JM Chacha: CCM mna Hasina kubwa ya wazee wenye busara kuliko vyama vingine vya upinzani/ushindani, nashauri mkaanzisha utaratibu wa kuunda kikundi kidogo cha wazee kama Waira wasiozidi 10 mkawatumia kila mara kushauri CCM Na serikali yake. Hawa wazee waliowengi bado mawazo Yao ni mali kuliko ya vijana waliokuwa wengi. Tuestumie.Rais Kikwete alifaidika mno Na busara za wasira. Na zaidi hawa wazee wengi wao si mafisadi na wanaipenda nchi yetu Tanzania kutoka moyoni. Tuwatumie.
wasira pamoja na uongozi wa nuda mrefu hakuna mwananchi alichofaidika nacho ndio maana waajili wame Bunda wakamfukuza kazi. kikundi cha wazee hatukiitaji kwani kama walishindwa kufanya mambo hayo ya maana walipokuwa madarakani wataweza fanya wakiwa nje??waache wapumzike tuokoe fedha zetu za kodi
Once a man twice a child " aliwahi sema Bob marley
Hongera mzee wasira,sikuwahi kupata nafasi ya kukusikiliza,uko na Busara sana
Sleeping beauty
Big up sana 🙏
ACHAA KULALAAAAA WEWEEEEEE JIUZULU UMEZEEKA
MAJIBU YANAYOELEWEKA
Gangana....
Hapo yenyewe ungejichanganya angesinzia
😆😆😆
Wameshazeeka hao inabidi wastaafu wawaachie vijana waendeleze
Nipe tano ni miongoni mwa vipindi ninavyovipenda
Daaah khalidi gangana umembana huyo mzee wa kikurya kisawa sawa ila anang'aka sana 😆😆😆
Tanzania inawezee wenye hekima Sana
Mzee unamjibu mwandishi majibu yaliyoshiba
Lizee kulala bungeni kisukali kibamsumbua
Hamna kazi 😂
Huyu mzee aliaminika kwa sababu ni mtu mwenye akili nyepesi na uelewa mkubwa wa mambo.
Kwasababu hamna kazi😅🤣
Huyu mzee 🤣🤣
JM Chacha: CCM mna Hasina kubwa ya wazee wenye busara kuliko vyama vingine vya upinzani/ushindani, nashauri mkaanzisha utaratibu wa kuunda kikundi kidogo cha wazee kama Waira wasiozidi 10 mkawatumia kila mara kushauri CCM Na serikali yake. Hawa wazee waliowengi bado mawazo Yao ni mali kuliko ya vijana waliokuwa wengi. Tuestumie.Rais Kikwete alifaidika mno Na busara za wasira. Na zaidi hawa wazee wengi wao si mafisadi na wanaipenda nchi yetu Tanzania kutoka moyoni. Tuwatumie.
wasira pamoja na uongozi wa nuda mrefu hakuna mwananchi alichofaidika nacho ndio maana waajili wame Bunda wakamfukuza kazi. kikundi cha wazee hatukiitaji kwani kama walishindwa kufanya mambo hayo ya maana walipokuwa madarakani wataweza fanya wakiwa nje??waache wapumzike tuokoe fedha zetu za kodi
Siasa ni hoja ushindani ni neno zuri siyo pinzani
Mzee wasira msamehe tu huyo. Anaulizauliza tuu, lakini hajui anauliza nini?. Bora liende.
Kwakweli wajinga ndio waliwao