Wallahi huyu dada ana mtihani juu ya kujua dini yake maana yote alosema hayapo katika dini maana katika dini hakuna barua wala mkaja wa nani wala nani na wala hakuna cha kusema mke kua mbali na mume ikifika miezi mitatu umeachika halipo katika dini chunga sana usije ukaendelea kuolewa na ukiwa bado ni mke wa mtu maana utakua unazini hata kama mime hakushuhulikii kwa lolote bado kabisa maana ndoa haina expiring date.
Dada kuhusu ukimwi unaweza uka kutana na mtu mwenye ukimwi na uka zaa nae mtoto akawa hana na wew mama ukawa upo salama wew la maana nikurudi kwa mume wako wa kenya nenda uka fate ushauri wa ma dactari mtaishi salama na kama ni kweli anao ukimwi ujue unaweza uka kaa hata myaka kumi na majibu ya kawa negative wew rudi kwa mume wako
Kuwa mjanja msichana huwezi kubali kulala na mtu bila kupimwa. Kilichonisaidia nikuwa huyo mtu alikuwa akimeza dawa za ARV inavyostahili. Sasa makali ha virusi Iko chini kabisa haiwezi kuambukizana.. una bahati dada. Next time nenda upimwe mimi natoka Mombasa Kenya..kaa makini.
Hata mm nimeshangaa my, dini yetu haina hayo masharti alisema na kusema dini mpk mambo ya barua, hayo mambo ya barua hayana umuhimu wowote wazazi wanaemda kuposa direct
Da aisee hi story imenikumbusha mbali sana wallah kidogo yatakua kufanana na yangu na pia mimi uyo mwanaume alikua anaishi Kenya ila mimi nilikataa si kutaka Ata kumuona zaidi ya shangazi yake tu ndo alikuaga kuniongelesha nilivokataa wakawa wanalazimisha nimuone kwanza muoaji mwenyewe lakini siku walopanga kuja mimi asubuhi na mapema niliondoka ni kaenda mtaa wa pili kwa mtoto wa dada angu ad mda wa kulala ndo nikarudi da yaan nimecheka baada ya kukumbuka
Kidini hakuna kuolewa Kwa mkaja wa mama Wala ulazimu wa barua ,,kinachohitajika ni mahari walii au izini yake , na izini y muolewaji namahari sio lazma yatimie inaweza kuepo makubaliano ,na mashahidi wawepo
Dada kanichekesha kweli yeye anataka laki 9 aweke ela kwenye maziwa yamekugeuka ss Yani mtu umjui Wala akujui mnaoana iyo inakaaje wanafebok kweli inaingia akili jaman wanake wengi ni shida
Dada, nadhani huku para ushauri mzuri huko hospitali. Mngepata professional counseling kuhusu drug adherence na pia jinzi ya kuishi kama discordant couple nadhani hungeshutka ila pia maauzi ulio chukua ni right yako kujulinda afya yako. Pole Kwa uliopitia
Mmmmmh!!!!huyu mbona km alozaa na babake hii sauti jamaniiii!!!!!!?? Yaañ hata anàvoongea Inamaana haya ñnoyaskia kuwa hz story c za kweli ni kweli ama?
