HIKI NDICHO KITU KINACHOMBOA SHILOLE KWA MUME WAKE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
inaonyesha uchebe ni msiri sana mm namuunga sana mkono kwakuwa kuweka wazi maisha yandowa. aipendeziii
nimemkubali sana uyu dogo anamaneno ya hekima ,busana na mafunzo ndani yake .
hakika uchebe anahekima sana ana adabu sana hakika mungu akulinde ila mimi ninauhakika mke huna
Ushauri tu kwa shilole...kuna jinsi yakumrekebisha mume wako mkiwa mbele za watu na hasa kwenye media..Respect him !!Wish you well...ndoa ni safari ndefu...ila mkimshirikisha Mungu mtafanikiwa!!
Huyu shishi nahakika baada ya interview alipigwa na mumewe...
Shilole jifunze ukimwa na heshima kwa mume wako ....Ukianza kumwongelea sai kwa midia hapo kwel pana upendo....Learn to keep your life private
Rose Irungo kweli
True ata ataki aonge.
Rose 😍
Me nmemwelewa uchebe kila kitu cy cha kuweka waz
Tell this fool anawapa watu faida idiot kbs
Akiongea uchebe nasikia machoz yananilenga lenga anajibu kwa hekima sana
Kakangu wewe Uchebe ulibeba Mtihani ..Allah akunusuru kwa sababu waonekana Uko na Taqwa
Makungwi kweli? Shilole ongea na mumeo usitegemee media ikuendeshee nyumba yako acha kuwapa walimwengu faida.
safi
asha ali hana akili
Uchebe.mungu.akuzidishiye-moyo.wakustiri-haibu-zamkewe-apo duniyani-nawewe-atakustiri-ahera
Kumbe.shilole.hajierewi.mamboyandani.unayareta.apo😏😏😏😏😏😏
Duh!! Shilole hapo umetuanguza jameni wanawake...mambo ya kwako acha iwe siri ,Mume wako ako sawa kabisa mambo ya family sio ya social media. Shilole jua sio watu wote watafurahia mafanikio yenu.
Asante uchebe uko sawa ninja ..mkeo asikuletee zakimedia mana anaonekana Brain yake haijakomaa bado anaropoka tu mambo ya ndoa
Kaka wewe mungu akubariki hauna roho mbaya eey inaonekana ..wanakuponda hawa wasaniii nao wanapendaga kujitoa ofvyovyo. Ndo tatzo
Kama ni kyusa huyo balaaa wabishi sisi
Kaka unahekima sanaaaa but huna mke
ushebe unamajibu mazuri wallah kweli we kidume,,hataki ustaa kwenye ndoa
saumu mm pia kidume
zubeda mm pia kidume
zubeyda othmani uyu akili ana kabsa uwezi kuweka mambo yako katka Media inakua upu mtupu mambo ya ndoa nyumbani au kama ndoa ilifungwa msikitini basi inatakiwa izungumziwe msikitini uyu dogo yuko sawa kabsa mungu akupe akima
Mashaallah nimependa majbu ya uchebe
Shilole umeniboa
Mwanaume lazima uwe jeuri ndo mapenz yananoga
uyu shilole awez kuishi na mume kabisa kazoea uhuru
Put it straight.amezoea uhuni,thats it.that cant be marriage material at all ,period
Haya wapendwa kwa maisha ya ujerumani. Schoraship. mikasa subcribe kwenye chaneli yangu . Bonyeza picha itakuleta kwenye chaneli yangu asanteni
Kimaoni yangu jeuri ni sifa ya mwanaume na Ashraf bigup sana umewajibu ipasavyo na unamrekebisha mkeo mahali popote.Alafu ndugu zangu nauliza kuna kungwi wa kiume mbona huyo mwengine anambiwa ndie kamfunza zuena ama
