I dont mean to be so off topic but does someone know of a tool to log back into an instagram account? I was stupid forgot the password. I would appreciate any tricks you can give me
NALA. Unatusaidia sana kutuma pesa from UK. Hii story yako ni inanihusu mimi zaidi. I hope after 10 years i will be back to see this comment and believe that this interview has inspired me. GOD IS GOOD.😊
Story yako imejaa ujumbe wa matumaini kwa watu wote wanaoelewa maana ya maisha, pia imejaa ujumbe wa kuufanyia kazi kama Taifa kuhusu Mapokeo ya elimu yetu Tanzania , Tunaamini zaidi matokeo ya mtihani, 1 hali hii inawaacha na kuwakosa vijana wenye uwezo tu mzuri wanazurura mitaani hadi wanachakaa kisa .... walifeli mtihani wa Mwisho wa kuhitimu elimu zao.... Bado kwenye elimu tunahitaji kubadilika na wenye uwezo wa kuwekeza watazame fursa hizi hususani shule za ufundi ili Tanzania inufaike na uwingi wa watu wake ....
Hongera kwakujua sababu zakufeli miaka kumi iliopta,kuvimba ubitozi ulikukosti.wanafunzi eshimianeni mashuleni msvimbe kwakipato cha wazaz wenu mashamba yatawahusu
Kweli hii ya "we dogo usinifundishe kazi niko hapa kwa miaka kadhaa" inaumiza sana na iko sana maofisini. Na ukipiga zaidi utaskia unatafuta kiki n.k. Hatua hizi zinahamasisha. Kwa utaratibu wa sasa wa Mh. JPM kwa kukusanya maduhuri ya serikali nahisi dogo anatufaa sana hapa
Nimejiunga na nala app ni bonge la app, huyu mtoto ni balaa nawaomba wote mjiunge na hiyo app yaani inaeleweka na ni rahisi kuitumia na ipo kama tunavyotaka kiafrika zaidi,
Sasa wew endelea kusoma kujiamn kuwa ndio utafanikiwa kimaisha,,na kadri unavyozidi kuendelea kusoma unapishana na utajiri,,,soma kidogo then zama kwenye kutafta maisha,,,🙏🙏🙏🙏🙏
hapo umetudanganya eti alikuwa wa mwisho darasani, ukweli watu wengi wakifanikiwa sana wanasema mara walikuwa wanakua wamwisho mara ameanza na mtaji wa elfu tatu, sema ulikua wa mwishoniila siowa mwisho, ila hongera sana kwa teknolojia uko vzr kaka
ndo taabu nyingi nchi za kiafrika i hope magufuli hameona hili watu kama hawa wasaidiwe hili na sisi tuwe tunaongoza technology hii kuna baadhi ya viongozi wanamungusha ktk maswali haya
Kwanza nikupongeze Millard kwa interview hizi za mlolongo na huyu kijana Mzalendo sana anae ipenda sana nchi yake Huyu kijana ni lazima azingatiwe kama treasure ya nchi.Mwelekeo wa mafanikio ya nchi ktk karne hii ya 21 ni mapambano ya teknolojia na teknolojia ndio ufunguo wa kila kitu ktk mapambano hayo na ni vijana ndio wanajeshi wazuri wa mapambano hayo Rais wetu mpenda nchi hii na wanawanchi wake nashauri kwamba wakati umeshafika wa kumwita huyu kijana na kukaa nae umsikilize maeazo yake na ushauri wake ktk kuiweka nchi hii ktk nchi bingwa ktk uwanja huu au mapambano haya ya sayansi na teknolojia.Mm naamini hata nchi zingine zinatamani kwamba huyu kijana angekua ni raia wa nchi yao lkn kwa methali ya Kiswahili inayo sema kwamba:"MCHEZAKWAO HUTUNZWA" Kwa hiyo wakati umefika wa kumtunza huyu kijana ktk nchi yake anayo ipenda.
Haven of Peace academy? Familia yako ina pesa bwana. Hiyo shule gharama mno. Lea mwaka sh mil 21.. ndio maana ukatoka mzee. Sio kama sisi bwana.. ila lakini hongera sana kwa kujaribu tena
Millard wewe huwa unaandika vizuri kichwa cha habari na unahoji vizuri hata mtazamaji anafurahi kuangalia interview, ingekua vizuri zaidi interview wanazofanya vijana wako uwe unazipitia wewe mwenyewe na ukiona kuna shida rekebisha alafu upload
Kama tuna viongozi wanao msikia jamaa wafungue milango Kwa wengine coz Kuna a lot of billions Zina potea but it's not matter wale tu, ila vijana wenye ideas wangepewa fursa ya kuwekeza kwenye vipaja vyao ili kufikisha nchi mbali zaidi
Stanford ni miongoni mwa vyuo bora kabisa duniani....kama wamekuita ukafundishe hapo kwao, basi bro wewe una kipawa. Hongera sana Benjamin.
