#kivumbi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • #mpina

ความคิดเห็น • 37

  • @anthonywilliam6510
    @anthonywilliam6510 21 วันที่ผ่านมา +3

    Uyu ana uchungi na Tanzania hongera sana

  • @FrankMabinga
    @FrankMabinga 22 วันที่ผ่านมา +4

    Hogera hoja nzuri mpina

  • @FintanMkesha
    @FintanMkesha 22 วันที่ผ่านมา +2

    Big up sana

  • @kammunisi2296
    @kammunisi2296 22 วันที่ผ่านมา +3

    Vivaaaa mpina vivaaaaaaa

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 21 วันที่ผ่านมา +2

    Tupo na Wewe Luaga Mpina Mpaka Uwe Rais"

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mpina ni mmoja wa kiongozi mzuri kwa watanzania anaelimisha jamii kwa kujitowa kafara maana mafisadi watamchukia

  • @ZakayoJoseph-g5p
    @ZakayoJoseph-g5p 22 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe ni kiongozi Kuna kitu ndani yako

  • @phchouseprintmwanza8123
    @phchouseprintmwanza8123 22 วันที่ผ่านมา +1

    Safi sana

  • @MussaEmmanuel-ll2mz
    @MussaEmmanuel-ll2mz 19 วันที่ผ่านมา

    Kwel

  • @talefilmsa8768
    @talefilmsa8768 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mpina Anahoja jamanii

  • @MkingaJulius
    @MkingaJulius 22 วันที่ผ่านมา +4

    Luhaga tunataka agombee urais

  • @user-eo4bl3do8k
    @user-eo4bl3do8k 22 วันที่ผ่านมา +1

    CCM ILE YA NYERERE SIO YA SASA ,CCM YA SASA NI WIZI ,UBADHIRIFU KWENDA MBELE,,,WIZI WANALINDWA KAMA UTAKUWA CCM,,HII INASIKITISHA. CCM HAWATAKI KATIBA MPYA KWASABABU KATIBA NI UFUMBUZI WA MATATIZO YOTE HAYA YANAYOJITOKEZA,

  • @user-ci7yb7ek4c
    @user-ci7yb7ek4c 21 วันที่ผ่านมา

    Wewe mpina acha kujisafisha kwa kuwapakazia wenzako sema pointi za kututoa hapa tulipo

  • @MalimaSitu
    @MalimaSitu 22 วันที่ผ่านมา +1

    Ww ni mbunge mzoefu 2025 uskate tamaa chukuwa from ya umbunge tena na utakuwa wazili wa kilimo

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 22 วันที่ผ่านมา +1

    Tumepewa begun bovu na mbolea mbaya hatujavuna mahindi mwaka huu

  • @UwezoMponda
    @UwezoMponda 22 วันที่ผ่านมา

    🎉

  • @ConradMbokosi
    @ConradMbokosi 21 วันที่ผ่านมา

    Huu niwakati wa kuchunguza wapinzani wana mipango gani

  • @FadhiliFedirick
    @FadhiliFedirick 22 วันที่ผ่านมา +1

    Safi sana Kaka Mpina upo sahihi Kabisa

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 22 วันที่ผ่านมา

    Mpina peleka mahakamani hao majambazi ,bashe mwigulu, makamba na nape na mbawala

  • @NgolloStan
    @NgolloStan 22 วันที่ผ่านมา

    Mheshimiwa Mpina kipindi akiwa waziri wa Mifugo na uvuvi ndo tuseme hayakuwepo Madudu yaliyofanyika kipindi hicho kwenye hyo wizara?Leo hii amekosa wizara ameanza kuyaona madudu yanayofanywa na wenzake?

  • @HabibuSalumu-iv5wl
    @HabibuSalumu-iv5wl 22 วันที่ผ่านมา

    Kama vile katusaidia walaji kupima samaki katutetea wanyonge kutoka sangara aliyekuja anauzwa elfu tatu Leo tunanunua kilo ya sangara huyo sh. 13,000# Leo tunamwita anatetea wanyonge

  • @JohnManyilizu-rl5bm
    @JohnManyilizu-rl5bm 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mpina safi

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 22 วันที่ผ่านมา +1

    Karibu chadema chama cha wapigania haki CCM imeoza

  • @ZakayoJoseph-g5p
    @ZakayoJoseph-g5p 22 วันที่ผ่านมา

    Sasa tunaona mbegu ya magufuli inchi Tanzania kumbe Kuna mbegu. Sasa tunaona mbegu ya mag

  • @FellaMbogela
    @FellaMbogela 22 วันที่ผ่านมา +1

    YUKO VIZURI L. .MPINA

  • @user-ir7fv8dv2s
    @user-ir7fv8dv2s 22 วันที่ผ่านมา

    Bungeni mungekuwemo wa bunge 10 wanaonena ukweli kama wewe saizi mambo yangekuwa yanaenda jinsi inavyoitajika

  • @KimanguShemwaliko-ht2jr
    @KimanguShemwaliko-ht2jr 22 วันที่ผ่านมา +2

    Tunakuunga mkono

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mana samia mpina nijembe mpe wizara ya kilimo atatufaa sana hapa kwetu tz

    • @SmilingElectricCar-ds4li
      @SmilingElectricCar-ds4li 22 วันที่ผ่านมา

      Alishindwa wizara, ubunge tu ndio anaweza. Bora Msukuma ndio natamani awe waziri

    • @user-nu1oo7mt9d
      @user-nu1oo7mt9d 22 วันที่ผ่านมา

      🙆

    • @ShamteMohmed-ed2kk
      @ShamteMohmed-ed2kk 22 วันที่ผ่านมา

      Alishashindwa uwaziri tangu enzi za JPM huyo. Mbwembwe tu na hofu ya kufukuzwa, Hilo Jimbo lishaenda chadema kilaini Kama lile la Awa Ghasia kule mtwara .

  • @lawrenceshekinyashi8243
    @lawrenceshekinyashi8243 22 วันที่ผ่านมา

    Ntakupa kula yangu ukigombea.

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm 22 วันที่ผ่านมา

    Muuuuuh helu maza mpena gete

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 22 วันที่ผ่านมา

    Mm

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 22 วันที่ผ่านมา

    Tupo nyuma yako

  • @augustinomlowe8059
    @augustinomlowe8059 22 วันที่ผ่านมา

    Tupo nyuma Yako 😂😂😂