😭😭😭jamani haya yote nikwaajili ya ushuhuda wa jehanam ndio shetani aliamua haya yote mpaka mtumishi unakua kicheko ati anaombea wengine naameshindwa na kwake pole sana kweli umepitia
Mimi nimelia nikimshsngaa Mungu,maana alikuwa na uwezo wa kuumba moyo upya na usiwe na tofauti na Moyo wa mtu mwingine,lakin Mungu akaotesha mishipa mwingine ili watalaam wachanganikiwe kwa sababu hawajawahi ona wala sikia,oooooh!!!haleluya utukufu ni leaked aliye juu Ameen.
Amina dada. Shetani alikuwa na nia ya kukuangusha kihuduma. Lakini neno la Mungu si la binadamu. Nami nilifanyiwa muujiza wa uponyaji wa binti yangu akiwa na tatizo la matundu kwenye moyo na mishipa iliyofeli. Jina la Bwana lihimidiwe sasa na hata milele.
Amen mama Mutumishi wa MUNGU. Nasikiya hii ushuhuda ya mtoto inanitiya moyo sana hata namiye ninashida ya tokeya kizalikiyo MUNGU aliye tendeya Elvis na miye anipe ushuuda 🙏🙏.
Amen mama Kwa Mungu Yote yanawezekana, mama mahubiri yako tu. Akili zetu zinapoishia za Mungu wetu ndo zinaanzia hapo. Barikiwa Elvis Ni mtumishi Wa Mungu.
Namtukuza sana Mungu kwa ajili yako mama...kuna kipindi nilikuwa nafatilia mahubiri yako kumbe wakati huo huo ulikuwa unapitia magumu kiasi hiki na wala hukutahayarika...nimejifunza kitu kikubwa sana kupitia ushuhuda huu..ubarikiwe sana mama
Jina la bwana libarikiwe, Yesu nimwema. na mungu abariki wa Doctors na wa nurse duniya nzima huwa wanajitaidi, kinacho shindikana kwao Yesu anatenda. Amen
Leo Tariki moja ya mwezi wa kwanza 2022. Nimepata Neema ya kuusikiliza ushuhuda huu mukubwa. Imani yangu imeumbika ndani yangu kwa upya. Mungu ni mukuu saaana. ahimidiwe milele na mille
2024/07/26 nasikiliza ushuhuda huu wenye nguvu HAKIKA MUNGU UNAISHI WABARIKIWE WATUMISHI WA MUNGU FAMILIA YA BETI ZARI yanashqngaza haya maskioni mwangu MUNGU NI MKUU hongera na asante mama kwa kusimama kwenye nafasi tuinuke kiimani tunaosikia UTUKUFU KWA MUNGU KTK JINA LA YESU
Huyo NI mtumishi wa MUNGU mama uliyezaa mama na ndio maana amepata upinzani m kubwa waisraeli wenyewe wanajua ya kwamba Mungu ndiye aliyefanya muujiza huo
Amen Mungu anyaweza yote.
Mungu wewe hakuna kinacho. Kushinda utabaki kua Mungu shetani ulishindwa kabisa unaumwa sana naushuhuda wa huyu mama kuhusu jehenam
😭😭😭jamani haya yote nikwaajili ya ushuhuda wa jehanam ndio shetani aliamua haya yote mpaka mtumishi unakua kicheko ati anaombea wengine naameshindwa na kwake pole sana kweli umepitia
Amina kubwa Sifa ni kwa Yesu kristo
Hallelujah 🤚 glory to God nimejifunza hakuna shauri wala Maarifa kwa mwanadam juu ya Mungu ... He's beyond our imagination
Asante yesu
Nimetiwa moto sana
Mchungaji unanifundisha imani.Asante Mungu wangu
Gloire à Dieu
Mimi nimelia nikimshsngaa Mungu,maana alikuwa na uwezo wa kuumba moyo upya na usiwe na tofauti na Moyo wa mtu mwingine,lakin Mungu akaotesha mishipa mwingine ili watalaam wachanganikiwe kwa sababu hawajawahi ona wala sikia,oooooh!!!haleluya utukufu ni leaked aliye juu Ameen.
