Umetumia lugha ya mama anamsafisha makonda katika lugha hiyo nyie wanasiasa wa vyama hiyo ndo tabia yenu 2015 CHADEMA mlimsafisha lowasa kuwa ni msafi awapeleke ikulu
Wewe Kila siku ni kama wimbo unataka upewe nini Sasa au maokoto apo ndo Tunajuwa kuwa kelele zote ni maokoto tu hakuna Cha kijani Wala kombati wabigaji tu
Kama umepona give thanks to the mostly high jah fanya mambo mengine mzee dola ni kubwa sheria haitokusaidia kitu unaweza tafuta mapya makubwa zaid ya hayo
Nashauri Vyama vya Siasa vya Upinzani wajikite zaidi katika Sera za Maendeleo na sio kuongelea maslahi binafsi. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mheshimiwa Rais Dokta Samia ni Rais Msikivu hivyo madai yako atafanyia Kazi ila Wapinzani mjifunze kutoa Pongezi kwa mazuri ambayo Serikali inayafanya. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tatizo Kuna watanzani wanataka kujipendekeza kwa watawala bila kujua Kuna watanzani masikini tunaumizwa na hao watawara hao, hacheni upande wa pili watetee Taifa lao na watu wake kwa Hari hii hakuna kukatisha mtu was watu tamaa
Hakumlipa Stahiki zake,,, Wema upi huo alio nao? Hakuna alie kamatwa kwa kujeruhiwa kwake, ni wema upi huo,,, alimuhaidi kushughulikia yote hayo, lakini umeisha mwaka sasa,,, Ni wema upi huo... LOLIONDO imeuzwa kwa warabu, wamasai wanahamishwa kwa nguvu na ukikataa unakufa, watu wasiseme? Bandari Inauzwa kwa warabu milele, watu wasiseme! Umeme hakuna na bado mnafanya BIASHARA ya umeme Kenya watu wasiseme... pelekeni USHIRIKINA wenu na wizi wa mali za uma CCM vibaka
nyinyi chadema washenzi2 mpo kimasilah mno ww ulisema siku ile kuna malipo ulilipwa na ulikua umekopa Gali ya kazi nandio umeenda kulipa leo tena unasema hujalipwa tuchukue lipi ss pesa za luzuku hamja sema aliposema makamba kwamba mmechukua kimya kimya ukasema ndio tumechukua billion mbili sasa nyinyi 😂hamuaminiki
Wewe unayeongea kusameha umesamehe nani? Yeye anayetakuwa kusamehewa. Alipopewa tu ananza na Lissu wewe ungesamehe? Wewe ungepigwa marisasi 16 ungesamehe na mtu aliya andaa kufanya hivyo amejaa kiburi uwenda ameletwa kumumaliza Lissu kwa nini ni mtu wa kwanza kumusema ati ni mtoa taarifa? Kama kuna watu wa kusamehe ni Lissu na ndiyo sababu Mungu amemweka ili wabaya wajifunze. Makonda ajifunze kama alihusika
Warabu Zanzibar ni Inchi. Na sisi hatuna Inchi iliyojiunga na Zanzibar haipo. Mwisho mtataliwa na warabu wakitokea Zanzibar nawambia atayeishi miaka 150 kutoka sasa mtaishi kusimulia ninayoyasema sasa.
Majibu ya Makonda kwa wana habari walipomhoji kufuatia tuhuma zinazomhusisha na kupigwa risasi Tundulisu kwamba akamuulize mama yake, ni kumdhalilisha kiongozi mkuu wa ccm, kakidhalilisha Chama Cha mapinduzi nk, wana ccm tumevunjiwa heshima sana kumtusi mama wa mwana habari anayetimiza wajibu.
Waliomuuwa Magufuli bado wanadunda mitaani na wizi na ufisadi mbona hamsemi??? Mnamsikiliza kibaraka wa mabeberu utawafanyia kitaifa vipi? Kenge huyo!!!
Tuliza mshono pimbi wewe,una chuki na lissu, kwani akiwa kiongozi wewe unapungukiwa nini? Au hao wanao ongoza wewe umepata uteuzi gani? Kama sio kuhanya mtaani, sura imekuparara kama mbwa koko
Mpumbavu me naona km vile niwew kusamehe nijambo la kher lisu ananguvu ipi yakubishana na sheria Siri Kali elewa neno Siri na ni kali@@finesiakwimba7664
Hakika sasa naamini Tz hakuna vyama vya upinzani! Kwa sura hii na hizi tuziite ni siasa au malalamishi? Na kama hizi ni tuhuma sahihi ni vipi utupotezee muda badala ya kwenda mahakamani? Ama kweli kama huu si utoto, basi ni ujinga uliokubuhu "nonsense interview "!!!!
