MAZINGE AWAASA WAISLAM KUTUNZA SABATO PART 2: MASWALI NA MAJIBU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
  • Mdahalo uliofanyika Tanga Tarehe 2 Hadi 3 Feb. 2023. Vitabu vyote vinathibitisha kwamba, siku pekee aliyoagiza Mwenyezi Mungu kufanyika ibada takatifu ni siku ya Sabato-Jumamosi.
    Historia inathibitisha kwama Siku ya Ijumaa haikuwa siku rasmi ya ibada katika Uislam. Siku hii ilianzishwa na Waislam wa Madina (Answar) kabla hata Muhammad hajahamia huko (Hijra). Lengo lao lilikuwa ni kujitofautisha na Wayahudi na Wakristo. Muhammad alipo hamia Madini alikuta waislam wa huko wanakusanyika katika siku ya Ijumaa. Siku moja siku ya Ijumaa, Muhammad akiwa anahutubia msikitini, msafara wa wafanya biashara wakaingia mjini kutoka sham, kukawa na vurugu na kelele za wafanya biashara. Masahaba wote wakakimbia kwenda huko na kumwacha anahudubia wakabaki watu 12 tu! Hapo ndipo ikashuka sura ya Ijumaa katika Qur'an kwa lengo la kuwafanya watu waache mambo ya biashara wakati wa Ibada unapokuwa umefika.

ความคิดเห็น • 83

  • @JamesJastin-bg1rx
    @JamesJastin-bg1rx หลายเดือนก่อน

    Mazinge yupo sahihi

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 ปีที่แล้ว +6

    Mch,Yohana amejaa Neno,Roho wA Mungu anamsaidia,

    • @freyzamsaidsaidmnken9585
      @freyzamsaidsaidmnken9585 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @edsonmasesa7966
      @edsonmasesa7966 ปีที่แล้ว +1

      Mazinge hajui kujibu maswali yeye ni mbishitu hanaga point yoyote hadi huwaga nacheka

    • @eyelushshamschel
      @eyelushshamschel ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Eti roho wa Mungu

  • @mishaelmusiba305
    @mishaelmusiba305 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akubariki muinjilisti Eliud

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 ปีที่แล้ว +2

    Pro Mazinge DD Safi

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 ปีที่แล้ว +4

    Allah akusimamie mpenzi wetu kwajina la Allah mazinge wallah unajua unaweza

    • @rufuskinyua6938
      @rufuskinyua6938 ปีที่แล้ว

      huyu jamaa mazinge atapeleka wengi kucmu, ndugu zangu tumieni mavikila.

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 ปีที่แล้ว +1

    Jazaakallah khayrii mashekh

  • @SuperTipsKenya
    @SuperTipsKenya ปีที่แล้ว

    Mazinge mjinga kweli kweli

    • @aliroro9344
      @aliroro9344 ปีที่แล้ว

      😂😂Wewe unamjua mazinge au

    • @SuperTipsKenya
      @SuperTipsKenya ปีที่แล้ว

      @@aliroro9344 Anauliza maswali ya kijinga kweli kweli na hata waislamu hawawezi gundua.

  • @sifamanyori
    @sifamanyori 5 หลายเดือนก่อน

    Kubukeni wahisiram kusema muna mungu siyo ukweri chakwaza munatuhukum kimajini kwasambabu munavaa Pete zakuzim munaseme mungu arizariwa maka kumbe nikijinamiz chaserikari

  • @abdisalammohamed7687
    @abdisalammohamed7687 ปีที่แล้ว +1

    mazinge nakukubali mashallah

  • @user-lg9hw4dm6x
    @user-lg9hw4dm6x 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mazinge hana point yoyote, niku make comedian tu

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 10 หลายเดือนก่อน

    Alaaa…. Kumbe wakiristo wakusanyika kanisani kwa hasara 😢 Sikujua mimi

  • @KelvinMakwala-jw3xg
    @KelvinMakwala-jw3xg ปีที่แล้ว

    Mazinge acha siasa muogope Mungu

  • @mussakamando2678
    @mussakamando2678 ปีที่แล้ว

    Mpiga picha hongera

  • @jumarobertonyancha8605
    @jumarobertonyancha8605 ปีที่แล้ว +2

    Mazinge hoja kashindwa na hoja

    • @michaelkarisa5270
      @michaelkarisa5270 ปีที่แล้ว

      Uyu mzee sio kama haelewi, hawaezi kukubali, na anapotosha wasio jielewa

  • @charlesmgonja8689
    @charlesmgonja8689 ปีที่แล้ว +4

    What kind of professor is this? This Mazinge deserves to be a comedian.There isn't professors of this type in the world.

