MREJESHO: RAHMA BINT MODOGO ASIYE NA NDUGU HATA MMOJA AANZA MAISHA MAPYA NA..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- MREJESHO: RAHMA BINT MODOGO ASIYE NA NDUGU HATA MMOJA AANZA MAISHA MAPYA NA..
.
.
.
.
.
.
.
.
#MREJESHO #RAHMABINTMDOGOASIYENANDUGU #UKWELIWAMAISHAYAKE #TIKITVKIAKILIZAIDI
Jamani poleni sana, pole sana Kelvin ndo changamoto za kazi ila hongera sana Rahma umepata kwako Mashaallah Mungu akutunze na akutunzie mwanao, ulinilza sana.
😢😢😢 Alhamdullilah. Wasomtaka wote kuna siku wao mwenyewe watamtafuta. Dunia duwara.. Rahma usimsahau yule Dada alokuwa na wewe mpaka Hospital...alikuwa mtu sana...
Alituliza wengi kwa kweli... baada ya dhiki huja faraja alhamdulillah
Tanzania ni nchi yenye watu tofauti wanahuruma MUNGU awazaidie kwa moyo huo👏👏
UMEFANYA VIZURI SANA
KUMSAIDIA HUYO BINTI.
UBARIKIWE BROTHER 🙌
NA KWA USHAURI WANGU KWA USALAMA MWENYE NIA KUTOA MSADA WATABIDI WATUME TU KWA MTANDAONI. MSIENDE KWA MTU PRIVATE HAUITAJI KWENDA KWA MTU YOYOTE YULE KWAKE. YANI MAISHA YA SASA SIO YA USALAMA, WATU KWA SASA ROHO ZAO SIO ZA UBINADAMU.!!
naunga mkono hoja dunia imebadilika kila mtu anawaza yake km kweli mtu anahitaji kutoa msaada atume kupitia mtandao msiende kwa mtu yeyote kwa usalama zaidi
Hata mm naunga mkono
Mashaallah mngu amjaalie kila laheri
Manshallah usikate tamaa hatasikumoja mndogowangu ikosiku utayasahawu maumivu unayopitia inshallah 🙏🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Wooow congratulations kwa wale milijitolea kwa kumusaidia binti huyu mungu awazidishie
Alhamdhulillah🙏Allah akuongoze mdogo wangu.akupe siha nzur pamoja na mwanao.
Amin
Rahma mwanangu mm nakupenda sana nataka uwe mmoja kati ya mamilia yangu japo sina kitu lkn napenda iwe hivyo na huyo mtt wko awe ni mjukuu wangu nina kaa tanga ndio maskani yangu nakukaribisha sana tupo pamoja allah akusaidia kumpata mama yk mwanangu
Mwenyezi Mungu ni mwingi wa Rehema, Hapo mdogo wangu pambania maisha yako Asiwepo wakutaka kuurudisha nyuma, na usishawishike kwa lolote walimwengu hawafai, pambana pambania .maisha yako na mwanao
Maa shaa Allah
@Kelvin shago hongera, Mungu akutangulie Kwa kazi nzuri,tumia email address itakuwa rahisi
Mashaallah mashaallah 🥰
Ila bado amtihan kikubwa asirusu kutembelewa bila kamera kwa maono yangu
Hongereni sana ndugu zety wallah awahifadhi na awalipe kheri lkn msijekutoa namba za rahma kwa mtu yeyote na msijemkawaonesha watu location ya hapo aishipo anaweza kuja kufanyiwa uhalifu nawaomba plz mhifadhini kwa njia yoyote
Nikweli kabisa usemacho ndugu watanzania roho zimebadilika
Naam dear si keshajulikana kua ni binti then anaishi peke yake hana usimamizi, mtu aweza kuja na gia ya kusema nakuja kuposa kumbe ndo wale wale
Mwanangu Kelvin Mungu akubariki sana inhabitants kwa mwingine munguakubaki
Jaman niliisubir kwa hamu
rahma mungu atakupa wepesi sote tunakupenda na mama yako utampata inshallah
Amin yarab
Mashallh kaka allh atakulip akusimamie kilahatua yamaishayakooo akujaalie uwemuislam tumefurah kumstir mwanamkemwezetu
Alhamdulillah
Ila Rahma kama mama nakuomba utulie asije.mwanamme yoyote akakwambia nnakupenda wewe ukaingia ukaanza kuishi nae kimapenzi akitokea hivo ukasadikisha nawewe umempenda basi afanye taratibu za kihalali akuoe usikubali kuzini nae
@@hafsahajiabeid5768 baarakallahu fiik
Rahma anaupendo
Alhamdulilah allh azidikukufanyiyawepesi binti
Wow,tiki tv mmefanya Kama Kaka Zahiri mungu akuongeze inshaAllah 🥰, kelvin mungu atakufikisha mbali inshaAllah
Kama hujaoa .... Mpendezeana sana jaman
Sahihi apo kod kubwa bora tujengee inshaallah
Kelvin mbona na mimi naanza kupata hisia kama za Amina kwako jamani
Ah polen🙄
😁😁
watu mna vituko
Nimepata faraja ya moyo leo kuona huyu mdg wangu kapata kwake Ooooh mungu mkubwa sana
Alaf shayoo usinenepe jaman......