I dont mean to be so off topic but does someone know of a tool to log back into an instagram account?
I was stupid forgot the password. I would appreciate any tricks you can give me
Usizime mshumaa wa mwezako coz haitafanya wa kwako kuangaza zaidi 💪💪💪
Dahl kwel bro manual education ilikushinda ikabidi uende Auto then ukashinda n bd unatushangaza weus
hakika nimeelewa sana hii
Yah!!!
NALA. Unatusaidia sana kutuma pesa from UK.
Hii story yako ni inanihusu mimi zaidi.
I hope after 10 years i will be back to see this comment and believe that this interview has inspired me. GOD IS GOOD.😊
Nimejifunza mengi kuliko umri wng, naamini nitafikia malengo yng 🙏🙏hongera kaka Benjamin
Story yako imejaa ujumbe wa matumaini kwa watu wote wanaoelewa maana ya maisha, pia imejaa ujumbe wa kuufanyia kazi kama Taifa kuhusu Mapokeo ya elimu yetu Tanzania , Tunaamini zaidi matokeo ya mtihani, 1 hali hii inawaacha na kuwakosa vijana wenye uwezo tu mzuri wanazurura mitaani hadi wanachakaa kisa .... walifeli mtihani wa Mwisho wa kuhitimu elimu zao.... Bado kwenye elimu tunahitaji kubadilika na wenye uwezo wa kuwekeza watazame fursa hizi hususani shule za ufundi ili Tanzania inufaike na uwingi wa watu wake ....
Mungu mwenye Enzi, mlinde na kuendelea kumbariki huyu kijana.
Amen
Hakika Mungu ana njia zake za kumuwezesha mtuu kufikiaa malengoo yakoo!!
Kweli
Huwa najifunza Mengi sana kutoka kwako kaka Benjamin .Mungu aendelee kukuongoza
Maisha nisafari hutakiwi kukata tamaa big up sana brother
Uyu kijana amenifuraisha sana, ana mawazo mazuri sana. Vijana kama hawa ndo wanafaa kuwa role models kwa wengine.. safi sana
Nakupenda sana we kaka vile unajua kuongea nakufanya vijana wasikate tamaa bali mungu akubarik zaid ufike mbali zaid ya hapa
halaf wavulana weupe wasaf wanajua kutamba xhulen ameongea ukwel mtupu
I luv his innovation 💥💥💥 tz to the world
Hongera Millard, benji ni noma, kufundisha wazungu sio rahisi.
Benja unadhibitisha ule msemo usemao nabii hakubaliki kwao to me your the best bro
Hongera sana, Mungu aendelee kukuonyesha njia zaidi ili tuendele kujifunza na kuthubutu kupitia mawazo na ushauri wako.Barikiwa sana.
Wewe ni genius Mungu aendelee kukupigania Mr Benjamin 💪🏾♥️
Hongera kwakujua sababu zakufeli miaka kumi iliopta,kuvimba ubitozi ulikukosti.wanafunzi eshimianeni mashuleni msvimbe kwakipato cha wazaz wenu mashamba yatawahusu
Oya we uyu mwamba yupo vizuli guyz kama unamkubali tia like apo
Safi sana. Nimeipenda hii, nimejifunza kitu aisee ...
Hongera sana kaka na pongezi kwa kutokua mchoyo wa maendereo.
Ama kweli mwanadamu hawez kuzuia riziki ya mtu bali anaweza kuichelewesha2,, congratulations Bro,,well done🙏🙏
Hakiii yaa Munguu Munguu hakunyimiii vyoteee akikupaaa ukilemaaa lazimaa atakupaaa naa mwendooo 🎉❤😅😅😂😂 Munguu niii waa ajabuuu xanaaa aiseeeh tuendeleee tuuu kumwaminiii xanaaa yaaaniii ❤🎉😂😅
Nilikuwa sijawai isikia lkn inaonekana ni kitu kizuri milard na benja andaa vipindi vingi zaidi ili wengi waijue
Milard napenda Sana clip zako zinatutia matumaini vijana
Kweli hii ya "we dogo usinifundishe kazi niko hapa kwa miaka kadhaa" inaumiza sana na iko sana maofisini. Na ukipiga zaidi utaskia unatafuta kiki n.k. Hatua hizi zinahamasisha. Kwa utaratibu wa sasa wa Mh. JPM kwa kukusanya maduhuri ya serikali nahisi dogo anatufaa sana hapa
Ila naomba tu kuongezea kwamba Benja nimependa the fact that umerudi Tanzania na umetujengea heshima Tanzania. Una moyo sana. Wengi hawarudi.
