UKIOMBA LIFTI GARI LA WAGONJWA LA JESHI SHARTI UUMWE - ILONDA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 15

  • @Emmajjwilly
    @Emmajjwilly หลายเดือนก่อน

    Seriously mnashindwa kujenga hoja za msingi mnaangaika na mada ambazo hazina faida kwa upana kwenye jamii Kuna ishu nyingi tena sensitive kuhusu jeshi watu hawaelewi inabidi jukwaa kama hili litumike vizuri

  • @SaudiSalman-f1g
    @SaudiSalman-f1g 5 หลายเดือนก่อน +1

    Me kwa kwel dodoma nikifikaga asubuh saa 1 asubuh nasimam lift kweny gari lao basi na mchana hivo hivo yule dreva wa polis dodoma tok nkuhungu ilove you dafy

  • @vintz338
    @vintz338 5 หลายเดือนก่อน +7

    Aaaaaagh muongo 😂😂😂 panda uone hao wanapenda kucheza nasisi af wanacheza kwa lazma mtu umechoka kucheza wao ndo wanataka uendelee,ukitaka msos wanakupa kuzid uwezo wako, hapo anaongea kwa upeeeeeeendo ,ukingia kweny mfumo wanakugawai wastani unaozid idadi

  • @casiusnjali8514
    @casiusnjali8514 5 หลายเดือนก่อน +1

    hiyo ni uongo bana😆😆😆

  • @allytv1714
    @allytv1714 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sifa kubwaa ya mwanajeshi anatakiwa kuwa na hekima na busara ila kuna hao wanajeshi kuruta,jkt wengi wazinguaji wanajionaga sijuii aje iv kama wamemaliza dunia jeuri uonevu wakija mtaani naona hao muwe mnawapeleka vitani mstari wa mbele wakirudi ndo walete iyo jeuri kitaaa

  • @felixmwayeya6716
    @felixmwayeya6716 5 หลายเดือนก่อน

    Mtego huo jaribu uone😂😂😂😂😂

  • @vertex8605
    @vertex8605 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kwanza unatakiwa ue na ujasiri wa kuomba io lift!

  • @AloyceKigullah
    @AloyceKigullah 5 หลายเดือนก่อน

    Ahh kweli wauni noma kumbe uwa mnaomba lift 😂😂😂 ahhh watu wajasiri

  • @AfyaYangu-yc7zw
    @AfyaYangu-yc7zw 5 หลายเดือนก่อน

    Kwani Raisi si mwananchi unaweza kuomba lifti na ukapewa tu nduguyanga

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 5 หลายเดือนก่อน

    Siyo kila anaepewa lift ni mwema na ana nia njema.., na pia askari anaishi kwa amri , ukiambiwa chukua watu utachukua,

  • @Enock-c6m
    @Enock-c6m 5 หลายเดือนก่อน

    Gari la Rais. Unaweza ukaomba lifti?

  • @allytv1714
    @allytv1714 5 หลายเดือนก่อน

    Mueshimiwa soja iv na mgambo nyie huwa ndo mnawapa mafunzo alf wakirudi wakasumbue mama zao masokoni ebu muwafundishe na heshima jinsi ya kuishi na raia cz akuna mtu anajisikia kama mgambo

    • @hassan-sarumbo
      @hassan-sarumbo 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂mbona jkt wanafundishwa lakini hawasumbui mpaka uwachokoze