MSIKIE SHEKH MZIWANDA ALIPOMUHOJI SHEKH WALID ATUPE FAIDA KWANINI TUNAOA HADHARA YA SHINYANGA .

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2021

ความคิดเห็น • 102

  • @SaidiSelemani-o9y
    @SaidiSelemani-o9y 2 วันที่ผ่านมา

    Sheikh walid MashaAllah Allah aendelee kukuhifadhi napenda sana darsa lako

  • @abdullakhlaas4377
    @abdullakhlaas4377 3 ปีที่แล้ว +19

    MashaAllah sheikh Walid kunakitu chapekee Allah kakupa balagha, falsafaa sheikh unatunu nyingi sana Allah akihifadh inshaAllah

    • @ishaantitus7369
      @ishaantitus7369 2 ปีที่แล้ว

      you prolly dont give a shit but does someone know of a method to log back into an Instagram account..?
      I stupidly forgot the password. I would love any tricks you can offer me.

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 3 ปีที่แล้ว +19

    Huyu Sheikh katulia sana nilikua sijawahi kumsikia nimevuna vitu vingi sana.Allah akuzidishie maarifa Sheikh

  • @jumaamsuya5
    @jumaamsuya5 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mashekhe allaah awalinde nawapenda sanaa

  • @yussuflucas7049
    @yussuflucas7049 3 ปีที่แล้ว +8

    Masha Allah shukran Sana sheikh (Allah) akulipe kheri na akulinde nakila aina ya shari, na akujaalie umri mrefu wenye kheri nyingi na barka tele...!!!!

  • @mfaumekindamba8634
    @mfaumekindamba8634 3 ปีที่แล้ว +7

    Maashaallah M/mungu azidi kukusimamia sheikh bin sheikh tuzidi kustafidi inshaallah

  • @rashidisalimu2222
    @rashidisalimu2222 ปีที่แล้ว +1

    Maashaallaah swali zuri na limepata majibu yenyekujitosheleza na yanayo eleweka alla akuzidishie kheri shekh walid

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 ปีที่แล้ว +1

    Vipande vifupi kama hivi vya masheikh kustukizana kuulizana maswali muhimu kwa faida ya waumin viendelezwe..shukran sheik mziwanda kwa ubunifu

  • @aminamkumba3549
    @aminamkumba3549 ปีที่แล้ว +2

    Mashaa Allah, tumepata sheikh lkn pia mwalimu, anafundisha vzr sana

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 ปีที่แล้ว +1

    Nakupendaga sanaa shekh wangu unautuliv sana ktk mazungumzo yako

  • @halimamkangama4966
    @halimamkangama4966 2 ปีที่แล้ว +2

    Sheikh walid alhad yuko vizuri sana

  • @sophianyangalio3796
    @sophianyangalio3796 3 ปีที่แล้ว +2

    MashaaAllah Mwenyez Mungu azidi kuwalinda na kuwapa maisha marefu masheikh na waislam wote

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 ปีที่แล้ว

    Shekhe yuko vizuri sana 👍 Kiongoz wetu wakiislam ktk Jijikuu Tanzania nimekukubali Mkuu kwanza uongeaji niwaki Heshma kwakilamtu Mdogo naMkubwa 🙏🙏👍

  • @ZainabHassan-hz4no
    @ZainabHassan-hz4no 15 วันที่ผ่านมา

    Alla akupe bararaka nyingi apenda mafundisho unayotoa

  • @fatuma3969
    @fatuma3969 ปีที่แล้ว

    Maashaaallh allh akulipe Kila lakher darasa nzuri sana nimejifuuza mengi

  • @fatumahamisi7064
    @fatumahamisi7064 2 ปีที่แล้ว

    Shukran Jazzeella shekh kwamwenye uelewa amekuelewa na mungi akujaalie ueleweke daimani .kwa kuelimisha umah

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f ปีที่แล้ว

    Ma shaa allah sheikh mungu akuzidishie elimu na akuruzuku fahamu

  • @nomamatata754
    @nomamatata754 ปีที่แล้ว +3

    Mi mkristo lakini sheikh wa mkoa( kwa sasa) amejibu swali la sheikh mziwanda vizuri sana tena kwa utulivu sana.....kuna mengi nakubaliana nae .......afaa kuwa kiongozi mbele za watu pasipo kumhukumu kwa ubinafsi wake.....kila mtu ana mapungufu.......

