SHANGWE LA MAKOMANDOO WA JWTZ WAKIWA NA MKUU WA MAJESHI, WAZIRI WA ULINZI, MITUTU YAWEKWA JUU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น •

  • @IssaMatandi
    @IssaMatandi 6 หลายเดือนก่อน +30

    Nimefurahi sana kuona jeshi letu na mama anajivunia sana kuwa jeshi kubwa.Ninaipenda sana tanzania yangu.Mungu ibariki tanzania.

    • @nabosedward4836
      @nabosedward4836 6 หลายเดือนก่อน

      Yani chawa bhan kila kitu mama mama

    • @Noorein-ws8wk
      @Noorein-ws8wk 6 หลายเดือนก่อน

      Aamiin

    • @dancerboy2686
      @dancerboy2686 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂​@@nabosedward4836

    • @CatherineLekule-l7z
      @CatherineLekule-l7z 5 หลายเดือนก่อน

      Raha n kuwa na Jeshi dogs lenye weredi

  • @RichJohn-o5m
    @RichJohn-o5m 7 วันที่ผ่านมา

    Bila morale hakuna jeshi!!! Safi sana jeshi letu jwtz. Mwenyezi Mungu awabariki kwa kazi kubwa mnayofanya.

  • @GeraldKisembe
    @GeraldKisembe 6 หลายเดือนก่อน +6

    Tanzania 🇹🇿 for life , safi sana makomando wetu 💪💪

  • @YakoubAbass-r9i
    @YakoubAbass-r9i 5 หลายเดือนก่อน +2

    Pamoja sana weng tuna ndoto za kuw hapo mulip pigen kaz na cc tunakuja kwa. Uwez wa Mungu

  • @MagangaPeter-w4d
    @MagangaPeter-w4d 6 หลายเดือนก่อน +17

    Pamoja na hali zetu za kimaisha, changamoto N.k bado tunaswa kuipenda nchi yetu hata kufa kwa ajili ya vizazi vyetu, naipenda tanzania yangu nchi yangu.❤

  • @JacklineChuwa-c5h
    @JacklineChuwa-c5h 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mim naipenda sana jeshi ningepata ata mtu ambae ananiunganisha na jeshi ningeenda mda wowote

  • @FredyMayuya
    @FredyMayuya 7 วันที่ผ่านมา

    Salute nimefurahi kuona jwtz wakiwa na full mood

  • @IssaMatandi
    @IssaMatandi 6 หลายเดือนก่อน +5

    Pia ninakukubari sana waziri wa ulinzi na mkuu wa majeshi.Safi sana.Mungu ibariki tanzania.

  • @SuleimanSalum-ck1ws
    @SuleimanSalum-ck1ws 5 วันที่ผ่านมา

    Haataar ya mama yake hapa nimekubar wanaume wamekamilika 👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻

  • @RosePetro-ck8pt
    @RosePetro-ck8pt 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nakubali military,mungu awalinde,haswaa ninyi ndo wanajesh waukwel👍👍👍👍👍

  • @conganyoyo3195
    @conganyoyo3195 6 หลายเดือนก่อน +7

    Nakupenda TANZANIA 🇹🇿🇹🇿,MUNGU IBARIKI NCHI YANGU

  • @SalumHamad-i2s
    @SalumHamad-i2s 6 หลายเดือนก่อน +4

    Tanzania 🇹🇿 for life ❤❤ jwtz on 🔥

    • @geogelucas7544
      @geogelucas7544 13 วันที่ผ่านมา

      ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿😍😍😍😍

  • @YassinSea
    @YassinSea 25 วันที่ผ่านมา

    Munguibariki Tanzania pamoja Na afrika❤❤❤

  • @EventEmanuel
    @EventEmanuel 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ibariki tanzania mungu mbariki dt samia suluhu hassan

  • @elisacharleskajembe
    @elisacharleskajembe 7 วันที่ผ่านมา

    Sisi wengine ni wazalendo tupotu mitaani tupewe nafasi nasisi tutatumikia ncchi yetu na kulinda amani ya Tanzania bure kabisa❤❤❤

  • @ShukurkollAngel
    @ShukurkollAngel 6 หลายเดือนก่อน +12

    Hakika Uzalendo ni Utimgongo wa Amani. Umoja wetu ndiyo silaha yetu. One Tanzania! One people!

