I like Tanzania because of one thing, every issue is taken care of and in front of everyone unlike in our country Kenya whereby only two people can make decisions on behalf of the entire nation. Thanks Makonda coz you remind me of JPM. May his soul rip
asante sana watanganyika tusonge mbele kwa mapambano ya kutafuta haki zetu zote walipwe fidia yao bila porojo na chenga chenga asante sana wenu Simba sauti ya wanyonge
Watanzania wengi wameumizwa kwa tabia Kama hizi hizi za watendaji wabovu na kuweka maslahi zao mbele kuliko kuwa na uzalendo.kama tukipata wakuu wa wilaya na mikoa wanaofahamu majukumu yao Sasa hakika mhe Raisi awezi kupata changamoto ya kila siku kubadilisha Hawa watendaji wake.hatari sana
Mwanasheria wa halmashauri yupo vzuri sana sana ila arrogance ya mkuu wa mkoa Inamnyima fursa ya kujieleza. Hii style pia inawaweka watendaji wa serikali mfano huyo dada ktk hatari ya kuumizwa na wadai kwa kudhani kuwa ndiye kikwazo cha wao kulipwa. Ni style inayodhalilisha taaluma na kubagaza utu wa mtu. Hii mambo ilipaswa ifanyike ktk vikao vya ndani na maamuzi yaletwe hadharani kwa njia ya hekima zaidi.
Yani hawa watendaji bwana walio wengi niwapuuzi sana hawafanyi kazi kazi nikuingia Esta na kufatilia upuuzi nakuuliza wauza vitu hibei gani hii bei gani nahawanunui mm nafatilia kiwanja mwaka wa 3 sasa tangu mwezi wa1 mwakahuu naambiwa nitaitwa na siitwi
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni Kaka Makonda piga kazi Mungu atakulipa na kukutetea dhidi ya maadui wa haki
I like Tanzania because of one thing, every issue is taken care of and in front of everyone unlike in our country Kenya whereby only two people can make decisions on behalf of the entire nation. Thanks Makonda coz you remind me of JPM. May his soul rip
Ila kaka makonda kuna namna umebadilika na kuna namna nakuona mbali. Ama kweli YESU NI MWANA WA MUNGU. Piga kazi bro
Huyu jamaa wa tanroads yupo smart sana
Mh Makonda Wasaidie sana Binadamu wenzako sawa sawa bila kujali malaumiano maana Mungu atakulinda Hongera sana wanyoonyeshe haswa
Makonda piga kazi cc wtz tuna kuona kama mwamba wawanyonge tanzania
Mheshimiwa makonda mungu amulinde na atende haki arusha watu wamedhulumiwa wengi sana
Tunapaswa kujenga tabia ya uzalendo kwa wananchi wetu.ongera Rpc makonda mungu hakutalie sana
Cyo Rpc ni RC
Kuna mti Moja unaitwa "Mlebanoni" huu mti hata ukiukata unachipua tu uwe jangwani au kwenye Ardhi uwevu....uyo ni Makonda.
Kichwaa kimetokaa kwetu hikii kwa magufuli najivuniaa snaaaa
Makonda anakula MB zetu😁😁😁😁 atatuua mwaka huu
😂😂😂😂
safi
Tungepata,viongozi,Kama,Hawa,tusinge,teseka,Hawa,wengine,wako,wapi
Kiongozi wa Wanyonge simamia haki Baba uko maofusini acheni rushwa dhulma hai dumuu
asante sana watanganyika tusonge mbele kwa mapambano ya kutafuta haki zetu zote walipwe fidia yao bila porojo na chenga chenga asante sana wenu Simba sauti ya wanyonge
Watanzania wengi wameumizwa kwa tabia Kama hizi hizi za watendaji wabovu na kuweka maslahi zao mbele kuliko kuwa na uzalendo.kama tukipata wakuu wa wilaya na mikoa wanaofahamu majukumu yao Sasa hakika mhe Raisi awezi kupata changamoto ya kila siku kubadilisha Hawa watendaji wake.hatari sana
Mwanasheria yupo vzr Sana sema hapewe Air time
Yangu macho
Mwanasheria Yuko sawa,sema tu Siasa ndo zinaingizwa
Exactatly😅
Kweli kabisa Makonda alikua na fixed mind. Hii ni siasa tu.