Kaka uchebe upo sahihi sana sio kila jambo linalousiana na ndoa kuliweka hadharani hata dini imekataza kweli kaka umefunza kawa hilo tu nimekupa heshima sana kweli unajielewa hao wanaowauliza maswali hayo labda hawapo kwenye ndoa nakama wapo kwenye ndoa labda hawajafunzwa heshima ya ndoa kwenye dini zao usiwe kimaisha ya kidunia zaidi chunga heshma Ya ndoa yako ni hayo tu bro
One thing i love Uchebe is humbled n religious he runs his married in God's way
safi Sana uchebe huo ndo uwanaumee, shishi umepata mme tulia
Njo kwa YESU upate tumain jipya la moyo
Et mumewangu anaubukoba flan mmmh😏😏😏😏😏hujafundwa shishi ulipaswa kumsitir mumeo Kama anavokusiti wewe big up uchebe
MWANZO WA INTERVIEW NILIKUA SIJAMUELEWA UCHEBE ILA BAADAE NIKAMUELEWA BA INSHALLAH MUNGU AWEKE SALAMA MUISHI MIAKA YOTE KWENYE NDOA YENU
kweli kaka hongera sana na wazazi wako nawapa hongera kwa jinsi walivyo kulea shishi mi mshabiki wako Dada ilahapo umekosea ulimi umetereza
Shilole MUNGU anakupenda sana . Amekupa mtu sahihi KWA AJILI YA MAISHA sasa na hata Baada ya kufa SO USIMUACHE UCHEBE YUKO KWA AJILI YAKO KIUKWELI na si fashion kama za watu wengine kwenye ndoa zisizomaaana ZINAZOVUNJIKA na KUJAA USALITI
Nmempenda uchebe yupo kama mumewangu
Asha Said 😂😂😂😂😂
Asha said,wote hao hawanishindi mimi
Shekhe uchebe nakubari xana bro. mung hajafany koxa kukukutanixha na xhixhi humembadilixha xana tabia mung hawabarik kweny ndoa yenu
Yani hata watangazaj wanaume kama mashoga vile unalazimisha mtu aongee siri za ndoa yake kwenye media
Umenikosha yani sio powa uchebe mwanaume wauwakika ustaa wako hausian na ndoa shirore ushakuwa mlee Mtoto wawatu bado Mdogo usimperekeshe nakupenda sana shirore hira unaniboa sana
Ur Gud in ur marriage
Ila mie naona UCHEBE aliku MUme mzuri kwa shilole cos ananidhamu hapendi kuongelea ndoa yake kwa media. Yile wa sasa Romi 3D mie naona bado
Kweli mtu wa dini lakini ajitahidi awe na subra tu na jeuri apunguze asiwe hard saana ajiribu awe soft kidogo pls amtizame vizuri dada yetu ni mtoto mzuri sana ashraf jita hidi sana mdogo wangu umepata mke mtu mzuri sana ongera ashraf
Kila mtoto ukhty yuwaja na rizki,yake,kwa hiyo sio kujipanga,Allah ndie apangae,
Uchebe punguza ujeuri unaonyesha kweli una dini lakini hata Dharau zipo Mungu Awasimamie ktk ndoa yenu
Uchebe uko vizuri Sana unaustarabu Kama mume wangu shilole Mimi shabiki yako lakin hapana umeropoka Sana
Kulipa ndo hasa kunakotakiwa. ANGALIA hata wazungu wengi wanaume wanavaa
kulia. Na hao ndo waanzilishi wa hizo Pete.
Hahahaaaaaaaa,,,,,Shishi hapo kazi,,,,,unayo,,,,,kweli nimenot uhaya uko hapo
Kweli shilole alimtengeneza uchebe yani hakuwa taipu ya shishi
Ukiona wanandoa wanagombana usiegemee upande mmoja. Uchebe ni very wise.
