MAZINGE AWAASA WAISLAM KUTUNZA SABATO: MDAHALO, SIKU YA TAKATIFU YA IBADA ILIYOAGIZWA NA MUNGU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
  • Mdahalo uliofanyika Tanga Tarehe 2 Hadi 3 Feb. 2023. Vitabu vyote vinathibitisha kwamba, siku pekee aliyoagiza Mwenyezi Mungu kufanyika ibada takatifu ni siku ya Sabato-Jumamosi.
    Historia inathibitisha kwama Siku ya Ijumaa haikuwa siku rasmi ya ibada katika Uislam. Siku hii ilianzishwa na Waislam wa Madina (Answar) kabla hata Muhammad hajahamia huko (Hijra). Lengo lao lilikuwa ni kujitofautisha na Wayahudi na Wakristo. Muhammad alipo hamia Madini alikuta waislam wa huko wanakusanyika katika siku ya Ijumaa. Siku moja siku ya Ijumaa, Muhammad akiwa anahutubia msikitini, msafara wa wafanya biashara wakaingia mjini kutoka sham, kukawa na vurugu na kelele za wafanya biashara. Masahaba wote wakakimbia kwenda huko na kumwacha anahudubia wakabaki watu 12 tu! Hapo ndipo ikashuka sura ya Ijumaa katika Qur'an kwa lengo la kuwafanya watu waache mambo ya biashara wakati wa Ibada unapokuwa umefika.

ความคิดเห็น • 160

  • @YusuphYuzoo
    @YusuphYuzoo ปีที่แล้ว +5

    Mungu awabarik❤🇹🇿

  • @radhiamohaa3723
    @radhiamohaa3723 ปีที่แล้ว +8

    Mazinge Allah Kampa kipaji mashaAllah huaga nikiskiza mawaidha yako yaani Alhamdhulillah

  • @mizingayaudongo1097
    @mizingayaudongo1097 ปีที่แล้ว +3

    MwenyeziMungu awabariki !!

  • @ErickAndrew-lr4ls
    @ErickAndrew-lr4ls 10 หลายเดือนก่อน +2

    Poleni sana katika midahaloyauchambuzi wa sabato sikuzamwisho watu watakataa meno nakupenda maovu

  • @samwelmanasse5724
    @samwelmanasse5724 ปีที่แล้ว +3

    Mazinge, Ndeche, wahubiri, washiriki na wasikilizaji wote, ninafuhaha moyoni mwangu kwa vile mmetumiwa na Roho wa Bwana kuanzisha mahubiri haya ili kutimiza maandiko. Kueneza habari njema ili mwisho wa dunia ifike. Sisi wasikilizaji haja zetu ni kuyaandika sura hizo na kuzithibitisha ili kwa imani ya Mungu, tufanye uamuzi mzuri. Mbarikiwe mno.

    • @adventsoundtv
      @adventsoundtv  ปีที่แล้ว +2

      Amina ubarikiwe na wewe kwa kututia moyo

  • @user-hf4bk3rz4p
    @user-hf4bk3rz4p 9 หลายเดือนก่อน +2

    Let God shine through reality

  • @masengopatrice
    @masengopatrice ปีที่แล้ว +1

    Nyinyi wa islam muna kubali kwamba taurati ili teremshwa na mnyenzi mungu. Kwa iyo mnyenze mungu ana tu ambiyeni kwa amri yake tuli tunze siku ya sabbato iliyo jumamosi sasa nyinyi mna sema mungu ana dji pinga. ikiwa mume kataa Sabbato mume kataa amri ya mnyenzi mungu
    toeni maisha yenu kwa yesu na mta okoka mungu awa saidiye sana

  • @AliMohamed-ng5ps
    @AliMohamed-ng5ps 8 หลายเดือนก่อน

    Mazinge mashaallah ALLAH akubariki

  • @saopoul7928
    @saopoul7928 ปีที่แล้ว

    Shekhe mawaidha yako hayajanishawishi kabs,, napenda din zote lakn point zako hazijanishawishii,, mungu wawabariki,, imani yako ndoitakuponya din zililetwa tu,mungu ndoanajua din ipi ni sahih,, amen,inshaallah

    • @noorbawaazir9035
      @noorbawaazir9035 ปีที่แล้ว

      Hulazimishwi mzee...ww na iman yako n cc na dini yetu😂Quran ishakujibu.

