Asante Justin, hakika unatupa tunachostahili. NAOMBA KISA CHA BIKRA MARIA KUHUSU KUZAA AKIWA BIKIRA NA KUFARIKI AKIWA BIKRA na alikuwa na mme na yesu alikuwa na ndugu 🙏🙏
WAPROTESTANT WA KARNE HII NI MBUMBUMBU WALE WA AWALI WALUPIGANIA UKWELI WA SASA MBUMBUMBU WANAFUATA MAPOKEO AMBAYO WENZAO WALIYAPINGA.AIBU KWA WAKRISTO WOTE AMBAO HAWAFUATI BIBLE WANAFUATA MAFUNDISHO YA KIPAGANI YASIYO KWEPO KWENYE BIBLE MUNGU ATAWAFUTILIA MBALI WOTE WASIOFUATA UKWELI WA MAANDIKO
😄🤣😂😆😄🤣😂😆, hapo kwenye hii story umedanganya wazi wazi, EZRAEL haijawahi pigania ukiristo hata siku moja, na ukiristo hajawahi kuchukua nafasi kwenye miji ya EZRAEL hata siku moja licha yakua walifanya jitihada kubwa, ikiwa history huijui endelea kufanya research, na kwenye ukiristo hakuna HAJJI kwa hiyo neno MAUJAJJIH halipo kwenye ukiristo, na EZRAEL ukiristo haujawahi kuchukua nafasi wala hakuna mji mtakatifu wa wakiristo kwenye miji ya EZRAEL
Mwe mwe mwe mwe! Israel ipo kabla hata ya uislam miaka ya 600's dini ya Uislam ndio inaanza, kabla apo ya kilikuwa na Ukristo hata kwenye quaran ipo dini za mwanzo zilikuwa ni Ukristo na uyahahudi.
@@edwarddavid8076 😄🤣😂😆😄🤣😂, lete andiko kwenye QURA'AN linalosema dini ya mwanzo ni ukiristo, acha uongo wewe,hivi unahabari kua mataifa ya EZRAEL ukiristo ni 2% mpaka kufikia sasa? Mungu hajui dini inayoitwa ukiristo, ukiristo kwenye QURA'AN umetejwa kwenye tafsiri lakini originally language hakuna neno ukiristo lipo neno manaswara, alafu ukiristo uko na mwanzo kama mnavyodai kua wakiristo ni wafuasi wa kristo, kumbuka uislam ni maana ya neno ISLAM, KUJISALIMISHA KWA MAPENZI YA MUNGU/KUNYENYEKEA KWA MUNGU, sasa ni nabii yupi hakunyenyekea? Hayo maesabu yako ya uongo peleka kanisani, uislam ndio dini aliyopewa nabii Adam A.S upoooooo, yesu mwenyewe hakuacha makanisa wala udude unaitwa ukiristo, ukiristo ulibuniwa na Paulo baada ya miaka 14 yesu kuondoka duniani
@@fatumamwalimu5765 unacheka kwaiyo tafsiri ya kiswahili ilikosewa kasome hata kwa lugha yake then tafsiri mwenyewe uje uniambie kama maana yake ni ya uongo, Maneno meengi hata mtume wenu aliwambia msome na vitabu vilivyotangulia Injili,torati na zaburi sasa we unafikili hivi vitabu walianza katumia nani awali ya hapo kama sio wakristo, hata quaran mnayoiamini ilikuja baada ya hivi vitabu sasa unabisha nini.
@@edwarddavid8076 tatizo mnachukua nabii Muhammad ndio mnamlinganisha na uislam na mnaacha manabii wengine wa MUNGU kua walikua waislam pia !!!!,kasri la nabii Suleiman nisikiti
Mimi naweza kuandika makala kama hizi naombeni support
Wenzio hawaombagi ndugu binadam watakukatisha tamaa we fanya kam uwezo upo watakubali
@@berberaboy9277 📌💯💯
@@berberaboy9277 ume mshauri vyama kabisa yy aanze ss tuta anza ku view videos zake
Post TH-cam.. tutaiona kama ina content kama hizi
ongea na justine shed atakupa mwongozo
From Uganda 🇺🇬🇺🇬 to Tanzania Justin she'd 🥰🥰🥰♥️🥰🥰🥰
Asante Justin, hakika unatupa tunachostahili.
NAOMBA KISA CHA BIKRA MARIA KUHUSU KUZAA AKIWA BIKIRA NA KUFARIKI AKIWA BIKRA na alikuwa na mme na yesu alikuwa na ndugu 🙏🙏
Yesu alikuwa na Ndugu Sio wa kuzaliwa Kwa bikra Malia ni wale watoto wa ndugu yake na bikra maria ndio ndugu zake
Hakufariki akiwa bikra Bali aliendelea kuzaa watoto wengine na yusufu
Nenda kasome mwenyewe biblia acha kutaka kutafuniwa kila vingine utalishwa matango Bwana anasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
Itakusaidia nini ukijua kuhusu hilo? Yaliyowekwa wazi ndo yenye kutufaa sisi katika mwendo wa imani
Hao ni mafreeman
Asante brother naomba simulizi ya Israel
Historia yako hii hebu ifuatiliwe vzr Kisha uilete,
Sasa twende kazi
Kz nzuri
Suleiman na masjeed al agsa ni za waislam sio za walio toka Europe
Hakuna mahujaji wa kuzungu hata alagsa ni kwa kirabu na bet lehrm ni kiarabu
Kaka vipi .....naomba ufafanuzi wa historia ya waturuki na wakristo......