    • @CopperBelt
      @CopperBelt 6 หลายเดือนก่อน

      Mungu akubariki

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z 9 วันที่ผ่านมา

    Asante jeshi langu❤️❤️🙏👍

  • @ادريسالبلوشي-ل9ي
    @ادريسالبلوشي-ل9ي 6 หลายเดือนก่อน +6

    Naipenda sana nchi yangu ya 🇹🇿

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 6 หลายเดือนก่อน +3

    Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 nipo napambana huku mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 ♥️

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 6 หลายเดือนก่อน +5

    Mpk raha mungu mlinde mwanangu kwenye hili jeshi

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 4 วันที่ผ่านมา

    Tanzania ndio Nchi ya Wazee wetu naipenda Nchi yangu na WatZ wenzangu
    tupo Pamoja

  • @uzimameditv8148
    @uzimameditv8148 6 หลายเดือนก่อน +2

    Asanteni mmetubariki Mungu awabariki, lakini madini yetu yasiibiwe na raslimali ya inchi yetu mkiwa mpo.

  • @JosephMihayo-zg8se
    @JosephMihayo-zg8se 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu awabariki sana makamanda wangu

  • @MasaweMasawe-r5b
    @MasaweMasawe-r5b 8 วันที่ผ่านมา

    Njoo congo

  • @HansiJuma-k9l
    @HansiJuma-k9l 8 วันที่ผ่านมา

    Hay twenzetu congo sasa tukakiwashe

  • @amanitwaha9982
    @amanitwaha9982 5 หลายเดือนก่อน +2

    Naipenda mpaka naliaa! Taanzaniaaa❤

  • @LwizaNovathLwaitama-h8s
    @LwizaNovathLwaitama-h8s 13 วันที่ผ่านมา

    Nakubaliiiiii general

  • @MasaweMasawe-r5b
    @MasaweMasawe-r5b 8 วันที่ผ่านมา

    Njoo congo jeshi ni bure huku

  • @rajabujuma1747
    @rajabujuma1747 5 หลายเดือนก่อน

    ❤ amani, nguvu Moja ,upendo daima , nchi yetu...

  • @boazgondera1977
    @boazgondera1977 5 หลายเดือนก่อน

    Naipenda Tanzania ❤❤

  • @anuarymyekakimolo4785
    @anuarymyekakimolo4785 5 หลายเดือนก่อน +1

    JENERAR MKUNDA

  • @JeffMankizo-p7r
    @JeffMankizo-p7r 5 หลายเดือนก่อน

    Naipenda nchi yangu nzuri

  • @HeriLuwavi
    @HeriLuwavi 4 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah ❤

  • @humbimusisa-db1tg
    @humbimusisa-db1tg 6 หลายเดือนก่อน

    Nchina ndio nchi rafiki wa kweli na Tanzania .... ❤

  • @Wilifredmshangila
    @Wilifredmshangila 5 หลายเดือนก่อน

    I love you so much TANZANIA👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @justinemico1871
    @justinemico1871 5 หลายเดือนก่อน +1

    God this is my turn

  • @HRmanco-yd3lf
    @HRmanco-yd3lf หลายเดือนก่อน

    Naipenda mpaka nalia Tanzania

  • @shabaniduduma8885
    @shabaniduduma8885 9 วันที่ผ่านมา

    Uzalendo ni kitu cha kwanza kabisa waTZ.Tuipende nchi yetu na Mole atusimamie

  • @Jonhkikopola
    @Jonhkikopola 6 หลายเดือนก่อน

    mungu awape maisha marefu sf🙏

  • @mohammedimpeme
    @mohammedimpeme 6 หลายเดือนก่อน +3

    Best infantry in Africa TPDF

  • @Mitama49
    @Mitama49 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nakubali..morali ipo juu

  • @CharlesEdwardCvanoedward
    @CharlesEdwardCvanoedward 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu ibariki Tanzania

  • @SaidSaid-o3s
    @SaidSaid-o3s 5 หลายเดือนก่อน

    Longlive Tanzania longlive madam samia

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 6 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana Tanzania Amani itawale

  • @FranklinHosea
    @FranklinHosea 5 หลายเดือนก่อน

    Mpaka raha🇹🇿

  • @VerenaRosalia-q8f
    @VerenaRosalia-q8f 6 หลายเดือนก่อน

    Tanzania nchi pendwa ❤❤❤❤

  • @petrochundu9702
    @petrochundu9702 7 วันที่ผ่านมา

    🎉❤❤❤

  • @Marumba-u5y
    @Marumba-u5y 9 วันที่ผ่านมา +1

    Vipi tuombe mechi ya kilafki na m23

  • @silasponeka1773
    @silasponeka1773 5 หลายเดือนก่อน

    Safi kabisa .Ongezeni silaha za kisasa kabusa

  • @panduafricangiant4902
    @panduafricangiant4902 6 หลายเดือนก่อน +1

    Feel luck to be born in peacefull country like Tanzania ni fursa kubwa

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 6 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤ Tanzania tupo juu

