Asante sana kwa ushuhuda wako. Very powerful. Only God can do such great miracles. May the Lord continue to open doors for you and protect you under his own mighty hand. Mungu akubariki sana Ndugu..
Mungu akubariki sana na mawazo ya Mungu ni tofauti na mawazo yetu na tunajifunza kuwa hata watumishi wengi hawana maelekezo ya roho mtakatifu ndy maana maelekezo tunayotoa kwa watu yanakuwa kinyume na kuwakatisha tamaa badala ya kufunguliwa, Mungu atusaidie sana
Amen mtumishi wa Mungu sifa na utukufu nivya Mungu na Mungu hakulinde kwa jina la Yesu Kristo haliye mwamba na mokozi wa maisha yetu Amen na Asant sana bwana Msafiri na Mungu hakulinde hakupe afya jema Amen
Mh Bwana ni mwema sana nimeguswa sana na ushuhuda huu sana tena na kama unachosema kuwakusanya vichaa Mungu wangu nimeguswa sana na ninamuomba Mungu aniwezeshe ili na mimi nichangie huduma hiyo kwa upana sana Mungu akubariki
Mungu azidi kukubariki na kukupigania mtumishi wa Mungu,kuna mwaka mmoja niliwahi kulifikiria hilo jambo kuhusu hawa vichaa naamini wengi wao ni nguvu za giza ingawa sisi tunaona ni ugonjwa
Huyo mchungaji wa kwanza alikuwa anti Christ. 666.Mpinga kristo ndio maana amekukatisha kwa sababu ulikuwa na roho ya utumishi wa Mungu ndani yako,hivyo shetani alitaka kubadilisha mpango wa Mungu maishani mwako,Jina la BWANA YESU lihimidiwe
Amen,Shetani alijua kuwa wewe ni chombo cha Bwana Yesu Yesu ndiyo maana alikuvamia ili ajaribu kuliharibu kusudi la Mungu katika maisha yako,lakini Mungu ni mwaminifu akakufungua na sasa unatumika katika ufalme wake, Akisema ndiyo hakuna wa kuzuia.Jina la Bwana libarikiwe.
Asante sana kwa ushuhuda wako. Very powerful. Only God can do such great miracles. May the Lord continue to open doors for you and protect you under his own mighty hand. Mungu akubariki sana Ndugu..
I am watching from Bahrain country my name christin mulongo mimi ni m kenya glory to Jesus Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💯
Christine mlongo???????mb jina langu?????
Yesu Kristo ni mwema Sana nashukuru Mungu kwaajili Yako.
Mungu ni mweza ya yote,sifa na utukufu nizake,Barikiwa sana mwinjilisti🙏🙏
Thanks alot fr that testimony,,ave learned not to take for granted when i dream,,beyond all,JESUS IS LORD,,TO HIM B GLORY EVER N EVER AMEN
So greatfully testmony may God continue to lift you up
Mungu ni Mwema hakuna jambo lililogumu lakumshiinda Mungu Baba. Endelea kumtumikia Mungu. Barikiweni sana. Jactan Barikiwa sana
Mungu akubariki sana na mawazo ya Mungu ni tofauti na mawazo yetu na tunajifunza kuwa hata watumishi wengi hawana maelekezo ya roho mtakatifu ndy maana maelekezo tunayotoa kwa watu yanakuwa kinyume na kuwakatisha tamaa badala ya kufunguliwa, Mungu atusaidie sana
Halleluyah! Mungu wetu anaishi na anaweza kutenda mambo makubwa. Asifiwe milele!
Ushuhuda huu umenibariki saana, tafadhali naomba mawasiliano ya huyu mchungaji 🙏🙏🙏
Amen mtumishi wa Mungu sifa na utukufu nivya Mungu na Mungu hakulinde kwa jina la Yesu Kristo haliye mwamba na mokozi wa maisha yetu Amen na Asant sana bwana Msafiri na Mungu hakulinde hakupe afya jema Amen
Mungu.ni.wa.neema.na.mungu.akulinde..mungu.akuongoze
AMEN MUNGU AKUFUNGULIYE NEEMA YAKE
Amen Hallelujah hakika Mungu ni mwaminifu sana hakuna lisilo wezekana kwake endelea kumtumikia Mungu naye atakufanyia mambo makuu zaidi
Mh Bwana ni mwema sana nimeguswa sana na ushuhuda huu sana tena na kama unachosema kuwakusanya vichaa Mungu wangu nimeguswa sana na ninamuomba Mungu aniwezeshe ili na mimi nichangie huduma hiyo kwa upana sana Mungu akubariki
Utukufu kwa mungu baba aliyeziumba mbingu na nchi na kwa yesu masihi mkombozi Wetu amini
Amina mungu ni kilakitu kwenye maisha yetu
Ameen mungu wetu anaokoa kila wakati katika jina la yesu kristo
Mungu anawajua walio wake hata tukipita kwenye magumu tutatoka salama
Mara nyingi Mungu akikupenda umfanyie kazi yake, basi huwa unapata mitihani kabla. ila Mungu atazidi kukubariki na huduma yako itasaidia watu wengi.