Rostam wa mjibu shilole Gusa link th-cam.com/video/OFzHbWhzckY/w-d-xo.html
Shirore umekuwa mpore gafra uchebe dini Dada ujipange
hhhahahahahha uwiii shishi na mumewo nimewapenda jamani dah mana uchebe hataki masihara lol eti bora unyamaze hahahhaha lol
Achananae,huyosiomwanamke wakukuheshimu,mbonabadokijana?
hahahahaha jeuri mpango mzima😉😁😁 mabrook wanandoaa...nauchebe katka wanaume unautumua umee wako na unasmama na dini Allah awazidishiee inshallah
Uchebe hakika MUNGU kakujalia hekima kubwa sana Hongara sana kaka
shilole hapa sikufagilii ujamuheshim mumeo kama dhalau hivi
makalani kweli
Mi pia cjapend ivo anavompanda mumewe ndo nn sasa
DAH UYU DOGO MSTAARABU XANA. ILA MKE NDIO KAKOSA KAMA VIP AJIWEZESHE AKISHA KAZA AOWE MKE AMBAYE ATAMPA UTULIVU. KWA HAPO HANA UTULIVU NI MEDIA KILA CKU.ATAFEL. MKE AJITAMBUI POLE XANA DOGO ILA TUMIA AKILI XANA NA DINI MBELE YAKO
Kumbe ni Malafyale wanaume wa Kinyakyusa kwa kupiga ndio zao hawataki dharau kabisaa
mbn kama shilole ashamchoka mumewe...
huyo mwanaume kwakweli anabusara kwahiyo hali kwakweli
Uchebe yuko sahihi mambo gani ya ndoa kwenye media khaaaa
Uchebe yukosawa sana
Uchebe njoo humuowe mwanangu nakupenda sana unamaadiri mazuri mwanaume wapo sema wanawake tunazichezea
Safi sana Uchebe ndoa sio matangazo. Waulize kwanza hao wanaokuhoji wameoa..????
Yani nashindwa kuongea kuhusu uchebe nizaidi ya mwanaume yani ila mke wake ni tatizo kwangu mm ningepata kesi kwenye interview hii dharau zimezidi kwakwel ila sizan Kama kunamwanaume mwingn anaweza turia Kama uchebe yani jamaa yupo clear xan
Mtangazaji Pete kwenye Dini ya kiislam hakuna na ndio maana wanavalishana mara nyingi baada ya ndoa, Pete kwa Christian wanavaa kushoto
Kwenye Uislamu hakuna pete ya ndoa,,,pete unavaa kama pambo tu au unamnunulia mkeo kama zawadi lakini hakuna ulazima kuvaa pete ya ndoa kwa Waislamu
nimekubal jibu lako uchebe siri za ndani ni zako na mke wako endelea kua ivo ivo
Waaah shilole punguza mdomo dada
Yani mume anasaut ndogo lkn mke anasaut yajuu, hlf nikweli kwan lazma vitu vya ndan yandoa muvizungumze ktk interview, hlf shilole kwakua nistaa apo upo studio yani sifaa unaropokwa tu juu yamumeo, kumbuka kua huyo nimume lazma awe juu nawe uwe chini, ustaa wako usikufanye ukaleta dharau juu yamumeo, naukiwa hivo utahesabu waume kwa mdomo wako.
uko vizuri sana kaka hy ndo heshima ya ndoa
Shish umepatamume tulia ukisikia uwanaume ndiohuo
ila shilole nakushauri fanya mazoezi unene umezidi marazi ni mengi punguza mwili ndugu yangu.
