Baadhi ya wa tz kwakutukana watumishi wa Mungu hamjambo wenzetu wazanzibar niwanyenyekevu sana hivi mama akisikia hii atamwita huyu nabii akamuombee nakumbuka mzee mwinyi wakati ni Rais wa tz nabii mmoja alitoka dodoma akaenda ikulu kwenda kuomba pamoja na mzee wabara kazi yenu kutukana
Utabiri myezi iliyopita kua Gwajima ndiyo Raisi ajaye iweje tena usema ni Mama Samiya kaaUkijua JEHOVA siyo kinyonga swali tuamini lipi?usituchanganye.
Baadhi ya wa tz kwakutukana watumishi wa Mungu hamjambo wenzetu wazanzibar niwanyenyekevu sana hivi mama akisikia hii atamwita huyu nabii akamuombee nakumbuka mzee mwinyi wakati ni Rais wa tz nabii mmoja alitoka dodoma akaenda ikulu kwenda kuomba pamoja na mzee wabara kazi yenu kutukana
Hapo ni mbuzi na gitaa
Utabiri myezi iliyopita kua Gwajima ndiyo Raisi ajaye iweje tena usema ni Mama Samiya kaaUkijua JEHOVA siyo kinyonga swali tuamini lipi?usituchanganye.
Ndugu hiyo post ya Samia Ni nyuma Sana
Mungu alisema atubu akagoma kufanya ivo.
Ndipo yalipokuja hayo ya gwajima
Huna ROHO wa Kristo wewe sio nabii ni mnajimu.
Pole sana pole sana
😂😂
Kumbuka ulishatoa unabii juu ya Askofu Fulani - Leo unajisafisha na ulichosema kabla,