Kampuni ya Mtanzania, Benjamin Fernandes, NALA yakusanya TZS Bilioni 106 za uwekezaji/mtaji

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

ความคิดเห็น • 70

  • @faridhamad3678
    @faridhamad3678 3 หลายเดือนก่อน +17

    Maa shaa Allah Kijana kapambana sana Allah azidi kumfungulia Rizki yake ili azidi kua Asbaab ya wengine kupata Rizki inshaa Allah.

  • @raymrash
    @raymrash 28 วันที่ผ่านมา

    God bless this man more and more ❤🙏

  • @marrypius576
    @marrypius576 3 หลายเดือนก่อน +9

    Ongera zake kijana anapambana sana Mungu akuongoze

  • @kalfohuncho7356
    @kalfohuncho7356 3 หลายเดือนก่อน +7

    Idol🙌🇹🇿

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 3 หลายเดือนก่อน

    Pongezi nyingii kwako mjasiliamari Mtz mwenzangu kwa mapito ya kampuni yako. Waliouchukulia duni mwanzo wako taarifa hii ni adhabu tosha na fundisho kwa wengineo, bila kusahau hii ni motisha kwetu tunaojitafuta tukingali na mwanzo hafifu Sana.

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador954 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana kwake jamaa anatuwakilisha vyema sana nje ya nchi

  • @jengainavyotakiwa
    @jengainavyotakiwa 3 หลายเดือนก่อน

    Hongereeni sana kwa hatua mliofikia, haikuwa rahisis

  • @shaban6644
    @shaban6644 3 หลายเดือนก่อน

    At the same Time anatangaza Nchi Yetu Kwa ukubwa Sana.
    Proud of You as Tanzanian.

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai7006 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana🎉🎉🎉🎉

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq 3 หลายเดือนก่อน

    Amani ya nchi ndio msingi wa maendeleo ya Kila Mmoja bila amani hakuna maendeleo respect🔥🔥🔥🙌🙌🙌

  • @zakayodismas251
    @zakayodismas251 3 หลายเดือนก่อน +8

    Hiyuu jamaa baada ya miaka kadhaa ni bilionea ajayee

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 3 หลายเดือนก่อน

      Tunge kuwa tumwekea mazingira hapa ndani, huo utajiri ulikuwa wetu wote. Si ajabu kasajiliwa nje.

  • @aminaali792
    @aminaali792 3 หลายเดือนก่อน

    Maa sha Allah Nala has good rates 👌🏼😍😍

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa alitakiwa awe pale TRA awatengenezee mfumo mzuri wa kukusanya kodi na hatimaye kodi ipungue ili kila mtu aweze kulipa kirahisi na kampuni yake hiyohiyo ya NALA lakini utasikia tuna watalaamu wetu

    • @raymrash
      @raymrash 28 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

  • @patrickmulonda9710
    @patrickmulonda9710 3 หลายเดือนก่อน

    Ni company nzuri sana kabisa, hata sisi tuliopo hapa ulaya tunaitumia

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 3 หลายเดือนก่อน +1

    Bilionea mtarajiwa Afrika

  • @BARAKA-ns3jv
    @BARAKA-ns3jv 3 หลายเดือนก่อน +4

    Tunaomba ufanye naye interview

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 3 หลายเดือนก่อน

    Niliwaona mbali sana NALA, kutokana na technologia yao isio ya mitandao ya sim. Lakini nikawa na shaka juu ya Fernandes kufadhili mambo ya ukiukwaji wa misingi ya kuishi kiuumbwaji, hilo bado naliangalia kwa jicho pana sana. Lakini hiyo kampuni ni safi na nia ya muanzilishi ni njema, katika maelezo yake.
    Ni moja kati ya watu naowafatlia sana, na ninaona wana kitu cha kuinufaisha nchi yetu.

  • @othmanibnabdullah
    @othmanibnabdullah 3 หลายเดือนก่อน +3

    Hadi Raha

  • @JosephMovin
    @JosephMovin 3 หลายเดือนก่อน

    One day❤

  • @hafidhyakoub8369
    @hafidhyakoub8369 2 หลายเดือนก่อน

    Canada haufanyi kazi mbona huo

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 3 หลายเดือนก่อน

    Tanzania imejaa watu wenyeh taaluma na techilogia ya juu 😊

  • @Sonier_Bright
    @Sonier_Bright 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wow❤

  • @mrshazychannel3359
    @mrshazychannel3359 3 หลายเดือนก่อน +2

    Fernandes the super hillo of tanzania

    • @twalibulomy-cd4zd
      @twalibulomy-cd4zd 3 หลายเดือนก่อน

      Ongea kiswahili pumbu ww. acha ulimbukeni.

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 3 หลายเดือนก่อน

      Super Hiro huku tulimkimbiza nyumbani

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 3 หลายเดือนก่อน

    Ni washenzi sana

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 3 หลายเดือนก่อน +3

    Isogezeni nchi zote za SADC

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 3 หลายเดือนก่อน +1

      Tukumbuke hapa alikutana na mizengwe, akakimbia.

