TAAMKO LA SERIKALI Z'BAR WATU 4,500 WASHAPATWA NA UGONJWA HUU | HALI NI MBAYA | RED EYES
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ส.ค. 2024
- #Redeyes #Zanzibar #Afya #wizara
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 717 619 834
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Namuomb Allah awaponyesh wote waliopat maradh haya n waliokua hawajpt Allah awahifadh ktokan n maradh hya In Shaa Allah.
Allah atuepushe na maradhi na atukinge na Kila la shari Amiin
Amen 🙏
Na hii tabia ya kuwafukuza wagonjwa kama mmbwa wanapo kwenda hospital muache tafadhali
Zanzibar na Tanzania wakosea.
waziri anazungumza kama muangusha nazi havutii kumsikiliza wala hafahamiki, kama anaeimba. ndugu wandishi habari mara elfu. mpeni pole nyingi
Washapata
Ndugu waandishi wa habarii 😂😂😂😂
Ndugu waandishi ndo nini kisha mmekaa weeeee km kufa c ndo tungelikuwa twishaa
Mnasema Leo watu wiki hii mikuwa mnaweza kuwazuia watu wasisafiri mpaka utulivu upatikane Leo ushaingia ni janga hili ukilipata hufanyi kazi😢
Neno la ndugu waandishi wa habari mbn unalirudia sn?
Wanasiasa hao yeye anaona kama Yuko bungeni
Muheshimiwa spika..........mheshimiwa spika...
Dawa ipo ilaugonjwa hautabuliki
Hapo mnapo wakosea wananchi mnawachagulia wananchi pakutibiwa
😅