Tatizo ni elimu ya kiutawala hongera mh.makonda endelea ña kazi lakini sioni kama viongoz
Huyo mwanasheria wa halmashauri hana uwezo wa kufanya kazi .Ajira za ajabu .
Mwanasheria wa halmashauri anatia huruma, pole dada ila kuanzia hapa jitahidi kubadilika naona unapata ugumu kwenye kazi yako.
Makonda nakukubali kwamaswari
Kunawatu huleta mgogoro kwenyemaendeleo na kupenda fidia kimchongo na wakubwa
Ndo tatzo lililoko kweny halmshaur sasa mwanasheria hajui kam kuna rufaa na ilishafutwa
Ukiacha makandokando yote ya makonda, kuhusu siasa huyu ndiye kiongozi anayetakiwa tanzania, please apewe ulinzi wa kutosha.
Mwanasheria wa halmashauri yupo vzuri sana sana ila arrogance ya mkuu wa mkoa Inamnyima fursa ya kujieleza. Hii style pia inawaweka watendaji wa serikali mfano huyo dada ktk hatari ya kuumizwa na wadai kwa kudhani kuwa ndiye kikwazo cha wao kulipwa. Ni style inayodhalilisha taaluma na kubagaza utu wa mtu. Hii mambo ilipaswa ifanyike ktk vikao vya ndani na maamuzi yaletwe hadharani kwa njia ya hekima zaidi.
Mwanasheria yupo sahihio isipokuwa TU mkuu hasikiliziaelezo ya mwanasheria Hadi mwisho
Kwanini makonda usije kigoma? Hasa wilaya yakasulu viongozi wote nibutu...
Kwanini makonda using mkoa wakigoma?.. kwetu kunaviongozi butu.. Hasa wilaya yakasulu...
Kimbolo ndonilicho kikalili tu
Makonda msela hyu lazma mnyooke tu
Hizo nafasi mliwapaje watu hao ?Mbona uwezo wa kufanya kazi hawana ?
Sawa mkuu ukwelii ukoo huruu
Muna sumbua huyo mwana dada hata Kani wewe huwezi kumbuka mambo.yote jemeni samahani
Bado hamjasema,
Wapi amembana kama siyo kumkatisha asiongee? Sioni kama Makonda ana hoja ya maana zaidi ubabe upumbavu mtupu
Yani hawa watendaji bwana walio wengi niwapuuzi sana hawafanyi kazi kazi nikuingia Esta na kufatilia upuuzi nakuuliza wauza vitu hibei gani hii bei gani nahawanunui mm nafatilia kiwanja mwaka wa 3 sasa tangu mwezi wa1 mwakahuu naambiwa nitaitwa na siitwi
Mwanasheria Hana shida mkuu Wa mkoa angetakiwa ampe nafasi huru ya kujieleza
Acha ujinga wewe, mwanasheria amejieleza utumbo
ana shidah alitakiwa aseme watalipwa siikuu fulani; period kutetea halmashauri
Ss kama halmashauri haina uwezo wa kulipa je.
Hata akipewa siku nzima hawez kujieleza
Makonda piga kaz
Huyu mweshimiwa alitakiwa aje moshi
Kiongozi wa Wanyonge simamia haki Baba uko maofusini acheni rushwa dhulma hai dumuu
Kiongozi wa Wanyonge simamia haki Baba uko maofusini acheni rushwa dhulma hai dumuu
Kiongozi wa Wanyonge simamia haki Baba uko maofusini acheni rushwa dhulma hai dumuu