ความคิดเห็น •

  • @khayratmuhamed6730
    @khayratmuhamed6730 5 ปีที่แล้ว +22

    Nan kaangalia hii 2019 km upo hp gonga like

  • @Shebby_inc
    @Shebby_inc 6 ปีที่แล้ว +10

    very Good sometime sio kutuletea umbea wa town to. tunaitaji history za Ku refresh mind kama izi .Congratulate iwe ivi

  • @mimahg2620
    @mimahg2620 6 ปีที่แล้ว +10

    Mr and mrs karibuni tena wapenzi wnguuu tuliwamiss mnoo💙💙

  • @michaelkapilimba3102
    @michaelkapilimba3102 6 ปีที่แล้ว +1

    Asanten sana kwa simulinz nzur juuu ya cleopatra malikia mwenye akiri nyng sana

  • @alikiba9723
    @alikiba9723 6 ปีที่แล้ว +10

    Kitambo sana Bro Sky ila welcome back again LOL #SnS 💃🏻🕺🏻🥂🍻🙏🏻 +1

  • @mutevas7624
    @mutevas7624 6 ปีที่แล้ว +86

    mulijificha Wapi Nyie watu karibuni tena maana tuliwamis Sana kama ww uliwamisi kama gonga like hapa

  • @chemsachouchou3087
    @chemsachouchou3087 6 ปีที่แล้ว +10

    Historia tamu jamani daaah nsitocoka kuwaambia kama niliwa miss saaana

  • @LyonWalker_
    @LyonWalker_ 6 ปีที่แล้ว +7

    Thanx mmerudi Coz nliwamic Sanaah.......!
    .............I was missed ninyi watu....... #SkyTanzania #BabySky

  • @justinebitariho1129
    @justinebitariho1129 5 ปีที่แล้ว +2

    Thanks 4 this educative story.

  • @nurudovino7305
    @nurudovino7305 6 ปีที่แล้ว +3

    Yan nilikimisssssssssss hiiki kipindi mm mwaaaaa😍😍😍😍😍

  • @neemakarengi3295
    @neemakarengi3295 6 ปีที่แล้ว +8

    Welcome back Sns

  • @mezani782
    @mezani782 5 ปีที่แล้ว +3

    Big up kwa video nzuri. Misri ina visa na mikasa mingi sana.

  • @juliusishengoma9738
    @juliusishengoma9738 6 ปีที่แล้ว

    hongera umeeleza vzr, kuna kitu nmekipata juu ya maswala ya utawala na uongozi.

  • @sinyoritaqueen7435
    @sinyoritaqueen7435 6 ปีที่แล้ว +2

    Hasante sana kwa story nzuri 💝💝💝💝💝💟💗💕

    • @selector728
      @selector728 5 ปีที่แล้ว

      sio hasante sema asante

  • @babymarrycharlesjames5501
    @babymarrycharlesjames5501 6 ปีที่แล้ว +12

    my daughter Cleopatra 😍😍😍😍

  • @rahimajuma688
    @rahimajuma688 6 ปีที่แล้ว +30

    jaman mlienda wapi sns maana si kwakuwamis huku nilikuwa naona hata uvivu kuingia huku mana machanel mengine hayaeleweki kabisa karibu sn

  • @evelynmon6491
    @evelynmon6491 6 ปีที่แล้ว +7

    Tuliwamiss sana sns welcome back 😍😍😍

  • @kinglance6365
    @kinglance6365 6 ปีที่แล้ว +10

    Yani walioana Kaka na dada. Yote kwa ajilo ya madaraka daah kumbe uroho wa madaraka haujaanza Leo

  • @josephmateru8892
    @josephmateru8892 6 ปีที่แล้ว +7

    Safi sana Mama Usingizi Wa Ndugu Yetu Kaka Yetu Kipnzi Cha Wengi Sauti Ya Dhahabu Fredrck

  • @godfreynyansira8227
    @godfreynyansira8227 4 ปีที่แล้ว

    Asante sana shemeji yangu baby sky, ,mke wa sky walker, najifunza mengi kupitia sns

  • @sammabula7359
    @sammabula7359 6 ปีที่แล้ว +2

    omg kumbe mrembo huyu mrembo alijiua, nimeumia sana jamani

  • @shaibumandova6108
    @shaibumandova6108 5 ปีที่แล้ว +3

    Dunia ya zamani ilitawaliwa na vita sana na usaliti wa hali ya juu. No kuaminiana

