NGUVU YA SHUKRANI || PASTOR GEORGE MUKABWA - JRC || 04/09/2022
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ย. 2022
- Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
#jrcchurch #Tanzania #jrctz #PastorGeorgeMukabwa - บันเทิง
Amen 🙏 mtumishi wa mungu ubarikiwe sana kwa hili neno🙌
Waah. Asante nimekuwa na dhambi mingi yakutoshukuru kwa mabaya lakini leo nimepokea neno vizuri kushukuru kwa kila jambo liwe mbaya au zuri, Nashukuru Mungu kwa hilo neno kunifikia kwa maana sitabaki jinsi nilivyo. Amen
Asante sana Pastor kwa mafundisho Mungu akubariki, tatumia nafasi i kutubu: nisamehe Mungu kwa kuto kuwa na moyo wa shukurani kwa watu walio tenda wema kwangu🧎♀️
Pastor mafundisho Yako yananifungua ,Mungu Akubariki sana !!
Kwa pasta huyu. Mungu yu pamoja naye. Anamafundisho yenye nguvu Sana. Nabarikiwa Sana naye.
Amen mungu akuongeze ngufu ya kutusaidia sisi wana wake mungu wetu
Pastor ubarikiwe tu sana you changed my thoughts and life.I thank God.
Mungu Nasema asante kwaajili ya huyu pasta maana kwa mafundisho yako nimebadilika
Mchungaji Mungu akubariki sana, unatufundisha sana. Asante sana.
Amen mtumishi
Asante kwakuni fundisha 🙏🏻🙏🏻
Ameeen na barikiwa kwa mafunzo na jina la YESU lipewe sifa milele
Very powerful man of God
Jaman huyu baba🙏🙏🙏🙏
Asante sana pastor kwa Neema MUNGU aliyokupatia..nitawezaje kupata mawasiliano ya Pastor jmn?
Ubarikiwe na bwana mtumishi wa bwana wamajeshi 💒🙏🙏🙏
Amen barikiwe sana sana.
Barikiwa sana Mtumishi
Amen amen amen 🙏🙏🙏❤
Amen mungu akubariki
Amen amen amen amen amen
Hallelujah ❤
Amen and Amen 🙏
Amen mtumish wa Mungu nimebarikiwa saan na mafundisho yako 🙏🙏🙏😇😇
asantee kwa kunifundisha pst
Amen mtumishi Asante sana kwa mafundisho yako hakika najifunza mengi kwako Amen
@@patrickjames6547 m k 😅
Amen🎉🎉
AMEEEEEN
Ameen
Pastor naomba nambar yako unanifariji sana
Bwana Yesu asifiwe nabarikiwa sana na neno lako pastor naweza vipi kupata namba yako ya simu?
Asante sana Pastor kwa mafundisho Mungu akubariki, natumia nafasi i kutubu: nisamehe Mungu kwa kuto kuwa na moyo wa shukurani kwa watu walio tenda wema kwangu🧎♀️