Wewe lissu hadithi zako tumezichoka.Hazitusaidii.Rudi Ubeljiki wewe traitor kichaa 😅mkubwa.Rudi ukachukue hela yako ya ukimbizi huko dereva w Wako anahusika na chama ch ako.Lissu hatukujui wewe mbuzi😢😢
Tundu lisu kila mtuu akitrend anahusika kukuumiza,muache Makonda kipenzi cha watanzania na watanzania wanamkubali, story na porojo zako hazijengi nnchi
Tundu Lisu unaonyesha wewe ni mtu a.baye hauwezi kumsamehe Mtu, hivyo ni mtu wa kisasi ungekuwa kama Mzee Mandela aliyeteswa Miaka yote Si ungemaliza Makaburu wote? Mambo mengine muachie Mungu ahamue.
Tundu unalalamika sana kuhusu Makonda kuhusika na yaliyokukuta, pole, pole sana sasa Mkuu kama ni hivyo na ushahidi unao kwanini usiende mfungulia kesi? Hasa ukichukulia kuwa mahakamani wewe ni MZOEFU?
Nami nashangaa kama walimuua mwenzao itakuwa wasiyo na uhusiano. Maana ujamaa ulikwrnda na Nyerere na ulizikwa pamoja naye. Iliyo baki ni ufisadi, wizi, kukopa mikopo tele tele mtalipa au mnataka wajukuu wetu kuwa watumwa tu? Mnaongea kama washabiki tu. Tafakari kwa kina kabla hujabwata. Kila neno ulitafakali kwa nini unalisema? Litaleta faida watu wakilifuata?
Naomba tuwe Wazalendo na kumuungauunga mkono Mheshimiwa Rais Dokta Samia katika Utekelezaji wa Maendeleo Nchini. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wewe. Kazi yako ni kujikomba kwa wazungu tu.Msenge mkubwa.Sasa wamekuchoka ndiyo maana uko hapa .hun a la maana zaidi ya kuongelea risasi kuminasita tu.😮😮😮
Kwani ukipibwa barabarani ni nani wa kuhusika kushika aliyekupiga na labda ulipoteza fahamu? Kwani serikali iko wapi? Aliyepigwa ni raia polisi kwa nini hawakuhusika kufanya upelelezi? Neno la Mungu linasema anateuwa kwa upanga atakufa kwa upanga. Inapogusa mtu na mwili wake muache kuongea ongea ni mwili wa mtu. Leo ni Lissu unajuaje kesho anaweza kuwa mwenzetu ni binadamu sioni vitu vya dunia tunatakuwa kuongea tufanye kinachotakuwa kufanya siyo ushabiki wa binadamu.
Makonda alijiweka pembeni mwenyewe kwa kuacha ukuu wa mkoa na kuchukua fomu ya kuomba chama kimpe nafasi ya kugombea ubunge.
Mwongo mkubwa Tundu lissu makonda hajahusika.
Ila huyu Jamaa mungu alimsimamia Sana mungu mwema aiseee
Pumbavu huyu, ulipigwa risasi za aina gani hata ukapona, na kwanini kama unawajuwa hujawapeleka mahakamani.
Umetumia lugha ya mama anamsafisha makonda katika lugha hiyo nyie wanasiasa wa vyama hiyo ndo tabia yenu 2015 CHADEMA mlimsafisha lowasa kuwa ni msafi awapeleke ikulu
Makonda piga kazi Alie inuliwa kainuliwa tu ,lisu acha wivu wew mwache makonda
Mjiandae kweli kweli maana yajao ya afurahisha
Tafuta Amani. MashaAllaah nchi yenu amani na furaha yawacheeeeni yalopitaaa. Masikizano na ummoja ni upendoo kwa nchi yenuu…
Wewe Kila siku ni kama wimbo unataka upewe nini Sasa au maokoto apo ndo Tunajuwa kuwa kelele zote ni maokoto tu hakuna Cha kijani Wala kombati wabigaji tu
Na yeye siku moja yatamkuta tu kama alihusika.