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 3 หลายเดือนก่อน

    Mtoto wa Mchungaji Ferdinandez huyo wa ATN aisee, kumbe NALA ni ya kwake!? natumia NALA sana kutuma pesa Tz kwa familia kutoka huku Scotland

  • @BongoPlatformTv
    @BongoPlatformTv 3 หลายเดือนก่อน

    Jiulize kwa nn wengi wakianza kifanikiwa wanahamia nje,.?

  • @johnmessi6831
    @johnmessi6831 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona nala haipo Israel 🇮🇱? Tuna pasta shida kutuma pesa

  • @Justin2023-M
    @Justin2023-M 3 หลายเดือนก่อน

    Top 10 nami nimo kwakutumia Nala kutuma pesa home 🎉 kama na ww upo Top 10 like hapa 😮🇹🇿🇹🇿

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi nipo Germany 🇩🇪 natumia nala kutuma pesa nyumbani ipo fasta mno nikajua mmiliki wake ni m nigeria 🇳🇬 kumbe mtanzania? Na ndomana hua wananitumia text wananiekea na maneno ya kiswahili

    • @PuzzleMc-zp2lg
      @PuzzleMc-zp2lg 3 หลายเดือนก่อน

      Ila mbona wa tz wenyewe sio mtu mweusi 😢

    • @salimali-rf9er
      @salimali-rf9er 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@PuzzleMc-zp2lgkwani mtu mweusi tu k mm wewe ndio mm mtanzania peke yake, ondosha fikra na mawazo mgando ktk akili yako, hebu isome history ya Tanzania utajuwa ina watu wa aina gani na gani

  • @dareplatform8784
    @dareplatform8784 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu anae andika title ni nan😂😂😂😂 uwezekaji ?????!!!!!

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns 3 หลายเดือนก่อน

    Ila mtambue kampuni si ya Tanzania kwasababu ya kutokuwa na maono, bali tunajua rushwa tuu

  • @Mr-GMB
    @Mr-GMB 3 หลายเดือนก่อน

    Ofisi ziko wapi hapa Tanzania?

    • @salvadorinc
      @salvadorinc 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ofisi za Nala zipo Nairobi 🤣Tz walileta ungese

    • @Mr-GMB
      @Mr-GMB 3 หลายเดือนก่อน

      @@salvadorinc aisee

    • @salvadorinc
      @salvadorinc 3 หลายเดือนก่อน

      ndio nchi yetu hio 😂 Kuna interest binafsi sana

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 3 หลายเดือนก่อน

      Wakati mwingine sio interest, ni uelewa uko chini. Kuna chimbo unaweza liona ukajiuliza kwa nini tunazubaa, baadae tunatukanana tu. App ya tz nyingine inayotikisa duniani ni Skyline and logistics. Hivi vitu Mungu anatupa vitusadie. Hajabu tuna tabia ya kuchelewa.

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 3 หลายเดือนก่อน

    Siyo MTANZANIA huyo😢

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu kijana Nakuona Niaka ijayo Atakuja kuwa Tajiri no 1 Tanzania Benjamin ni hatari

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ 3 หลายเดือนก่อน

    🚀🚀🚀🚀🚀🚀

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana lkn kitu chochote marekani akiwa mshirika wako ujue ataleta matatizo tu hivyo kuwa muangalifu

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 3 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅😅😅 khaaa. . Small minds mna shida sana

    • @DafiMohamed-dz8xk
      @DafiMohamed-dz8xk 3 หลายเดือนก่อน

      @@rebbywealth9869 mimi small minds lkn nakubali lkn ndio huo ukweli huo wewe c ndio Manager wake

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 3 หลายเดือนก่อน

      Ndugu msichama akiwa mrembo, vijana wa kiume wa karibu wasione uzuri. Kuna shida kijana kumposa?. Hayo mataifa wanasaka fursa. Wakikuta mmezubaa wanachukua. Utasema naandika nini. AI na fursa zake hapa ndani ni kama hatuji ndiyo maana hakuna uwezeshaji wa kitaifa. Hivi vitu vina gharama. Na Kwa sababu hatujali watu kama hao wanakimbiza utajiri kwenye mataifa mengine. Tutasubiri kushangilia tu. Mfano mwingine kuna kampuni ya RADELIFAME unaitwa Skyline and logistics wasafirishaji wa mzigo tz wameanza kutumia, na umesajiliwa nchi 193. Mataifa makubwa na jumuiya za kiuchumi zinaangaika kuwachukuwa. Hapa tz Sina hakika kama tunajuhudi za kuweka mazingira ili nao wasikimbie kama NALA. Hayo mambo ya mifumo makampuni ya ndani kama hayo yanaweza kutengeneza mifumo. Ya kila aina bila kutoka nje

  • @Qqambaa
    @Qqambaa 3 หลายเดือนก่อน

    Fanandez ni msomali mwenzangu cio

    • @samiraabdimahamed4449
      @samiraabdimahamed4449 3 หลายเดือนก่อน

      Peleka Ushamba mbele , usomali nini umeleta hapa, akili za matakoni 😂 sasa siungeenda Somali, kwa nini uko TZ ??? Kijana amesema yeye ni Mtanzania alafu wewe unakuja kumtafutia kabila😒

