siri ya uzoefu wa zaidi ya miaka tisa katika ufugaji wa kisasa wa kuku, Kimey farm product

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
  • Kimey farm product tunafuga kuku aina ya kuloiler pia tunatotolesha Vifaranga Bora kabisa, Tunapatikana Buza sigara karibia na Chuo cha Veta. Wasiliana nasi kwa namba 0620 440 863.

ความคิดเห็น • 74

  • @eliyamsigwa7043
    @eliyamsigwa7043 10 วันที่ผ่านมา

    Hongera kwa mafinga iringa kunawakala nahitaji vifaranga

  • @meshackleonard
    @meshackleonard 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu aizidishe company yako shem langu ili tuendelee kujifunza.🤝🤝💪💪

  • @davidkehogo3230
    @davidkehogo3230 4 หลายเดือนก่อน

    Dadaangu Mimi Nimekupenda sana ambavyo hauko mchoyo wa Elimu, Haujivuni kwa kipato chako na zaiid umenifanya niipende sana Kroila. Yaani Mungu azidi kukuweka hai na kukuinua Zaidi.
    Nipo mbioni kukamilisha banda nichukue vifaranga kwako

  • @DorinaGanshonga
    @DorinaGanshonga 4 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa Somo nzuri ninataka kufaga nimeamasika

  • @ukurikurakiza3190
    @ukurikurakiza3190 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nakufuata kutoka Rwanda, nawezaje kupata vifaranga Mimi! napenda jinsi unafafanua mambo kbs... Hongera dada!

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  11 หลายเดือนก่อน

      Asante Sana. Tunakamilisha baadhi ya taratibu za kusafirisha nje ya Tanzania. So soon tutawafikia

  • @lucyosima3500
    @lucyosima3500 7 หลายเดือนก่อน

    Hongera mama Limo. Me mwenyewe naagizaga vifaranga kwake vipo vizur sana

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  7 หลายเดือนก่อน

      Asante Sana mpendwa wangu

  • @claireuganda2711
    @claireuganda2711 11 หลายเดือนก่อน +1

    I've fallen in love with your birds and subscribed already so that I follow you. Great work. 👏👏❤❤👌👌
    From Uganda

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  11 หลายเดือนก่อน

      Thank you

  • @swalehechitanizar
    @swalehechitanizar ปีที่แล้ว

    Yes madam...elimu ni bora

  • @Joylandfarms254
    @Joylandfarms254 6 หลายเดือนก่อน +1

    Very Beautiful indeed i am from Kenya and i admire Your farm its very neat, are there F1 generation chicks

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  6 หลายเดือนก่อน

      Thank you for compliment.
      Yes F1 generation

  • @pendosailo1989
    @pendosailo1989 4 หลายเดือนก่อน

    Safi.

  • @JuliusKesanta
    @JuliusKesanta 2 วันที่ผ่านมา

    Vifaranga wa mwezi 1 napata?

  • @pendosailo1989
    @pendosailo1989 29 วันที่ผ่านมา

    Mama Lyimo nimekutafuta kuanzia mwezi wa sita 2024 nataka vifaranga kila siku unapiga tarehe mara mwezi wa nane juzi mwezi wa kwanza. Sasa mnatoa matangazo kama haya kwenye mitandao basi muwe na uhakika wa kutoa huduma kama mnavyojitangaza.

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  29 วันที่ผ่านมา

      Nafikiri ulivyopiga simu umepewa sababu ni kwa nini imekuwa mwezi wa kwanza badala ya mwezi wa 8. Au ulitaka tukudanganye kama mnavyodanganywa sehemu zingine utume hela halafu usipatiwe vifaranga ndio ungeridhika?

    • @filipinadaud885
      @filipinadaud885 18 วันที่ผ่านมา

      Dada kwa sasa vinapatikana ili niweke oder?

  • @hassanalmas8667
    @hassanalmas8667 8 หลายเดือนก่อน

    Mama limo hongera sana je kwa maeneo ya arusha vifaranga vyako vinapatikana wapi

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  8 หลายเดือนก่อน

      Asante Sana, Arusha hatuna tawi ila mikoa yote tunasafirisha

  • @SadockSentozi-wu4ko
    @SadockSentozi-wu4ko หลายเดือนก่อน

    Niko Arusha,nitapataje vifaranga mfano nikitaka kununua kwako

  • @davidkehogo3230
    @davidkehogo3230 3 หลายเดือนก่อน

    Dada habari? Je ninaweza kufuga kwa kuzalisha vifaranga vya kuroila?

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  3 หลายเดือนก่อน

      Salama kabisa. Ndio unaweza

  • @davidkathangu3862
    @davidkathangu3862 11 หลายเดือนก่อน

    My mentor mama lymo good job

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  11 หลายเดือนก่อน

      Asante sana

    • @davidkathangu3862
      @davidkathangu3862 11 หลายเดือนก่อน

      Following from Kenya , how can i get your day old chicks

  • @anifasimon6335
    @anifasimon6335 11 หลายเดือนก่อน

    Hongera dada limo niko dodoma nimependezwa na ufugaji wako pia nahitaji vifaranga kutoka kwako napataje

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  11 หลายเดือนก่อน

      Asante Sana,
      Vifaranga vinapatikana na Dodoma tunatuma. Karibu sana

  • @matearlyakurwa973
    @matearlyakurwa973 5 หลายเดือนก่อน

    Only two videos!!!!
    Ongeza videos bwana boss mama

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  5 หลายเดือนก่อน +1

      Soon zinakuja za kutosha

  • @komanyaJanuary
    @komanyaJanuary 7 หลายเดือนก่อน

    Xahaman naweza kupat utaratib wa elimu Kam Muna group nitapta wap utaratib wa kujiunga

  • @halimanyumba3395
    @halimanyumba3395 8 หลายเดือนก่อน

    hongera kipenzi ❤❤❤

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  8 หลายเดือนก่อน

      Asante Sana mpendwa

  • @witnessmallya5114
    @witnessmallya5114 2 หลายเดือนก่อน

    Je naweza kupata vifaranga vya mwezi mmoja?