😂😂😂😂😂MAKONDA OYEEEE❤❤❤❤❤❤❤ acha chuki binafsi😂😂😂😂 .MAKONDA JUUUUU❤❤❤❤ .
makonda ni jambazi kama Sabaya sema nchi hii imekosa utawala wa sheria makonda ilibidi awe gerezani
Na makonda ataawaashosha nyie subili hapo hapo
Loveness
Kama umepona give thanks to the mostly high jah fanya mambo mengine mzee dola ni kubwa sheria haitokusaidia kitu unaweza tafuta mapya makubwa zaid ya hayo
Lisu aache wivu
Kwa maoni yangu. Chama hii haijali ubinadamu au uhai wa mtu.
WAANDISHI NA NYINYI WACHENI CHOKOCHOKO NA UNAFIKI
Hivi lisu ni kabila gani?
Huyu Tundu Lisu hana akili yeye kila siku anazungumza ovyo tu.Azungumzii ubora wa chama chao.Hafai uongozi wa nchi.
Wewe ungefanyiwa kama yeye ungenyamaza?
Wacha upumbavu
Mmmm je? Baba Yako anayo akili kama ya lissu. au yupo mirembe kwa Sasa au yupo kwanye kawa mdaa huu
😂😂😂 kazi kwako. Uongo ulioneza kanda ya ziwa sasa unapanguliwa. Kaa chonjo
Hovyooooooo....
Nashauri Vyama vya Siasa vya Upinzani wajikite zaidi katika Sera za Maendeleo na sio kuongelea maslahi binafsi. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Umechelewa sana kalabhaho
@@user-gr9wc7bc2mnafikiri wewe ndio umechelewa .
Kumbe hujuwi chochot umbeya ww
Maswali utakayopewa ndiyo yanayoongoza mjadala. Ayajuayo mwache asimulie shida iko wapi?
Mheshimiwa Rais Dokta Samia ni Rais Msikivu hivyo madai yako atafanyia Kazi ila Wapinzani mjifunze kutoa Pongezi kwa mazuri ambayo Serikali inayafanya. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
KIMEUMANA BITEKO AWA MBOGO MTWARA "KILA MTU ABAKI NA CHAMA CHAKE,SIASA ZA MATUSI NA KEBEHI AZIFAI"
th-cam.com/video/_rvCY26lOM0/w-d-xo.html
Makonda oyeeeeeee lisu turia wewe huo ni umbea kama una ushahidi siufungue kesi mbona unatapatapa
Tatizo Kuna watanzani wanataka kujipendekeza kwa watawala bila kujua Kuna watanzani masikini tunaumizwa na hao watawara hao, hacheni upande wa pili watetee Taifa lao na watu wake kwa Hari hii hakuna kukatisha mtu was watu tamaa
Acha zako Wewe huna swaga huna ishuu muache makonda apige kz mbona wakat mama haja mteuwa ulikua huja sema hayo
Jikite.zaidi katika kutueleza mambo.ya kisera,hii kila kukicha,magufuli makonda kama unaongeza mwendo kwa chura
P
Sasa kama mama alikuwa na ubinadam Kwa kiasi KIKUBWA namna hiyo mbona Bado unakuwa unamsema vibaya unadhani utalipwa wewe kama nani?
Hakumlipa Stahiki zake,,, Wema upi huo alio nao? Hakuna alie kamatwa kwa kujeruhiwa kwake, ni wema upi huo,,, alimuhaidi kushughulikia yote hayo, lakini umeisha mwaka sasa,,, Ni wema upi huo... LOLIONDO imeuzwa kwa warabu, wamasai wanahamishwa kwa nguvu na ukikataa unakufa, watu wasiseme? Bandari Inauzwa kwa warabu milele, watu wasiseme! Umeme hakuna na bado mnafanya BIASHARA ya umeme Kenya watu wasiseme... pelekeni USHIRIKINA wenu na wizi wa mali za uma CCM vibaka
TUNDU LISSU AMKANA MWABUKUSI"MWABUKUSI SIO CHADEMA,SAUTI YA WATANZANIA SIO TAWI LA CHADEMA"
th-cam.com/video/Xu9TqWA5880/w-d-xo.html
Je ungeumizwa wewe au mtoto wako ungeonsje. Au mkuki tamu kwa nguruwe.
Nyoooo lione
Lisu we huna jema kabisa na hata wewe siyo mtanzania halali kabisaa
Hizo siasa zenu za kitoto sikuhizi hatuzitaki acheni watu wapigekazii
Hawa watu wavurugaji sana,wamemsema sana magufuli Sasa ameondoka wameingia kwa makonda,tunakitambua waache kutudanganya
Sheria ichukue mkondo au faili limefungwa.