  • @vivianrobert7136
    @vivianrobert7136 6 ปีที่แล้ว +13

    Niliwamiss Jamni... 😘😍

  • @saudamanyongo5766
    @saudamanyongo5766 6 ปีที่แล้ว +10

    Asante sana

  • @AliBaba-zb3tg
    @AliBaba-zb3tg 6 ปีที่แล้ว +4

    Duuh story zuri sana Sasa aya ndiwo maswali yakueka kwa mitihani

  • @johnmngoya2937
    @johnmngoya2937 6 ปีที่แล้ว +1

    Hii sasa ndo simalizi na sauti big up

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz1455 6 ปีที่แล้ว +7

    Welcome back Sns 😍😍

  • @ireneramadhani2975
    @ireneramadhani2975 6 ปีที่แล้ว

    simulizi nzuri aise, nimeipenda ,lakini ni kweli hizo historia mwezi na mwaka BC ni kweli au wanasema tu maana BC ni miaka mingi sana,

  • @johnnzao6460
    @johnnzao6460 5 ปีที่แล้ว +2

    wkt wa Cleopatra misri ilikuwa haina nguvu tena, ilikuwa tawaliwa na Greece na muda huo ilikuwa inatawaliwa na Rome. Cleopatra alitumia nguvu zake kujilinda na maadui zake. kwa sababu alihofia kuuwawa kama ndugu zake

  • @mohamedidd7385
    @mohamedidd7385 6 ปีที่แล้ว +6

    finally #Sns is back ,,,, thanks for coming again

  • @isaacsitta1982
    @isaacsitta1982 5 ปีที่แล้ว +1

    hi,wapendwa hamujambo,tukutane 2019topfriend what'sup kwa mambo mazuri zaidi

  • @daudisimwinga1324
    @daudisimwinga1324 6 ปีที่แล้ว +8

    We missed sns so much

  • @aishamattar6381
    @aishamattar6381 6 ปีที่แล้ว +3

    Mungu awabarikie

  • @allthings1302
    @allthings1302 6 ปีที่แล้ว +12

    Jana niliangalia post ya mwisho sns ilikuwa 2 weeks back. Karibu tena

  • @najytv2294
    @najytv2294 5 ปีที่แล้ว +1

    Bofya link hii
    th-cam.com/channels/0qI9ju78TVEAjz156RLTPQ.html
    kutazama video nzuri za ndoa, Usisahau ku-Subscribe na Kuacha comment

  • @francischiko3752
    @francischiko3752 6 ปีที่แล้ว +21

    Egypt inahistoria kubwa sana kwnye hii dunia.

    • @semanasitv8303
      @semanasitv8303 5 ปีที่แล้ว

      inakuja kutawala dunia tena

    • @jeremiahevodius925
      @jeremiahevodius925 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@semanasitv8303sahau kama ulivyo sahau kunyonya ziwa la mama yako

  • @Mariam-ez4qw
    @Mariam-ez4qw 6 ปีที่แล้ว +7

    Niliwamic sana SNS karb tena

  • @dogguyful
    @dogguyful 2 ปีที่แล้ว

    good documentary 👌👌👍👍

  • @mauwaukweli1564
    @mauwaukweli1564 5 ปีที่แล้ว +2

    What a nice history

  • @kelvinwilliam5145
    @kelvinwilliam5145 6 ปีที่แล้ว +10

    No 1

  • @princessshantel9539
    @princessshantel9539 6 ปีที่แล้ว +8

    Mumerudi kwa bidii #sns 💖💖💖

  • @naslamgollo6405
    @naslamgollo6405 6 ปีที่แล้ว +5

    Nice jaman mlikua wapi

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 5 ปีที่แล้ว +1

    Story nzuri sana.02.02.19.

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 6 ปีที่แล้ว +11

    We are back

  • @marymtui2708
    @marymtui2708 6 ปีที่แล้ว +8

    karibuni tena

  • @joycerichard5042
    @joycerichard5042 6 ปีที่แล้ว +9

    We missed you guys

  • @thomasmakala2082
    @thomasmakala2082 6 ปีที่แล้ว +2

    Msimulizi uko vizuri.

  • @elishafanuel
    @elishafanuel 6 ปีที่แล้ว +11

    Tuliwamisi Sana wana SNS

  • @batulajama4171
    @batulajama4171 6 ปีที่แล้ว +4

    Nice

  • @sammabula7359
    @sammabula7359 6 ปีที่แล้ว +5

    nice

  • @mudyramadhani3020
    @mudyramadhani3020 6 ปีที่แล้ว +10

    mmlikua wapi nyie

  • @enockyohana6856
    @enockyohana6856 5 ปีที่แล้ว +4

    Ila wagiriki walikua wababe Sana zamani....

  • @ramahassanramahassan9715
    @ramahassanramahassan9715 5 ปีที่แล้ว +1

    nzuri sana

  • @doramarcel1013
    @doramarcel1013 6 ปีที่แล้ว

    I like it

  • @mohamedrashid6578
    @mohamedrashid6578 5 ปีที่แล้ว +6

    Kwaio walioana ndugu?