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 ปีที่แล้ว

      Absolutely 😂😂😂

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 11 หลายเดือนก่อน

      Prossor wa wasiokuwa waisilamu .

  • @user-lp8ij1qv9h
    @user-lp8ij1qv9h 9 หลายเดือนก่อน

    Sabato Haina makosaaa

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 ปีที่แล้ว +3

    Ni rahisi sana kuelewa hapo wandugu, imetajwa ijumaa ikiongelewa kama siku ambayo maandalizi ya siku ya Sabato then inatajwa Jumapili kama siku ambayo wanawake walitoka kuelekea kaburini baada ya kupumzika katika siku ya Sabato ikiulizwa Sabato ni lini hata mtoto wa darasa la nne anajibu kuwa ni Jumamosi unless tuwe tunatafuta kubabaishana ila kama tupo kwenye kujifunza it's well understood kwamba Sabato ni Jumamosi... Niliacha kutazama mihadhara kwa muktadha wa kujifunza nilipomsikia prof Mazinge anasema Yesu hakwenda Hija kwa sababu alikuwa masikini na wanaoenda kule ni matajiri kuanzia hapo nikaanza kutazama ili nicheke nikiwa na stress 😂😂😂

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 10 หลายเดือนก่อน

    Lohhhh 😮😮 swali la ustadh mbogo dogo sana lakini gumu sana.. yesu kuingia kanisani sabato? Hamna aya hio. Wakiristo waongo

  • @charlesmgonja8689
    @charlesmgonja8689 ปีที่แล้ว

    Mazinge umefilisika.

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 ปีที่แล้ว

      Anachekesha😂

    • @aliroro9344
      @aliroro9344 ปีที่แล้ว

      😂😂Ww elewa madaa n sabato ni siku gani, sabato ipo lkn siku niipi 😂😂

  • @BON357
    @BON357 ปีที่แล้ว

    Mungu mkubwa Asante mola mmi bonface taysoni xhe nimelewa

  • @DifaRobelindo-cj2ij
    @DifaRobelindo-cj2ij 10 หลายเดือนก่อน

    Sabato ni luga ya kifariseu na portuguese, yani kuenye portuguese ni sabado mana yake ni jumamosi, someni portuguese mutaelewa
    Kuna sengunda feira yani juma tatu,
    terça feira yani juma mne,
    quarta feira juma tano .
    quinta feira ni alhamisi, sexta
    feira ijuma.
    . .. Sabado ni jumamos.
    Domingo ni juma pil

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 11 หลายเดือนก่อน

    Wakiristo muelewe
    Dini y kiisilamu haina siku maalumu ya ibada, siku zote ni siku z ibada na wala hakuna mapumziko.
    Siku ya Ijumaa Allah ameiweka sala maalumu inayoitwa sala ya ijumaa tena kwa ummat Muhammad.
    Na Allah ndio aliyowaekea mayahudi siku ya sabato kwa sheria yao alivyowapa.

  • @charlesmgonja8689
    @charlesmgonja8689 ปีที่แล้ว +1

    Muone comedian Mazinge anavyojichekesha mwenyewe.Huna hats haya we mzee?.

  • @masala8099
    @masala8099 ปีที่แล้ว +8

    Shekhe mazinge asiyekuelewa ana matatizo

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme ปีที่แล้ว

      Mbishi tu hamna kitu,. Mazinge mzee wakuchomekea ni msani 🤣🤣🤣 tangu lini sabato ikawa ijumaa huyo mzee wenu kapagawa

    • @massoudfaki6744
      @massoudfaki6744 ปีที่แล้ว

      @@Mpakauseme kwa iyo na wewe unataka kutuelewesha kua jumamosi ni siku ya saba

    • @issafaquedalaura8279
      @issafaquedalaura8279 ปีที่แล้ว

      Safi

    • @shabanchegama
      @shabanchegama ปีที่แล้ว

      Shaban chegama

    • @shabanchegama
      @shabanchegama ปีที่แล้ว

      Natafuta kaz kwenye kampun

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 ปีที่แล้ว

    Yesu anakuwaje mkristo mwenzao wakati ye ndiye Kristo mwenyewe?