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  2 หลายเดือนก่อน

      @@witnessmallya5114 hapana Vifaranga wa mwezi hatuna

  • @ShukuruJulliasi-gj1pw
    @ShukuruJulliasi-gj1pw 11 หลายเดือนก่อน

    Ongera San madam

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  11 หลายเดือนก่อน

      Asante sana

    • @MohdOmar-tt4ki
      @MohdOmar-tt4ki 11 หลายเดือนก่อน

      Hongera mama rimo niko pamoja nawe by Ally kongo from pemba

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  11 หลายเดือนก่อน

      @@MohdOmar-tt4ki asante Sana

    • @SamwelNdaoo
      @SamwelNdaoo 11 หลายเดือนก่อน

      Mama limo upo vizuri sana

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  11 หลายเดือนก่อน

      @@SamwelNdaoo asante Sana

  • @PhilimoniManga
    @PhilimoniManga 9 วันที่ผ่านมา

    Nahitaji vifalanga nipo chimala vifalanga Miya shingapi

  • @branddesk_
    @branddesk_ ปีที่แล้ว

    🔥🔥🔥

  • @asiaali1124
    @asiaali1124 2 หลายเดือนก่อน

    Hamsni bei gan

    • @asiaali1124
      @asiaali1124 2 หลายเดือนก่อน

      Kuku 50.unauzaje my

  • @photonatuschacha6958
    @photonatuschacha6958 7 หลายเดือนก่อน

    Mm nahitaji kufuga lakini sina elimu ya kutosha

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  7 หลายเดือนก่อน

      Tafuta kwanza elimu ndio uanze UFUGAJI, na elimu unaweza kupata kupitia kuhudhulia semina mbalimbali za ufugaji, kusoma makala za ufugaji kupitia kwenye mitandao, kusoma vitabu au hata kujaribu kufuga kidogo ili kupata uzoefu zaidi

  • @juliusmyovela4274
    @juliusmyovela4274 8 หลายเดือนก่อน

    Hbl yasiku mamalimo

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  8 หลายเดือนก่อน

      Salama kabisa ndugu

  • @AnnaMkenga-iu9db
    @AnnaMkenga-iu9db 10 หลายเดือนก่อน

    Na ni bei gani kwa kifaranga?

  • @onesmomwakaje2717
    @onesmomwakaje2717 11 หลายเดือนก่อน

    Nice breed

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  11 หลายเดือนก่อน

      Thank you

  • @AnnaMkenga-iu9db
    @AnnaMkenga-iu9db 10 หลายเดือนก่อน

    Je nikihitaji vifaranga naoataje na mimi nipo arusha?

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  10 หลายเดือนก่อน

      Tunasafirisha mikoani pia.
      Bei ya kifaranga ni sh 1500 na order inaanzia Vifaranga 100 na kuendelea.
      Karibu sana

    • @ShelterKijo
      @ShelterKijo 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@kimeyfarm nahitaji vifaranga 100 nipo Arusha

  • @WittyNantongo
    @WittyNantongo 7 หลายเดือนก่อน

    Am from Uganda I want to buy from farm day old chicks how much for chick

  • @climentombui-zx5vc
    @climentombui-zx5vc 8 หลายเดือนก่อน

    Je nchini kenya mupo?

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  8 หลายเดือนก่อน

      Hapana

    • @climentombui-zx5vc
      @climentombui-zx5vc 8 หลายเดือนก่อน

      Na je ni janjo ipi ambayo nawesa kujancha vifaranga wa siku moja

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  8 หลายเดือนก่อน

      @@climentombui-zx5vc Marek's

    • @climentombui-zx5vc
      @climentombui-zx5vc 8 หลายเดือนก่อน

      @@kimeyfarm Marek's ni janjo ya sindano ama mchanganyo wa maji

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  8 หลายเดือนก่อน

      @@climentombui-zx5vc sindano

  • @Protusonyango-dz8eu
    @Protusonyango-dz8eu 7 หลายเดือนก่อน

    Naeza pata aje vifaranga

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  7 หลายเดือนก่อน +1

      Vifaranga vinapatikana kwa kuweka order.
      Tupigie 0620440863/0653939232

    • @Protusonyango-dz8eu
      @Protusonyango-dz8eu 6 หลายเดือนก่อน

      Niko busia Kenya ndio maana nauliza ni jinsi gani naeza pata kuku wenu

  • @MariamMemba
    @MariamMemba ปีที่แล้ว

    💪💪💪👏👏👏🙆🙆💥💥

  • @paschalnyololo8882
    @paschalnyololo8882 9 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji vifaranga 1100

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  9 หลายเดือนก่อน

      Vinapatikana,
      Wasiliana nasi 0620440863/0653939232 Kwa kupata utaratibu wa kuweka order.

    • @paschalnyololo8882
      @paschalnyololo8882 9 หลายเดือนก่อน

      @@kimeyfarm ok ahsante

  • @bwikasalim1922
    @bwikasalim1922 8 หลายเดือนก่อน

    Niko kenya naomba number yenu ya watsapp

    • @kimeyfarm
      @kimeyfarm  8 หลายเดือนก่อน

      0620440863