Mambo ya wafu hayooo lazima huo uchinjaji uondoke na baadhi ya watu...waliojilia nyama Mtu akishakufa amekufa...kushiriki hizo sherehe za kumbukumbu za wafu ni kama kukubaliana na roho za kifo😢..
Inaonekana hesabu kwako ni shida, ng'ombe 30 chukulia kila ng'ombe kwa hesabu ya chini ana kg 300 , chukua 300 ×30 unapata kg 9000 , Sasa hizo kg 9000 chukulia kila mtu atakula nusu kg , 9000×2=18,000 . Kwahiyo kwa makadirio ya chini watu 18,000 watakula nyama na kushiba, Hapo sijaweka mbuzi Wala kuku... Ni nyama nyingi hawawezi iomaliza . Rudi shule kasome hesabu nyumbu wewe
Km hujui hesabu uwe unasoma comments tu...na mbali na jibu ulilopewa na mjumbe ambaye amechambua vzr jua kuwa hapakuchinjwa ng'ombe tu kulikuwa na mbuzi na kuku na hivyo vyote viko in terms of kilograms sijui km unaenda buchani unanunua ng'ombe mzima au unanunua nyama kwa kilo. Shwain sana
Hizi taarifa muwemnatoa mapema kabla ya tukio ona sasa mambo yametupita😂😂🎉
😂😂😂😂
Haaaa haaaa 😂😂😂😂😂😂🙏
Hiii wewe😂😂😂😂
Wamasai like apaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hayo yote ni kujilisha upepo hayasaidii chochote, Kikubwa tumtafute Mungu madam anapatikana
Umebahatika kuona kasoro yao❓..
Mimi nimegundua ao ukiwa na mapepo unaombewa na unapona .na
WANAIJUA DINI ZAIDI YAKO ..
Wana dini gana dini ya kuendekeza tumbo Ili waichague ccm ndoo dini@@jostamzxkaole3113
KWAHIYO TUSILE😂
Mila zao zinaongoza shughuli hiyo. Ni kawaida. Hata kule kwa Mandela yanafanyika.
@@highlightboy255 kula tu or ngir ng'o
Kwa nin hamkutoa taarif mapem na sis tukaj
Sawa
Jambo jema sana
Duuuu imekaushwa kiufundi sana
Jamani mbona mna tutamanisha😂😂😂
Wamasai ni watu walonyooka san mmbo yao, sio sana kuwa na kona kona
Mimi nadhani ngeweza kufika hapo ningezimia kwa Ninavyopenda nyama.
Sio ungeharisha
Rest Well E. Ngoyai Lowasa. Dearly missed😢
Nyama hizoooo
Duu ninavyopenda nyama mngechinja zingine kwaajiri yangu
Mambo ya wafu hayooo
lazima huo uchinjaji uondoke na baadhi ya watu...waliojilia nyama
Mtu akishakufa amekufa...kushiriki hizo sherehe za kumbukumbu za wafu ni kama kukubaliana na roho za kifo😢..
Acheni uwongo ng'ombe 8 unasema 30,huyu jamaa ni mhuni sana.mbuzi wawili.
Unateseka ukiwa wapi? Mimi sijaenda ila nilipata tenda wa hao mbuzi 20
VIPI KUMBUKIZI YA JPM?????
SIS HUKU KWETU SHINYANGA MBONA HATUJAPATA HIZO NYAMA AU HAYATUHUSU😢😢😢😢
Watu walishakula ndo unatoa taarifa mm niko kigoma nitafika washamaliza.
@@selemanimasatu2421 wekula sokwe huko Hala lete M pok
Km una matatizo ya meno usije hapa ..utapata dhambi bure.👀
Sikupenda kabisa mbona habari kama hizi zisitolewe 3 kabra
Wamasai hatunaga shughuli ndogo.
Kikubwa tutafute hela na tuishi vizuri na jamii zetu
Nawapendaaaaaaa
walichinjwa co zilichinjwa
Hata na wewe hauko sahihi sasa, co ndiyo nini?
😅😅😅 Acha tuu @@JacksonTulito
R I P Mzee wetu, namkumbuka 2015 ulivyotutingisha wana CCM kwenye kampeni zako
Hiyo ni kuaribu fedha garma hii yote ni ya nini.
Sema sina ela....huenda hata ni watu wamejitolea kutokana na upendo wao kwa aliekua kiongozi wao..😊
Sasa NG'OMBE 30 Kwa Watu 10,000
Kila NG'OMBE MMOJA ataliwa na Watu 3330😂😂😂
Inaonekana hesabu kwako ni shida, ng'ombe 30 chukulia kila ng'ombe kwa hesabu ya chini ana kg 300 , chukua 300 ×30 unapata kg 9000 , Sasa hizo kg 9000 chukulia kila mtu atakula nusu kg , 9000×2=18,000 . Kwahiyo kwa makadirio ya chini watu 18,000 watakula nyama na kushiba, Hapo sijaweka mbuzi Wala kuku... Ni nyama nyingi hawawezi iomaliza . Rudi shule kasome hesabu nyumbu wewe
Km hujui hesabu uwe unasoma comments tu...na mbali na jibu ulilopewa na mjumbe ambaye amechambua vzr jua kuwa hapakuchinjwa ng'ombe tu kulikuwa na mbuzi na kuku na hivyo vyote viko in terms of kilograms sijui km unaenda buchani unanunua ng'ombe mzima au unanunua nyama kwa kilo. Shwain sana
@@allishot9897safi sana. Kuna watu ni washamba sana yeye anapoenda buchani sijui ananunua ng'ombe mzima au nyama in terms of kilograms
😂😂😂😂😂😂😂😂 kwakwel bora uwe mpenzi mtazamaji na msomaji
Hana haja y kampeni jina la mshua linambeba
@@Jehhus_06 kwahiyo unaona nisawa kumpa mtu kura kwajili ya nyama?