Mumewangu yupo kama hivyo ila mwisho ni hatari
Usinge enda media shilole mueshim.mumeo unaongea sana kuliko mumeo
Wapige mngumi hao. Mambo ya ndoa kwann yawekwe kwenye socia midia
ASAHAPO UMEFTA NINI KAMA HUPENDI KUZUNGUMZIA NDOA YAKO UNGEKAATA KUJA HAPO
Hakika shilole unae mme bali mwenyez mung akutangulie na ungundue kwamba uchebe ni nani kwako,na sio kuwek mambo y ndani y ndoa hazr
an
Shishi unahongea saaana kuliko bwana yako heeeee sio powa ivo mwanaume nimtu mzima kweli
Surw
Bro uchebe mm nakukubali sana kwa majibu yko wasikuteke akili yko na ukaweza kutangaza habar ya ndoa yko ila pia kwa jinc tabia yko hauendan na shilole tafuta anaendana na sifa yko au tabia yko au ulifata nn kwa huyu mwana mke
Yani uyo uchebe noma anajiskiya sana tizama kwanza gisi anaongeya
Wahaya wanazarau sana hyo mwanaume anazarau kwanza hyo mwanaume ana zarau
Kweli huwezi kutangazi mambo yako ya ndani katika midia
Shilole mropokaji sana,sijui kakua sasa hivi!
Uchebe nimeipenda hiyo siri ya ndani na ibaki ndani haina maana kuwafaidisha wasio kuwa na maana kwako
Kwaiyo wazanzibar ndo majeuri?
Mbone shilole anamaneno mengi kuzidi mumeo
Shilole ni Mtihani, pole Uchebe. Mambo ya Ndoa hayazungumzwi kwenye Midia. Uchebe yuko sawa.
Kweli kusoma ni muhimu sana kweli siri za nyumbani mpaka kwa runinga
Zuwena wanaume wa bukoba ni wajeuri lakini wanajua kutunza familia wanajali sana wanajua kujali hawapendi dharau japo wao wanadharau ila nawapenda sana wahaya wanajua kujali sana mpende mumeo sana
Ila mwanamke apigwi kupigana kizaman mbona unabusala kwann
Khakika hii nindoa yakweli
Mungu ndiye anaejua wewe mi nazaa Mungu anajua yeye jins ya kuwalea acha kukufulu wew
uchebe hongera sana kaka hayo ndo maisha ya ndoa siyo kuyasimlia watu siri za ndani asikundanganya zuwena wasanii kawaida yao kutangaza mambo yao kuna mengine ya kusema lkn sio mambo ya ndoa yako.
Umeongea fact uchebe Ashiraf
Maisha ya mitandao haywez kudum nmewaona weng wakubwa,kuoa msanii au kuolewa na msanii n sawa na kununua nyumba yenye kesi mahakaman ,
Shilole angalia ndoa yako uchebe ana busara sana Kuna watu wapo kama papa na nyangumi wakiona meli yenu inaelea wanatamani ianguke shikilia sana huyo ni mume mzuri wengi wanamtamani kuwa nae
Safi sana kwa majibu yako mapenzi ni ya wawili hata kama umeoa super star .......
Sema kweli shishi
Ndiyo maana umechezea kichapo
Huyu mwanamke anaongea Sana mpaka sipendi😕
Siku nyingine huyo uchebe msimuhoji kweli jeuri sijapenda anavyojibu siujibu hapana na ndio maelezo mengiii ka yupo polisi
kweli kuna "uhaya" nimeona
Shiloli alikuwa danga co haoni nomaa kuongelea mahusiano media ila ivo ni kuboa saana!
mmmh.shishi mambo ya ndoa chumbani ukiona asikii mwite mtu mzima awaeleweshe hamna kungwe hap mwanaume ni mwanaume
Huruma Jiseph yaan kweli
Mashallah sio vizuri kuwapa watu sifa zandi mwenu ongera kaka unchebe
Uchebe yupo sawa kbs hayo mambo yandani bn
Somo wake yukwapi akamfunde tena shilole kuwa muwazi haimaanishi kuyaweka hadharani maisha yenu ya ndoa mwanamke kifua, uchebe nimekuelewa kaka usungo huo umekukolea
Nakupenda uchebe come for me hahahahahahahaha natania dad shishiii
huyo ndio mume anayemfaa shilole
Mmmmh shishi unatatizo astaghafiru Allah