    • @failunaomari9372
      @failunaomari9372 9 หลายเดือนก่อน

      Hueleweki ndugu Soma zaidi, na alama za nyakati.

  • @lisauroble31
    @lisauroble31 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana sheghe wangu

  • @joseprinceofficialKE
    @joseprinceofficialKE ปีที่แล้ว +4

    Jamamosi,Jumapili,Jumatatu,nne,Jumatano,,Alhamisi, Ijumaa,( Kiswahili.)
    English ( Sunday, Monday, Tuesday Wednesday, Thursday, Friday, Saturday, (English).
    We've different calenders the names of days originally were made by Greeks, the Gregorian calendar, Julian Calendar etc.

  • @mcharoamani8524
    @mcharoamani8524 ปีที่แล้ว +1

    Ameen

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 ปีที่แล้ว +1

    Takbiiir

    • @jesusislord9190
      @jesusislord9190 ปีที่แล้ว

      Kwahiyo mazinge amekataa mpaka neno la Allah iliosema juma mosi ameikataa

    • @rashidgona1808
      @rashidgona1808 ปีที่แล้ว

      TAKBIR ni ya wanawake wewe mwanaume takbir n ya nini

  • @pascalngaya4050
    @pascalngaya4050 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa Sana mtumishi wa BWANA

    • @lawayomary
      @lawayomary ปีที่แล้ว

      wasabato ni kundi la vuvi

  • @user-gp7sd9kg4t
    @user-gp7sd9kg4t 9 หลายเดือนก่อน +2

    Waislamu siku hiyo ya hukumu ikifika msije mkalaumu mkisema hamkuambiwa tumefanyq kazi yetu n juhudi yenu kuifuata siku hiyo ya sabato

  • @GAYOTV2023
    @GAYOTV2023 ปีที่แล้ว +6

    Mazinge hana hoja ni mchekeshaji tuu maneno mengi

    • @mbwaralali5049
      @mbwaralali5049 ปีที่แล้ว +1

      Hivyo ndivyo uliambiwa kanisani kweni museme hivyo,

    • @lawayomary
      @lawayomary ปีที่แล้ว

      kua na adabu jifuze uelewe

    • @JohnAbdul-gm2tb
      @JohnAbdul-gm2tb ปีที่แล้ว

      Mazinge Yuko sawa Kwa saababu katika usomaji harukiruki maneno lakini Hawa walimu wengine Kuna maneno wanayakimbia.

  • @JuliasRanga-dd8zn
    @JuliasRanga-dd8zn ปีที่แล้ว

    Amen

  • @gracenjoroge5952
    @gracenjoroge5952 ปีที่แล้ว +3

    Hawa waislamu hawajielewi,kwanza wamekumbali sabato ni amri ya Mungu ilhari wanaipinga

    • @radhiamohaa3723
      @radhiamohaa3723 ปีที่แล้ว +1

      We pia msabato toba ina Lillah wa inalillah 😢😢😢😢😢

  • @user-ei3iy5fu1i
    @user-ei3iy5fu1i 5 หลายเดือนก่อน

    Kubukeni anae sema ukweri munakata munaseme kichaa mungu ariacha neno funika kombe mwanaharamu apite mukijua mama wakabo mama mama wakabo nibakwata

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 4 หลายเดือนก่อน

    Tatizo mnashindania din lakini sabato.inaonekana ni jumamosi.Mungu atusamehe wanadamu

  • @dominicbirika5164
    @dominicbirika5164 ปีที่แล้ว +4

    Sabato Iko wazi kabisaa ndani Biblia

  • @dicksonkoech9528
    @dicksonkoech9528 ปีที่แล้ว +4

    Mazinge n comedian 😂mungu awalinde

    • @mbwaralali5049
      @mbwaralali5049 ปีที่แล้ว +1

      Akulinde wewe mana ukiulizwa swali utojibu, wapi yesu aliingia kanisani, toa haya moja tu

