very Good sometime sio kutuletea umbea wa town to. tunaitaji history za Ku refresh mind kama izi .Congratulate iwe ivi
Mr and mrs karibuni tena wapenzi wnguuu tuliwamiss mnoo💙💙
Asanten sana kwa simulinz nzur juuu ya cleopatra malikia mwenye akiri nyng sana
Kitambo sana Bro Sky ila welcome back again LOL #SnS 💃🏻🕺🏻🥂🍻🙏🏻 +1
mulijificha Wapi Nyie watu karibuni tena maana tuliwamis Sana kama ww uliwamisi kama gonga like hapa
Historia tamu jamani daaah nsitocoka kuwaambia kama niliwa miss saaana
Thanx mmerudi Coz nliwamic Sanaah.......!
.............I was missed ninyi watu....... #SkyTanzania #BabySky
Thanks 4 this educative story.
Yan nilikimisssssssssss hiiki kipindi mm mwaaaaa😍😍😍😍😍
Welcome back Sns
Big up kwa video nzuri. Misri ina visa na mikasa mingi sana.
hongera umeeleza vzr, kuna kitu nmekipata juu ya maswala ya utawala na uongozi.
my daughter Cleopatra 😍😍😍😍
jaman mlienda wapi sns maana si kwakuwamis huku nilikuwa naona hata uvivu kuingia huku mana machanel mengine hayaeleweki kabisa karibu sn
Yani walioana Kaka na dada. Yote kwa ajilo ya madaraka daah kumbe uroho wa madaraka haujaanza Leo
Safi sana Mama Usingizi Wa Ndugu Yetu Kaka Yetu Kipnzi Cha Wengi Sauti Ya Dhahabu Fredrck
Asante sana shemeji yangu baby sky, ,mke wa sky walker, najifunza mengi kupitia sns
omg kumbe mrembo huyu mrembo alijiua, nimeumia sana jamani
Dunia ya zamani ilitawaliwa na vita sana na usaliti wa hali ya juu. No kuaminiana
Niliwamiss Jamni... 😘😍
Asante sana
Hii sasa ndo simalizi na sauti big up
simulizi nzuri aise, nimeipenda ,lakini ni kweli hizo historia mwezi na mwaka BC ni kweli au wanasema tu maana BC ni miaka mingi sana,
wkt wa Cleopatra misri ilikuwa haina nguvu tena, ilikuwa tawaliwa na Greece na muda huo ilikuwa inatawaliwa na Rome. Cleopatra alitumia nguvu zake kujilinda na maadui zake. kwa sababu alihofia kuuwawa kama ndugu zake
finally #Sns is back ,,,, thanks for coming again
hi,wapendwa hamujambo,tukutane 2019topfriend what'sup kwa mambo mazuri zaidi
We missed sns so much
Mungu awabarikie
Jana niliangalia post ya mwisho sns ilikuwa 2 weeks back. Karibu tena
Bofya link hii
th-cam.com/channels/0qI9ju78TVEAjz156RLTPQ.html
kutazama video nzuri za ndoa, Usisahau ku-Subscribe na Kuacha comment
Egypt inahistoria kubwa sana kwnye hii dunia.
@@semanasitv8303sahau kama ulivyo sahau kunyonya ziwa la mama yako
Niliwamic sana SNS karb tena
good documentary 👌👌👍👍
What a nice history
No 1
Story nzuri sana.02.02.19.
We are back
karibuni tena
Msimulizi uko vizuri.
Tuliwamisi Sana wana SNS
Nice
nice
mmlikua wapi nyie
Ila wagiriki walikua wababe Sana zamani....
nzuri sana
I like it
Kwaio walioana ndugu?
Karibuni tena sns
Anaeangalia 2020 gonga like
Huyo sio Cleopatra,...
Thanks baby sky
Dada mutangazaji unasati zuuri daaaaaah 🤔 nakupenda
Woiii hili jina dah,historia yake siipendi ingawa ndo sina la kufanya Mungu aniepushe na hayo maroho khaa
ni hadith au kwer jmn uyu mdada naskiaga tu alikuwa mzr kuliko wanawake wote
Angela Nyauringo hakuwa mzuri kuliko wanawake wote, ila alikuwa na uwezo mkubwa wa kuseduce wanaume. alitumia clothing psychology.
Which book has documented this????
Hy nilaana mtu kuolewa n kakaake ...ndio imesababisha vita vilivyoowaandama
Mashallah, good story
Very nice
safi sanaaa
Cleopatra alikuwa mweusi
Good Good
Leo ndio nimejua historia ya Cleopatra. nasikiaga tu
Subscribe channeli yangu ili usipitwe na mpira
Zahil Ally Zolo alimuimba huyu mtu.inasemekana alivaa nguo za halili mikufu ya zahabu uzuri wake ilikua ajabu miongoni mwa wanaume.
Kaiser ndo Julius cezar
black khemet GOD
Cleopatra hakuwahi kuwa mzuri , Bali alikua Ana akili nyingi sana na mjanja, alikua Ana ushawishi mkubwa sana, ndio maana aliweza kuwatongoza Caesar na mark Anthony coz alikua na akili kupita kiasi Ila sio kwa uzuri
Cleopatra
aiseee!!
story nzur,unisimulimulia vzur sns
sasa hii story mbona inachanganya wengine wanadai cleopatra kifo chake kilitokana na kuumwa na nyoka mwenye sumu kali cobra hii story inasema aliuawa na Anthony.
cleoptra alikua mapepe naona
Hawa akina Kleopatra wapo hata sasa wakitaka kutawala mahali wana mlainisha yule mwenye nguvu kwa Mapenzi. haya Mimi ilinitokea wakati nimepata cheo flani
tamuùuuuuuu
kwaiyo dola yarumi ninini? aundokama Euro yasasa ivi?
wanawake wa kimisri wajanja mnooo
Inamaana wameona kaka na dada
😂😂😂UNASEMA WAZEE WAKE CLEOPATRA WALIKUWA WAJINGA NA DHAIFU?!!!!MPUUZI SANA WEWE.
kwhy kumbe mov ya porus ni histoly ya kwel!!
😄
Sorry naomba jibu la swali language , kwann historia umesoma kuanzia mwaka 69 ikawa inarudi nyuma 26 badala kwendambele ? Nitafurahi kama nitapata ufafanuzi
Ramadhan Msaghaa miaka imeanza kuhesabiwa kwenda mbele baada ya kristo yesu kuzaliwa kwa kipind hcho kabla miaka ilikua inaesabiwa kutokana na matukio
Mnapotosha history, warabu hawana majina ya kizungu
Ulikuwa wasikiza wapi kwani?!!!! FAMILIA YA KIFALME WALIKUWA WAGIRIKI NA SIO WAALISIA WA MISRI
Roma sio dini ni dola inaotawala kwa nguvu na mabavu.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️
mmelud
Nan kaangalia hii 2019 km upo hp gonga like