Nala iyo unapataje kujiunga
Kiukwel uyo jamaaaaaa nimemuekewa san kwanz ananyoonekan nizaku kubwa god bless you
I wish i had met you 30 yrs ago keep it up, you are wonderful.
If you are #millardAyo fan finya like apo 👍
Diamond Platnumz dew
Simba kacomment
#chibu
mh ni huyu huyu baba tiffa au??????????????
Huwa nakufuatilia toka day one kwa kweli kuna mafunzo makubwa sana ndani ya Maongezi yako.
Bro u are speaking my story..
Second chances are true.
Nimejiunga na nala app ni bonge la app, huyu mtoto ni balaa nawaomba wote mjiunge na hiyo app yaani inaeleweka na ni rahisi kuitumia na ipo kama tunavyotaka kiafrika zaidi,
Hiyo nara kwamtu aliyopo nchini oman je anawezakutumiamtupesa kwanchi ya Tanzania 🇹🇿 ?
Ndugu na0mba nijuze kuhusu nala kama
Spelling zake zkoje
Nisaidie unaiandkaje ili kuidowlod
Akili nyingi 🙌🏾
Mashaallah
M/mungu atujaalie nasisi atuongoze tufikie malengo yetu...
Mmh kk nampenda sanaaaa mpk naumwa
Sasa wew endelea kusoma kujiamn kuwa ndio utafanikiwa kimaisha,,na kadri unavyozidi kuendelea kusoma unapishana na utajiri,,,soma kidogo then zama kwenye kutafta maisha,,,🙏🙏🙏🙏🙏
Huyu Sio Kama hakusoma alisoma na akafeli tena chuo nje ya nchi
Wow u knw am in love with ur determination benjamin we love ur inspiration
hapo umetudanganya eti alikuwa wa mwisho darasani, ukweli watu wengi wakifanikiwa sana wanasema mara walikuwa wanakua wamwisho mara ameanza na mtaji wa elfu tatu, sema ulikua wa mwishoniila siowa mwisho, ila hongera sana kwa teknolojia uko vzr kaka
Kwani we hujaona result yake????
Like apa kama unamkubali Millard apa
He is really inspiring 🙏🙏🙏
Hongera sana 👌🏾👏🏽👏🏽👏🏽❤️🖤🥰
Kaka mirad heshima yako,huyo jamaa Yuko sawa,nikweli vijana wengi hawaja tulia ktk maamuzi na kazi zao
Good!!nidhamu ni kila kitu ktk maisha
Great idea
nakubali sanaa bro
ndo taabu nyingi nchi za kiafrika
i hope magufuli hameona hili watu kama hawa wasaidiwe hili na sisi tuwe tunaongoza technology hii
kuna baadhi ya viongozi wanamungusha ktk maswali haya
Asaidiwe nini labda
Naomba namba ya simu ya ndugu Benjamin Ana mambo mazuri ya kujifunza kwake
Great Innovation
asia walls sory innovation n nn
@@erickjulius8644 discovery
safi benj
Hongera dogo
Big up
dah kama ni kweli hakika historia yako ni inanisisimua
Hili ni zari aisee, jamani very impressive... aminia
Hongera kaka
Hongera sana.
We dogo usinifundishe Kazi nipo hapa Kwa miaka 20! Huku kujimwambafai😭😭.