Justin shed nakukubali sana Mimi naitwa FelyWily naomba unipigie video ya historia ya Lil Deep
Upo vizuri ila Kuna vitu unafanya Sana
Hiyo sio misalaba bali ni alama ya kujumlisha
Acha ku chonganisha imani zawatu brw andika kitu kizuri lakini kuwa makini sana na maandiko yako Angalia sana kuwa makini sana .. ..
Woga wako peleka huko
Mimi wa pili
Kaka Justin me shabiki yako naomba nifanyie ya Kioo.. ukweli na maajabu yake maana naskia kioo sio kitu cha kawaida
Haki ulichokisimulia ndo nilichokiona kweny movie ya KNIGHTFALL.
Hii history ni uongo uislam Ulianza miaka ya 600 labda ungesema wayahudi hapo sasa
Asante kwa maoni
Ko Alie anzisha uislamu ni nani
@@shadrickmwanjabala4681 mtume muhamad kwenye miaka iyoiyo 600's
Tofauti kabisaa!! Sijui anatoa wapi hizi story
Hao ndo freemasons wa ss
Acha bangi kijana na kukariri mbwa wewe
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏✌️.
Tupe story ya Six days war
Kaka some time una boa
Historia zingine una zisoma kivingine
Unabadirisha mambo unavyotaka
Watano
Wa tatu
Hakuna aliyekuwepo hicho kipindi wala hakukuwa na simu wala kamera vyote tunahadisiwa tu ila kuna kenge bado wanabisha wanaleta udini🤣 manina
WAPROTESTANT WA KARNE HII NI MBUMBUMBU WALE WA AWALI WALUPIGANIA UKWELI WA SASA MBUMBUMBU WANAFUATA MAPOKEO AMBAYO WENZAO WALIYAPINGA.AIBU KWA WAKRISTO WOTE AMBAO HAWAFUATI BIBLE WANAFUATA MAFUNDISHO YA KIPAGANI YASIYO KWEPO KWENYE BIBLE MUNGU ATAWAFUTILIA MBALI WOTE WASIOFUATA UKWELI WA MAANDIKO
Du kuhuji tena hija ni kwa waislam wamefaradhishiwa katika nguzo tano kwa mwenye uwezo hai wanao toka ulaya ni mafrimason tu
Leo wakwanza kukoment.😄
Duu hii misalaba miyekundu binafsi inanitishaga sn
😄🤣😂😆😄🤣😂😆, hapo kwenye hii story umedanganya wazi wazi, EZRAEL haijawahi pigania ukiristo hata siku moja, na ukiristo hajawahi kuchukua nafasi kwenye miji ya EZRAEL hata siku moja licha yakua walifanya jitihada kubwa, ikiwa history huijui endelea kufanya research, na kwenye ukiristo hakuna HAJJI kwa hiyo neno MAUJAJJIH halipo kwenye ukiristo, na EZRAEL ukiristo haujawahi kuchukua nafasi wala hakuna mji mtakatifu wa wakiristo kwenye miji ya EZRAEL
Mwe mwe mwe mwe! Israel ipo kabla hata ya uislam miaka ya 600's dini ya Uislam ndio inaanza, kabla apo ya kilikuwa na Ukristo hata kwenye quaran ipo dini za mwanzo zilikuwa ni Ukristo na uyahahudi.
@@edwarddavid8076 😄🤣😂😆😄🤣😂, lete andiko kwenye QURA'AN linalosema dini ya mwanzo ni ukiristo, acha uongo wewe,hivi unahabari kua mataifa ya EZRAEL ukiristo ni 2% mpaka kufikia sasa? Mungu hajui dini inayoitwa ukiristo, ukiristo kwenye QURA'AN umetejwa kwenye tafsiri lakini originally language hakuna neno ukiristo lipo neno manaswara, alafu ukiristo uko na mwanzo kama mnavyodai kua wakiristo ni wafuasi wa kristo, kumbuka uislam ni maana ya neno ISLAM, KUJISALIMISHA KWA MAPENZI YA MUNGU/KUNYENYEKEA KWA MUNGU, sasa ni nabii yupi hakunyenyekea? Hayo maesabu yako ya uongo peleka kanisani, uislam ndio dini aliyopewa nabii Adam A.S upoooooo, yesu mwenyewe hakuacha makanisa wala udude unaitwa ukiristo, ukiristo ulibuniwa na Paulo baada ya miaka 14 yesu kuondoka duniani
@@fatumamwalimu5765 unacheka kwaiyo tafsiri ya kiswahili ilikosewa kasome hata kwa lugha yake then tafsiri mwenyewe uje uniambie kama maana yake ni ya uongo, Maneno meengi hata mtume wenu aliwambia msome na vitabu vilivyotangulia Injili,torati na zaburi sasa we unafikili hivi vitabu walianza katumia nani awali ya hapo kama sio wakristo, hata quaran mnayoiamini ilikuja baada ya hivi vitabu sasa unabisha nini.
@@fatumamwalimu5765 16:125 quaran nenda kasome iyo afu uje ubishe apa.
@@edwarddavid8076 tatizo mnachukua nabii Muhammad ndio mnamlinganisha na uislam na mnaacha manabii wengine wa MUNGU kua walikua waislam pia !!!!,kasri la nabii Suleiman nisikiti
5