  • @FatimaFatima-wz2qt
    @FatimaFatima-wz2qt ปีที่แล้ว

    Mashalla shekhe Alla akupe umri mrefu inshaalla

  • @ramlazubery1682
    @ramlazubery1682 ปีที่แล้ว

    MASHAALLAH. ALLAH KARIM. AKUTANGULIE KATIKA KILA JAMBO INSHAALLAH

  • @sammoses7479
    @sammoses7479 ปีที่แล้ว

    Masha Allah, m/mungu akusimamie she wamkoa. Kwanasaha zako izoizo. Zenye haki

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 ปีที่แล้ว

    Jazaka Allah khaira shekh

  • @mfaumehassan3816
    @mfaumehassan3816 ปีที่แล้ว +1

    Allah akbar

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 ปีที่แล้ว +3

    Wanasema wamesharibiwa na mfumo/mpangomkakati (mission) uloasisiwa na Wamishionari kwa kupachika Demokrasia (haki sawa).
    Wanawake wamekuwa hawatulii majumbani wamekuwa wajasiriamali hivyo hawana muda (hawataki) wa kuolewa wanaona kuolewa ni utumwa/kupitwa na wakti.

    • @aminajuma1435
      @aminajuma1435 2 ปีที่แล้ว +1

      Lakini ukichunguza kwa undani hiyosababu chanzochake niwanaume ndowamepelekea wanawake kujiwekahivyo… wanaume wameumbwa kuwa viongozi lakini wengiwao hawajui wajibuwao kwenyehuo uongozi… naukizingatia kunaupungufu mkubwa wa elimu yadini ndomana inapelekea wanawake piakuwahivyo.

  • @aliamoursaid2581
    @aliamoursaid2581 ปีที่แล้ว

    Alhamdulillah Allah amzidishie utulivu

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 ปีที่แล้ว +1

    Mungu katuokoa na mengi kutuletea huyu walid jamani tuna muomba awe anatoa darsa kwa sana

  • @danielshekiyao706
    @danielshekiyao706 ปีที่แล้ว +1

    Mimi SI muislamu ila huyu shehe Yuko vizuri

  • @thakibuiddi1857
    @thakibuiddi1857 3 ปีที่แล้ว +4

    Hii hadhara inamashekhe wengi kuliko wanafunzi

  • @ramsofundi2222
    @ramsofundi2222 3 ปีที่แล้ว

    Maa shaa Allah

  • @awadhtamla6989
    @awadhtamla6989 ปีที่แล้ว

    Mashallaah

  • @saidabubakari7560
    @saidabubakari7560 ปีที่แล้ว

    Maashallah

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 ปีที่แล้ว +1

    Ndoa ni Ibada.

  • @dhamirkhamis9073
    @dhamirkhamis9073 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah

  • @nurudinmaede5936
    @nurudinmaede5936 ปีที่แล้ว

    Maaashaallah 🙏♥️

  • @hashtagdarling4738
    @hashtagdarling4738 3 ปีที่แล้ว

    Masha Allah

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 3 ปีที่แล้ว +1

    Alhamdulillah.

  • @fatemaoman7948
    @fatemaoman7948 2 ปีที่แล้ว

    Barakallwahu fiik

  • @hamiddikupatile9055
    @hamiddikupatile9055 ปีที่แล้ว

    Dakika ya 9 mashAllah

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 2 ปีที่แล้ว

    Machallah

  • @issagawai3340
    @issagawai3340 3 ปีที่แล้ว

    mashaaallh

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 2 ปีที่แล้ว

    ماشاءالله

  • @fatmarashid1843
    @fatmarashid1843 ปีที่แล้ว

    Mabruk walld

  • @maimunaabdallah5304
    @maimunaabdallah5304 7 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤

  • @omarykyutta6681
    @omarykyutta6681 3 ปีที่แล้ว

    My sheikh

  • @umarbakar1694
    @umarbakar1694 3 ปีที่แล้ว +2

    Assalaam 'alaykum... Samahani naomba darsa ya arbaiina nawawiy kama ipo clip yake naomba nielekezwe nipate kustafidi. Jazaakumullahu khairan wao'afwa minkum.