Amen
Mungu ashukuriwe aliye juu,na kuna utumishi mkubwa ndani ya huyo mtoto na Mungu aje amtumie apendavyo,ni muujiza mkubwa sana,Mungu anaweza.
Sifa kwa Mfalme Mkuu aliyefanya yotee!,
Amina dada. Shetani alikuwa na nia ya kukuangusha kihuduma. Lakini neno la Mungu si la binadamu. Nami nilifanyiwa muujiza wa uponyaji wa binti yangu akiwa na tatizo la matundu kwenye moyo na mishipa iliyofeli. Jina la Bwana lihimidiwe sasa na hata milele.
Amen mama Mutumishi wa MUNGU.
Nasikiya hii ushuhuda ya mtoto inanitiya moyo sana hata namiye ninashida ya tokeya kizalikiyo MUNGU aliye tendeya Elvis na miye anipe ushuuda 🙏🙏.
Amen amen, Hakika MUNGU ni mwema saan , asnte mam kwa ushuhuda mzito, MUNGU wako aliyeponya mtoto naomba anikumbuke n mim kwa jina la Yesu amen
Haki mungu ni mwema ushuhuda umenitoa machozi ya furaha kwa yale mungu amekutendea mum,mtoto mzuri haki ametulia ,barikiwa sana mum na familia yako🙏
Nmekaa chini kusikiza ushuhuda huu hakika unatia moyo unainua kwa kweli na kutusongeza karibu na Mungu Amen
Umweeeeeeeeeeh😢😢😢😢😢
Rosanna Rosanna Hallelujah amen Yesu wants Nyisaki Ubarikiwe Dada
Mungu ametenda na atazidi kutenda!!!! Mtumishi, tunaweza wasiliana namna gani?
Huu ushuuda unanijenga sana unaniinua sanaaaa kiimani
😭😭😭 nashindwa kuzuia machoz ya furaha na shukran kwa Mungu kwa ajili ya mtoto Elvis,,ahimidiwe Mungu wamilele asiyeshindwa...🙏
Utukufu kwa Mungu mtenda miujiza😔🙌
Mungu atabaki kua Mungu nimeongeza kiwango cha imani
Amina, nimetiwa moyo sana ubariwe mtumishi
Amen bwana yesu asìfiwe sana
MUNGU yu mwema sanaaa namupenda yesu
Amina hakuna kinacho mshinda Mungu
Mtumishi mungu aendelee kukutia nguvu
Hallelujah
YESU USIFIWE MILELE HATA MIMI UTANITENDEA.
AMEEEEEN UTUKUFU KWA YESU KRISTO
Kwa kuwa hakuna lisilowezekana kwa MUNGU
Mungu mkubwa nyiee😭😭😭
Amen mama Kwa Mungu Yote yanawezekana, mama mahubiri yako tu. Akili zetu zinapoishia za Mungu wetu ndo zinaanzia hapo. Barikiwa Elvis Ni mtumishi Wa Mungu.
Mwenyezi Mungu anaweza kila kitu🙏🙏❤
Pole mtumishi wa mungu bwana yesu apewe sifa
Mungu ni mwema
Amen mungu ni mwema kwetu sisi wanadamu huo ni muujiza
Amina
Mungu ni mkubwa alietenda kwa mtoto huyu aniponye na mimi....
Namtukuza sana Mungu kwa ajili yako mama...kuna kipindi nilikuwa nafatilia mahubiri yako kumbe wakati huo huo ulikuwa unapitia magumu kiasi hiki na wala hukutahayarika...nimejifunza kitu kikubwa sana kupitia ushuhuda huu..ubarikiwe sana mama
Jina la bwana libarikiwe, Yesu nimwema. na mungu abariki wa Doctors na wa nurse duniya nzima huwa wanajitaidi, kinacho shindikana kwao Yesu anatenda. Amen
Huyu ni pst imanueli mungu pamojanasi
Mungu akubariki san kwa kuinua mioyo ya waliokata tamaa, Mungu wetu ni mwaminifu san, hatamuacha mweny haki aangamie,
Asante Mtumishi kwa ushuhuda . Umenitoa machozi .Mwanao Elvis ni Mtumishi wa Mungu .