Mungu azidi kukubariki na kukupigania mtumishi wa Mungu,kuna mwaka mmoja niliwahi kulifikiria hilo jambo kuhusu hawa vichaa naamini wengi wao ni nguvu za giza ingawa sisi tunaona ni ugonjwa
Yes huu NDO ukweli
Biblia inasema tumkaribie mungu.naeatatukaribia hivyo nivema kuakaribu namungu iliatuepushe nahayo kabla yatufikie pole sana ndugu yangu mbisse
Sifa na utukufu kwa Mungu wetu
Mungu ni mwema sana,zidi kumtumikia Mungu.
Mungu awabariki kwa kazi njema
What a great testimony! Dreams dreams dreams !
Jambo ndugu.
Una weza nipa namba ya Huyu mutumishi wa Mungu ?
Mungu wetu anatupenda sana
Powerful ushuhuda aseh ubarikiwe sana
Mungu ni mwema,sifa na utukufu ni kwa Bwana Yesu Kristo
AMEN AMEN AMEN
Jambo ndugu
Je unaweza kunitumiya namba ya Huyu mtumishi wa Mungu ?
Psalm 91:1
Huyo mchungaji wa kwanza alikuwa anti Christ. 666.Mpinga kristo ndio maana amekukatisha kwa sababu ulikuwa na roho ya utumishi wa Mungu ndani yako,hivyo shetani alitaka kubadilisha mpango wa Mungu maishani mwako,Jina la BWANA YESU lihimidiwe
Yesu ana nguvu Sana.Amini usiamini amekuwa suluhisho la matatizo ya watu wengi.Mkaribishe maishani mwako.
Ushuhuda wako uko na nguvu Kabisaaaa
Mungu ni mwema na hakuna jambo gumu kwake
Damu ya Yesu ikurinde
Shallom Jacktan. Namba yake ya simu tunaipateje?
Nitafte ntakutumia
Nina ndugu zangu hapo Morogoro wawili wanamatatizo kama yako na mwingine mdogo wangu haoni vizuri
Mungu yumwema kwakweli kwanza ameanza nandoto mbaya zinazotutokea lakin Mungu yumwema kumwokoa Mimi ninasikiliza ila Mungu yumwema tuu kwakweli
Yuko Morogoro sehemu gani
Ushuhuda unagusa sana, Lakini huyu mtumishi wa Mungu hana cm ? Tunahitaji kwa ushauri zaidi
Kwa hiyo ukifanya hayo yote ulikuwa unajijua?
Ameshasema alkuwa hajijui
Mungu mwema ashukuriwe
Kujikabidhi mikononi mwa bwana kabla ya kulala ni muhimu
JINA LABWANA LIHIMIDIWE..KWA KWELI HAKUNA LILE LIGUMU KWA MUNGU.
Erick SHIGONGO
😭
Na mm pia nilikya nataka kuuliza vp mtu mwehu akumbuke alio kua akiyafanya .ndio na ww umemuliza
Ufahamu alikuwa nao,ndio maana amekumbuka,
Na mengine ameadithiwa na watu wa karibu walio muona
Amen,Shetani alijua kuwa wewe ni chombo cha Bwana Yesu Yesu ndiyo maana alikuvamia ili ajaribu kuliharibu kusudi la Mungu katika maisha yako,lakini Mungu ni mwaminifu akakufungua na sasa unatumika katika ufalme wake, Akisema ndiyo hakuna wa kuzuia.Jina la Bwana libarikiwe.
@@tabithajeremiah2657 jamani yoooote anayoyasema ni kwli jani na Mimi ninaye was ivyo tafadhali naomba namba zako tafadhali
Erick SHIGONGO huwa anasimuliwa na nani! Si ni kipaji tu
KWA nini hapo anaposimulia hajaja na ndugu zake?
Mwazoni nirifikiri ni picha (arikuwa ameturia)