Anausika kweny mAbaya anachaguliwa tena. Naama ccm chapu
Uko sawa tu baba😂😂😂
Na Waarabu je, siyo mabeberu?
Wewe ni mfa maji huachi kutapata kama ni kweli mpeleke mahakamani
Unafik na uzushi haukuvushi ktk unayoyataka,utafedheheka tu
Huna mpya
nyinyi chadema washenzi2 mpo kimasilah mno ww ulisema siku ile kuna malipo ulilipwa na ulikua umekopa Gali ya kazi nandio umeenda kulipa leo tena unasema hujalipwa tuchukue lipi ss pesa za luzuku hamja sema aliposema makamba kwamba mmechukua kimya kimya ukasema ndio tumechukua billion mbili sasa nyinyi 😂hamuaminiki
ACHA KUTAPATAPA NENDA ZAKO WW UNATAKA KUVURIGA AMANI HATA KENYA WAMEKUSHITUKIA UNAPENDA VISASI TUNAKUJUA C TUNATAKA AMANI VISAC HATUTAKI UONGO HUO ANAKUTAKA NN?WATAJE WALIOKUAMBIA,ULISEMA JPM LEO UNAKANA TUACHIE AMANI RUDI ULIPOKUWA.CHAMA KIMEKUSHINDA MNAFIKI
Msameheane kama ni kweli,hatakama sio kweli twendeni mbele tuyaache yaliyopita...
Sawa
Wewe unayeongea kusameha umesamehe nani? Yeye anayetakuwa kusamehewa. Alipopewa tu ananza na Lissu wewe ungesamehe? Wewe ungepigwa marisasi 16 ungesamehe na mtu aliya andaa kufanya hivyo amejaa kiburi uwenda ameletwa kumumaliza Lissu kwa nini ni mtu wa kwanza kumusema ati ni mtoa taarifa? Kama kuna watu wa kusamehe ni Lissu na ndiyo sababu Mungu amemweka ili wabaya wajifunze. Makonda ajifunze kama alihusika
Duuuh Risasi 16! Mungu ni mwema, risasi moja tu huponi.
Muhongo choko huyo
Hyo ilishapita sasa hiv ni kazi iendeleee,,Haina haja ya kulialia ,piga kazi makonda
Nilikuaga nawapenda wapinzani ila saiv wote niwalewale
Kelele za chura hazikatazi ng'ombe kunywa maji
Fatani mkubwa huyo muongo kila kukicha ufatani tu. Mpuuzi mtupu huyo fatani mkubwa
Unaonyesha udhaifu mkubwa sana kaka we umekuwa wa kulia lia tu matangazo hayaishi ukitoka apo nenda kongo
Warabu Zanzibar ni Inchi. Na sisi hatuna Inchi iliyojiunga na Zanzibar haipo. Mwisho mtataliwa na warabu wakitokea Zanzibar nawambia atayeishi miaka 150 kutoka sasa mtaishi kusimulia ninayoyasema sasa.
Hahahahahha acha ni cheke kwani wewe Lisu ni wa kwanza kupigwa risasi kwenye hii nchi waliokupiga hawajulikani watakapojulikana watakamatwa
Wewe huna akili timamu na huna uelewa wowote kwa mambo yanayo endelea nchini
Majibu ya Makonda kwa wana habari walipomhoji kufuatia tuhuma zinazomhusisha na kupigwa risasi Tundulisu kwamba akamuulize mama yake, ni kumdhalilisha kiongozi mkuu wa ccm, kakidhalilisha Chama Cha mapinduzi nk, wana ccm tumevunjiwa heshima sana kumtusi mama wa mwana habari anayetimiza wajibu.
Hana baya hata moja Kwa sababu anayoyasema ni ya ukweli
😂😂😂😂😂😂 tumechoka na hii habari twende tukafanye kazi jaaaaaaaaamaaaaaaniiiii
Hivi tundu lissu ulipigwa risasi kweli au unatutania
Wewe nimwanasheria kweli ? Huna uhakika acha kuhisi vitu visivyo ukweli .
Jmn hiii nchi ubaya fanyiwa wewe ndo utaelewa 😂😂
MWANA KUYATAFUTA NA MWANA KUYAPATA 🤣🤣🤣🤣🤣
Huna jipya kibaraka mkubwa wewe muache Makonda apige kazi.....CCM oyeeee
Jengeni hoja juu ya hoja anazozungumza siyo matuzi
Waliomuuwa Magufuli bado wanadunda mitaani na wizi na ufisadi mbona hamsemi??? Mnamsikiliza kibaraka wa mabeberu utawafanyia kitaifa vipi? Kenge huyo!!!