    • @lewiskims8890
      @lewiskims8890 ปีที่แล้ว +1

      Kwanza elewa kanisa ni nini, sio nyumba bali ni mkusanyiko wa watu, Yesu kasema waliopo wawili watatu kwa ajili ya jina lake ako pamoja nao

    • @mbwaralali5049
      @mbwaralali5049 ปีที่แล้ว +1

      @@lewiskims8890 kama kanisa ni nyumba yesu alikuwa akifanya wapi ibada zake

    • @dicksonkoech9528
      @dicksonkoech9528 ปีที่แล้ว

      @@lewiskims8890 amen😂

  • @InjiliTV777
    @InjiliTV777 ปีที่แล้ว +9

    Sabato Iko wazi ni Jumamosi, hakuna msomi yeyote duniani anayeweza kupinga hili

    • @rabiawasia227
      @rabiawasia227 ปีที่แล้ว +1

      Twende kilugha bila maandiko jmosi. Mosi ni moja kiswahili jpili endelea kuesabu utaona inaishia sikugan

    • @rispahcheptoo6327
      @rispahcheptoo6327 ปีที่แล้ว +1

      @Rabia Wasia the bible stated very well,read mark 15:42-43, Tena usome Mark 16:1-2 hapo sasa utaelewa vzri Kati ya Friday, sat na Sunday

    • @jumamfinanga6867
      @jumamfinanga6867 ปีที่แล้ว

      Akili we hunaa

    • @muuhjunior3139
      @muuhjunior3139 ปีที่แล้ว

      Unazungumzia wasomi wa dunia ipi

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 ปีที่แล้ว

      Hamuna akili mtafuteni mungu wazungu wamewamaliza hakuna mungu kwenye ukiristo dini yenu mauza uza ya wazungu subirini mufungishe ndoa makanisani za jinsia moja

  • @joycejohn5317
    @joycejohn5317 5 หลายเดือนก่อน

    Muslim jibu kama watu wa Mungu jmn mbn janja janja uwiiiii

  • @ngendakumanajeanmarrie7490
    @ngendakumanajeanmarrie7490 ปีที่แล้ว +4

    Mazinge nikama mwijaku ndie anapenda kupotosha watu

    • @lawayomary
      @lawayomary ปีที่แล้ว

      kubalini ukweli acheni ubishi usio nafaida

    • @ImranImran-mo8pl
      @ImranImran-mo8pl ปีที่แล้ว

      Wasabato hamujielewe kabisa wanafiki sanaa mukipewa ukweli

    • @ImranImran-mo8pl
      @ImranImran-mo8pl ปีที่แล้ว

      Kama yesu ni bwana wa mabwana je bwana wa mabibi ni nan..

    • @BelthaNgoda-cd1gi
      @BelthaNgoda-cd1gi ปีที่แล้ว

      Unataka au hutaki Yesu ninayemwamini ndiye wa kweli achana na maneno ya Mazinge

  • @user-op9fx3by1k
    @user-op9fx3by1k 9 หลายเดือนก่อน

    Mazinge muige huyu Shaykh muzammir faqir

  • @bigdad1816
    @bigdad1816 ปีที่แล้ว +1

    Shabarth ni siku ya Saba katika kiyaudi inaanza ijumaa Saa kumi na mbili na inaisha Saa kumi na mbili jumamosi ni kiyaudi shabat th ,ningependea kuukiza Kwa sheikh mazinge ni sehemu ghani katika Quruani Mungu anasema dini yangu ni Islam na pia Kwa wakristo ni sehemu ghani katika Biblia Mungu anasema dini yangu ni ukristo sababu dini zote hizi zikiletwa na wageni sio waafrica ukristu wazungu uislamu waarabu na hakuna anayeweza kutuhakikishia dini yake ndio ya kweli .

  • @harrisonodiwa7248
    @harrisonodiwa7248 ปีที่แล้ว

    Yaani hawa waislamu Wakristo wakiomba wao wako tu shughuli zao,kejeli Kwa Mungu.

  • @mrjulius5840
    @mrjulius5840 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mkome kabisa kushindana na WASABATO maana hao ndio WAKRISTO WA KWELI.