Subhanallah kumbe dada ulikua watoka na kila mwanaume then wamkimbia huyo alokuoa how come? Na ndoa ya kiislamu haivunjiki hata miaka 20 ila kwa hayo maradhi sio damu ila ni mungu tu amekulinda mja wake wewe, narudia tena ndoa haivunjiki hata miaka mia inavunjwa na talaka atamke ama aiyandike acheni maneno yakusikia tuisome dini yetu
Pole dad mimi najua tanzania hakuna kuozeshwa bila kupima maradhi Walikufanyia kusudi haraka haraka ili usijue Lakini usiogope madhali yeye anatumia dawa wewe unakuwa hupati na mtoto akizaliwA anakuwa hapati....rudi kwa mumeo ukae na uzae nae bila hofu..... Dada rudi kwa mumeo
We fala kwel ww yaan unamwmbia mwenzio arudi kw mumewe wakt anaUKIMWI Mfano ungekuwa ww kwl hali iyo ungeichkliwa kawaida tafakari kwnza so utoe ushauri wa kisenge senge
@@hamidmweusiii35 asante sana kwa kunitukana ...kama sijui nisingemshauri nenda ukasome kwanza halafu utukane watu...mbona aliyeandika kwa wnglish hukujibu au ulitoroka darasani
@@philemonmagesa5548 kila maradhi yana dawa kuna watu wana hepatitis na inaambukiza na nimbaya sana na wapo wanatumia dawa na wanaishi... ukimwi kama anatumia dawa hauambukizi na hata akizaa mtt hapati Nawashauri kama hamkusoma someni hata kwenye mitandao kwa lugha zoote mtapata jibu
Naunachokipata utakipata hamna cha pole hapo umedanga or mara akija tutakaa chini hapo imetoka endelea na maisha ulioyazoea zaidi kukusaidia. Muombe Mungu sana uyaishi mapenzi yake ili usijutie tena tulia
Nipe namba zake za simu atanipenda akiniona ila tatizo anakunywa pombe
Kujua dini ni muhim jmn barua mkaja wala aipo kwenye dini apo din imesema mahali Shahid na idhin yko
Wallahi huyu dada ana mtihani juu ya kujua dini yake maana yote alosema hayapo katika dini maana katika dini hakuna barua wala mkaja wa nani wala nani na wala hakuna cha kusema mke kua mbali na mume ikifika miezi mitatu umeachika halipo katika dini chunga sana usije ukaendelea kuolewa na ukiwa bado ni mke wa mtu maana utakua unazini hata kama mime hakushuhulikii kwa lolote bado kabisa maana ndoa haina expiring date.
Virus vyake sio vya kuambukiza ningekuwa mm ningekaa nae tu ukimwi popote unaupata
Rofa we
🙄
Nipe namba yake huyo bwana 🙈🙈
Muathirika wa HIV akiwa anatumia dawa uwezo wa kuambukiza ni mdogo sana, so ungepata ushauri mngeishi bila kukuambukiza
Yule rahma mwenye mtoto vp?
@@nancyhassan8290 🥰
Madam wewe huyo mkenya kashakupa ukimwi huwa Anawaonga madoctor lakini dada yangu pole kwa H.I.V 🇹🇿🇬🇷⚓
Sio mmefugwa tamaa ya pesa mmelala hotel usubui kwanini Amjakwenda kupima?🇹🇿🇬🇷
Nishadanga sana ila hamna mwanaume ambaye alonambia sogea tupike t ugari 😂😂😂😂nimecheka
😁😁😁yaani acha kbs
Huyo alikuwa anahonga private hospital ili amfichie aibu zake
Naona mkatafute ushauri nasaha mambo yanawezekana
kujuwa dini ni muhim sana eti nyota jamani shiriki kwanini uliolewa bila kupima?
HUYU DADA LABDA ANA GROUP O YA DAMU AMA UYU MWANAUME AWE ANA GROUP O
Hapo ulibugi yaani mungu angelikupa ufaham wa haraka haraka wala hiyo ndoa usingeliipata
Na hawa wazazi wetu nao Hawa
Duu iyo kali...na penda sana vipindi vwako bwana Shayo
Hamna taraka kwasababu hawakufunga ndoa ya dini wala ya bomani
Pole sana dada ila asante kwakutukumbusha tunatarajia kuingia kwenye ndoa
Kwa kawaida ukitumia vizuri dawa za kufubaza virus vya ukimwi huwezi kumwambukiza partner.