UMEYATAKA MWENYEWE ILIOBAKO SHAURIA YAKO😂😂😂😂
Hata kama mama alikwenda kumuona, ukweli husisemww? Lissu ni anafaa kuwa kiongozi
LABDA AKUONGOZE WW NA MASHOGA ANAOWATAKA
Tuliza mshono pimbi wewe,una chuki na lissu, kwani akiwa kiongozi wewe unapungukiwa nini? Au hao wanao ongoza wewe umepata uteuzi gani? Kama sio kuhanya mtaani, sura imekuparara kama mbwa koko
Chalamira mkuu wa mkoa wa bukoba
Unafikiri utamchafua tena makonda huwezi kapambane na hali yako mdomo uliponza kichwa
KIMEUMANA BITEKO AWA MBOGO MTWARA "KILA MTU ABAKI NA CHAMA CHAKE,SIASA ZA MATUSI NA KEBEHI AZIFAI"
th-cam.com/video/_rvCY26lOM0/w-d-xo.html
Mh
MBONA WAKATI WA MAGUFULI HUKUSEMA CHOCHOTE
Utaratibu ukoje vigezo
Wewe Lisu wakati mwingine uwe unaona AIBU kuzungumza UONGO WA WAZI kabisa! Huna hoja za msingi za kuzungumza?
Kama una ushahidi mshitaki basi!!! Usikae kulialia kama lipumbavu. Nimekuchoka wewe kibaraka.
We ni Mwanasheria Mzuri unadhani kwenye Midia ni sehemu Sahihi ya kupata Haki yako?Hu ni Uchochezi! Kwanini Husiende Mahakamani na Ushahidi unao?
mahakama gani hapa Tanzania hakuna mahakama huru zote ni matawi ya serikali
Lissu ni mwanasheria, inakuwaje ueneze uzishi huu? Kama una ushahidi ulisubiri kufungua kesi hadi Makonda anapewa wadhifa ndipo unazusha haya.
Acha Makonda anyooshe na asawazishe mabonde.
Jinga sana huyu
Unaedelea kupoteza mvuto usitegemee kuwa raisi wa Tanzania.huiwezi CCM wala makonda.
Siku zotee ulikuwa wapi kumtaja acha husda wewe
Tundulisu tunakuchukia sana na mke wako shida anayo maana hujui kushukuru mungu na kusamehe
Mpambavu mmoja unaongea kwa sababu yaliyotokea siyo kwako, unajikuta kwamba na wewe umeongea point.
TUNDU LISSU AMKANA MWABUKUSI"MWABUKUSI SIO CHADEMA,SAUTI YA WATANZANIA SIO TAWI LA CHADEMA"
th-cam.com/video/Xu9TqWA5880/w-d-xo.html
Mpumbavu me naona km vile niwew kusamehe nijambo la kher lisu ananguvu ipi yakubishana na sheria Siri Kali elewa neno Siri na ni kali@@finesiakwimba7664
Hakika sasa naamini Tz hakuna vyama vya upinzani! Kwa sura hii na hizi tuziite ni siasa au malalamishi? Na kama hizi ni tuhuma sahihi ni vipi utupotezee muda badala ya kwenda mahakamani? Ama kweli kama huu si utoto, basi ni ujinga uliokubuhu "nonsense interview "!!!!
Wewe lissu hadithi zako tumezichoka.Hazitusaidii.Rudi Ubeljiki wewe traitor kichaa 😅mkubwa.Rudi ukachukue hela yako ya ukimbizi huko dereva w
Wako anahusika na chama ch ako.Lissu hatukujui wewe mbuzi😢😢
Huna baya baba
unaweeleza wakenya wakusaidie nini?kama sio kuthalilisha nchi yetu, mbavu zako
Tundu lisu kila mtuu akitrend anahusika kukuumiza,muache Makonda kipenzi cha watanzania na watanzania wanamkubali, story na porojo zako hazijengi nnchi
Wewe ulibakishwa tuone uongo na ustaarabu wako si unamtukana endelea kumtukana tu amekuletea chuma saizi ysko khabithila amali wewe
Mh. Lissu, pole kwa yote yaliyokutokea.. Makonda alishasamehewa na Mbingu. Mh. Lissu jisamehe mwenywe na Umsamehe Makonda mpk lini tutamwandama!