  • @kamanapomo7029
    @kamanapomo7029 6 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri wapambanaji

  • @VibeScott
    @VibeScott 13 วันที่ผ่านมา

    Tuna omba kenya vita ya kila fiki jamani afu tuone😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @khalfanikimanta6663
    @khalfanikimanta6663 6 หลายเดือนก่อน +4

    Suali langu moja tu Je! Vile wanajeshi walivyojengwa imani na mapenzi juu ya nchi ya tz vipi kuhusu wananchi nao wanaipenda na niwazelendo vivo hivo?

  • @DaudiMalema
    @DaudiMalema หลายเดือนก่อน

    Good

  • @HamidaNdimu
    @HamidaNdimu 5 หลายเดือนก่อน

    Naipenda inchi yangu

  • @Olengujati-uo6gx
    @Olengujati-uo6gx 17 วันที่ผ่านมา

    Hawa wanajeshi weupe wawap

  • @TedyMwakyendenge
    @TedyMwakyendenge 4 หลายเดือนก่อน

    Tanzania nchi yangu ndugu zangu tukipta nafas tukumbkane

  • @storytownTv
    @storytownTv 6 หลายเดือนก่อน

    Vibe ka lote .🎉

  • @OscaMlwiloJr
    @OscaMlwiloJr 5 หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania ❤❤for life jwtz fire👍

  • @hossenmsemo7859
    @hossenmsemo7859 5 หลายเดือนก่อน

    Bravo TPDF

  • @Torono_95
    @Torono_95 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hao wachina wasenge wanajua akisimama kibabu kimoja tu kinaua wote pamoja na drone yao😂😂😂

  • @emmabrownmissana6996
    @emmabrownmissana6996 5 หลายเดือนก่อน

    Nidham safi

  • @daudifungo5521
    @daudifungo5521 6 หลายเดือนก่อน +1

    MUNGU IBARIKI TANZANIA

  • @edumagobo4633
    @edumagobo4633 5 หลายเดือนก่อน

    Tanzania nguvu moja

  • @mangerzoo2412
    @mangerzoo2412 5 หลายเดือนก่อน

    Naapa, naahidi TANZANIA nitakulinda mpaka kufa

  • @AmaniJumanne-q9l
    @AmaniJumanne-q9l 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli Hawa ni makomando

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 6 หลายเดือนก่อน +7

    Kwani bila jeshi la china sisi hatuwezi? Huu ni ujanja Fulani siyo kuna kipande mmewauzia kweli!!!!!!😮😮😮😮😮

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 6 หลายเดือนก่อน +7

      Ujuaji wa ujinga usikupotezee muda sana, ni ushauri tu

    • @AbasiShabani-lw2fd
      @AbasiShabani-lw2fd 6 หลายเดือนก่อน +5

      Ubongo wako mzito Sana kuelewa ulimwengu unaendaje kwa sasa mnasikia kila siku marekani anafanya mazoezi ya pamoja na NATO kwahiyo marekani kauza kipande cha ardhi kuwapa hao Wana umoja wake

    • @machechubaraka2795
      @machechubaraka2795 6 หลายเดือนก่อน +1

      Acha ku comment ujinga

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 6 หลายเดือนก่อน +2

      Marekani huwa anashirikiana na Nchi nyingi kwenye mazoezi ya kijeshi je hawajiwezi? Kama jambo huna Elimu nalo kaa kimya la sivyo kila mtu atajua jinsi ubongo wako unavyo fanya Kazi

    • @kikalarashid9003
      @kikalarashid9003 6 หลายเดือนก่อน +2

      Babu sio kila kitu mtandaoni unacomment tu!! Wewe hata mkuki unajua kutengeneza??

  • @salimujuma-kb7wv
    @salimujuma-kb7wv 5 หลายเดือนก่อน

    Commando commando commando

  • @musaenocy
    @musaenocy 6 หลายเดือนก่อน

    tanzania namba 1

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 6 หลายเดือนก่อน +1

    jeshi letu lina vibe sna ila jeshi la china linanidhamu sana

  • @DivasDamian
    @DivasDamian 4 หลายเดือนก่อน

    Tuna jeshi nzur na lenye utii na nizamu.