  • @rispahcheptoo6327
    @rispahcheptoo6327 ปีที่แล้ว +2

    Obviously Saturday is the sabbath day of God. Mark 15:42-43 ,Hebrews 4:9-11

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 11 หลายเดือนก่อน

    mhadhara mzuri

  • @BelthaNgoda-cd1gi
    @BelthaNgoda-cd1gi ปีที่แล้ว +2

    Soma wakolosai 2:16 acheni kubishana " basi mtu asiwahukumu ninyi kwa habari ya vyakula au vinywaji au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi au sabato"
    uwe na siku njema

    • @PatrickMathias-cs9qc
      @PatrickMathias-cs9qc 6 หลายเดือนก่อน

      Ngoja nikusaidie wayahudi waliishika sabato kwa namna ya ukandamizaji kama vile hauruhusiwi kutoa pepo,kuponya, na kuchuma chakula siku ya sabato wakasahau kusudio la sabato sasa Yesu alipowaambia mtu asiwahukumu maana yake sio kwamba msiishike sabato bali muitumie sabato kumtukuza bwana yesu kwa kuwa yeye ndiye Bwana wa hiyo sabato na tuitumie kutibu mapepo kuhubiri injili na si Kama wayahudi walivyofanya wala tusiogope kwa jinsi watakavyotuhukumu lakini sabato ni Amri ilyotoka kwa Mungu hatuwezi kuivunja kamwe

  • @USDisdoomed
    @USDisdoomed ปีที่แล้ว

    Mazinge ameanza kuzeeka

  • @kingwakenya
    @kingwakenya ปีที่แล้ว +5

    Masinge amepoteza waisilamu kabiza kwa kuficha ukweli

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy ปีที่แล้ว

      Ushindwe kbs

  • @obedkalinga9704
    @obedkalinga9704 ปีที่แล้ว +2

    Walimu wa kiislam siku zote wanaogopa kuanza mada, hawajiamini

    • @alisaidabdallah1480
      @alisaidabdallah1480 ปีที่แล้ว +1

      Makafiri nyiyee mumeanzishiwa dini na mwanamke akili mbovu

    • @terrywatahi1203
      @terrywatahi1203 ปีที่แล้ว

      True

    • @tatujuma8781
      @tatujuma8781 ปีที่แล้ว

      😄😄😄mama amewaanzishia dini

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂wap mukristo anaweza mwislam

  • @sabbob574
    @sabbob574 ปีที่แล้ว +6

    Mazinge mbona hajibu hoja. Kazi kutukana tu. Ifeke wakati walimu wa kiislam muwe wakweli wa dhamila mambo y kiroho sio ya mchezo mchezo.

  • @johnkyara8655
    @johnkyara8655 ปีที่แล้ว +3

    Huyu ni comedy tu anatafuta na riziki ya kula

  • @miss_mshana5872
    @miss_mshana5872 ปีที่แล้ว

    Mada siku ya ibada ni ipi?? Lakini shekh anachanganya mada na hajajibu sabato ilianzishwa na nani na ipi ni siku ya ibada? Barikiwa sana mapastor kwa kadri Mungu anavyowatumia kujiziilisha kwa watu

  • @BelthaNgoda-cd1gi
    @BelthaNgoda-cd1gi ปีที่แล้ว

    Mazinge acha maneno leta nenop

  • @ModestyBleise-oj5ch
    @ModestyBleise-oj5ch ปีที่แล้ว

    Ndacha kuja timboroa please

  • @naiknaik2816
    @naiknaik2816 ปีที่แล้ว

    MashaAllah mazinge allah akubariki inshaAllah...Yani hawa ma pasta wameshinduwa kutoa Sabato ni siku ya juma mosi wlh ni aibu kubwa sana

    • @franciskabila8136
      @franciskabila8136 ปีที่แล้ว

      Ndugu yangu hata kama hujaenda shule wafaa kuelewa sabato ni jumamosi. Soma vizuri luka 23:53 na luka 24:1

    • @terrywatahi1203
      @terrywatahi1203 ปีที่แล้ว

      @@franciskabila8136 true hakuna kitu ameelewa😂😂

    • @ivonignas6537
      @ivonignas6537 ปีที่แล้ว

      Mazinge comedian na kibaya hawapendi kujifunza wanajiandaa kwa ubishi hajui hata anachokiongea lkn huu muhazara mtangulizi wa mada ametupa kitu kikubwa sana mwenye masikio amesikia