  • @gracenjoroge5952
    @gracenjoroge5952 ปีที่แล้ว +2

    Mna uhakika mazinge ni professor kweli???

  • @PhilipoAwe-x7j
    @PhilipoAwe-x7j ปีที่แล้ว

    Waislamu mtaeleweshwaje?

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 ปีที่แล้ว

    Sabato ndo mpango mzima

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 ปีที่แล้ว

    Mazinge ni kichwa Cha panzi,hoja Iko wazi kubatizwa hataki,

    • @freyzamsaidsaidmnken9585
      @freyzamsaidsaidmnken9585 ปีที่แล้ว

      Kondoo ulipotea panz ni chako

    • @nassorsultan8647
      @nassorsultan8647 ปีที่แล้ว

      Katoka uko uko ukafirini
      Alipoona haki kaja kwenye haki

    • @nassorsultan8647
      @nassorsultan8647 ปีที่แล้ว +1

      Akiwemo ustz kesi kaja kwenye mwanga katoka kwenye gizza

    • @husnaally7964
      @husnaally7964 ปีที่แล้ว

      Mazinge Allah azid kukupa ujuz uwalete wengi katika Haq hata huyu anaekuita kichwa Cha panzi

  • @amina2044amin-zv2gh
    @amina2044amin-zv2gh ปีที่แล้ว

    😂😂😂🤝

  • @KatanaMlewa
    @KatanaMlewa หลายเดือนก่อน

    Mazinge acha kuongopea watu sasa wewe mwenyewe wajua ijumaa ikitoka inakija ipi

  • @egidideule7285
    @egidideule7285 5 หลายเดือนก่อน

    Sas elimu ya uprofs uliutoa wp wakati hujui biblia mimnaonakabisa hunajipya unabwabwaja tu

  • @davidlintari8504
    @davidlintari8504 ปีที่แล้ว

    Waislamu wana matatizo kweli

  • @abdulkarimnassor3128
    @abdulkarimnassor3128 ปีที่แล้ว +1

    Hauwezi kutumia akili zako kwenye dini

  • @patrickmshaughi4155
    @patrickmshaughi4155 ปีที่แล้ว

    Kumbukeni Isa utume wake na baada yake alitumwa mtume Mohammad kwa hiyo Isa twamuamini na mtume Mohammad alikuja na utume wake ndio tunaoufuata

  • @mahadboy5124
    @mahadboy5124 6 หลายเดือนก่อน

    Wakiristo wamelaaniwa ndo maan hawaelew

  • @jumamfinanga6867
    @jumamfinanga6867 ปีที่แล้ว

    Mnajifanya hamuelewi

    • @saiddgsmg
      @saiddgsmg 4 หลายเดือนก่อน

      hebu tfsiri kwa kiswahiri jumamosi inaweza kuwa siku ya saba kweli,kwa kiswahili ni siku ya kwanza sio saba hapa ndo panaubishi,😊😊😊😊

  • @patrickmshaughi4155
    @patrickmshaughi4155 ปีที่แล้ว

    Isa naamini ni mwislamu na ktk utume wake alibashiria kuja kwa mtume Mohammad baada yake

  • @user-lp8ij1qv9h
    @user-lp8ij1qv9h 9 หลายเดือนก่อน

    Ukweli haupingwi kwa maneno yetu,nitafuata biblia siyo watu

  • @jonathanmbise3115
    @jonathanmbise3115 ปีที่แล้ว

    Mwi wa midaalo hii matokeo ni nini?

    • @adventsoundtv
      @adventsoundtv  ปีที่แล้ว

      Mwisho wa Mahubiri unayosikia Kanisani kwenu ni Nini?