Dada kuhusu ukimwi unaweza uka kutana na mtu mwenye ukimwi na uka zaa nae mtoto akawa hana na wew mama ukawa upo salama wew la maana nikurudi kwa mume wako wa kenya nenda uka fate ushauri wa ma dactari mtaishi salama na kama ni kweli anao ukimwi ujue unaweza uka kaa hata myaka kumi na majibu ya kawa negative wew rudi kwa mume wako
Nikweli mamy unavyo sema sio wote wanaoishi na watu wa adhirika wanaupata ni masharti wanatakiwa wafate
Umeongea point
Kwa saut yako shost unaonekana ka mcharuko
Hiyo nyota ni Mila na hiyo kupeana vitu kwa wazazi na ndugu ni kimila tu si dini
Kuwa mjanja msichana huwezi kubali kulala na mtu bila kupimwa. Kilichonisaidia nikuwa huyo mtu alikuwa akimeza dawa za ARV inavyostahili. Sasa makali ha virusi Iko chini kabisa haiwezi kuambukizana.. una bahati dada. Next time nenda upimwe
mimi natoka Mombasa Kenya..kaa makini.
Sio kweli ww ni mke wa mtu na akifa unakaa eda
Nipe namba za bwana huyo
Stor ya rahma vipi yule bint mama ake yupo omani
Kaolewa na Kelvin tayari 🤣🤣
@@MohammedAli-rh5si AKIAMUNGU UMENICHEKESHA🤣🤣🤣
@@MohammedAli-rh5si unauhakika?
If he was adherent to the drug,he couldn't have infected you.
Mpaka ni comment kwanza ndio nisikize
Mbona nikama yule mdada alozaa na baba ake .. Au ni sauti tu zinafanana jmn
Ñi yeye
Ndio yeye uyoooo Aliza'a na baba yake tangaa
Jibu ni mke WA mtu ujaachwa muongo aipo ivo kusema miezi mitatu c mke wakat ww ndio uliondoka nyumban apo inaitwa mumeasiana sio mmeachana
Kaka kelvin shao hongera mungu awabariki nyote
Pole dada,, na Allah atunusuru wallah 😢
Pole sana Mpendwa Mwenyezi Mungu Anakupenda sana Ubarikiwe 🙏
Wewe dada shukuru mungu alikuokoa usiseme ni dam yako
Nipee number ya uyo mwanaume 🙈🙈
Sauti kama ya Zai wa kijiwe noga
Ni kweli sauti kama ya zai🤣🤣
😁😁Dharau izo ss
Ile stori yetu mmeuza au🙄🙄
Ipi
@@azizaaziza7996 ile ya yule jamaa alie zunguka east afrika yote tz anaona kama kijiji
Mmmmm dini gani hiyo isiyo taka mahali yote jamani 🤷♀️🤷♀️🤷♀️🤷♀️
Ss iyo sauti wt hawaijui pia ht ukigeuka uko
Mungu mwema jaman.. Pole sana dada na hongera pia kwa kuonyesha uwanamke wako
Kev kwa maswali nakukubali
Sheria ya dn gani isotaka mahari itimie?
Kwanza umsema unaolewa kimila ya dn yantoka wap sasa?
