Nyisake Chaula_Historia

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 80

  • @neemanyagawa9479
    @neemanyagawa9479 6 หลายเดือนก่อน +3

    NAMPENDA MNO mimi Mama Bishop. Kutoka moyoni . Ushuhuda wà Mbinguni huwa nikiusikiliza Natetemeka mnooo

  • @NjagiJohn-rd9vb
    @NjagiJohn-rd9vb หลายเดือนก่อน

    Naomba niulize...haya maono ulionyeshwa mwaka gani...sababu mm niliyaona kwenye mkanda mwaka 2019

  • @EdomMwaihojo
    @EdomMwaihojo หลายเดือนก่อน +1

    Nakumbuka nikiwa nasoma chuo cha uwalimu TUKUYU TTC 1995 alikuja kushuhudi habari za kuzimu na Yerusalem mpya. Naam kuanzia hapo sijasahau na MUNGU amekuwa akitenda kitu kwangu.

  • @GraceOtieno-vo3sj
    @GraceOtieno-vo3sj 3 หลายเดือนก่อน +2

    Surely Our God is a destiny keeper

  • @user-uz7kv2nj9o
    @user-uz7kv2nj9o 6 หลายเดือนก่อน +2

    Ubarikiwe sana mtumishi tangu nikufahamu huku mtandaoni sijawai kujuta zaidi nakuwa kiroho

  • @giselemwenge6225
    @giselemwenge6225 6 หลายเดือนก่อน +2

    Nakupenda sana mama nafata mahubiri yako nikiwa congo goma, mahubiri yako yana niimarisha zaidi, Mungu akutiye nguvu .

  • @fredericinteyiteka4234
    @fredericinteyiteka4234 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu niwaajabu

  • @blessingfavour3198
    @blessingfavour3198 6 หลายเดือนก่อน +3

    I had missed you so much mum, love you so much ❤. From Kenya.

  • @neemasanga5333
    @neemasanga5333 6 หลายเดือนก่อน +2

    MIMI NILIMUONA MWAKA 97
    ISANGA KWENYE MKUTANO
    WA YULE MZUNGU ANAYESHI
    ARUSHA NIMEASAHAU JINA
    LAKE NA MIMI NILIKUWA MDOGO NA NIMEOKOKA, TANGU NA HAPO NIKAWA NA
    HOFU YA MUNGU SITA KUSAHAU, USHUDA WAKO
    ULINIBADISHA SANA KWA MUDA🙏.

  • @paulinemutuku2867
    @paulinemutuku2867 5 หลายเดือนก่อน +1

    I get encouraged when i listen to you servant of God.
    Mimi ni mkenya,pole kwa yaliyokupata ulipokuwa Nairobi. Tusamehe tafadhali naomba kama mkenya.Mungu akubariki.

  • @lydiabenjaminmgalula6189
    @lydiabenjaminmgalula6189 22 วันที่ผ่านมา

    Mungu akutunze mamayetu🙏🤝🤝

  • @user-md7bq3ew4e
    @user-md7bq3ew4e 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asante mtumishi wa MUNGU nilikuw nahitaji kufahamu juu ya sisi wanawake kulihubiri neno la Mungu Asante sana nimeelew barikiwa sana

  • @user-jc5uc6ds6n
    @user-jc5uc6ds6n 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu nimwema sana ushuuda wako umenitia nguvu Mungu azidi kukuinua samahani naomba mawasiliano yako Mtumishi

  • @christinephilip5043
    @christinephilip5043 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hallelujah ninamtukuza MUNGU sana kwaajiri yako mama ninajifunza mambo mengi sana kupitia wewe Bwana azidi kukutumia ninakupend mno❤❤❤

  • @MelanieNyota-qx4ru
    @MelanieNyota-qx4ru 3 หลายเดือนก่อน +1

    Âmen mungu akubariki sana umenijenga sana mutumishi wa mungu uongezewe mufuta ya kiroho mimi ni mujakazi Nyota kutoka kongo province ya Kivu ubarikiwe

