Kwn hawa watumishi wanatokea familia zipi ambazo hawathamini watu. Mimi nadhani ikigundulika mtu kadhulumika wabomolewe na waliohusika washughulikiwe effectively
Hivi kwnn wanaodanganya serikali wasifukuzwe na kufungwa. Kùkosa hofu ya Mungu na kudharau viongozi tena mbele ya umma. Huu ni ubadhirifu wa madaraka. Kaka i mean i wish kufanya kazi na wewe na naahidi kuwatumikia wananchi wako
Huyu mwana Sheria namkubali sana kwanza anajibu Kwa mujibu wa Sheria pasipo Kona Kona ... Kama unamkubali kama Mimi gonga like hapo chini tufahamiane 😂😂❤
Huyo afisa utumishi afai kabisa kwanini wanakuwa waongi watumishu wa umma kwani akifukuzwa kazi huyo mama wao wanapata Nini no laana ya vizazi vyao fukuza shule zao Nina wasiwasi sana
Mkuu Makonda unazo hekama za mflme Selmani kwenye bibilya. Pambana mungu akuongeze hekima busara uchaji kipawa watanzania tuzidi kukutasimini mbele ya safari ndefu : nitasema kweli daima fitina kwangu ni mwiko rushwa ni adui wa haki sitapoke na Wala sitatoa. !!!!*** Hayo ndiyo madhumuni ya chama yadumuuuu asanteee mkuuuu tupo pamoja
Mbingu zikufunike boss wangu. I wish to ɓe part of your team kaka. Boss aliyenyooka khaswaaa
Huyu mama nimemuelewa sana anajitmbu hanrrd pcnt ❤
Hongera sana Mhe. Makonda Kwa kazi nzuri, Mwenyezi Mungu aibariki kazi ya mikono yako na akuzidishie siku za uhai wako ili uwasaidie wanyonge
Mwalimu uwezo wake wa elimu ni mkubwa pia akili nyingi sana anajua kujieleza pia .
Mkuu wa idara ajira yake ipo chini ya nani kama mkuu wa mkoa unaweza kufanya mabadiliko hapo hapo huyu mwalimu tunaomba awe mkuu wa idara
Ana kitu mwalimu
Akija silaa hapo nyumba inabomolewa
May the Lord bless you honorable makonda ,for really you are helping people
Makonda mungu akubariki sana ww ndo umejua sisi wananchi tunataka nini baba mungu atakulipa usiogope kupigwa vita
Serikali ya samia imchukue huyu mama ana kitu kikubwa sana ....
Mungu akulinde makonda
Nampenda mwalim bitris maana yupo full dose hadanganyiki yupo makini sana
Asante mwanasheria
Beatrice mwl na mwanangu umenibeba mabegani kwa umedhihirisha kuwa mwalimu si wa kubezwa na kutweza utu wake.
Huyo mama anasema ukweli ndo maana hana wasiwasi anasema ulweli
Kiwanja kikaingia mtoniiiiiiii. Walai huyo mtoa maelezo hajielewi.
Jamani b
Bitrice class mate umeteseka sana,pole sana.pambana mpaka kieleweke,Ashira oyeeeeèe❤
Kumbe kasoma ashira,,nilikua nashangaa mbona ana uwezo mkubwa Sana kumbe alisoma kipaji
Mh.ahsante sana kutetea haki za wanyonge!
Hupendwi kwa sbb unatenda haki,,mtenda haki daima hapendwi
Saf Sana teacher uko vzur makonda hongra San hatuna viongoz weny kufany kam makonda
Kwn hawa watumishi wanatokea familia zipi ambazo hawathamini watu. Mimi nadhani ikigundulika mtu kadhulumika wabomolewe na waliohusika washughulikiwe effectively
Katika Dunia nzima Wananchi hawaruhusiwi kuishi sehemu ya Mto kwa sababu sehemu hizo ni Kitanda cha Maji 😂 asante
Hapo kama namuona Slaa vile waziri wa ardhi yaani akiiona hii mmeishaa
Makonda 🔥🔥🔥
Ndio maana nakupenda makonda unacho sema nikama ninavyo wanza mm safi sana kaka
Wacha uongo bana amuweziwaza sawa na makonda ndg kila mtu ana nafsi yake 😂😂😂
Duh!
Njoo nakwetu lukwa baba uwe mkuu wa mkoa tumekupenda sana
👏👏👏👏👏👏👏👏
Hivi kwnn wanaodanganya serikali wasifukuzwe na kufungwa. Kùkosa hofu ya Mungu na kudharau viongozi tena mbele ya umma. Huu ni ubadhirifu wa madaraka.
Kaka i mean i wish kufanya kazi na wewe na naahidi kuwatumikia wananchi wako
Mwalimu yupo vizuri amekataa ku sign mpaka wakubaliane kisheria hapapariki na pesa
Kazi kweli kweli!
Barikiwa
Fanya kazi mzee
Huyu mama serekali mchukuwe anakitu kikubwa
Haya ni marmtatizo ya kitaifa kwanini wakuu wa mikoa wengine wasimsaidie Rais kama anavyofanya mkuu wa mkoa Arusha ?