na weupe huo anao
@@heyumi2340 👌👌👌
Nimerudi tena huku, anachoongea yule dada kule ndugu zangu tukipuuze, shayo kaanza mwacheni amalize, anaetaka kumsaidia rahma amsaidietuu, yy hana ndugu, naona sasa watu wanalazimisha awe ndugu yao, jamani msimuharie, msaidieni muondoke thawabu kwa Allah
Mashallah, hongera sana Kelvin, kiukweli nimefurahi sna Mwanamke mwenzangu kupata sitara, Allah akusimamie katika kila hatua unayosonga my love 💕😘
Amin
Hongeara sana kelvin mungu awabariki
Hongera sana najisikiafuraha sana mana huyu mtt rahma aliniliza sana lkn sikuwa na uwezo allah akusimamie zaid na zaid
@@halimaomar2564 me too my dear
Allha akusaidie na akuinuwe inshllha usivunjike moyo
Mashallah kumbe alioko juu ni Kelvin mwenyewe aah mungu akubariki sana kakangu kazi nzuri sana ni jana tu niliomba mregesho wa huyu binti
Mashaallah mashaallah
Kaa tu apo mashaallah shayo anapiga hella na maungo juu
Muwe makini sanaa kama mtu anamsaada awatumiye tu sio kumfata na kama anakitu awaletee ofisini watu wabaya anaficha rahma isijekuwa walimbaka
Pole na hongera sana Kelvin umemsimamia Rahma kama ndugu yako wa damu.
Hakika Allah amlipe kila la kheri
Mashallah nimefarijika, Allan akulipe khery ya dunia na Akhera Kevin, na Rahma Allah atakufungulia zaid inshaAllah, Innallah Maswabirin , tuko pamoja inshaAllah
Vp Rahma mdogo wangu ulipitia elimu ya dini? Kama hukubahatika naomba ma ukhty waliopo Dar wajitokeze kumsaidia kwa hilo. Allah awabariki wote walioshirikia kwa namna moja au nyingine kumsaidia Rahma...amiin
Huyo aliyetaka kumfanyia uhuni Allah anajua cha kumlipa, yaani mtu anamatatizo unataka kumuongezea matatizo pumbavu kabisa
Shukran sana kazi Nzur. Mwenyezi Mungu akutangulie katika kazi zako
Please mwanangu usiache kuswali honey mashaallah
Amiin amiin lnshaallah wng hny lvu
Kuna yle mumama aliyekuwa akimchafua kelvin
Was waiting to see how the lady have been progressing🙏🙏🙏🙏🙏🇮🇹🇮🇹🇮🇹🇮🇹av been asking so much about the lady
Safi xana tiki tv pamoja na Kelvin shayo
Kwa kweli niliumia sana kutoka Kenya asante sana Kelvin mungu hawabariki sana
Mashaallah mungu awasimamie Tik TV na wote mlomsaidia
Alhamdullillah, Mungu hamtupi mja wake.
