเดือนก่อน +3

      Kwa mtazamo wako lakin ndo umewaza hvo usitegemee kutukana kwako watakuja waislam kukujibu kwa matusi ..tunaheshimu mawazo yako na tunakupenda embu badilika ndugu yang na uamke katika usingizi huo

    • @RmoShamte-h9f
      @RmoShamte-h9f 3 หลายเดือนก่อน

      Allah katupa chaguo na maono ivo chaguo unalo wewe😢😢

    • @hamishussen1589
      @hamishussen1589 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mwenyez mungu akuongoze cku moja upate kutambua km dini ya kiislamu ndio dini ya haki

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi 3 หลายเดือนก่อน

      Ww ndoo upo kwenye dini ya mapepo

    • @medwho959
      @medwho959 2 หลายเดือนก่อน

      Una akili duni