    • @ivonignas6537
      @ivonignas6537 ปีที่แล้ว

      Siendi tena kusali Jumapili

    • @tridaxprocumbens6079
      @tridaxprocumbens6079 8 หลายเดือนก่อน

      ​​​@@ivonignas6537Amen, ubarikiwe sana. Karibu usali jumamosi (siku ya Sabato) utunze amri ya nne ya Mungu

  • @usafirionline4465
    @usafirionline4465 11 วันที่ผ่านมา

    Uyo sheik yuko rough sana interms of interpretation ya maandiko . Ana generalization na competition eti wasabato ni manyani😅 yan huyu hana point kabisaa

  • @Tanzanialife1
    @Tanzanialife1 10 หลายเดือนก่อน

    Wote nyinyi mnatupotosha tu!

  • @saifservice-df4up
    @saifservice-df4up ปีที่แล้ว

    PJ pH

  • @saopoul7928
    @saopoul7928 ปีที่แล้ว

    Duuuuuw

  • @unclejonah7350
    @unclejonah7350 9 หลายเดือนก่อน

    Wachungaji kazi yenu mmemaliza Sasa Roho Afanye kazi yake

  • @eliasmatalamototv2850
    @eliasmatalamototv2850 ปีที่แล้ว

    Unafanyikaga Wapi Wengine tunakosa

  • @mazikumakoye9533
    @mazikumakoye9533 ปีที่แล้ว +1

    Mazinge alitangulia kuzaliwa lakini kuelewa biblia hamana kitu kabisa, Ni mpinga kristo.

  • @isihakajarika2668
    @isihakajarika2668 ปีที่แล้ว

    JAMANI mm nnashida na huyu mchungaji Omary nisaidieni mawasiliano yake jamani

  • @BelthaNgoda-cd1gi
    @BelthaNgoda-cd1gi ปีที่แล้ว

    waislam hamna bahati mnadanganywa mnaona kwa nn msimgeukie Yesu aliyekufa kwa ajili ya wote????? Jibu usiniambie

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 ปีที่แล้ว +2

    Siku takatifu ni kila siku, maana neno linasema sali bila kikomo

    • @lewiskims8890
      @lewiskims8890 ปีที่แล้ว +1

      Ayo ni yako sababu Mungu mwenye kuweka kila kitu nduniani na mbinguni ni siku moja tu alibaliki na kuitakasa siku ya saba na akaiita jina Sabatu ndio siku pekee takatifu

    • @Reginajohnson19884
      @Reginajohnson19884 ปีที่แล้ว +2

      @@lewiskims8890 hivyo unajua maana ya saba to ww maana yake

    • @BelthaNgoda-cd1gi
      @BelthaNgoda-cd1gi ปีที่แล้ว

      Kusali ni kila siku lakini hiyo sabato ni mapumziko

  • @DanielJoakim_01
    @DanielJoakim_01 ปีที่แล้ว

    Nimeipata akika

  • @miss_mshana5872
    @miss_mshana5872 ปีที่แล้ว

    Kisaikologia mnaanza kuaribu upeo wa waislam kufikiria na kwa kuanza eti sabato ilianzishwa na mwanamke , tunaomba Aya na sio story, na ndy maana waislam hawapendi kusom dini yao zaidi ya kusikiliz mashekh na kuwaamin kuliko aliyeilet torati

  • @bettygesare5948
    @bettygesare5948 ปีที่แล้ว +1

    Wafufi wa watu yesu aliwambia wanafunzi wake nitawafanya wafuvi wa watu

  • @Answarsunnasiyu
    @Answarsunnasiyu ปีที่แล้ว

    mze simba 🦊🦊

  • @candlestickministries1806
    @candlestickministries1806 ปีที่แล้ว

    Jameni Midahalo kama hii kanisani?