Alafu ana jielewa Sana Wala apepesi ameangalia chini vizur nice dear mungu akuongoze
Baba hakuwa na picha ya mama yako pengine pia hajuwi sura yako ya ukubwa tuonesheni picha ya mzazi wako miaka 20 sio mdogo wewe ulikuwa na miezi 3sio miaka
Tunataka kujua habari zq huyu dada anaendeleaje
Inasemekana mchango haimfikii rahma
Umesema ukweli bro lakini kwasasa achana nao
Mungu akubalki Kevn acha wanadamu waseme maana hawawezi juilika kuongea. Kupanda juu kulekebisha dilisha. Ni moja wapo ya msaada. Na kingine Rahma akiwa kwenye mikono yako yuko sehem salama. Achana na hao wanao kusema vibaya
Masha'Allah hongera sana klvn kwa juhudi zako umejitoa sana kwa huyu binti pia hongera sana rahma Masha'Allah kiukweli rahma ni binti anajielewa sana kwa changamoto alizozipitia ingekua mwingine angeshajiingiza Ata kwenye biashara za kimwili lakini aliona ni kheri auje uji kiukweli ameonyesha uthububu pia nimempeda sana kwa muone kano wake anahojiwa lakini macho anainamisha chini ndivo inavotakiwa kwa mtoto wa kike unapoongea na Unajua Kuna wanaume wanakutizama so vyema kukoda mimacho kama ilivo kawaida ya wanawake wengi maana Kuna wanawake wengine Ata akiongea na mwanaume unaona mwanaume ndo anaona aibu na kuinamisha macho 😁😁😁😁
Rahma mzuri na anajistiri Mashallah
ماشاءالله
Ndugu mwandi shayo Kuna tuhuma.dhidi Yako kwamba unamtumia Rahma kujipatia mtonyo Kwa sababu ulimzuiya kuktumia no Yake unalazimisha atumie no ya kiki ila Hela zikija uwe unaminnya na Kuna dalili ya ya ukweli juu ya hili Kwa sababu yy ni mtu mzima na anatakiwa kusimamia mambo yake mwenyewe Tena na km si kweli toa ufafanuzi juu ya hizi tuhuma zilizotolewa ma na bi warda katika AQ online tv
Alhamdulillah kwahatuwa hiyo🙏🏽
Mmmmhhaya unatangaza Hadi nyumban
Rahma huyo bwana ulozaa naye achana naye
Anaheshima sana amezamia chini amejifinika kichwa madhaallsh
HAKIKA MUNGU NI WAAJABU BINTI ATAKI MAZOEA KABIZAAA YA MASIMU MUNGU AKUPE MSIMAMO HUO
Weka namba yake usweje namba yako
Pia kwann hutaki kusaidiwa kwa kupitia sim yako wamganda huyo tiki 😂😂waovyo sana ww
Mwenzio alikua ataka akusaidie weye wamganda huyo kaka eti huezi kusema ki2 bila yeye.aki sijui kakupea nini.ila dada alokuita chumban alikua lengo lake ni msaada kwako ila ukaona vp.na walotaka kukuowa walikua wakustili wewe ila ukaona sijui ki2 gani.mwanamke stara dada.
yani huyu kaka mungu akulipe unamoyo
Sasa makelele muziki na mtoto daa bas
Please brother send me your information on site to help my daughter thank you
Pesa haimfikii rehma
Allah awalipeni nyote mliosaidia hyu bint amiin amiin yarrab
Masha Allah dada yangu mwisho wa dhiki ni faraja 🥰🥰 Allah akulinde wewe na mwanao ♥️
Kama unatishiwa mdogo wangu,nenda karipoti polisi mdogo wangu
Pole sanaaa kijana mwenzangu na we ni Rika moja na me hata kiumr pia ha2japishana
Mengi magumu umepitia na umeyavumilia bil ya kukata tamaa kiukwely nimesikiliza simulizi yako me monyewee imenilizaa
Imaaa nitazidi kukuombea mungu azidi kukuondoshea magumu yote na ukaishi maisha ya furaha Rahma pamoja na mwanao
Alhamdulilah si haha umepata pa kuishi In shaa Allah Mola atakufanyia wepesi katika maisha
Mashaa Allah, nimefurahi jamani Rahma wetu
Yaan ww acha tu Mungu ni mwema
Ht mm nmefulh sn
Pole sanaa mdogo wangu
Mm ni mwandishi wa simuliz nilikuwa nauomba huu mkasa wa dada Rahma niuandikie simuliz Kama itawezekana
Ma Sha Allah mungu awajaalie nyote mlomsaidia Rahma Kwa pesa au maombi mungu awabariki
Kuna siku tulikuwa na mdada mmoja mwenye shida kama ya rahma lkn huyu dada alikuwa kiziwi tukatoka wafadhili tukenda pale alipo tulikuwa hatupajui ila kulikuwa na mmoja wetu alipajua tukenda kupeleka vitu huko aliko bahati alikuwa na sehemu ya kukaa tukapeleka misaada yetu tulivyo maliza tukaondoka sasa huku nyuma huyu mmoja wetu Alie kuwa anapajua alirudi na kumdanganya .... Baadae tukaja kusikia kamtia mimba yule dada mbaya zaidi alikuwa tayari anawatoto wawili na hii mimba ni wa tatu naomba msaidieni huyu dada asihadaiwe na matapeli
Hakika
Mashallah Allah atakufanyia wepesi mdogo wangu na atakuvua na mabalaa yote utaishi kwa amani na mtoto wako nakupenda mamy nimefrahi kukuona 😘💕tuko pamoja
Sasa msiwaambie watu anapoishi kama watu washaanza kumsumbuwa maskinii
Mimi naomb waliojaliw ridhik kubwa wamjengee aishi na mtto
Yote hayo mungu ndo aliyapanga lengo akukutanishe na mama yako
Hongera rahma mwanangu, kwa ustahmilivu mkubwa uloonyesha pamoja na magumu uliyoyapitia hatimaye MUNGU kafanya njia, wewe ni mfano wa kuigwa katika mabinti, Mungu asikupungukie hekima, na afya wewe na mjukuu, Mungu anamakusudi nawewe kwa mabinti wa kitanzania ni wachache kama wewe uliemwekea Mungu tumaini lako hukutamani pesa za haraka kwa njia zisizo halali. MUNGU wa mbinguni akubariki sana akutunze wewe na mwanao
Mashallah, àlhamdullilah,ila wasia wangu kwako walokusaidia wakati wa dhiki usije wasahau na walokutenda mabaya usiwalipe mabaya, Allah yu pamoja naww
Aamiin
Mungu akubariki na akutie nguvu.. Amen 🙏
Mungu awabariki
Oh kelvin Mungu hakubariki sana jamani tuko pamoja
Wakwanza like jamani
Mm wapili jamani like
🤣🤣🤣🤣
Kaka unajuwa sana kumuhoji mtu hongera sana. Napia wa Tanzania tunamoyo wa upendo inshaallah Rahma mungu atakusaidia.