Nidhamu 📌
big up brother
aaaaaaaaaaaaaah hii interview nzuri sana
Duh nimependa kuona hii interview ingawa nimechelewa kuipata
Mimekubali sana mr
Kwanza nikupongeze Millard kwa interview hizi za mlolongo na huyu kijana Mzalendo sana anae ipenda sana nchi yake Huyu kijana ni lazima azingatiwe kama treasure ya nchi.Mwelekeo wa mafanikio ya nchi ktk karne hii ya 21 ni mapambano ya teknolojia na teknolojia ndio ufunguo wa kila kitu ktk mapambano hayo na ni vijana ndio wanajeshi wazuri wa mapambano hayo Rais wetu mpenda nchi hii na wanawanchi wake nashauri kwamba wakati umeshafika wa kumwita huyu kijana na kukaa nae umsikilize maeazo yake na ushauri wake ktk kuiweka nchi hii ktk nchi bingwa ktk uwanja huu au mapambano haya ya sayansi na teknolojia.Mm naamini hata nchi zingine zinatamani kwamba huyu kijana angekua ni raia wa nchi yao lkn kwa methali ya Kiswahili inayo sema kwamba:"MCHEZAKWAO HUTUNZWA" Kwa hiyo wakati umefika wa kumtunza huyu kijana ktk nchi yake anayo ipenda.
Hamis Mamba true fam
kumbuka Nabii hakubaliki kwao
Umetisha mbaya
Benjamin wewe ni shujaa wa Imani
Kuzima mshumaa wa mwenzako hakufanyi wako uangaze zaidi
Noted bro
Congratulations
Well noted...!
Naitaji mtu wa kunilipia ada
Kaka ongera sana you have surprise us
Tuunge mkono mzarende wa ukweli
Sik hizi kiswhili chake kimetulia, hongera sana
Kiswahi cha kibara sio cha kizanzibari
@@ramaally9873 angalao hichohicho cha kibara hicho si haba
@@hadijamandanje6189 kweli wakenya wanakiusudu
Huyu jamaa huwa namuelewa San kwakwel
Hiyo ni hekima ya Mungu.
Weegodo usinifundishe kazi nipo a pa kwa myaka 22 inauma sana
Huyu si kama alikuwa hafahamu au haelewi ila alishughulika na mchezo yaani alikuwa anachukulia poa shule haku focus lkn anaakili sana
Haven of Peace academy? Familia yako ina pesa bwana. Hiyo shule gharama mno. Lea mwaka sh mil 21.. ndio maana ukatoka mzee. Sio kama sisi bwana.. ila lakini hongera sana kwa kujaribu tena
Very inspiring
respect brother
nasikia ngoma la geeva
Nimejifunza kitu kutoka kwako Benja.
safi sana
Millard wewe huwa unaandika vizuri kichwa cha habari na unahoji vizuri hata mtazamaji anafurahi kuangalia interview, ingekua vizuri zaidi interview wanazofanya vijana wako uwe unazipitia wewe mwenyewe na ukiona kuna shida rekebisha alafu upload
Godfrey Sangu sure uko sahihi
yup vijana wake wanazingua sana.baadhi ya post zao sio level ya millard ayo.
Yo bro🙌
Usihofu kuhusu Taifa lako Mungu yu pamoja
Bro umebarikiwa Sana, xjajua wengine hizo akili tunapishana nazo wapi, any way mungu azidi kukubariki ndugu
Mdogo wangu nakukubali
congrats bro
kaka we ni nyota angavu kwenye kiza kinene. we endelea na unachoamini tunakukubali sana
i love this guy
Wanna wote wa pangani tujuane kwa like
how about in Apple store Ben,
Hapa kwetu ni siasa tu
Njoo na pwani bhna tunaitaj nguvu yenu waandash wa abar
Alichoongea Benja ndiyo ugonjwa wa watu wasiotaka kujifunza kutoka kwa wengine. Watu wanajifanya wanajua kumbe hawajui chochote na kujifunza hawataki
Ndg usikate tamaa serikali itakuona!!
Millardayo pigia kelele inshu ya paypal tuweze kupokea pesa online
Paypal inatukwamisha sanaa tz
Nakupongeza sana kijana kwa hatua uliyofikia
Kama tuna viongozi wanao msikia jamaa wafungue milango Kwa wengine coz Kuna a lot of billions Zina potea but it's not matter wale tu, ila vijana wenye ideas wangepewa fursa ya kuwekeza kwenye vipaja vyao ili kufikisha nchi mbali zaidi
Nmeipend lkn sjaelewa najiungaje kwenye hlo shindano
Radhia Athuman download app ya nala kwenye playstore.
@@samuelmwambashi4168 sw najarbu niandikeje ss hapo ndosjaelewa nara hvo t mbona zinakja nying ss sjajua ip sahihi
Nitafute kwa namba hii plz 0785132127
Mwambashi naomba nitafute
Jaman Millard hayo maziwaa