Hongera mwl
MAKONDA WEWE NI SIMBA USIOGOPE KAMATA HUYO
Huyu mwana Sheria namkubali sana kwanza anajibu Kwa mujibu wa Sheria pasipo Kona Kona ... Kama unamkubali kama Mimi gonga like hapo chini tufahamiane 😂😂❤
Ila nyie watumishi wa hii nchi bhana, yaani mtoni ambako Beatrice hapamfai kapewa mtu ambae anaishi hapo hapo mtoni dah😂
Good
Uko vzr
Yaaani
Makonda big up
Gombea uraisi mkuu
Asiyempenda makonda nifisadi
,😂😂😂😂😂hii nchi inawatumishi wajinga sana.mpeni mwl mto wake aupeleke chumbani
😂😂😂😂daaah hatalii sana
Nguvu ya JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI ndani ya PAUL CHRISTIAN MAKONDA, blue print ya JPM.
Kwa kweli kinjwa ni kinjwa makondaa wewe ni taraolee mpya wa tz 230
Mwalim beatress ww ni jembe unajua kujieleza balaa tatizo wakishakalia viti wanajiona wo wenyewe ndo wanaakili
Makonda na kazi
Wapigaji tumbo joto
Huyu mwalimu jamani mpeni kazi nyengine huko serekalini asimamie mambo ya wanarusha.yupo fiti sana mkakamavu
Makonada mungu akuweke akulinde na mmungu
Makonada mungu akuweke akulinde na mmungu
Makonada mungu akuweke akulinde na mmungu
Makonada mungu akuweke akulinde na mmungu
Makonada mungu akuweke akulinde na mmungu
Afu Maza huyo mwanasheria ana Cheka Cheka anadhani utani kwenye issue serious kama hyo asee. Nonsense
Namkubali,makonda,ingawa,halinivujia,nyumba,yangu,suna
Huyo afisa utumishi afai kabisa kwanini wanakuwa waongi watumishu wa umma kwani akifukuzwa kazi huyo mama wao wanapata Nini no laana ya vizazi vyao fukuza shule zao Nina wasiwasi sana
Ingekuwa wakati wa jpm huyu mwalimu angepewa ukuu wa wilaya
Kiwanja kimeingia mtoni hahaha dah nimecheka kifala sana
Mh haya mambo yanatakiwa kufuatiliwa kila mwaka
Tenda haki kaka Mungu atakupa na atakulinda
Shukrani mkatoe kanisani
Mam ana upiga mwing kazi iendelee kusimamia haki zawayonge mkuu makond vzr san
Mungu akusidishie san
Makonda pitanao haooo
Huyu teacher aliyeoa ana kazi ngumu sanaaaaa😂
Mme wake atakuwa na bahati kubwa kuwa na mke kama huyu teacher
@@khaliphaabubakar9466 huyo mama akili kubwa mnooo huenda mwamba asiinjoy
"Mpeni beatrice akae mtoni"😅 mheshimiwa umeniua
😂😂😂😂😂
Udumu Mwana! Wanaokuchukia ni wenye vijiba vya roho, mawivu tuuuu
Chapa kazi
Mkuu Makonda unazo hekama za mflme Selmani kwenye bibilya. Pambana mungu akuongeze hekima busara uchaji kipawa watanzania tuzidi kukutasimini mbele ya safari ndefu : nitasema kweli daima fitina kwangu ni mwiko rushwa ni adui wa haki sitapoke na Wala sitatoa. !!!!*** Hayo ndiyo madhumuni ya chama yadumuuuu asanteee mkuuuu tupo pamoja
Waalimu wapewe heshima sanandio waliotufanya tupo tulipo.Makonda ubarikiwe sana baba
my madame
njjj
Bg up magufuli mdogo,chapa kazi mkuu.
Big Up Mh. Makonda kwakazi nziru. Huko mkoani arusha.
Ninatamani makonda Awe waziri
Mwalim ni wa moto hatari
MUNGU AKUBARIKI MKUU WA MKOA WA ARUSHA,NAOMBA MHE.RAISI WETU AKUTUME NA HUKU KIBAHA,NI KAMA VILE HATUNA HATA MBUNGE
Makonda kwa kweli nimekupenda bureeeee.malipo kwa Mungu
Makonda mtetezi wa wanyonge ubarikiwe na kizazi chako
Broather nakukubali sana ningependa u.gekuja hata mbeya usafishe madudu mengi na pia nakuombea uje uwe Raisi wetu wa tanzania ck zijazo.
Nasubiri apewe mto
Hongera sana mkuu wa mkoa Kwa kumsaidia huyo mwalimu
Huyo mama kamuajili
Mam ana upiga mwing kazi iendelee kusimamia haki zawayonge mkuu makond vzr san
Huyo msemaji wa jiji eti anachekacheka sasa unacheka kwa kuzurum haki ya mtu unaleta mapenzi kwenye ujinga
Makonda mwamba. Mtetezi wa wanyonge
Hivi kwa Nini watu hawana hofu ya mungu
Jiandae kukaria kiti cha urais kamanda mungu AKULINDE
Daaa! Mama huyu anajiamini Hadi raha
Beatrice umetisha mama
Natamani kuingia kwenye siasa❤️
Hivi mmegundua huyu mwalimu beatrice ana utulivu sana
Mama yuko vzur sanaaaa❤
Hakuna maeneo huko osmotic kule mashamba yote yana wenyewe
Hongera sana mh makonda kwakunyosha mambo
Hongera Sana makonda
BILA hivi mh.hatutoboi!
Makonda uongozi unaujua.
Wakuu wa mikoa mengine waige hili jambo
Umalaya unamsumbuaa,anachekacheka nini???????
Ndo namshanga kama malaya kaona tajiri
Mwalimu huyu yuko vyema
❤
Arusha mkatoe sadaka ya shukrani kwa RC huyu Mungu amewakumbuka hapa kila aliyenyimwa haki yake ataipata
Uyu mama anacheka cheka wakati watu wapo seriously