  • @halimaally623
    @halimaally623 ปีที่แล้ว

    Mwenyezimungu akupe afya njema umri mlefu wenye manufaa kwetu sote

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 2 ปีที่แล้ว +1

    aslmh shekh ukirudiya inageukaaa maanaa itakuwa matusi

  • @fatmazena8886
    @fatmazena8886 3 ปีที่แล้ว +1

    Ma Shaa Allah...sirudiiii

    • @umarbakar1694
      @umarbakar1694 3 ปีที่แล้ว +1

      Hurudii nini dada...

    • @fatmazena8886
      @fatmazena8886 3 ปีที่แล้ว +1

      @@umarbakar1694 nimeufuata tu usemi wa shekh pale aliposema sirudii

  • @mohdmbarouk8465
    @mohdmbarouk8465 3 ปีที่แล้ว +1

    Cha chini na cha juu

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 2 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏🙏

  • @thakibuiddi1857
    @thakibuiddi1857 3 ปีที่แล้ว

    Namuona shekhe muhamadi suluta kwambali

  • @salwasuleiman3525
    @salwasuleiman3525 3 ปีที่แล้ว +1

    Kasema mwanamme anavichwa viwili kimoja kipi sijaelewa kidogo

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah

  • @bernadj.6924
    @bernadj.6924 ปีที่แล้ว

    Dawaaa

  • @pachawadoto5911
    @pachawadoto5911 ปีที่แล้ว

    Mtuliiivu mwenyewe kajituliza...

  • @jumahamisi5383
    @jumahamisi5383 3 ปีที่แล้ว

    MAA SHAA ALLAH

    • @omanimujsa9756
      @omanimujsa9756 3 ปีที่แล้ว

      Ety eeeeeee sirudii hahahaahaha shekh walid banah

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote2078 3 ปีที่แล้ว +4

    Huyu shekhe anaelmu kubwa kuliko mashekhe wengne kasoma kenya kasoma tanga shamsi maarif kasoma Misri Kasoma makka

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 3 ปีที่แล้ว +2

      Namuonaga huyu Sheikh ana elimu nyingi sana na hatumii jazba anapoeleza au kufafanua jambo

    • @ogenylaurent7961
      @ogenylaurent7961 3 ปีที่แล้ว +4

      ELIMU BAHARI NA ELIMU ANAYO LAKINI SIO KUSEMA KULIKO MASHEIKH WOTE

    • @kesslycompanyltd
      @kesslycompanyltd 3 ปีที่แล้ว +1

      @@ogenylaurent7961 swadakta

    • @kesslycompanyltd
      @kesslycompanyltd 3 ปีที่แล้ว +1

      Wapo walio mzid wajuwa elim kama ni bahar na pana

    • @joharindaro3075
      @joharindaro3075 3 ปีที่แล้ว +1

      Ulisema shamsul maarifa unanikumbusha mbali toka shamsia

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli nilikuwa niki ona ndevu na kanzu nikajuwa huu ndio usilam kumbe hapana elim na uelewa huo ndio usilam wewe unae sema vibaya juu ya majibu ya waridi utakali mwisho waoko itaqllaha

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 3 ปีที่แล้ว

    Allah akbar 😀😀😀apo kwenye vichwa uspoludia 😃😃😃😃

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 2 ปีที่แล้ว +1

    ukosahihi

  • @omanimujsa9756
    @omanimujsa9756 3 ปีที่แล้ว

    Wawkwanza

  • @joharindaro3075
    @joharindaro3075 3 ปีที่แล้ว

    Sirudii 😅😅😅😅😅

  • @adiashekidee
    @adiashekidee ปีที่แล้ว

    Sheish walidi uko vizuli sheish yakubu ana kupa hai

  • @allykasa6185
    @allykasa6185 3 ปีที่แล้ว +2

    Kipenzi changu

    • @AllyASalum
      @AllyASalum 3 ปีที่แล้ว

      Mimi huyu kipenzi changu zaidi...Maashaallah. Allah ampe umri mrefu zaidi wenye manfa'a. Aamiin

