SAKATA ZITO LA MWALIMU ALIYEFUKUZWA KAZI | ALIDHURUMIWA SHAHIKI ZAKE | AFISA UTUMISHI ABANANISHWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 117

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mbingu zikufunike boss wangu. I wish to ɓe part of your team kaka. Boss aliyenyooka khaswaaa

  • @issaramadhaniathuman
    @issaramadhaniathuman 4 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mama nimemuelewa sana anajitmbu hanrrd pcnt ❤

  • @EmmanuelMashana
    @EmmanuelMashana 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana Mhe. Makonda Kwa kazi nzuri, Mwenyezi Mungu aibariki kazi ya mikono yako na akuzidishie siku za uhai wako ili uwasaidie wanyonge

  • @patrickmarwa5024
    @patrickmarwa5024 4 หลายเดือนก่อน +18

    Mwalimu uwezo wake wa elimu ni mkubwa pia akili nyingi sana anajua kujieleza pia .

    • @patrickmarwa5024
      @patrickmarwa5024 4 หลายเดือนก่อน +1

      Mkuu wa idara ajira yake ipo chini ya nani kama mkuu wa mkoa unaweza kufanya mabadiliko hapo hapo huyu mwalimu tunaomba awe mkuu wa idara

    • @zaliafahussein4451
      @zaliafahussein4451 4 หลายเดือนก่อน

      Ana kitu mwalimu

  • @mbwafumabula4706
    @mbwafumabula4706 4 หลายเดือนก่อน +8

    Akija silaa hapo nyumba inabomolewa

  • @joycemwake4647
    @joycemwake4647 3 หลายเดือนก่อน

    May the Lord bless you honorable makonda ,for really you are helping people

  • @freemansuleiman7847
    @freemansuleiman7847 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda mungu akubariki sana ww ndo umejua sisi wananchi tunataka nini baba mungu atakulipa usiogope kupigwa vita

  • @DerickNgowi-mf5pe
    @DerickNgowi-mf5pe 4 หลายเดือนก่อน +10

    Serikali ya samia imchukue huyu mama ana kitu kikubwa sana ....

  • @DeborahMwampashi
    @DeborahMwampashi 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde makonda

  • @komboko4143
    @komboko4143 4 หลายเดือนก่อน +5

    Nampenda mwalim bitris maana yupo full dose hadanganyiki yupo makini sana

  • @OmaryBora2
    @OmaryBora2 3 หลายเดือนก่อน

    Asante mwanasheria

  • @geraldgedi4657
    @geraldgedi4657 4 หลายเดือนก่อน +2

    Beatrice mwl na mwanangu umenibeba mabegani kwa umedhihirisha kuwa mwalimu si wa kubezwa na kutweza utu wake.

  • @RamadhaniOmary-z3p
    @RamadhaniOmary-z3p 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo mama anasema ukweli ndo maana hana wasiwasi anasema ulweli

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kiwanja kikaingia mtoniiiiiiii. Walai huyo mtoa maelezo hajielewi.

  • @restitutakisamo7607
    @restitutakisamo7607 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani b
    Bitrice class mate umeteseka sana,pole sana.pambana mpaka kieleweke,Ashira oyeeeeèe❤

    • @muhsiniissa8151
      @muhsiniissa8151 4 หลายเดือนก่อน

      Kumbe kasoma ashira,,nilikua nashangaa mbona ana uwezo mkubwa Sana kumbe alisoma kipaji

  • @adilimihinga7873
    @adilimihinga7873 4 หลายเดือนก่อน

    Mh.ahsante sana kutetea haki za wanyonge!

  • @felisterandrew8418
    @felisterandrew8418 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hupendwi kwa sbb unatenda haki,,mtenda haki daima hapendwi

  • @CharlesKiyenze
    @CharlesKiyenze 4 หลายเดือนก่อน +3

    Saf Sana teacher uko vzur makonda hongra San hatuna viongoz weny kufany kam makonda

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 3 หลายเดือนก่อน

    Kwn hawa watumishi wanatokea familia zipi ambazo hawathamini watu. Mimi nadhani ikigundulika mtu kadhulumika wabomolewe na waliohusika washughulikiwe effectively

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 4 หลายเดือนก่อน +1

    Katika Dunia nzima Wananchi hawaruhusiwi kuishi sehemu ya Mto kwa sababu sehemu hizo ni Kitanda cha Maji 😂 asante

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo kama namuona Slaa vile waziri wa ardhi yaani akiiona hii mmeishaa

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 4 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda 🔥🔥🔥

  • @bukharyally
    @bukharyally 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ndio maana nakupenda makonda unacho sema nikama ninavyo wanza mm safi sana kaka

    • @romanilyimo
      @romanilyimo 4 หลายเดือนก่อน

      Wacha uongo bana amuweziwaza sawa na makonda ndg kila mtu ana nafsi yake 😂😂😂

  • @dicksondkaganga1290
    @dicksondkaganga1290 3 หลายเดือนก่อน

    Duh!

