Ndugu zangu kwa dini yoyote ile tumwombe MUNGU aweke ulinzi kwa makonda huyu kaka amejitoa kama sadaka kwa wanainch wake yani hii ni zaidi ya hata hiyo huduma anayofanya EE mwenyezi MUNGU tunaomba ulinzi kwako kwa makonda🤲
Mkuu wa wilaya anaomba na yy asaidiwe na wananchi mh hi ndo tanzania makonda unajitahd sana kufanya kazi lakn wakwamishaji ni hao hao watendaji wako napata mashaka hata cliniki yako mengi inawezekana hayajafanyiwa kazi kama kesi yakulawitiwa haijafanyiw kaz na mkuu wa wilaya alisema hadharini imefanyiwa kaz vp hayo mengne? Daa
Ila aliye sema kuwa Rais aongelei swala hili la Ushoga na ulawiti wa watoto alifungwa kwa kukosa milioni tano mpaka watu wamemchangia ndiyo ametoka lakini Rais kanyamaza je, haya mambo anayafurahia
Ndugu zangu kwa dini yoyote ile tumwombe MUNGU aweke ulinzi kwa makonda huyu kaka amejitoa kama sadaka kwa wanainch wake yani hii ni zaidi ya hata hiyo huduma anayofanya EE mwenyezi MUNGU tunaomba ulinzi kwako kwa makonda🤲
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Baba Mungu Jehovah tusaidie nchi ya Tanzania baadhi ya viongozi kwenye taasisi zote za serikali pamoja na jeshi la Polisi hawatufai
Viva Comrade PCM🤝🤝🤜🤛👏👏👏👏👏👏
Hakika watu wote awa wanakusanyika kwa kuwa na matumain yako mkuu ..
MAKONDA, WW KIONGONZI HUKUZALIWA UMESHUSHWA KAMA MALAIKA HAITA TOKEA MKUU WA MKOA KAMA WW TANZANIA HII
Duuu ivi jamani nyie mnaolipwa pesa na serikali mbona atendihaki makonda hawa watu nikupiga Mikasa tu
Hawa watu wanaolawiti watoto jamani serekali hichukuwe hatuwa ya kunyonga
Mkuu wa wilaya😢
Dc wako anashida hafai hicho kiti
Mkuu wa wilaya anaomba na yy asaidiwe na wananchi mh hi ndo tanzania makonda unajitahd sana kufanya kazi lakn wakwamishaji ni hao hao watendaji wako napata mashaka hata cliniki yako mengi inawezekana hayajafanyiwa kazi kama kesi yakulawitiwa haijafanyiw kaz na mkuu wa wilaya alisema hadharini imefanyiwa kaz vp hayo mengne? Daa
Tz yani uyu jama awezi kuja Congo akawa rais ata kwa mukopo? Au tukawapeni ata wachezaji kaza
Hahahahahah
Mtupe mayere
Creator uliyeipakia umekuwa n wa hovyo
Ila aliye sema kuwa Rais aongelei swala hili la Ushoga na ulawiti wa watoto alifungwa kwa kukosa milioni tano mpaka watu wamemchangia ndiyo ametoka lakini Rais kanyamaza je, haya mambo anayafurahia
Ndio
Wee una uhakika kweli rais hajawahi kuongelea inshu ya ushoga na ulawiti?
@@tazrywiser5126 Aliongelea ila kwa kulihalalisha namnukuu "fanyaneni wakubwa kwa wakubwa"