MWANASHERIA ABANWA NA MAKONDA ASHINDWA KUJIELEWA MADAI YA WANANCHI "RAS HAMISHA HUYU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 53

  • @EzekielMwishehe
    @EzekielMwishehe 5 หลายเดือนก่อน +4

    Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni Kaka Makonda piga kazi Mungu atakulipa na kukutetea dhidi ya maadui wa haki

  • @cloudinhoabdi868
    @cloudinhoabdi868 5 หลายเดือนก่อน +4

    I like Tanzania because of one thing, every issue is taken care of and in front of everyone unlike in our country Kenya whereby only two people can make decisions on behalf of the entire nation. Thanks Makonda coz you remind me of JPM. May his soul rip

  • @mangiclaus
    @mangiclaus 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ila kaka makonda kuna namna umebadilika na kuna namna nakuona mbali. Ama kweli YESU NI MWANA WA MUNGU. Piga kazi bro

  • @emmanuelkyandochali990
    @emmanuelkyandochali990 5 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu jamaa wa tanroads yupo smart sana

  • @justinelukumay5308
    @justinelukumay5308 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mh Makonda Wasaidie sana Binadamu wenzako sawa sawa bila kujali malaumiano maana Mungu atakulinda Hongera sana wanyoonyeshe haswa

  • @MafuvuMabrucky
    @MafuvuMabrucky 5 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda piga kazi cc wtz tuna kuona kama mwamba wawanyonge tanzania

  • @IsanjaRose-tk4nn
    @IsanjaRose-tk4nn 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mheshimiwa makonda mungu amulinde na atende haki arusha watu wamedhulumiwa wengi sana

  • @stevenmrama3123
    @stevenmrama3123 5 หลายเดือนก่อน +1

    Tunapaswa kujenga tabia ya uzalendo kwa wananchi wetu.ongera Rpc makonda mungu hakutalie sana

    • @anthony_genge
      @anthony_genge 5 หลายเดือนก่อน

      Cyo Rpc ni RC

  • @georgedamas7097
    @georgedamas7097 5 หลายเดือนก่อน

    Kuna mti Moja unaitwa "Mlebanoni" huu mti hata ukiukata unachipua tu uwe jangwani au kwenye Ardhi uwevu....uyo ni Makonda.

  • @FrancisCharles-k8p
    @FrancisCharles-k8p 5 หลายเดือนก่อน +3

    Kichwaa kimetokaa kwetu hikii kwa magufuli najivuniaa snaaaa

  • @ngusakabinza9238
    @ngusakabinza9238 5 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda anakula MB zetu😁😁😁😁 atatuua mwaka huu

    • @nwntz
      @nwntz 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @florencekyande4443
    @florencekyande4443 5 หลายเดือนก่อน +1

    safi

  • @rajabukitego1662
    @rajabukitego1662 5 หลายเดือนก่อน +2

    Tungepata,viongozi,Kama,Hawa,tusinge,teseka,Hawa,wengine,wako,wapi

  • @mwanaidhassan6170
    @mwanaidhassan6170 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kiongozi wa Wanyonge simamia haki Baba uko maofusini acheni rushwa dhulma hai dumuu

  • @Felix-e6t4m
    @Felix-e6t4m 5 หลายเดือนก่อน

    asante sana watanganyika tusonge mbele kwa mapambano ya kutafuta haki zetu zote walipwe fidia yao bila porojo na chenga chenga asante sana wenu Simba sauti ya wanyonge

  • @stevenmrama3123
    @stevenmrama3123 5 หลายเดือนก่อน

    Watanzania wengi wameumizwa kwa tabia Kama hizi hizi za watendaji wabovu na kuweka maslahi zao mbele kuliko kuwa na uzalendo.kama tukipata wakuu wa wilaya na mikoa wanaofahamu majukumu yao Sasa hakika mhe Raisi awezi kupata changamoto ya kila siku kubadilisha Hawa watendaji wake.hatari sana

  • @johnkushoka6629
    @johnkushoka6629 5 หลายเดือนก่อน

    Mwanasheria yupo vzr Sana sema hapewe Air time

  • @TheothimePastory
    @TheothimePastory 5 หลายเดือนก่อน

    Yangu macho

  • @egbertlambert
    @egbertlambert 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mwanasheria Yuko sawa,sema tu Siasa ndo zinaingizwa

    • @zuwenakandele9770
      @zuwenakandele9770 5 หลายเดือนก่อน

      Exactatly😅

    • @Ismail_Hussein
      @Ismail_Hussein 5 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa Makonda alikua na fixed mind. Hii ni siasa tu.

  • @LoishieMollel
    @LoishieMollel 5 หลายเดือนก่อน

    Tatizo ni elimu ya kiutawala hongera mh.makonda endelea ña kazi lakini sioni kama viongoz

  • @RichardLyamuya
    @RichardLyamuya 5 หลายเดือนก่อน

    Huyo mwanasheria wa halmashauri hana uwezo wa kufanya kazi .Ajira za ajabu .

  • @andrewIzdory-sk4cu
    @andrewIzdory-sk4cu 5 หลายเดือนก่อน

    Mwanasheria wa halmashauri anatia huruma, pole dada ila kuanzia hapa jitahidi kubadilika naona unapata ugumu kwenye kazi yako.