  • @usafirionline4465
    @usafirionline4465 11 วันที่ผ่านมา

    Soma sura nzima sheikh 😂 ubavuta mistari katiikati ya sura bila kielewa mwanzo wala mwisho anageneralize sura nzima kupitia mstari mmoja😅

  • @naiknaik2816
    @naiknaik2816 ปีที่แล้ว

    MashaAllah shekh bongo mola akupe umri refu inshaAllah...Kumbe hawa wanafata mwanamke 🤣

    • @adventsoundtv
      @adventsoundtv  ปีที่แล้ว +1

      Mkumbushe Mbogo pia kwamba. Wa kwanza kufuata mwanamke ni Waislam, wanamfuata bi Khadija maana ndiye aliyempatia utume Muhammad. Soma Wakeze mtume wadogo na wanawe, au Tarekhe twabariy, au kitabu sahihi Cha Sira, acha vya mashekhe wa siku hizi wanao-edit Uislam. Khadija anamwambia Muhammad "furahi ndugu yangu, tua moyo wako, wallah mimi naona umekwisha kuwa mtume " Sasa unaona mwanzilishi wa Uislam???

    • @topfreelancer5151
      @topfreelancer5151 ปีที่แล้ว

      @@adventsoundtv Sasa kama amemuambia Sasa umekuwa mtume yeye ndio kampa utume? Hio sira kaisome tena

    • @muuhjunior3139
      @muuhjunior3139 ปีที่แล้ว

      ​@@adventsoundtv dini hamjui nyie acheni kuongea uongo Kuna ishala ya unabii na bi Khadija aliziona ndo maana akamwambia umeshakuwa mtume lakini utume kaletewa na jibilil someni dini yetu vizur mpate laha ya moyo nyie ayah sisi hatujigongi gongi dini imekamilika

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 ปีที่แล้ว

    Sisi tokea utoto tunasema ukienda pwani jumaamosi unageuka nyani au jiwe kumbe ni kweli maskini lilitokea kweli

    • @orestmrema8201
      @orestmrema8201 9 หลายเดือนก่อน

      Jaman ukweli uko wazi kuhusu Sabato ya Jumamosi.

  • @alisaidabdallah1480
    @alisaidabdallah1480 ปีที่แล้ว

    Mazingee kiboko ya makafiri

  • @lisauroble31
    @lisauroble31 ปีที่แล้ว

    KURANI MUONGOZO USIYAJUWA UTAYAKUTA SABATO IMELAANIWA WATU WAKAWA MANYANI NAMANGURUWE

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf1805 ปีที่แล้ว

    Hivi nyinyi Mabasterd ni WALEVI au Mnaropoka.Hajielewi.Tafuteni ANDIKO kama mnavyo ulizwa SWALI.Msionge MATAPISHI.

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 8 หลายเดือนก่อน

      Wewe hujui kwamba kwenye kitabu chenu cha majini kimetambuwa siku ya jumamosi kama siku ya ibada?

  • @obedkalinga9704
    @obedkalinga9704 ปีที่แล้ว +5

    Mazinge ni commediany sio muhadhiri maana hawezi kufundisha watu waelewe dini yake inasemaje kuhusu sabato, wakati waalimu wa kikristo wakisoma quran inavyosema juu ya sabato,

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 ปีที่แล้ว

      Na amesilimisha ma elfu na malaki

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 ปีที่แล้ว +1

      Wewe mwenyewe unatakiwa kusoma bibilia ukisubiri Mazinge akufundishe utakuwa umechelewa sana;Mazinge kafundisha tangu zamani hadi leo bado anafundisha na wenye akili nzuri wanamuelewa na wanasilimu.

    • @raiyaaaraiyaa6054
      @raiyaaaraiyaa6054 ปีที่แล้ว +1

      Wewe ndio msanii haswaa mazinge amesilimisha maelfu ya watu. Wenye akili pekee ndio huelewa mazinge

    • @mbwaralali5049
      @mbwaralali5049 ปีที่แล้ว

      Kuna waelewa lakini wajifanya ujui wewe muone mchekeshaji sisi tunao jua twaelewa nini yuwasema

    • @abubakarsaid4023
      @abubakarsaid4023 ปีที่แล้ว

      Mung kaumba moto na Pepo wewe ndio uchague ukweli unao wewe hakuna kischo eleweka hapo wewe nimuongo

  • @noorbawaazir9035
    @noorbawaazir9035 ปีที่แล้ว +1

    Mtu unatakiwa utoe andiko j.moc ni sabato ktk biblia..unaleta hadithi ndeeeeefu...achen utapeli.

