Tatizo mnalijua sana: Ni utitiri wa Kodi zenu. Mfano bidhaa nyingi za inchi jirani kwa mfano @Rwanda,Burundi,Uganda, Malawi n:k zinapitia hapo Bandari ya Dar kule zinauzwa nusu ya bei tofauti na siye. Angalieni hilo. Na kinacho sumbua hapo kwetu ni Roho Mbaya za watu na maslahi binafsi zaidi.
Wakubwa wanakimbia lakini wadogo wanatishiwa Police ukiziangalia lawama zote tatizo ni maamuzi Kwanini wachumi wa hii Nchi hawana michango katika uendeshaji wa uchumi Endelevu ?
Mh.wsziri Hotuba nzuri sana inatia moyo wafanya biashara na wawekezaji ,kama na vitendo vitakuwa hivyo unavyoaahid.safi Go ahead.
Huyu jamaa ni hazina ya taifa, siyo akina Mwigulu, Nape, January na akina Tulia.
Namkubali sana huyu jamaa hanaga masifa ni mchapa kazi wenye akili timamu ndio TUnamuelewa huyu
Tatizo mnalijua sana:
Ni utitiri wa Kodi zenu.
Mfano bidhaa nyingi za inchi jirani kwa mfano @Rwanda,Burundi,Uganda, Malawi n:k zinapitia hapo Bandari ya Dar kule zinauzwa nusu ya bei tofauti na siye.
Angalieni hilo. Na kinacho sumbua hapo kwetu ni Roho Mbaya za watu na maslahi binafsi zaidi.
Madeni tuna bambikiwa tra hatuyaelew
Nimefurahia sana huyu jamaa huwa ana maono ya nchi iendelee.
Mimi mwenyewe nimetoka kulipa faini ya milioni moja ya kubambikwa kwasababu hakuna pakusemea na mpango wakuhama kwenda nchi jirani
Wakubwa wanakimbia lakini wadogo wanatishiwa Police ukiziangalia lawama zote tatizo ni maamuzi Kwanini wachumi wa hii Nchi hawana michango katika uendeshaji wa uchumi Endelevu ?
TRA na Kodi sio rafiki kwa wafanyabiashara
TRA just want to see the numbers growing😢😢
Hao kina mo dewj wanapaka kuilazimisha ili wapinguziwe Kodi Yani waziri wawachie waende
Nafurahi umerudi ulingoni, jaffo, majaliwa, makonda, haya nimejembe, hayaishi ukaliwake, kule walikokuwa wamekupeleka walikuziba mdomo, nakuombea sana Kwa Mungu akupe hekma kumaliza migogoro ya wafanya biashara,
Maamuzi ya viongozi hayaangalii uepushaji wa Athari Kwa wafanya Biashara