  • @stephenmwanza6905
    @stephenmwanza6905 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki mtumishi ushuhuda wako unitia machozi nikikubuka vile nami nilijaribu kukwepa kuwa mchugaji nilipeda uijilisti kama wewe lakini sasa ivi niko na kanisa toka 2020,nilikua kwa mkutano wako Nairobi 2016,cd zako nilizitoa you tube nikabariki watu nazo sana bila kulipisha wasikie kuhusu kuzimu na Yerusalemu mpya

  • @godsfavour1603
    @godsfavour1603 6 หลายเดือนก่อน +2

    I love this woman of God,her preaching are very powerful and you would feel the presence of God around..kwa wale wanapenda kusema mwanake astahili kuhubiri please Mungu anatumia pia wanawake kuhubiri neno lake..
    Barikiwa sana mummy watching from Saudi Arabia

    • @nyisakechaula9433
      @nyisakechaula9433  6 หลายเดือนก่อน

      YOEL 2::28-29 .ANASEMA WATUMISHI WANGU WANAUME KWA WANAWAKE

  • @andrewmaziku4671
    @andrewmaziku4671 6 หลายเดือนก่อน +1

    Amen mama na askofu nazidi kujifunza Mengi kwako ,Yesu aendelee kukutetea ,nakuombea kwa Mungu

  • @marymwapiya1274
    @marymwapiya1274 6 หลายเดือนก่อน +3

    Amen Mungu kwa kweli ni mwema pia kuna mtumishi Rachel Mushala na yeye alipewa maono na mdogo wake kama yako,anasema yeye alikuwa ndiyo mchanga kiroho akaenda kuwaambi wale walio kaa kwa mda mrefu kile ameona anasema huyo mchungaji akamwambia hilo ni pepo siyo Mungu anasema walimvunja sana moyo anasema akaamua kufunga kumuuliza Mungu kama kweli ni yeye huku akilia sana anasema akiwa kwenye benji akiomba Bwana Yesu alishuka na kumthibiti kuwa ni yeye na akamkubatia akamtia moyo anasema hapo ndipo nilipata nguvu . Pia kuhusu mavazi sasa wao walikuwa wanavaa vinguo vifupi na kujipamba Bwana Yesu aliwaambia waache kabisa na kusuka wanasema chuoni walitengwa na marafiki wakawa wanawaambia wanavaa kama wazee kwa kweli ukiitwa na Mungu utapitia kipindi kigumu kwa muda mpaka wakuzoe .Mungu akutunze uwe na mwisho mwema .

    • @imakimaro69
      @imakimaro69 2 หลายเดือนก่อน

      Dunia nzima aliyeona hayo maono ni nyisake chaula hamna mwingine

    • @sekelamwasipaja-ue3zl
      @sekelamwasipaja-ue3zl หลายเดือนก่อน

      Usiseme hivyo hata wewe pia Mungu aweza sema nawe​@@imakimaro69

    • @protasluambano
      @protasluambano 7 วันที่ผ่านมา

      Hope and blessed tv wishing all you the best. Go on don't give up Be blessed sister. Amen

  • @esthermliga4875
    @esthermliga4875 6 หลายเดือนก่อน +1

    Amen amen mtumishi wa Mungu, nimebarikiwa sana na ushuhuda wako

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 6 หลายเดือนก่อน

    Kwakwel nimeajiriwa na mbingu nlkuwa napata maswali hapa umenifungua sana..... Barikiwa mama mzuri nimekushtukiza tokea mwaka 2005 nlipoona ushuhuda wako wa mwaka 1991 Bwana Yesu akazid kukutumia ipo siku nitakutana nawe.

  • @ChescoMartin-ni3ql
    @ChescoMartin-ni3ql 6 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu akuzidishie neema mama kwa utumishi mwema

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nmepata kitu cha kunivusha kwakwel.... Ubarikiwe sana

  • @FilimenaMbilinyi-rh5om
    @FilimenaMbilinyi-rh5om 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kweli tumemuona Mungu kupitia wewe mtumishi ubarikiwe sana.