  • @princekijay5450
    @princekijay5450 6 ปีที่แล้ว +11

    Karibuni tena sns

  • @abdulrahmanhassan3825
    @abdulrahmanhassan3825 5 ปีที่แล้ว

    Hii history wameicheza movie yake nieiyona nzuri sanaa

  • @emmanueljilala3484
    @emmanueljilala3484 3 ปีที่แล้ว

    Anaeangalia 2020 gonga like

  • @josee8224
    @josee8224 5 ปีที่แล้ว +1

    Huyo sio Cleopatra,...

  • @manalibaby4192
    @manalibaby4192 5 ปีที่แล้ว +3

    Thanks baby sky

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 4 ปีที่แล้ว

    Dada mutangazaji unasati zuuri daaaaaah 🤔 nakupenda

  • @cleopatrarobert8133
    @cleopatrarobert8133 5 ปีที่แล้ว +2

    Woiii hili jina dah,historia yake siipendi ingawa ndo sina la kufanya Mungu aniepushe na hayo maroho khaa

  • @angelanyauringo8882
    @angelanyauringo8882 6 ปีที่แล้ว +8

    ni hadith au kwer jmn uyu mdada naskiaga tu alikuwa mzr kuliko wanawake wote

    • @shabanmlekwa9513
      @shabanmlekwa9513 6 ปีที่แล้ว

      Yeah, Cleopatra ndie mwanamke mzuri sana kuwahi kuwepo.

    • @johnnzao6460
      @johnnzao6460 5 ปีที่แล้ว +1

      Angela Nyauringo hakuwa mzuri kuliko wanawake wote, ila alikuwa na uwezo mkubwa wa kuseduce wanaume. alitumia clothing psychology.

    • @gracemsigwa5977
      @gracemsigwa5977 5 ปีที่แล้ว

      Nice story

    • @tegeisudastar4587
      @tegeisudastar4587 4 ปีที่แล้ว

      Mwanamke mzuri kuliko wote anaitwa rabia tafuta vitabu ndugu

  • @jumanneibrahim6498
    @jumanneibrahim6498 5 ปีที่แล้ว

    Which book has documented this????

  • @reemiiomar9386
    @reemiiomar9386 6 ปีที่แล้ว +2

    Hy nilaana mtu kuolewa n kakaake ...ndio imesababisha vita vilivyoowaandama

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 ปีที่แล้ว +9

    Mashallah, good story

  • @samirnaty8774
    @samirnaty8774 5 ปีที่แล้ว

    Very nice

  • @aliabdallah2220
    @aliabdallah2220 5 ปีที่แล้ว

    safi sanaaa

  • @umojaafrika2447
    @umojaafrika2447 4 ปีที่แล้ว +1

    Cleopatra alikuwa mweusi

  • @issanjuke3782
    @issanjuke3782 6 ปีที่แล้ว

    Good Good

  • @jemakhalifa6807
    @jemakhalifa6807 4 ปีที่แล้ว

    Leo ndio nimejua historia ya Cleopatra. nasikiaga tu

  • @FromMzansi
    @FromMzansi 6 ปีที่แล้ว

    Ceopatra ni baadhi ya viongozi wapumbavu walioiua Misri na kuipa laana kuu

  • @joleenmasha
    @joleenmasha 6 ปีที่แล้ว +6

    eeeh yani aliolewa na kakake du hiyo kali

  • @WASAFITVSTORYBOOM
    @WASAFITVSTORYBOOM 6 ปีที่แล้ว +6

    Subscribe channeli yangu ili usipitwe na mpira

  • @lupakisyomsese8210
    @lupakisyomsese8210 5 ปีที่แล้ว +2

    Zahil Ally Zolo alimuimba huyu mtu.inasemekana alivaa nguo za halili mikufu ya zahabu uzuri wake ilikua ajabu miongoni mwa wanaume.

  • @dmgtza5365
    @dmgtza5365 3 ปีที่แล้ว

    Kaiser ndo Julius cezar

  • @humphreymorise
    @humphreymorise 5 ปีที่แล้ว

    black khemet GOD

  • @johnsonenockmwasuluka6470
    @johnsonenockmwasuluka6470 5 ปีที่แล้ว +6

    Cleopatra hakuwahi kuwa mzuri , Bali alikua Ana akili nyingi sana na mjanja, alikua Ana ushawishi mkubwa sana, ndio maana aliweza kuwatongoza Caesar na mark Anthony coz alikua na akili kupita kiasi Ila sio kwa uzuri

  • @nanajoseph8515
    @nanajoseph8515 5 ปีที่แล้ว +1

    Jaman zaman walikuw wanavaa vilemba cjui vya chuma duh

    • @thehost9809
      @thehost9809 5 ปีที่แล้ว

      Vililembwa kwa dhahabu na hariri

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv6738 6 ปีที่แล้ว +2

    Cleopatra

  • @bulayaconfidential7212
    @bulayaconfidential7212 5 ปีที่แล้ว

    aiseee!!