  • @majalaworldwide
    @majalaworldwide 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona una ipromote nala wakati hata tanzania haipo na haifanyi kazi

  • @TUMAINIMWILILA
    @TUMAINIMWILILA 3 หลายเดือนก่อน

    Kwahio tz amebaniwa si ndio

  • @majalaworldwide
    @majalaworldwide 3 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂 kijana wa kitanzania harafu tanzania hamna nala😂😂

    • @iganizarichard8197
      @iganizarichard8197 3 หลายเดือนก่อน +1

      Inafikilisha sana aisee

    • @ShukranMwakyambo
      @ShukranMwakyambo 3 หลายเดือนก่อน

      Nimecheka

    • @ce-08
      @ce-08 3 หลายเดือนก่อน

      Masikio yenu wote hayasikii msikilizeni tena alichosema Fred Bundara alishajaribu Tz
      alaf huyo ni mfanya biashara sio tu unaweka Tz kisa kwenu je itakulipa au utaendesha kwa hasara mbona Kuna baadhi ya watu wanamahotel makubwa dar na wengine had nje ya nchi unahis walishindwa kufanya kwenye mikoa waliyotokea au kuzaliwa wameangalia kwanza faida wap watakuwa na soko maana unaweza ukafungua kwenu na biashara ikafa kwa kukosoa wateja au wateja kuwa wachache alafu gharama za uendeshaji zikawa kubwa ikawa ni sawa na kujaza maji kwenye tenga😅

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@iganizarichard8197Ni mtanzania kweli ila kampuni kaisajili Kenya maana aliona bongo longolongo nyingi aliona(kiufupi sheria zetu sio rafiki sana)

  • @MsangoDiesel
    @MsangoDiesel 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kijana anapambana kukuza biashara huku vijana wanakunjwa pombe kali na kubashiri michezo wakitoka hapo wanaenda kuvhukua mafuta ya upako na reso.godbesss

    • @wazarendotv7966
      @wazarendotv7966 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @wazarendotv7966
      @wazarendotv7966 3 หลายเดือนก่อน

      Umenichekesha snaa 😂😂

    • @MsangoDiesel
      @MsangoDiesel 3 หลายเดือนก่อน

      @@wazarendotv7966 ndio ukweli vijana wamechoka wanamka wanakula kande harafu wanashusha viroba matajiri watatuacha mbali sisi tukajaze fomu kwa manabii wa michongo

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 3 หลายเดือนก่อน

      Hata china, vijana wanakunywa. Shida ni wabunifu wetu kutowapa uwezeshaji. Na kutoona bunifu zao ni uchumi wetu sote. Huyo kijana ukumbuke alishasema, kwamba hapa nyumbani alikutana figisu. Hivyo kampuni yake si ajabu hati miliki ya huo mfumo. Kafanyia taifa jingine. Tuliona kampuni nyingine ya Tz kule Al Jazeera, ikipewa sifa ya ugunduzi wa mfumo wa robot kujifunza au adaptive learning. Pia wametengeneza mfumo wa skyline and logistics. Unarasisha usafirishaji wa mzigo, nchi kavu, makini na nchi kavu. Na wanaunganisha huo mfumo kutumika nchi 193 duniani. Huduma yao inapatikana kiganjani. Pengine kwa nini wanajulikana kwenye vyombo vya kimataifa sisi hapa hatujui? Kama ni kampuni iliyossjiliwa tz, itavuna pesa ya kigeni kuleta tz kiasi gani? Sisi kama taifa tunafanya nini kuhakikisha, lengo la kuleta utajiri nyumbani tz linafikiwa?

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 3 หลายเดือนก่อน

      Adoption category ya jamii inaonyesha wabunifu ni chini ya Asilimia mbili. Vijana hawawezi kuwa na ubunifu kama NALA. Ila ubunifu huo wa NALA inatakiwa utumiwe kuzalisha ajira mamilioni. Changamoto si vijana kuelewa. Kuelewa ni kiashiria cha tatizo. Mfano NALA mfano alifanya tz ndiyo makao makuu ya kampuni yake, pesa itakusanywa kote huko duniani na kuja ndani. Ikifika ndani itawekezwa kwenye vitega uchumi vingine ajira za hao vijana zitapatikana. Tutajikuta tunabadilisha jina kutoka walevi kwenda wanywaji. Analysis nzuri NALA itatoa ajira ngapi, kodi kiasi gani?. Changamoto zipi zinazo kabili sekta hii, ili huu utajiri wtz wenzentu wakimbizie nje. AI duniani inaenda kwa kasi sana. Hapa Ziko changamoto zipi za ki sera?. Tunaweza kupunguza vijana walevi kwa kuwawezesha kujishughulisha na fursa zilizopo. Sio mtindo huu. Ambao mtu uchukua mti mrefu au fimbo ndefu kugeuzia au kusukumia mzogo. Tatizo la vijana si lao wenyewe kwa kiasi kikubwa. Sisi tunajikataa mfano hai ni huo. Kitabu. The ecomoc of Trust. Kuna neno wivu ukiwa utamaduni wa taifa mmmm