  • @tausimwinuka
    @tausimwinuka 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika Nauona Wema wa Mungu🎉 Ubarikiwe sana Bishop...

  • @EmilyAkinyi-cg2cu
    @EmilyAkinyi-cg2cu 6 หลายเดือนก่อน +1

    Amen mtushi wa mungu nakupenda sana kutoka kenya

  • @samwelibenson1802
    @samwelibenson1802 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ameni ubalikiwe sana bishop history inajenga sana.

  • @christeternallifetv5959
    @christeternallifetv5959 6 หลายเดือนก่อน +2

    Ubarikiwe mama nimejifunza jambo

  • @annapeter1280
    @annapeter1280 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda mama mm nipo Arusha nimekujua uku kwenye mitandao

  • @beatricegerald7253
    @beatricegerald7253 6 หลายเดือนก่อน +1

    Amen mama ubarikiwe sana nimejifunza sanaa

  • @hadasafesto6111
    @hadasafesto6111 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe sana mama. Nabarikiwa sana.

  • @protasluambano
    @protasluambano 7 วันที่ผ่านมา

    MUNGU AKUJALIE NEEMA ZAIDI USONGE MBELE.

  • @AgnessIbrahim-nt1kr
    @AgnessIbrahim-nt1kr 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana Bishop, kiukweli nimekupenda sana

  • @pastoreskakachaula4684
    @pastoreskakachaula4684 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kweli uchungaji ni KAZI...

  • @juddexoloro5881
    @juddexoloro5881 6 หลายเดือนก่อน +1

    SHALOM MUM, HAKIKA MINAE MUNGU ANIKUMBUKE TAWI MOJA LIWE KENYA KUPITIA NADIRI YANGU NA MUNGU KWA UPANDE WANGU KUTOA KIWANJA NIKIJA KENYA, IN JESUS'S NAME AMEN

    • @nyisakechaula9433
      @nyisakechaula9433  6 หลายเดือนก่อน +1

      Amen amen mtumishi wa Bwana

    • @juddexoloro5881
      @juddexoloro5881 6 หลายเดือนก่อน +1

      @@nyisakechaula9433 mum natamai hiyo jina kwa kweli wacha Neema itoshe ipo siku moja itatendeka kwa kibali kutoka kwa Mungu, Shalom

  • @user-er5hr1od6k
    @user-er5hr1od6k 5 หลายเดือนก่อน +1

    Amen Amen Amen 🙏

  • @graceken3295
    @graceken3295 6 หลายเดือนก่อน +1

    Amen..mungu akubariki Sana umekuwa msaanda katika maisha yangu😢

  • @user-er5hr1od6k
    @user-er5hr1od6k 5 หลายเดือนก่อน +1

    Amen Amen 🙏 ❤

  • @happydaud3639
    @happydaud3639 6 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani naomba mnisaidie kunijibu kanisa la mtumishi wa Mungu huyu lipo sehemu gani

  • @rebeccamabala-buildingthek6745
    @rebeccamabala-buildingthek6745 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mama niliokoka kwa maono yako..wewe ni mama kwangu

  • @remynemerimana7791
    @remynemerimana7791 5 หลายเดือนก่อน +1

    Fika Burundi napo Nyisake.

  • @pastoreskakachaula4684
    @pastoreskakachaula4684 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asante mama kwa kazi njema...
    Heri ulikubali wito mama...
    Tunajifunza mama...

  • @MichaelChanya
    @MichaelChanya 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mchungaji Mungu azidi kikutia nguvu. Samahani nawezaje kupata kitabu chako Cha ushuhuda wa maono ya Jehenam na yerusalemu mpya???Mi nipo mafinga iringa.