Hata mm nimeshangaa my, dini yetu haina hayo masharti alisema na kusema dini mpk mambo ya barua, hayo mambo ya barua hayana umuhimu wowote wazazi wanaemda kuposa direct
Da aisee hi story imenikumbusha mbali sana wallah kidogo yatakua kufanana na yangu na pia mimi uyo mwanaume alikua anaishi Kenya ila mimi nilikataa si kutaka Ata kumuona zaidi ya shangazi yake tu ndo alikuaga kuniongelesha nilivokataa wakawa wanalazimisha nimuone kwanza muoaji mwenyewe lakini siku walopanga kuja mimi asubuhi na mapema niliondoka ni kaenda mtaa wa pili kwa mtoto wa dada angu ad mda wa kulala ndo nikarudi da yaan nimecheka baada ya kukumbuka
Kiswahiiiiliii au wimbo🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂
Pole sana hata mm yalinitokea ila mm nilikataa kushiriki tendon la ndoa na nikavunja ndoa kbs hadi ss mm Sina ila yy anao
Kidini hakuna kuolewa Kwa mkaja wa mama Wala ulazimu wa barua ,,kinachohitajika ni mahari walii au izini yake , na izini y muolewaji namahari sio lazma yatimie inaweza kuepo makubaliano ,na mashahidi wawepo
🤝Kabisa
Jamani pole sna dda mungu akulinde maskini hulaumiki kuondoka kwake huo mtihan kwa kweli
Mungu atakujaalia utapata mwengine mpnz
Mbona saiti ka ya yule alie zaa na baba yake sasa,,,
Ni Yule aliyezaa na shemeji yake,that video was downloaded 7 months ago
@@agnesmwende6690 mmmmh
Dada kanichekesha kweli yeye anataka laki 9 aweke ela kwenye maziwa yamekugeuka ss Yani mtu umjui Wala akujui mnaoana iyo inakaaje wanafebok kweli inaingia akili jaman wanake wengi ni shida
Haiingii akilini,kuolewa namtu usiyemjua
Ataree kwakwer
Waongea ama unarap🤔sielewi chochote but nasikiza tu
Dada, nadhani huku para ushauri mzuri huko hospitali. Mngepata professional counseling kuhusu drug adherence na pia jinzi ya kuishi kama discordant couple nadhani hungeshutka ila pia maauzi ulio chukua ni right yako kujulinda afya yako. Pole Kwa uliopitia
Mmm mtibani
Nenda uolewe. Ukimwi kama ugonjwa mwingine pata ushauri wa madakitari.
Kk uko vizuri kwamaswali huwa nafulahi sana
Ukiwa umekunywa dawa hizo ukipima hawa hawaoni kitu .hata akinywa maziwa wanaweza kupima wasione.
Wanasema sikuzote hapew pole mtu mwenye kiranga😁😁😁😁😁😁
😄😄😄😄
Ujumbe wangu ni kuwa utakapo pata mwenza wako kabla ya ndoa mkapime ndo ndoa ipite
Kwanza kuangaliya nyota na kupiga lamli ni shirki ni vyema mkasoma mkaelewa dini siyo mnaongeya tuu
Sauuti hii ndie pengine
Sasa sauti yake si inajulikana?
Mashed na wanayuoni tunaomba mtu Sadie kuhusu talaka na ndoa na mahari
Hiii jamani we dada hajakujua nini _____sukari wala chumviii? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Ah
shayo anachokisema huyo binti kuhusu ndoa za kiislam ni kweli
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aki nimecheka kwasaut wallah khaa wanawake mngu anawaona et akiingia tu mganyage mguu wa kushoto kha😂😂😂😂😂😂😂😂
Sikiliza kwa makini. Huyu ni yule binti NIMEZAA NA BABA YANGU MZAZI
Ni Yule dada aliyezaa na rafiki(shemeji)wa mumewe
Anaitwa Mwaija kazeju eti alizaa na shemeji Io Stori was downloaded 7 months ago
@@agnesmwende6690 Mbona kama ni yeye kweli
Sauti yake ndio ni yeye
Kwahiyo wewe uliona chaajabu Nini hapo,
Kiswahi waaaaaaaa utadhani n shahiri.mmmh eti mke sasa.humjui haujai date tena wakubali tuuu.
Pole sana kwa mkasa uliokukuta, binafsi sikulaumu kwani una haki ya kufanya maamuzi magumu kulingana na hali halisi iliyojitokeza.
Aisee watu wanapiitia magumu. Mungu atulinde
Sana mm mwenyewe aliye kuwA MUMEWANGU ALIKUWA ANATEMBEA NA SHUGA MAMI ALIKUA NA UKIMWI MM NILIKUWA SIJUI BAS AKANIACHA
Mmmmmh!!!!huyu mbona km alozaa na babake hii sauti jamaniiii!!!!!!??