  • @deepestmathematics1888
    @deepestmathematics1888 ปีที่แล้ว

    Mazinge ni Uswahili tu hoja za kidini hana kabisa nutaamaa niwe mkristo tu maana watu wanatoa hoja na siyo waswahili Swahili

    • @aliroro9344
      @aliroro9344 ปีที่แล้ว

      Wew tupe hoja zako basi 😂😂😂😂

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 ปีที่แล้ว +3

    Kuna mchungaji wa mwanzo apo akaanza kuisifia Qur'an kwakua inakubaliana na sabato anasema kuwa mungu kaitaja sabato ndani ya Qur'an na kasema sheria zake lazima zifuatwe
    Sasa Qur'an ilipoitaja siku ya ijumaa anakataa anasema ijumaa imetungwa na watu. Wachungaji hamjielewi mshazoea katika kitabu kuyakubali nusu na mengine kuyakataa sasa kwann uikubali sabato ndani ya Qur'an na uikatae ijumaa ndani ya Qur'an?
    Au unafikili Qur'an ni kama biblia? Wakristo Mumepotea kweli

    • @benjaminsika1782
      @benjaminsika1782 ปีที่แล้ว

      Sasa kwann usifate sabato kama Quran imekuamrisha ufate sabato

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 ปีที่แล้ว

      @@benjaminsika1782
      Kwann unilazimishe nifuate sabato wakati nimeamrishwa niifuate ijumaa?

    • @benjaminsika1782
      @benjaminsika1782 ปีที่แล้ว

      @@faudhiasaidi3669 sio Mimi ni qoran yenu ndo imewataka mufute sabato hakuna andiko lolote kwenye qoran imesema ijumaa ni siku ya ibada hakuna na kama lipo toa

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 ปีที่แล้ว +2

      @@benjaminsika1782
      Nyie mumebaki viroja ambao sabato hamkuandikiwa nyinyi na mnaifuata wakati walioandikiwa sabato waliivunja wakabadilishwa wakawa manyani na mangurue
      Walioandikiwa sabato sio sisi
      إِنَّمَا جُعِلَ السَّبْتُ عَلَى الَّذِينَ اخْتَلَفُوا فِيهِ ۚ وَإِنَّ رَبَّكَ لَيَحْكُمُ بَيْنَهُمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ فِيمَا كَانُوا فِيهِ يَخْتَلِفُونَ
      [ AN NAH'L - 124 ]
      Hakika siku ya Sabato (Jumaamosi) waliwekewa wale walio khitalifiana kwa ajili yake. Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika yale waliyo kuwa wakikhitalifiana.
      Yakwetu tumeandikiwa ijumaa
      يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِذَا نُودِيَ لِلصَّلَاةِ مِن يَوْمِ الْجُمُعَةِ فَاسْعَوْا إِلَىٰ ذِكْرِ اللَّهِ وَذَرُوا الْبَيْعَ ۚ ذَٰلِكُمْ خَيْرٌ لَّكُمْ إِن كُنتُمْ تَعْلَمُونَ
      [ AL - JUMUA' - 9 ]
      Enyi mlio amini! Ikiadhiniwa Sala siku ya Ijumaa, nendeni upesi kwenye dhikri ya Mwenyezi Mungu, na wacheni biashara. Hayo ni bora kwenu, lau kama mnajua.

    • @nlsprotv2990
      @nlsprotv2990 ปีที่แล้ว

      Nilivyo muelewa ijumaa ilianza kabla ya muhamad aliye shushiwa hilo andiko. Sas ijumaa kabla ya muhamad how it come

  • @petermollel58
    @petermollel58 ปีที่แล้ว

    HUKUMU zina yy Muumba wetu... mbona mwahukumu kuwa watu ni makafiri?

  • @yohanamoikan7709
    @yohanamoikan7709 ปีที่แล้ว

    Hawa ni wafilist

  • @jumamfinanga6867
    @jumamfinanga6867 ปีที่แล้ว

    Wakristo mtachomwa nyiee

    • @gracenjoroge5952
      @gracenjoroge5952 ปีที่แล้ว

      Nani kawaambia waislamu waabudu siku ya ijumaa??

  • @GodyMussa-sc9fj
    @GodyMussa-sc9fj 10 หลายเดือนก่อน

    Na wewe mazinge kumbe mbabaishaji tu