  • @aliroro9344
    @aliroro9344 ปีที่แล้ว

    😂😂😂 Muslims tunajua ijumaa ndio siku yetu ya ibadaa sababu sabato ilkua siku ya jews kuabudu

    • @jacksule7557
      @jacksule7557 6 หลายเดือนก่อน

      Koroan inaitambua sabato ww fata mkumbo

  • @damarisdaniel7247
    @damarisdaniel7247 ปีที่แล้ว

    This is nonsense we don't win souls by speaking and criticizing others but trusting the power of Holy Spirit by spending tym with Him not speaking nonsense on stage.Go and read how Apostles won souls for Jesus they never preached days but Jesus our Sabbath .Pls I urge us in the name of Jesus tuache kupiga kelele.Lets pray not saying words.Hakuna siku takatifu kwa wale wamepokea Yesu bali huabudu Yesu kwa roho na kweli.This is not right.Let me ask this question.How do this benefit to unbelievers? This is nonsense

    • @lewiskims8890
      @lewiskims8890 ปีที่แล้ว

      Itakuaje uabudu kwa roho na kweli bila kusika Amri za Mungu? Nipe jawabu Yesu bila sabatu ni bure sabatu bla Yesu ni bure

  • @yohana1242
    @yohana1242 ปีที่แล้ว

    Ushasem kati ya ijumaa na jumapili jumamosi haimo

    • @BelthaNgoda-cd1gi
      @BelthaNgoda-cd1gi ปีที่แล้ว

      siku iliyo kati ya ijumaa na jumapili ni siku gani??????

  • @abdallahhamisiiddi4513
    @abdallahhamisiiddi4513 ปีที่แล้ว

    Wapumbavu ,jumamosi ni siku yakwanza ya wiki,wakristo vipi ,?hamjuwi kiswahili?
    Jumaa ni siku
    Mosi ni moja,
    Kwaiyo juma mosi ni siku yakwanza yawiki,

    • @BelthaNgoda-cd1gi
      @BelthaNgoda-cd1gi ปีที่แล้ว

      Acha ujinga wewe hata akili za kuazima hamna????? heeeeeee wewe!!!!!!!!!!!!!!

    • @BelthaNgoda-cd1gi
      @BelthaNgoda-cd1gi ปีที่แล้ว

      Huo ni mtazamo wako wewe usipotoshe ambao hawajui

    • @jacksule7557
      @jacksule7557 6 หลายเดือนก่อน

      Elim kaka unahis elim nan alianza pata kat yako na muebrania au greeks au mzung au mrusi au mchina au mjapan au mwarabu au myahudi au german au itary ss ka guggle hizo lugha zao zote zsabato ni sku gan af ndo uje useme lugha yako ya juz kiswahili tena kisichojitoshereza kimsamia

    • @jacksule7557
      @jacksule7557 6 หลายเดือนก่อน

      Elim kaka unahis elim nan alianza pata kat yako na muebrania au greeks au mzung au mrusi au mchina au mjapan au mwarabu au myahudi au german au itary ss ka guggle hizo lugha zao zote zsabato ni sku gan af ndo uje useme lugha yako ya juz kiswahili tena kisichojitoshereza kimsamia

  • @bettygesare5948
    @bettygesare5948 ปีที่แล้ว

    Wapi uliona kwa Bible Hellen imeandikwa

    • @ustadhfarouq7729
      @ustadhfarouq7729 ปีที่แล้ว

      Hizo ni vitabu ziliandikwa na wakristo wenyewe, Hellen G white ni mungu wawasabato.Dini ya mwanamke mzungu.Yesu Jerusalem lkn kanisa la sabato liko America hvi Jesus was an American ajabu hakuna kanisa hata Moja headquarters yake ni Israel yote niya wazungu waingereza,wataliano na waamerika ndio ujue Yesu hajui kanisa bali wazungu.