Ua ata swala tuu Kwa mkono wako utaelewa kuhusu hiyo unaiita misamaha
Tundu ndio hakutaka kutoa ushirikiano na jeshi la polisi
Tundu Lisu unaonyesha wewe ni mtu a.baye hauwezi kumsamehe Mtu, hivyo ni mtu wa kisasi ungekuwa kama Mzee Mandela aliyeteswa Miaka yote Si ungemaliza Makaburu wote? Mambo mengine muachie Mungu ahamue.
Lisu Hafai kuwa Kiongozi wa Nchi kuanzia sasa
TUNDU LISSU AMKANA MWABUKUSI"MWABUKUSI SIO CHADEMA,SAUTI YA WATANZANIA SIO TAWI LA CHADEMA"
th-cam.com/video/Xu9TqWA5880/w-d-xo.html
Tutafute amani tukimbilie Mungu acha longolongo shemeji
Ss kwanini hukuwashauri waliompiga risasi kwmba wamkimbilie mungu
@@kassim1262Huyo kibaraka wa mashoga ametuchosha kaishiwa hana jipya huyo paka
Tundu unalalamika sana kuhusu Makonda kuhusika na yaliyokukuta, pole, pole sana sasa Mkuu kama ni hivyo na ushahidi unao kwanini usiende mfungulia kesi? Hasa ukichukulia kuwa mahakamani wewe ni MZOEFU?
TUNDU LISSU AMKANA MWABUKUSI"MWABUKUSI SIO CHADEMA,SAUTI YA WATANZANIA SIO TAWI LA CHADEMA"
th-cam.com/video/Xu9TqWA5880/w-d-xo.html
Ata taja watu wote lissu hana mpango
Mmmm kazi unayo, Kila kiongozi ni Mbaya kwako?
Nami nashangaa kama walimuua mwenzao itakuwa wasiyo na uhusiano. Maana ujamaa ulikwrnda na Nyerere na ulizikwa pamoja naye. Iliyo baki ni ufisadi, wizi, kukopa mikopo tele tele mtalipa au mnataka wajukuu wetu kuwa watumwa tu? Mnaongea kama washabiki tu. Tafakari kwa kina kabla hujabwata. Kila neno ulitafakali kwa nini unalisema? Litaleta faida watu wakilifuata?
Risu hana jipya chuki zimemjaa laana ya kusapoti ushogaaitakukuacha salama .pia magufuli hakumuacha makonda ni makonda mwenyewe alpotaka ubunge
Naomba tuwe Wazalendo na kumuungauunga mkono Mheshimiwa Rais Dokta Samia katika Utekelezaji wa Maendeleo Nchini. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Watanzania me majuha
Mbona sikuzote hujasema Leo ndio unasemaa kisa makonda kateuliwa kwenda zako huko tumesha kuchokaa acha baba kigan apige kazi
Yani huyu jamaa ni muongo mpaka anakera waTanzania wamechoka porojo zako
Mtu akifa usipende kutaja taja kwa ubaya wewe tundu lisu amua kuokoka siasa ina mwisho na pia punguza uongo!
Mtu yeyote akifa,hutajwa kwa mema au mabaya aliyotenda,haikwepeki,lakini kwa wacha Mungu,wanatakiwa kumuachia Mungu.
Lazima usemwe mbona hata mitume wanasenwa
Hapo sasa nyumbu itasikia muziki wake ndani ya uwanja wa fisi
Wewe. Kazi yako ni kujikomba kwa wazungu tu.Msenge mkubwa.Sasa wamekuchoka ndiyo maana uko hapa .hun a la maana zaidi ya kuongelea risasi kuminasita tu.😮😮😮
Hii ndio tz ya mafisadi na wauaji hasa viongoz was juu
Kwani ukipibwa barabarani ni nani wa kuhusika kushika aliyekupiga na labda ulipoteza fahamu? Kwani serikali iko wapi? Aliyepigwa ni raia polisi kwa nini hawakuhusika kufanya upelelezi? Neno la Mungu linasema anateuwa kwa upanga atakufa kwa upanga. Inapogusa mtu na mwili wake muache kuongea ongea ni mwili wa mtu. Leo ni Lissu unajuaje kesho anaweza kuwa mwenzetu ni binadamu sioni vitu vya dunia tunatakuwa kuongea tufanye kinachotakuwa kufanya siyo ushabiki wa binadamu.