  • @adamhashimu4462
    @adamhashimu4462 6 ปีที่แล้ว

    story nzur,unisimulimulia vzur sns

  • @adamkaita3009
    @adamkaita3009 5 ปีที่แล้ว

    sasa hii story mbona inachanganya wengine wanadai cleopatra kifo chake kilitokana na kuumwa na nyoka mwenye sumu kali cobra hii story inasema aliuawa na Anthony.

  • @seifmohamedseif9384
    @seifmohamedseif9384 6 ปีที่แล้ว +1

    cleoptra alikua mapepe naona

  • @sarkodieobidima2898
    @sarkodieobidima2898 5 ปีที่แล้ว

    saaaaaafi elimu aina mwisho

  • @fredymwaya6418
    @fredymwaya6418 6 ปีที่แล้ว +2

    Hawa akina Kleopatra wapo hata sasa wakitaka kutawala mahali wana mlainisha yule mwenye nguvu kwa Mapenzi. haya Mimi ilinitokea wakati nimepata cheo flani

  • @sibiromallya5894
    @sibiromallya5894 6 ปีที่แล้ว +2

    tamuùuuuuuu

  • @samsondecoman983
    @samsondecoman983 5 ปีที่แล้ว +1

    kwaiyo dola yarumi ninini? aundokama Euro yasasa ivi?

  • @awalimunishi
    @awalimunishi 6 ปีที่แล้ว

    wanawake wa kimisri wajanja mnooo

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 4 ปีที่แล้ว

    Inamaana wameona kaka na dada

  • @abuibra
    @abuibra 5 ปีที่แล้ว

    😂😂😂UNASEMA WAZEE WAKE CLEOPATRA WALIKUWA WAJINGA NA DHAIFU?!!!!MPUUZI SANA WEWE.

    • @alijuma4747
      @alijuma4747 5 ปีที่แล้ว

      Abuu unajua maana ya ujinga???

  • @mnyampaamnyampaa5780
    @mnyampaamnyampaa5780 6 ปีที่แล้ว +1

    Huyu msimuliaji anatumia kigezo gani kumuita mfalme mjinga?

    • @selector728
      @selector728 5 ปีที่แล้ว

      hata ww mjinga tu

  • @mudyramadhani3020
    @mudyramadhani3020 6 ปีที่แล้ว

    kwhy kumbe mov ya porus ni histoly ya kwel!!

  • @jojo_linkissabiny5238
    @jojo_linkissabiny5238 5 ปีที่แล้ว

    😄

  • @ramadhanmsaghaa9639
    @ramadhanmsaghaa9639 5 ปีที่แล้ว

    Sorry naomba jibu la swali language , kwann historia umesoma kuanzia mwaka 69 ikawa inarudi nyuma 26 badala kwendambele ? Nitafurahi kama nitapata ufafanuzi

    • @koffykapinga4312
      @koffykapinga4312 4 ปีที่แล้ว

      Ramadhan Msaghaa miaka imeanza kuhesabiwa kwenda mbele baada ya kristo yesu kuzaliwa kwa kipind hcho kabla miaka ilikua inaesabiwa kutokana na matukio

  • @mapenzimatamu5289
    @mapenzimatamu5289 6 ปีที่แล้ว +7

    Mnapotosha history, warabu hawana majina ya kizungu

    • @absonmhema4287
      @absonmhema4287 6 ปีที่แล้ว

      Mhhhh! Umekurupuka na history yako!.

    • @amosrweyemamu3282
      @amosrweyemamu3282 6 ปีที่แล้ว

      Acha kukariri wewe

    • @alimatari9402
      @alimatari9402 6 ปีที่แล้ว +1

      Ulikuwa wasikiza wapi kwani?!!!! FAMILIA YA KIFALME WALIKUWA WAGIRIKI NA SIO WAALISIA WA MISRI

    • @tonyelshabbaz
      @tonyelshabbaz 5 ปีที่แล้ว

      Umekurupuka , walikuwa wagiriki

    • @johnnzao6460
      @johnnzao6460 5 ปีที่แล้ว +1

      uislam umeingia msiri miaka ya 1000+ AD. kabla ya hapo hawakuwa waislam

  • @abdullherry3072
    @abdullherry3072 6 ปีที่แล้ว +3

    Kwer wanawake kugawa gawa papuchi yao haikuanza leo

    • @selector728
      @selector728 5 ปีที่แล้ว

      siy kwer sema kwel

  • @nkubankuba1489
    @nkubankuba1489 5 ปีที่แล้ว +9

    Roma sio dini ni dola inaotawala kwa nguvu na mabavu.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️

  • @tenatanz
    @tenatanz 5 ปีที่แล้ว

    mmelud