  • @PaulRadslaus
    @PaulRadslaus 4 หลายเดือนก่อน

    Njoo nakwetu lukwa baba uwe mkuu wa mkoa tumekupenda sana

  • @KajiruSele
    @KajiruSele 4 หลายเดือนก่อน +2

    👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 3 หลายเดือนก่อน

    Hivi kwnn wanaodanganya serikali wasifukuzwe na kufungwa. Kùkosa hofu ya Mungu na kudharau viongozi tena mbele ya umma. Huu ni ubadhirifu wa madaraka.
    Kaka i mean i wish kufanya kazi na wewe na naahidi kuwatumikia wananchi wako

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 4 หลายเดือนก่อน

    Mwalimu yupo vizuri amekataa ku sign mpaka wakubaliane kisheria hapapariki na pesa

  • @Itarusii
    @Itarusii 4 หลายเดือนก่อน

    Kazi kweli kweli!

  • @jestinakalonga8934
    @jestinakalonga8934 4 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa

  • @JacksonMtambo-xb9rl
    @JacksonMtambo-xb9rl 3 หลายเดือนก่อน

    Fanya kazi mzee

  • @chikusangalala7759
    @chikusangalala7759 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mama serekali mchukuwe anakitu kikubwa

  • @AlbertShayo-i6v
    @AlbertShayo-i6v 4 หลายเดือนก่อน +1

    Haya ni marmtatizo ya kitaifa kwanini wakuu wa mikoa wengine wasimsaidie Rais kama anavyofanya mkuu wa mkoa Arusha ?

  • @rahmaomar9137
    @rahmaomar9137 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera mwl

  • @OmanOman-hz1qm
    @OmanOman-hz1qm 4 หลายเดือนก่อน

    MAKONDA WEWE NI SIMBA USIOGOPE KAMATA HUYO

  • @stephenkitururu5588
    @stephenkitururu5588 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mwana Sheria namkubali sana kwanza anajibu Kwa mujibu wa Sheria pasipo Kona Kona ... Kama unamkubali kama Mimi gonga like hapo chini tufahamiane 😂😂❤

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 4 หลายเดือนก่อน

    Ila nyie watumishi wa hii nchi bhana, yaani mtoni ambako Beatrice hapamfai kapewa mtu ambae anaishi hapo hapo mtoni dah😂

  • @sagangohe.bukombe131
    @sagangohe.bukombe131 4 หลายเดือนก่อน

    Good

  • @SamaGane
    @SamaGane 4 หลายเดือนก่อน

    Uko vzr

  • @sulemanmuyomba3524
    @sulemanmuyomba3524 4 หลายเดือนก่อน

    Yaaani

  • @RashidiHamisi-uv7sd
    @RashidiHamisi-uv7sd 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda big up

  • @njamusenga5551
    @njamusenga5551 4 หลายเดือนก่อน

    Gombea uraisi mkuu

  • @danielchaulema1670
    @danielchaulema1670 4 หลายเดือนก่อน

    Asiyempenda makonda nifisadi

  • @maimunakassim8413
    @maimunakassim8413 4 หลายเดือนก่อน +1

    ,😂😂😂😂😂hii nchi inawatumishi wajinga sana.mpeni mwl mto wake aupeleke chumbani

  • @sultanijuma3537
    @sultanijuma3537 4 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂daaah hatalii sana

  • @African511
    @African511 4 หลายเดือนก่อน

    Nguvu ya JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI ndani ya PAUL CHRISTIAN MAKONDA, blue print ya JPM.

  • @hamudzakuwani4149
    @hamudzakuwani4149 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa kweli kinjwa ni kinjwa makondaa wewe ni taraolee mpya wa tz 230

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 4 หลายเดือนก่อน

    Mwalim beatress ww ni jembe unajua kujieleza balaa tatizo wakishakalia viti wanajiona wo wenyewe ndo wanaakili

  • @jerryshah4880
    @jerryshah4880 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda na kazi

  • @JuliusChambo-t4c
    @JuliusChambo-t4c 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wapigaji tumbo joto

  • @thelalas9204
    @thelalas9204 4 หลายเดือนก่อน +16

    Huyu mwalimu jamani mpeni kazi nyengine huko serekalini asimamie mambo ya wanarusha.yupo fiti sana mkakamavu