    • @amoscharles1420
      @amoscharles1420 ปีที่แล้ว +1

      @@ustadhfarouq7729 Makanisa yalivyoanza kujengwa Karne ya kwanza hata hiyo America ilikuwa haijazaliwa..tatizo lenu waislam mkiambiwa kitu na masheikh wenu mnayabebaga kama yalivyo bila kuchunguza..Sasa America imezaliwa 1776 wakati Makanisa Toka mwaka wa 100 kabla hata ya Muhammad kuzaliwa yapo..

    • @lewiskims8890
      @lewiskims8890 ปีที่แล้ว

      @@amoscharles1420 Sabatu hakuna mwanandamu alianjisha ni Mungu mwenyewe alianjisha sabatu na akamulisha kila kiumbe kishike. Mtu wa kwanja nduniani Adam na Awa kuumbwa walipumzika pamoja na Mungu. Sabatu ilianjishwa taree 07/01/001 na wisilamu je?

  • @isihakajarika2668
    @isihakajarika2668 ปีที่แล้ว

    Katika watu ambao wepesi mno kuwanyoosha aisee ni wasabato na dini yao ya mama Hellen G white mm nawatamani sana hawa nukutane nao daah naombeni mawasiliano ya hawa wachungaji mimi

    • @DifaRobelindo-cj2ij
      @DifaRobelindo-cj2ij 10 หลายเดือนก่อน

      Dahh itauma sana ila ukuel utabak kuuwa ukuel

  • @nasrahibrahim-xg5pq
    @nasrahibrahim-xg5pq ปีที่แล้ว

    Wakristo wajinga kweli mnatajiwa Hadi maandiko lakini hamsomi

  • @miss_mshana5872
    @miss_mshana5872 ปีที่แล้ว

    Tumesema tunatumia Qur'an na biblia sasa vitabu vingine vinatok wapi, hizo ni historia tu mtu yeyote anaweza kuandik, tunatak maandiko yanasemaje sio dini alianzishwa na nani,?

  • @Answarsunnasiyu
    @Answarsunnasiyu ปีที่แล้ว

    mazinge kiboko yenu

  • @abdallahsaleh6254
    @abdallahsaleh6254 ปีที่แล้ว

    nyie wakristo aka makafiri hata nyie pia hamna hoja yeyote ile

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 ปีที่แล้ว

      WAkiristo ni pesa na nibiashara tuu hawajui lolote wadamganya wafuasi wao

    • @kenedypaulafisa.574
      @kenedypaulafisa.574 ปีที่แล้ว

      Unakaa kubishania dini ambayo we umezaliwa umeikuta na utaicha. Kwani ungezaliwa India kwenye familia ya mabudha unadhania ungekuwa mwislamu au ungezaliwa familia ya katoliki unadhania ungekuwa mwilsamu? Jifunze sio kutukana

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 ปีที่แล้ว

      @@kenedypaulafisa.574 Kwani waislam wengi sini wakatholiki na wahidi na dini zengine kwani ww hufanyi research uone dini ya kislam inavyo kua Kwa Kasi duniani kisha dini hatuachi hapa duniani tunaenda nayo tukikufa Mali na starehe ndio utazziacha ww na kma huana dini ya usilam Moto unakusubiri ,nahakuna alie kutusi umetusiwa nn ww haswaa useme nimetusi

    • @rehemaabinelynyagawa2878
      @rehemaabinelynyagawa2878 ปีที่แล้ว

      ​@@andallaathman3856 aliye kwambia ukiwa mwisilam ndiyo unaingia mbinguni nani? Dini ni njia uisilam siyo njia ya kumpeleka mtu mbinguni njia ya kifika mbinguni ni Yesu peke yake siyo uisilam!

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 ปีที่แล้ว

      @@rehemaabinelynyagawa2878 hakuna uislam haojatwambia twaenda mbinguni laa hashaaa uislam umetupa promise ALLAH Sisi tukifanya matendo mazuri tunaenda peponi yani paradise,hata yesu haiendi mbingu yupo paradise mbinguni waenda fanyaje nasiku yamwisho zitapeperushwa kaa Moshi andiko Kwa bibilia na uislam ndio njia ilio nyoka na ndio dini yahakki ya ALLAH ukiristo hakuna sio dini ni yawazungu wame wlaghai tuu masikini na hamutaki kusoma