siri ya uzoefu wa zaidi ya miaka tisa katika ufugaji wa kisasa wa kuku, Kimey farm product
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
- Kimey farm product tunafuga kuku aina ya kuloiler pia tunatotolesha Vifaranga Bora kabisa, Tunapatikana Buza sigara karibia na Chuo cha Veta. Wasiliana nasi kwa namba 0620 440 863.
Hongera kwa mafinga iringa kunawakala nahitaji vifaranga
Mungu aizidishe company yako shem langu ili tuendelee kujifunza.🤝🤝💪💪
Dadaangu Mimi Nimekupenda sana ambavyo hauko mchoyo wa Elimu, Haujivuni kwa kipato chako na zaiid umenifanya niipende sana Kroila. Yaani Mungu azidi kukuweka hai na kukuinua Zaidi.
Nipo mbioni kukamilisha banda nichukue vifaranga kwako
Asante kwa Somo nzuri ninataka kufaga nimeamasika
Nakufuata kutoka Rwanda, nawezaje kupata vifaranga Mimi! napenda jinsi unafafanua mambo kbs... Hongera dada!
Asante Sana. Tunakamilisha baadhi ya taratibu za kusafirisha nje ya Tanzania. So soon tutawafikia
Hongera mama Limo. Me mwenyewe naagizaga vifaranga kwake vipo vizur sana
Asante Sana mpendwa wangu
I've fallen in love with your birds and subscribed already so that I follow you. Great work. 👏👏❤❤👌👌
From Uganda
Thank you
Yes madam...elimu ni bora
Very Beautiful indeed i am from Kenya and i admire Your farm its very neat, are there F1 generation chicks
Thank you for compliment.
Yes F1 generation
Safi.
Vifaranga wa mwezi 1 napata?
Mama Lyimo nimekutafuta kuanzia mwezi wa sita 2024 nataka vifaranga kila siku unapiga tarehe mara mwezi wa nane juzi mwezi wa kwanza. Sasa mnatoa matangazo kama haya kwenye mitandao basi muwe na uhakika wa kutoa huduma kama mnavyojitangaza.
Nafikiri ulivyopiga simu umepewa sababu ni kwa nini imekuwa mwezi wa kwanza badala ya mwezi wa 8. Au ulitaka tukudanganye kama mnavyodanganywa sehemu zingine utume hela halafu usipatiwe vifaranga ndio ungeridhika?
Dada kwa sasa vinapatikana ili niweke oder?
Mama limo hongera sana je kwa maeneo ya arusha vifaranga vyako vinapatikana wapi
Asante Sana, Arusha hatuna tawi ila mikoa yote tunasafirisha
Niko Arusha,nitapataje vifaranga mfano nikitaka kununua kwako
Dada habari? Je ninaweza kufuga kwa kuzalisha vifaranga vya kuroila?
Salama kabisa. Ndio unaweza
My mentor mama lymo good job
Asante sana
Following from Kenya , how can i get your day old chicks
Hongera dada limo niko dodoma nimependezwa na ufugaji wako pia nahitaji vifaranga kutoka kwako napataje
Asante Sana,
Vifaranga vinapatikana na Dodoma tunatuma. Karibu sana
Only two videos!!!!
Ongeza videos bwana boss mama
Soon zinakuja za kutosha
Xahaman naweza kupat utaratib wa elimu Kam Muna group nitapta wap utaratib wa kujiunga
hongera kipenzi ❤❤❤
Asante Sana mpendwa
Je naweza kupata vifaranga vya mwezi mmoja?
@@witnessmallya5114 hapana Vifaranga wa mwezi hatuna
Ongera San madam
Asante sana
Hongera mama rimo niko pamoja nawe by Ally kongo from pemba
@@MohdOmar-tt4ki asante Sana
Mama limo upo vizuri sana
@@SamwelNdaoo asante Sana
Nahitaji vifalanga nipo chimala vifalanga Miya shingapi
🔥🔥🔥
Hamsni bei gan
Kuku 50.unauzaje my
Mm nahitaji kufuga lakini sina elimu ya kutosha
Tafuta kwanza elimu ndio uanze UFUGAJI, na elimu unaweza kupata kupitia kuhudhulia semina mbalimbali za ufugaji, kusoma makala za ufugaji kupitia kwenye mitandao, kusoma vitabu au hata kujaribu kufuga kidogo ili kupata uzoefu zaidi
Hbl yasiku mamalimo
Salama kabisa ndugu
Na ni bei gani kwa kifaranga?
1500 tsh
Nice breed
Thank you
Je nikihitaji vifaranga naoataje na mimi nipo arusha?
Tunasafirisha mikoani pia.
Bei ya kifaranga ni sh 1500 na order inaanzia Vifaranga 100 na kuendelea.
Karibu sana
@@kimeyfarm nahitaji vifaranga 100 nipo Arusha
Am from Uganda I want to buy from farm day old chicks how much for chick
Je nchini kenya mupo?
Hapana
Na je ni janjo ipi ambayo nawesa kujancha vifaranga wa siku moja
@@climentombui-zx5vc Marek's
@@kimeyfarm Marek's ni janjo ya sindano ama mchanganyo wa maji
@@climentombui-zx5vc sindano
Naeza pata aje vifaranga
Vifaranga vinapatikana kwa kuweka order.
Tupigie 0620440863/0653939232
Niko busia Kenya ndio maana nauliza ni jinsi gani naeza pata kuku wenu
💪💪💪👏👏👏🙆🙆💥💥
Nahitaji vifaranga 1100
Vinapatikana,
Wasiliana nasi 0620440863/0653939232 Kwa kupata utaratibu wa kuweka order.
@@kimeyfarm ok ahsante
Niko kenya naomba number yenu ya watsapp
0620440863