    • @DenizaChambala
      @DenizaChambala 4 หลายเดือนก่อน

      Makonada mungu akuweke akulinde na mmungu

    • @DenizaChambala
      @DenizaChambala 4 หลายเดือนก่อน

      Makonada mungu akuweke akulinde na mmungu

    • @DenizaChambala
      @DenizaChambala 4 หลายเดือนก่อน

      Makonada mungu akuweke akulinde na mmungu

    • @DenizaChambala
      @DenizaChambala 4 หลายเดือนก่อน

      Makonada mungu akuweke akulinde na mmungu

    • @DenizaChambala
      @DenizaChambala 4 หลายเดือนก่อน

      Makonada mungu akuweke akulinde na mmungu

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 4 หลายเดือนก่อน +6

    Afu Maza huyo mwanasheria ana Cheka Cheka anadhani utani kwenye issue serious kama hyo asee. Nonsense

  • @stevenmwamba-tm6ox
    @stevenmwamba-tm6ox 4 หลายเดือนก่อน +2

    Namkubali,makonda,ingawa,halinivujia,nyumba,yangu,suna

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo afisa utumishi afai kabisa kwanini wanakuwa waongi watumishu wa umma kwani akifukuzwa kazi huyo mama wao wanapata Nini no laana ya vizazi vyao fukuza shule zao Nina wasiwasi sana

  • @sharafisaidi7999
    @sharafisaidi7999 4 หลายเดือนก่อน +5

    Ingekuwa wakati wa jpm huyu mwalimu angepewa ukuu wa wilaya

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kiwanja kimeingia mtoni hahaha dah nimecheka kifala sana

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan25 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mh haya mambo yanatakiwa kufuatiliwa kila mwaka

  • @OmaryBora2
    @OmaryBora2 3 หลายเดือนก่อน

    Tenda haki kaka Mungu atakupa na atakulinda

  • @zeldakahitwa7509
    @zeldakahitwa7509 3 หลายเดือนก่อน

    Shukrani mkatoe kanisani

  • @JosefuRashid
    @JosefuRashid 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mam ana upiga mwing kazi iendelee kusimamia haki zawayonge mkuu makond vzr san

  • @BarakaloishiyeLukumay
    @BarakaloishiyeLukumay 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akusidishie san

  • @IssaKulaifa-ft5us
    @IssaKulaifa-ft5us 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda pitanao haooo

  • @piusgadau6328
    @piusgadau6328 4 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu teacher aliyeoa ana kazi ngumu sanaaaaa😂

    • @khaliphaabubakar9466
      @khaliphaabubakar9466 2 หลายเดือนก่อน

      Mme wake atakuwa na bahati kubwa kuwa na mke kama huyu teacher

    • @piusgadau6328
      @piusgadau6328 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@khaliphaabubakar9466 huyo mama akili kubwa mnooo huenda mwamba asiinjoy

  • @peterkerenge9207
    @peterkerenge9207 4 หลายเดือนก่อน +3

    "Mpeni beatrice akae mtoni"😅 mheshimiwa umeniua

    • @zaitunirashidi5532
      @zaitunirashidi5532 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @beatrice4780
      @beatrice4780 4 หลายเดือนก่อน

      Udumu Mwana! Wanaokuchukia ni wenye vijiba vya roho, mawivu tuuuu

  • @youthmediatv1
    @youthmediatv1 4 หลายเดือนก่อน +3

    Chapa kazi

  • @SeveriniTemu
    @SeveriniTemu 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mkuu Makonda unazo hekama za mflme Selmani kwenye bibilya. Pambana mungu akuongeze hekima busara uchaji kipawa watanzania tuzidi kukutasimini mbele ya safari ndefu : nitasema kweli daima fitina kwangu ni mwiko rushwa ni adui wa haki sitapoke na Wala sitatoa. !!!!*** Hayo ndiyo madhumuni ya chama yadumuuuu asanteee mkuuuu tupo pamoja

  • @NoelaKetau
    @NoelaKetau 4 หลายเดือนก่อน +1

    Waalimu wapewe heshima sanandio waliotufanya tupo tulipo.Makonda ubarikiwe sana baba

  • @stellakivuyo4411
    @stellakivuyo4411 3 หลายเดือนก่อน

    my madame

  • @HildeMgaya-gc2pt
    @HildeMgaya-gc2pt 4 หลายเดือนก่อน

    njjj

  • @MshamuKazumali
    @MshamuKazumali 4 หลายเดือนก่อน +1

    Bg up magufuli mdogo,chapa kazi mkuu.

    • @RashidiHamisi-uv7sd
      @RashidiHamisi-uv7sd 4 หลายเดือนก่อน

      Big Up Mh. Makonda kwakazi nziru. Huko mkoani arusha.