    • @nyisakechaula9433
      @nyisakechaula9433  6 หลายเดือนก่อน

      Kitabu kipo ila kinapatikana Mbeya

    • @MichaelChanya
      @MichaelChanya 6 หลายเดือนก่อน

      @@nyisakechaula9433 naweza kutuma pesa afu nikatumiwa kwa njia ya gari kikanifikia hapa mafinga.

    • @MichaelChanya
      @MichaelChanya 6 หลายเดือนก่อน

      @@nyisakechaula9433 kama Kuna uwezekano nitaomba mawasiliano ya simu ili niweze kutuma pesa.

  • @gidionmheni3165
    @gidionmheni3165 6 หลายเดือนก่อน

    Woow Groly to God, Safari yako mama etu Ina tutianguvu na kutupa hamasa ya kumtumikia Mungu zaidi🔥🔥🔥🔥🙏

  • @mussatete2618
    @mussatete2618 6 หลายเดือนก่อน +1

    Igoma,Kikondo, Kituro,Ujune,Isapulano,Makete,Ikonda,nk

    • @nyisakechaula9433
      @nyisakechaula9433  6 หลายเดือนก่อน +1

      Isapulano ndio kwetu ubarikiwe

    • @mussatete2618
      @mussatete2618 6 หลายเดือนก่อน +1

      Amina Mtumishi. Mimi nyumbani Ikonda, Isapulano hapa napita karibu Kila siku, kwa week naweza nisipite mara moja au mbili. Karibu sana Ikonda🙏🙏

  • @flm1530
    @flm1530 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ameen mtumishi mbona mm niliomb ujazo wa ROHO ila kuna siku nikiwa mlimani ilinijia hali ya kunena nikazuia haijaja tena mpk leo sijui ndo nmejazwa ROHO au bado

    • @nyisakechaula9433
      @nyisakechaula9433  6 หลายเดือนก่อน

      Ulikuwa unaomba ujazwe halafu ukaizuia ilipokuja?

    • @flm1530
      @flm1530 6 หลายเดือนก่อน

      @@nyisakechaula9433 nilikuw naomb km siku zote ila sikuwa naomba ujazo wa ROHO MTAKATIFU siku hiyo ndo wakat nnaomba nikakamatwa kinywa nikaona km kun mtu anaongea ndan yangu maneno nisiyoyaelew nikawa na furah lkn nikajizuia nisiendelee kuomba tangu siku hiyo haijaja tena ni miaka sita sasa nilifunga siku tano kumsihi MUNGU anijaze lkn ht hivyo haikuja tena mpak leo

  • @EdwinMbwilo-fj6bf
    @EdwinMbwilo-fj6bf 6 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba mawasiliano

  • @4kstudios536
    @4kstudios536 6 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤

  • @sophiamarwa5424
    @sophiamarwa5424 6 หลายเดือนก่อน +1

    ❤✍️

  • @diabae-qp1oq
    @diabae-qp1oq 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mama ni nikombeya hapa natamani nijekanisani kwako nipo hapa ccm

    • @nyisakechaula9433
      @nyisakechaula9433  5 หลายเดือนก่อน

      Nipo uyole unapanda daladal za uyole Nsalaga unashukia stendi ya usangu utakuta bajaji panda zinazoenda machinjioni waambie wakushushe kanisa la Shalom

    • @diabae-qp1oq
      @diabae-qp1oq 5 หลายเดือนก่อน

      @@nyisakechaula9433 amina

    • @NjagiJohn-rd9vb
      @NjagiJohn-rd9vb หลายเดือนก่อน

      Naomba niulize...haya maono ulionyeshwa mwaka gani...sababu mm niliyaona kwenye mkanda mwaka 2019

  • @pastoreskakachaula4684
    @pastoreskakachaula4684 6 หลายเดือนก่อน +2

    🇹🇿🇹🇿🔥🔥🇹🇿🇹🇿

  • @annapeter1280
    @annapeter1280 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda mama mm nipo Arusha nimekujua uku kwenye mitandao

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga 6 หลายเดือนก่อน +1

    Niombee kwa Mungu wako namiminiwe imara kamawewe