  • @SelemaniSalumu-un8hn
    @SelemaniSalumu-un8hn 5 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda nakukubali kwamaswari

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 5 หลายเดือนก่อน

    Kunawatu huleta mgogoro kwenyemaendeleo na kupenda fidia kimchongo na wakubwa

  • @sebastianmusyebi-yv1hm
    @sebastianmusyebi-yv1hm 5 หลายเดือนก่อน

    Ndo tatzo lililoko kweny halmshaur sasa mwanasheria hajui kam kuna rufaa na ilishafutwa

  • @GeraldBahegwa-rn3vb
    @GeraldBahegwa-rn3vb 5 หลายเดือนก่อน

    Ukiacha makandokando yote ya makonda, kuhusu siasa huyu ndiye kiongozi anayetakiwa tanzania, please apewe ulinzi wa kutosha.

  • @isayaanthon7063
    @isayaanthon7063 5 หลายเดือนก่อน

    Mwanasheria wa halmashauri yupo vzuri sana sana ila arrogance ya mkuu wa mkoa Inamnyima fursa ya kujieleza. Hii style pia inawaweka watendaji wa serikali mfano huyo dada ktk hatari ya kuumizwa na wadai kwa kudhani kuwa ndiye kikwazo cha wao kulipwa. Ni style inayodhalilisha taaluma na kubagaza utu wa mtu. Hii mambo ilipaswa ifanyike ktk vikao vya ndani na maamuzi yaletwe hadharani kwa njia ya hekima zaidi.

  • @artsonkimath2917
    @artsonkimath2917 5 หลายเดือนก่อน

    Mwanasheria yupo sahihio isipokuwa TU mkuu hasikiliziaelezo ya mwanasheria Hadi mwisho

  • @MafuvuMabrucky
    @MafuvuMabrucky 5 หลายเดือนก่อน

    Kwanini makonda usije kigoma? Hasa wilaya yakasulu viongozi wote nibutu...

  • @MafuvuMabrucky
    @MafuvuMabrucky 5 หลายเดือนก่อน

    Kwanini makonda using mkoa wakigoma?.. kwetu kunaviongozi butu.. Hasa wilaya yakasulu...

  • @MariaMagele
    @MariaMagele 5 หลายเดือนก่อน

    Kimbolo ndonilicho kikalili tu

  • @sebastianmusyebi-yv1hm
    @sebastianmusyebi-yv1hm 5 หลายเดือนก่อน

    Makonda msela hyu lazma mnyooke tu

  • @RichardLyamuya
    @RichardLyamuya 5 หลายเดือนก่อน

    Hizo nafasi mliwapaje watu hao ?Mbona uwezo wa kufanya kazi hawana ?

  • @FrancisCharles-k8p
    @FrancisCharles-k8p 5 หลายเดือนก่อน

    Sawa mkuu ukwelii ukoo huruu

  • @MargaretImali-oe9yr
    @MargaretImali-oe9yr 5 หลายเดือนก่อน

    Muna sumbua huyo mwana dada hata Kani wewe huwezi kumbuka mambo.yote jemeni samahani

  • @TheothimePastory
    @TheothimePastory 5 หลายเดือนก่อน

    Bado hamjasema,

  • @benedictntilla6943
    @benedictntilla6943 5 หลายเดือนก่อน

    Wapi amembana kama siyo kumkatisha asiongee? Sioni kama Makonda ana hoja ya maana zaidi ubabe upumbavu mtupu

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 5 หลายเดือนก่อน

    Yani hawa watendaji bwana walio wengi niwapuuzi sana hawafanyi kazi kazi nikuingia Esta na kufatilia upuuzi nakuuliza wauza vitu hibei gani hii bei gani nahawanunui mm nafatilia kiwanja mwaka wa 3 sasa tangu mwezi wa1 mwakahuu naambiwa nitaitwa na siitwi

  • @enezaeliakyoo2086
    @enezaeliakyoo2086 5 หลายเดือนก่อน

    Mwanasheria Hana shida mkuu Wa mkoa angetakiwa ampe nafasi huru ya kujieleza

    • @derrickmbaku4768
      @derrickmbaku4768 5 หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga wewe, mwanasheria amejieleza utumbo

    • @hildpaul7823
      @hildpaul7823 5 หลายเดือนก่อน

      ana shidah alitakiwa aseme watalipwa siikuu fulani; period kutetea halmashauri

    • @isayaanthon7063
      @isayaanthon7063 5 หลายเดือนก่อน

      Ss kama halmashauri haina uwezo wa kulipa je.

    • @Alexismadimo
      @Alexismadimo 4 หลายเดือนก่อน

      Hata akipewa siku nzima hawez kujieleza

  • @mashakamgendi8082
    @mashakamgendi8082 5 หลายเดือนก่อน

    Makonda piga kaz

  • @janethkilaza1387
    @janethkilaza1387 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu mweshimiwa alitakiwa aje moshi

  • @mwanaidhassan6170
    @mwanaidhassan6170 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kiongozi wa Wanyonge simamia haki Baba uko maofusini acheni rushwa dhulma hai dumuu

  • @mwanaidhassan6170
    @mwanaidhassan6170 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kiongozi wa Wanyonge simamia haki Baba uko maofusini acheni rushwa dhulma hai dumuu

  • @mwanaidhassan6170
    @mwanaidhassan6170 5 หลายเดือนก่อน

    Kiongozi wa Wanyonge simamia haki Baba uko maofusini acheni rushwa dhulma hai dumuu