  • @brownnyagawa705
    @brownnyagawa705 4 หลายเดือนก่อน

    Ninatamani makonda Awe waziri

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mwalim ni wa moto hatari

  • @EllyAyo-uq6ol
    @EllyAyo-uq6ol 4 หลายเดือนก่อน

    MUNGU AKUBARIKI MKUU WA MKOA WA ARUSHA,NAOMBA MHE.RAISI WETU AKUTUME NA HUKU KIBAHA,NI KAMA VILE HATUNA HATA MBUNGE

  • @irenesanga8809
    @irenesanga8809 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda kwa kweli nimekupenda bureeeee.malipo kwa Mungu

  • @Dorka12-n7b
    @Dorka12-n7b 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda mtetezi wa wanyonge ubarikiwe na kizazi chako

  • @ImaniImanueli
    @ImaniImanueli 4 หลายเดือนก่อน

    Broather nakukubali sana ningependa u.gekuja hata mbeya usafishe madudu mengi na pia nakuombea uje uwe Raisi wetu wa tanzania ck zijazo.

  • @josephwilliam9736
    @josephwilliam9736 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nasubiri apewe mto

  • @stephenkitururu5588
    @stephenkitururu5588 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mkuu wa mkoa Kwa kumsaidia huyo mwalimu

  • @youthmediatv1
    @youthmediatv1 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mama kamuajili

  • @JosefuRashid
    @JosefuRashid 4 หลายเดือนก่อน

    Mam ana upiga mwing kazi iendelee kusimamia haki zawayonge mkuu makond vzr san

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 4 หลายเดือนก่อน

    Huyo msemaji wa jiji eti anachekacheka sasa unacheka kwa kuzurum haki ya mtu unaleta mapenzi kwenye ujinga

  • @yahayaomedkingungalo2179
    @yahayaomedkingungalo2179 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda mwamba. Mtetezi wa wanyonge

  • @LilianKisumbi
    @LilianKisumbi 4 หลายเดือนก่อน

    Hivi kwa Nini watu hawana hofu ya mungu

  • @Blasius-yz7pb
    @Blasius-yz7pb 4 หลายเดือนก่อน

    Jiandae kukaria kiti cha urais kamanda mungu AKULINDE

  • @GraceMbungu-hn7oi
    @GraceMbungu-hn7oi 3 หลายเดือนก่อน

    Daaa! Mama huyu anajiamini Hadi raha

  • @irenesanga8809
    @irenesanga8809 3 หลายเดือนก่อน

    Beatrice umetisha mama

  • @saitotisimon4842
    @saitotisimon4842 4 หลายเดือนก่อน

    Natamani kuingia kwenye siasa❤️

  • @Ndekya
    @Ndekya 4 หลายเดือนก่อน

    Hivi mmegundua huyu mwalimu beatrice ana utulivu sana

  • @nkweefrank2030
    @nkweefrank2030 3 หลายเดือนก่อน

    Mama yuko vzur sanaaaa❤

  • @nesenaibala1910
    @nesenaibala1910 4 หลายเดือนก่อน

    Hakuna maeneo huko osmotic kule mashamba yote yana wenyewe

  • @SamwelManirakiza
    @SamwelManirakiza 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mh makonda kwakunyosha mambo

  • @danielchaulema1670
    @danielchaulema1670 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera Sana makonda

  • @adilimihinga7873
    @adilimihinga7873 4 หลายเดือนก่อน

    BILA hivi mh.hatutoboi!

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda uongozi unaujua.

  • @johnimboru2078
    @johnimboru2078 4 หลายเดือนก่อน

    Wakuu wa mikoa mengine waige hili jambo

  • @RUBENNGAYA
    @RUBENNGAYA 4 หลายเดือนก่อน

    Umalaya unamsumbuaa,anachekacheka nini???????

    • @jokhajj
      @jokhajj 4 หลายเดือนก่อน

      Ndo namshanga kama malaya kaona tajiri

  • @AlbertShayo-i6v
    @AlbertShayo-i6v 4 หลายเดือนก่อน

    Mwalimu huyu yuko vyema

  • @fatumasaidimmependezamjeng8994
    @fatumasaidimmependezamjeng8994 4 หลายเดือนก่อน

  • @zeldakahitwa7509
    @zeldakahitwa7509 3 หลายเดือนก่อน

    Arusha mkatoe sadaka ya shukrani kwa RC huyu Mungu amewakumbuka hapa kila aliyenyimwa haki yake ataipata

  • @MahamudBampenja
    @MahamudBampenja 4 หลายเดือนก่อน

    Uyu mama anacheka cheka wakati watu wapo seriously