    • @halimamkangama4966
      @halimamkangama4966 2 ปีที่แล้ว

      Mimi pia

  • @shadhirimaalim9739
    @shadhirimaalim9739 ปีที่แล้ว

    KAZI ya kusifiyana Tu elimu chache Sana someni jamaa zetu

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 ปีที่แล้ว +2

    Munge weka mdahalo kwa nini waislam wa tanzania bara wakifikwa na tatizo huwenda kanisani kuombewa na mapatri na huko huambiwa mwanzo wakubali kama yesu ni mungu ndio watapona .sio muhoji maswali kama hayo ya matamanio ya dunia wakati waislam wanaharibikiwa wapo wanga . Wanafuga misukule na wanavaa nguo za uchi . Hayo kuowa ndio jambo la kimaumbile . Hayo mengine ndio muhimu

    • @farijala1
      @farijala1 3 ปีที่แล้ว

      Kwahiyo suala la Ndoa ni matamanio na sio Ibada?
      Ungefikiria kabla ya Kuandika. Na kongamano hilo lilikuwa na mada tofauti. Sasa unataka mada izungumze Kulingana na Unavyotaaka wewe. Taadab .

    • @shenjamamzingi7950
      @shenjamamzingi7950 3 ปีที่แล้ว +1

      Wewe umefanya au umechukua hatua gani kutokana na hilo,Dini ni yetu sote si Masheikh peke yao

    • @zamdinkilala8790
      @zamdinkilala8790 3 ปีที่แล้ว

      Hayo wafanye wewe wao wakifanya hiki nawewe fanya kile

    • @zuberikamote2078
      @zuberikamote2078 3 ปีที่แล้ว

      Imani yke kwenye Dini yke ndogo naukiona mtu anafanya hvyo ukimchunguza Hana elmu ya dini 😳😳

    • @yusufudongote6440
      @yusufudongote6440 3 ปีที่แล้ว

      ALLAH akusamehe usione uislam wakwako pekee yako Ammiii.

  • @wazirikhamisi4828
    @wazirikhamisi4828 3 ปีที่แล้ว +1

    Kweli usufi BIDAA ni mzigo Aya kibao zenye kuzungumzia ndoa unasoma Aya hiyo aiendani na maudhuu uliyo ulizwa

    • @allyally5156
      @allyally5156 3 ปีที่แล้ว +4

      Tatizo la maanswari ndo hili kujiona wanajua sana ,hivi utapamba na walidi ?au unafikiri unayo waza wewe walidi anashindwa? nye ndo mnazidi kuzoofisha uisilamu

    • @uledihassan6065
      @uledihassan6065 3 ปีที่แล้ว +1

      Wewe ni jahili upeo wako wa maarifa ni mdogo, endelea kukariri maoni ya akina Uthaimini

    • @uledihassan6065
      @uledihassan6065 3 ปีที่แล้ว

      @@allyally5156 majaahili hao

    • @abuuswafwan5275
      @abuuswafwan5275 ปีที่แล้ว

      Hawa akina waziri ni Vibaraka wa Mayahudi wanautumikia ukafiri ndani ya UISLAM huku wakijua kma C,hakki

  • @wazirikhamisi4828
    @wazirikhamisi4828 3 ปีที่แล้ว

    Ujinga mzigo wallahi Allah ATUONGOZE ktk HAQ ktk sunna

    • @uledihassan6065
      @uledihassan6065 3 ปีที่แล้ว +1

      Mjinga wewe unaekariri mawazo ya akina Uthaimini kububusa

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 ปีที่แล้ว

      Ujinga upi sheikh. Tupe faida

    • @allycomm1553
      @allycomm1553 2 หลายเดือนก่อน

      ACHENI UJINGA KUKAA NA KUSIFIA MASHEKHE WA KIBIDAA

  • @msoya-j-iliyasa7116
    @msoya-j-iliyasa7116 3 ปีที่แล้ว

    Maa shaa Allah