Ziyara ya Masalafi wa Tanzania kwenda kwa SHEIKH Rabii kumuuliza baadhi ya maswali mwaka 2007
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- Ziara ya ya Masalafi wa Tanzania kwenda kwa SHEIKH Rabii kumuuliza baadhi ya maswali
#ziara#raabii#qassimmafuta#Amyc#Ansaarsunnah#alhilaalymedia#raddi#uhizbiyyah#hizb#
Naomba kujua maulamaa wangapi ambao wategemewa katika umma wa kiislam kwasasa maana namjua sheikh Fawzaani,Na wengine wachache kama Huyu sheikh Rabii Allah awahifadhi.Namaanisha waliohai
shaykh sulaymaan arruhayliiy, shaykh Abdullah albukhaariy,muhamman bin abdilwahhaabi alwuswabiy...nk ni wengi...
Yupo sheikh suleiman al ruhayli
Sheikh Abdul Muhsin Al Abbaad, Sheikh Abdul razzaaq albadriy,
@@user-tm2zk5gn4e Ameuliza ulamaa sio mashekhe elewa swali
balaka llahu fiyka shaykhuna
بارك الله فيك
Mngeweka Transmission ya Kiswahili
Ndo ujifunze kiarabu
@@sharifumussa6846 hilo siyo jawabu zuri
😂😂😂😂mtu aje kusoma kwa majahil kweli
Ilikuwa 2007?
Mbona hamjib maswali mliyoulizwa na M,bacho au ndo kupotezea alaf huyo shekh naye anayakiwa ajib maswali kwa kusikiliz wengine kwasbb hayo maswali ni ya kujitakasa nyie vile mmeitwa majadida mnataka mpate fatwa ya kuwapa nguvu jibun maswali kwanza afu mdo mengine yaendelee sheikh rabii allah amhifadhi anatakiwa asikilize wote siyo atoe fatwa kwa sikiliz upande mmoja tu.
Sio kila mbwa anaebweka hurembewa jiwe
Wengine huwa ni koko kwahiyo hekma yke ni kumuacha tu ikisha wende na shughuli zako za umuhimu yeye akichoka atanyamaza mwenyewee
Swali la ujanja ujanja acha talbiisi hapo hakuna swali bali nituhuma ili mtakaswe nyinyi majadida acheni ujanja dini haitaki ujanja
Inawezekana hata maana ya talbis hujui
Kiarabu chenyewe cha pongwe yani yani kibaaaaao mkiambiwa mje tuwafundishe lugha sisi masuufiyya hamtaki
Majadida bwana
@pavillioncry5241
Ndio manini hayo
Chanzo cha mizozo na watu wa sunna kukatana wenyewe kwa wenyewe
Kama alivosema shekh bakri abuu zaidi
Watu WA sunna hawakatani ukiona Ivo ujue huyo sio MTu WA Sunna sawasawa