Alhamdulilah,Rahma mshukuru mola, Allah akupe Kila la kheir na akuondolee Kila Shari, nakusihi usidanyike na wanaume wengi wanataka starehe na wakuharibia maisha yako tu hao tulia na mwanao umlee vizuri na Allah atakupa mume mwema
Nilikuwa nakuonea huruma sana ila mungu akipenda nitakachokipata japo mara moja moja nitakusaidia in sha allah
Kuna dada abanchafuwa kakvine jmn inabidi tukamchambe asituketee ujinga
Niliona Ile TV nyingi na nimeona uku pia nimegundua kelvin ulikua unafanya sahii kwako kwa kumlinda uyu msichana mana wengi wangemtaka labda kumuoa ama ata kumtapeli
Jaman Rahma nimefrah mwenyewe nilikua nakuwaza na ulijua kuniliza alhamdulilah jaman
Kav mbona kama una kitambi kaka
Kweli Rahma anafaa kusaidiwa na sisi ndio ndugu zake
Mashallwah nimefurahi sana kumuona rahma akiwa na furaha tiki tv mko juu
Rahma jitahidi kama hujui dini yako umtafute mtu akusomeshe dini yako
Qur an
Sala yako usiache
Stara
Jitahidi na ibada yako utafungukiwa
Umuombe msaada Allah na msamaha
Utafanikiwa
Usitafute mahusiano kabla ya ndoa
Allah akupe mume mwema akujaalie umpate mama yako
Hwenda mama yako anaumia pia lkn kutokana na shindikizo la ndugu ndio akachukua maamuzi yako
Muombee dua sana mama yako ipo siku mtakutana inshaallah
Good work Shayo
Huyu ana Akili akiwezeshwa ataweza kupigana na maisha
🥰🥰🥰🥰
Nafurahi saana mpaka 😭😭😭😭😭
Duunh kumbe uyo uko juu kelvin ,,mashallah Ashkuriwe Mwenyezimungu anaezidi kutuneemesha
Mungu akubariki sana kevo
Tunamsubiri kwa haam tumuone huyo mama anaitwa mama
Mashallah,ninatoa shukran kwa wale wote waliojitolea kumsaidia Rahma M/Mungu awazidishie Iman na patolazaidi na nguvu zaidi na ambao hawanapia nawaombea Mungu wawezeshwe ilituxidi kusaidia binadamu wenzetu wanaostahili kusaidiwa malipo tutaenda kuyaona siku ya mwisho inshaallah 🤲🤲
Mungu akubariki sana Kelvin na TIkI TV....pia naomba tafadhali tafadhali wasimtembelee Rahma nyumbani kwake kwa lengo la kumpatia msaada maana watu wanabadilika...kila anayetaka kutoa msaada aupitishe tiki tv
Masha,Allah tabaraka allah
Mashallaah mungu awabarik
Kelvin mungu akubariki sana
Alhamdulilah kev mungu akubarik I kazi ya mikono yako
MASHALLAH ukimupata mom ndokilakitu sinyo makosa ya mom bali umusameh namani hata yeye eda alikuwa anafikiria akashidwa ataazia wapi na yeye now hana tena dungu tz pole saaan ndogo wang usetowe number yako hahh mashaallah unakili acha watumie tik tv😚😚
Kuna watu washenzi wanajifanya kumsaidia kumbe Wana taka kumfanya vibaya binadamu mpoje jamani
Wewe amini kama kelvin ni msamaria lakin mim sikubali kabisa na hasa sasa ukweli unafichuka kuwa hii ni dili tu. Mjinga huamin kila neno wenye busara huangalia mambo yendavo