  • @Diasdigital-gm
    @Diasdigital-gm 5 หลายเดือนก่อน +1

    sniper yuko na rifle 97 mgongoni

  • @hakizimanaerick-w6q
    @hakizimanaerick-w6q 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ibikanga nyoni (domo tu)

  • @pauldaniel5352
    @pauldaniel5352 5 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ni kaul mbiu ya kila nchi

  • @AtanasiEmanueli
    @AtanasiEmanueli 5 วันที่ผ่านมา

    Hawa wachina vipi

  • @lawrenceleonard2007
    @lawrenceleonard2007 5 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani kama mizuka yenyewe ndio hiyo si nasisi basi ambao atuna vigezo mtupe cousre ya ukakamavu tujifunze tu nasisi,kwani lazima tufike form six?

    • @AdamuAndendekisye
      @AdamuAndendekisye 5 หลายเดือนก่อน

      Ndugu yangu jeshini kizuri ni nyimbo tu hivi vingine ukaze moyo 😂😂

  • @BenardSadani
    @BenardSadani 6 หลายเดือนก่อน

    Jaman awo wachina wanatuted kiwandan balaa yan siwapend atakuwaon awana ujamaa awoooh

    • @BenardSadani
      @BenardSadani 6 หลายเดือนก่อน

      Wanasutesa San wajinga awoh

  • @Africasafarichannel
    @Africasafarichannel 6 หลายเดือนก่อน +4

    Kama umeona drone ina SMG gonga like

  • @lobuluhosea2460
    @lobuluhosea2460 5 หลายเดือนก่อน +1

    Jeshi morali...

  • @EphraimWekesa-je7gy
    @EphraimWekesa-je7gy 20 วันที่ผ่านมา

    Suluhu wazungu wanataka kumupa sumu

  • @mashakanyanjali7325
    @mashakanyanjali7325 6 หลายเดือนก่อน

    Safi sana hata Mimi nalipenda sana jeshi letu la Tanzania

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 20 วันที่ผ่านมา

    Huo mdege uko nyuma heh3hehe

  • @DancanJoseph-t5t
    @DancanJoseph-t5t 6 หลายเดือนก่อน

    mama wetu piga kazi mama

  • @Abgail-k1e
    @Abgail-k1e 5 หลายเดือนก่อน

    Jichanganyeee hapo sasa

  • @bouweengabriel2477
    @bouweengabriel2477 5 หลายเดือนก่อน

    Kuishia darasa la saba shida sana

  • @MussaSio-l6u
    @MussaSio-l6u 6 หลายเดือนก่อน

    Ukiwaangalia wanajeshi wa china vizuri na hawa vitumbo wetu utaona kuna tofauti kubwa sana baina ya wanajeshi wetu na wachina

  • @NyamtigaIbrahim
    @NyamtigaIbrahim 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hivyo Vijamaaah Vinatamani Vingekuwa vibongo Hapo Vimetoa Macho Kama Haviamini Wanachokiona 😂😂😂😅

  • @hassanhancha1413
    @hassanhancha1413 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hawa sasa ndio wahuni sio wale wapuuzi wa mitaani wanaocheza sengeli uchi

  • @jafarchambuso5953
    @jafarchambuso5953 6 หลายเดือนก่อน

    Kaa mbali na hizi sura

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 6 หลายเดือนก่อน +2

    Love sana Mh Rais wangu mumy nakupenda sana kaz iendelee

  • @rockmakunda5120
    @rockmakunda5120 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna jeshi lenye morali Africa kama JWTZ

  • @allymwilu8089
    @allymwilu8089 5 หลายเดือนก่อน

    Makomandooooo

  • @kainimlowe9646
    @kainimlowe9646 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hadi wavietinam kumbe wapo😂

  • @yhktv9823
    @yhktv9823 5 หลายเดือนก่อน

    Uyo jamaa qa tbc apo anajiona kama anatoa habari kati kati ya vita vikali😂😂😂

  • @MussaKipamila
    @MussaKipamila 5 หลายเดือนก่อน

    Mh kuvaa granda sio shida ni vitani kuwa shapushuta ndo ushindi

  • @IbrahimOmar-tu5tc
    @IbrahimOmar-tu5tc 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kila la kher familia kubwa mpo vzr TPDF sojar

  • @ghottaman2570
    @ghottaman2570 5 หลายเดือนก่อน

    🇹🇿🇨🇳🔥🔥💪

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 6 หลายเดือนก่อน

    ❤DRC mpaka Leo haina Amani na mpo pale miaka nenda Rudi. I believe diplomatic relations.

  • @azizmiraji2610
    @azizmiraji2610 5 หลายเดือนก่อน

    Jeshi langu naliamini ndo maana sina na wasiwasi hata kidogo