Yaañ hata anàvoongea
Inamaana haya ñnoyaskia kuwa hz story c za kweli ni kweli ama?
ck zot km halijakupata ww binadam tumeumbwa kutooamin juu ya mtu mwngne, had likupate ww ndo utasema ahaaa kumbe ni kwl, endeleen kujua n uongo
Kama siye wamefanana maana ata kuelezea yake ni yy kabisa
@@martinmaryogo3676 lisemwalo lipo
sio huyu jmn ni saut tu, ivi ww unatak mtu awe na saut yake peke yake ktk wat wot jmn
🤣🤣🤣🤣🤣 eti mkanyage mguu wakushoto hio nayo kali
Nitumie 2 namba yake 🙈🙈🙄
Pole mdog ang,mungu yu mwema kwako.
🤗🤗🤗🤗🤝🤝🤝🤝
🙄
Kaka Kelvin shayo tunakukubali mbaya
Huna lolote mchaluko tu
Ht hvo usiseme mamb meng unatakiw usabili upime ht mwak mzim ndo ufrah
* sorry hukupata
Kweli voo km alizaa na baba ake sasa vp
Wanga hao kupima nyota pole Dada umeponea tundu ya sindano
Kabisa kutizamia nyota ni shirki
Watching ur from kenya
Jamani anaongea anaimba duh
Subhanallah kumbe dada ulikua watoka na kila mwanaume then wamkimbia huyo alokuoa how come? Na ndoa ya kiislamu haivunjiki hata miaka 20 ila kwa hayo maradhi sio damu ila ni mungu tu amekulinda mja wake wewe, narudia tena ndoa haivunjiki hata miaka mia inavunjwa na talaka atamke ama aiyandike acheni maneno yakusikia tuisome dini yetu
Hatari
Mmmh wana hela!
🙄🙄
🤔🤔🤔
kaka shayo napenda sana vipindi vyakp
Pole dad mimi najua tanzania hakuna kuozeshwa bila kupima maradhi
Walikufanyia kusudi haraka haraka ili usijue
Lakini usiogope madhali yeye anatumia dawa wewe unakuwa hupati na mtoto akizaliwA anakuwa hapati....rudi kwa mumeo ukae na uzae nae bila hofu.....
Dada rudi kwa mumeo
We fala kwel ww yaan unamwmbia mwenzio arudi kw mumewe wakt anaUKIMWI Mfano ungekuwa ww kwl hali iyo ungeichkliwa kawaida tafakari kwnza so utoe ushauri wa kisenge senge
Anachukulia ngoma ni rahisi kuipokea ushauri gani huo wakumshauri mtu, yani mtu umemtambua ni mgonjwa hakukutaarifu alafu huishi nae??
@@hamidmweusiii35 asante sana kwa kunitukana ...kama sijui nisingemshauri nenda ukasome kwanza halafu utukane watu...mbona aliyeandika kwa wnglish hukujibu au ulitoroka darasani
@@philemonmagesa5548 kila maradhi yana dawa kuna watu wana hepatitis na inaambukiza na nimbaya sana na wapo wanatumia dawa na wanaishi... ukimwi kama anatumia dawa hauambukizi na hata akizaa mtt hapati
Nawashauri kama hamkusoma someni hata kwenye mitandao kwa lugha zoote mtapata jibu
@@shamzone388 kwel sjasoma nplke ww darasan
hyo ya kupma nyota ndo mpy kwngu
Plz shayo muendelezo wa rahma
Mumeusiemjua usikubali ndoa bilkupimwa
Naunachokipata utakipata hamna cha pole hapo umedanga or mara akija tutakaa chini hapo imetoka endelea na maisha ulioyazoea zaidi kukusaidia. Muombe Mungu sana uyaishi mapenzi yake ili usijutie tena tulia
Hayajakukuta ndomana uksema hivyo
eti kudanga huoni hata aibu mtoto wa kislaam..unaonekana mcharuko sana wewe dada ,tulia usali sana
Hayo mambo yakupima nyota niushirikina huo
💯
Ndugu zangu ktk imaani somen aina za talaka ktk uislam ndo mtajua km huyo bint bado ni mke wa mtu au la
Jaamani kelvin hongera unanikosha kw maswali yko mm napenda Sana intaviu zako mm