Huruma za Bwana
@@nyisakechaula9433 Amina.
Nabarikiwa kwa huduma yako MUNGU ALIYE HAI AKUBARIKI MAMA..
Mungu asifiwe saaana. Barikiwa Mama Nyisaki
Daaaaaaah Yesu Ni Mkuu Sana , Pole Sana Kwa Hayo Mapito.
Ameen utukufu kwa Mungu aliye juu hakika nimepiga hatua kubwa kiimani
Ubarikiwe sana mama kwa ushuhuda huu. Mungu azidi kuku inuwa katika kazi yake
Amina mama,namwangalia Mungu.Nimejifunza kuwa Mungu ana njia nyingi mno katika utendaji wake.
HALLELUJAH GLORY TO GOD!
Leo Tariki moja ya mwezi wa kwanza 2022. Nimepata Neema ya kuusikiliza ushuhuda huu mukubwa. Imani yangu imeumbika ndani yangu kwa upya. Mungu ni mukuu saaana. ahimidiwe milele na mille
Kweli mungu amekuhurumia, good morning boy
Dah MUNGU ATUKUZWE
Amen Amen 🙏
Atukuzwe Mungu asiyetutoa kuwa mawindo ya adui
Kazuri sana haka katoto❤️❤️🥰🥰🥰
Asante
Utukufu ni kwa Mungu aliyeziumba mbingu na nchi matendo yake ni makuu sana
Ashukuriwe Mungu aliemtendea miujiza mwanao, Mungu alitaka ajipatie utukufu
Amen
Amen Amen niushuhuda ulio hai🙏
Mungu ni mkubwa,hafananishwi Wala halinganishwi,amen
2024/07/26 nasikiliza ushuhuda huu wenye nguvu HAKIKA MUNGU UNAISHI WABARIKIWE WATUMISHI WA MUNGU FAMILIA YA BETI ZARI yanashqngaza haya maskioni mwangu MUNGU NI MKUU hongera na asante mama kwa kusimama kwenye nafasi tuinuke kiimani tunaosikia
UTUKUFU KWA MUNGU KTK JINA LA YESU
@@janemabada3357 Amen
Ameen mwanangu Elvis Mungu aendelee kukutunza kwa jina la Yesu
Amen
Amen❤❤
Hakika Mungu ni mwema Sana🙌🙏
Hakika Mungu ni mwema saana kwetu 🙏 Imani ni kila kitu
Katoto kanzuri jamani😍
Amin Amin
Ubarikiwe kwa ushuhuda ka
Elvis kazur
Mama ubarikiwe sanaaa kwa ushuhuda,,,, nimejisikia Julia kwani kutengwa na ndugu sijaaza Mimi! Hata wewe mtumishi wa MUNGU ulifanyiwa hicho kitu?
Ukweli nalia kwa ushuhuda umenisusa sanaa
Mungu nimkubwa sana mama yangu unanipa moyo sana mama
Amen
Asante mtumishi
Amen utukufu kwa Mungu aliye juu Mbinguni
Utukufu ni KWA MUNGU wetu aliyezifanya MBINGU na NCHI....anatenda KWA kila jambo ili jina lake litukuzwe....nimetiwa MOYO sana na huu ushuhuda!!!
Be blessed mom
Huyo NI mtumishi wa MUNGU mama uliyezaa mama na ndio maana amepata upinzani m kubwa waisraeli wenyewe wanajua ya kwamba Mungu ndiye aliyefanya muujiza huo
Nakushu mungu Kwa yote unayoendelea kunitendea ameni
Amen
Asante Mungu
Glory to God...
Amen 🙏🙏🙏
Jamani jamani
Glory to God.
MEEN
Wao what a testimony
Amen maman
Pole sana Asante MUNGU KWAKUMUPONYA MUTOTO HUYU
Nimependa