MSTAAFU KIKWETE NYUMBANI kwa MZEE MWINYI - AKATAA KUJIBU SWALI KUWA YEYE NDIYE RAIS PEKEE MSTAAFU...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • MSTAAFU KIKWETE NYUMBANI kwa MZEE MWINYI - AKATAA KUJIBU SWALI KUWA YEYE NDIYE RAIS PEKEE MSTAAFU...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 32

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  6 หลายเดือนก่อน

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @aishamgambo6422
    @aishamgambo6422 6 หลายเดือนก่อน +6

    Hivi waandishi wahabari kabla ya kuuliza maswali yenu huwa mnafikiria kweli?hebu fikirieni Mara mbili kabla ya kuuliza.Unamuulizaje mtu swali kama Hilo?Kwani yeye ni Mungu,
    Mungu ndo anaepanga kila kitu,
    Akiwa yeye ndo amebaki inakuwaje sasa

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 6 หลายเดือนก่อน +1

      Nimependa alivyokataa kujibu, kwanza wanamzushia kuwa anaua wenzake halafu wanamsanifu na swali la kipuuzi

    • @zainabomar5144
      @zainabomar5144 6 หลายเดือนก่อน +1

      Waandishi wengine bwana,Bora Mzee ulivyomjib

    • @user-fi9gm2et5r
      @user-fi9gm2et5r 6 หลายเดือนก่อน +1

      Hawana fikra hawa waandishi wetu

    • @user-fi9gm2et5r
      @user-fi9gm2et5r 6 หลายเดือนก่อน +1

      @@homeandaway2811 wapuuz anawaua yy ni mungu mungu ndie muamuz nan aende nan abak hawana akil uchochez tu umewajaa

    • @shabanramadhan4863
      @shabanramadhan4863 6 หลายเดือนก่อน

      Waandishi Wa Habari Muwemnafikiria Na Maswali Ya Kuuliza Basi

  • @danielkachele922
    @danielkachele922 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli baba Kikwete haina maana hiyo.

  • @VedastusSwai
    @VedastusSwai 6 หลายเดือนก่อน

    Na kweli kbsa Hilo swali halina maana

  • @julianamaganga
    @julianamaganga 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wamuache mzee bwan anamawaz ya msiba polesana baba

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu ampokee baba yetu

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 6 หลายเดือนก่อน +1

    Waandishi wa Habari wetu kweli ni ndezi

  • @jobharry9009
    @jobharry9009 6 หลายเดือนก่อน +2

    Amekataa swali la kipuuzi

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 6 หลายเดือนก่อน

      Ni swali la kipuuzi um aliukizwa vp kwani emu mmnukuu yule mwandish ili tujue kweeli la kipuuzi

  • @erickyohana3363
    @erickyohana3363 6 หลายเดือนก่อน

    Kuna haja ya kuelimisha waandishi wa habari , Hilo swali halina maana yoyote! Mh Kikwete amefanya vema kumpuuza mtu huyo !..

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli maswali mengine Ayana maana waandishi wa sikuizi wengine hawajielewi sasa unataka je na yeye afe au umeambiwa mtu akistafu tu anafariki

  • @user-fi9gm2et5r
    @user-fi9gm2et5r 6 หลายเดือนก่อน +2

    Nmependa mheshimiwa ulivyompuuza huyo na swal lake la kipuuz haangalii anauliza swal kwa wakat gan

    • @kgchippy
      @kgchippy 6 หลายเดือนก่อน +1

      Fala sana, ati ww pekee ndio umebaki

  • @redtk2971
    @redtk2971 6 หลายเดือนก่อน

    Kikwete kaona mnataka kunichulia nyie watoto😂

  • @gabrielbakilana77
    @gabrielbakilana77 6 หลายเดือนก่อน

    swali gani hilo la kumuuliza mtu...?

    • @georgeriziki1092
      @georgeriziki1092 6 หลายเดือนก่อน

      swali hovyo sana, sijui alitegemea kujibiwa vipi?

  • @yuz0_tz
    @yuz0_tz 6 หลายเดือนก่อน

    Nyie watangazaji mnatakiwa msome alama za nyakati sio mna uliza uliza tuu haya ona sasa mlivyo jibiwa😂😂😂 jionge zeni kuweni na akili muda mwingine

  • @chire4574
    @chire4574 6 หลายเดือนก่อน

    Rais mstaafu aliebaki ......ila mnafk sana uyu jamaa

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 6 หลายเดือนก่อน

      Ummm vp ni mmn um umesemaa ah

  • @abdullahmanmiyanjamo1796
    @abdullahmanmiyanjamo1796 6 หลายเดือนก่อน

    now days jobless mmoja ukiwa na camera,mic na laptop unakua mwandishi wa habari...TASNIA IMEVAMIWA.

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 6 หลายเดือนก่อน

      Sio kweli sababu ya suala lile um kuna kitu apoo

  • @mohamedmwanyalisya4277
    @mohamedmwanyalisya4277 6 หลายเดือนก่อน

    Aibu tupu kwa tasnia nzima ya habari Tanzania. Miana habari Haina weredi haijui kazi Yao. Hahaha

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 6 หลายเดือนก่อน

      Aibu mwandish ni mpambanaji mdadis pia mpelelezi vp tena

  • @mwinjanavil
    @mwinjanavil 6 หลายเดือนก่อน

    mwandishi unapata fursa ya kuwa mbele ya mheshimiwa alaf unauliza swali la kipumbavu? kulikuwa na haja gani ya kuuliza vile au unataka kikwete ajione yeye ndo anayefuata kufariki au? ujinga mtupu aisee aibu mno

  • @abelimwakijungu1226
    @abelimwakijungu1226 6 หลายเดือนก่อน

    Acheni kuuliza wastaarabu maswali ya kijinga. Kawaulizeni viduku wenzenu.

  • @timetravellor5367
    @timetravellor5367 6 หลายเดือนก่อน

    Swali la kijinga

  • @julianamaganga
    @julianamaganga 6 หลายเดือนก่อน

    Wamuache mzee bwan anamawaz ya msiba polesana baba