LEONARDO ALIVYOMVUNJA MBAVU NCHIMBI - AMOSS MAKALA na WANANCHI SINGIDA - ''ALI KAMWE - ALI ZETI''...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 พ.ค. 2024
  • LEONARDO ALIVYOMVUNJA MBAVU NCHIMBI - AMOSS MAKALA na WANANCHI SINGIDA - ''ALI KAMWE - ALI ZETI''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 97

  • @connan9923
    @connan9923 หลายเดือนก่อน +7

    Wakati wa Mungu ni wakati Sahihi 🔥🔥🔥 kila mtu ana maoni yake Binafsi ila tujaribu Kuangalia Mungu anavyo mfungulia Mja wake Leonardo ❤❤, hata mimi na wewe Mungu anauwezo wa Kutufungulia Milango Tukapita kwenye Njia ambazo yeye alitupangia tupitie.Big up mwanetu Engineer Butindi

    • @hassanissah7141
      @hassanissah7141 หลายเดือนก่อน

      Maneno mazuri sana
      Yan kimasihara ndo kashatoka na hapo anauwezo ndan ya miaka kadhaa akagombea hata ubunge akawa bungeni na hivo kasoma so kwamba hana kitu kichwani

  • @emmanuelmakaya7604
    @emmanuelmakaya7604 หลายเดือนก่อน +6

    Umefanya vizuri..
    Ila umekosea sehemu ndogo tu..upo kwenye mandhari ya siasa, ulitakiwa uchekeshe watu kupitia matukio mbalimbali ya kisiasa..

    • @AnthonyMchete
      @AnthonyMchete 15 วันที่ผ่านมา +1

      Jaribu naww tukuone

  • @daudphilimon4317
    @daudphilimon4317 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna namna Leo umechemka Kaka sema unajua sana

  • @musajoseph7896
    @musajoseph7896 หลายเดือนก่อน +5

    Watu wana stress Acha wafurahi.

  • @augustinomkongwa5444
    @augustinomkongwa5444 14 วันที่ผ่านมา +1

    Sharp minded person kongole Leonardo

  • @mshindisanga6530
    @mshindisanga6530 หลายเดือนก่อน +2

    Jukwaa la leo halioani na talent

  • @Naahlyan
    @Naahlyan หลายเดือนก่อน +4

    Siasa imempendeza sana

  • @sigelamussa7016
    @sigelamussa7016 หลายเดือนก่อน +4

    Makonda oyeeee❤❤❤❤❤❤❤

  • @EliasHassan9
    @EliasHassan9 2 หลายเดือนก่อน +3

    🔥🔥

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa anarudia sana

  • @kenedymwamagemo1066
    @kenedymwamagemo1066 หลายเดือนก่อน +3

    He is trying really hard not to say something offensive to the government

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa kazingua sana kujiingiza kwenye siasa. Angebaki kwenye kazi yake

    • @AnthonyMchete
      @AnthonyMchete 15 วันที่ผ่านมา

      Zingatia maokoto

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um หลายเดือนก่อน +2

    Nchi ngumu sana hii

  • @thetrailerzone2791
    @thetrailerzone2791 2 หลายเดือนก่อน +14

    Makonda hoyee hawa wanazingua

  • @sigelamussa7016
    @sigelamussa7016 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda safi

  • @stanleyshoo
    @stanleyshoo หลายเดือนก่อน +2

    Watu wana maisha magumu wewe unawapelekea wachekeshaji

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 หลายเดือนก่อน +2

    Hii audience sio ya comedy

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y 2 หลายเดือนก่อน +6

    Kuna viongozi wa hovyo sana katika nchi hii

  • @officialfadhilomar5249
    @officialfadhilomar5249 หลายเดือนก่อน +5

    😂😂😂wananchi bwana....sasa mtu anachekesha wao wanapiga vigelele tu

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 2 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂 wachekeshaji wengine labda stress zetu ni nyingi ndo mana hatucheki

    • @muhsiniamiri9310
      @muhsiniamiri9310 2 หลายเดือนก่อน

      anarudia rudia hamna la Maan namkubal Ila leo hajanifrahisha

    • @contempo_builders
      @contempo_builders 2 หลายเดือนก่อน +1

      Una D ngapi kwanza?

  • @kamanyile
    @kamanyile 22 วันที่ผ่านมา

    Wee jamaa natamani sana uingie katika siasa angalau upate uwepo hata mkuu wa wikaya furani unaweza

  • @KiboJoseph-cc5eu
    @KiboJoseph-cc5eu หลายเดือนก่อน +2

    tatizo unajua liko wapi,? mkutano wa maendeleo, ni tofauti na mazingira ya uchekeshaji watu hujiandaa kucheka kufurahi, hapa watu wamejiandaa kupewa hoja za maendeleo, so kuna namna unatakiwa kubadili jumbe na tafuta group tengeneza tafuta jumbe za vichekesho za namna mbali mbalimbali utakuwa bora hata sehemu ngumu, okay

  • @RamadhaniMshana-gk6vm
    @RamadhaniMshana-gk6vm 2 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda oyeee

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 2 หลายเดือนก่อน

    MAKONDA OYEEE

  • @KLYLIANTHOMAX
    @KLYLIANTHOMAX 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kifupi alijipanga tofauti ameona mapokeo sio kuridhisha kama mmegundua akaanza kujazia vipengele vingine

    • @ellytech9757
      @ellytech9757 หลายเดือนก่อน

      Actually, comedy ya mikoani haitaki visa vya kisomi sanaaa au kimjini sanaa. Ukiweza ongelea nyani, mbuzi na kuku 😂

  • @tanzalandtv3311
    @tanzalandtv3311 2 หลายเดือนก่อน +2

    Unarudiarudia content mkuu

    • @Juli-ep9dn
      @Juli-ep9dn 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sio rahisi na huyu jamaa ana kazi nyingi kuliko comedian yeyote

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 2 หลายเดือนก่อน +2

      Ndio akafanye hizo nyingi alizo nazo hapo awaachie wasio na Mambo mengi na sio lazima ufanye kila kitu Wakati Kuna wengine Wana weza kufnya hayo hayo

    • @KishoraKishoralimbu
      @KishoraKishoralimbu 2 หลายเดือนก่อน

      Content hana kila anachokifanya alishakifanya kabla

    • @imamhussein1104
      @imamhussein1104 2 หลายเดือนก่อน +2

      Lini hao watu walienda mlimani city.?

  • @MollelMollel-il4rg
    @MollelMollel-il4rg 2 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ndio kero za wananchi

  • @JilalaPawa
    @JilalaPawa 2 หลายเดือนก่อน +7

    Huwezi ukawachekesha watu wa mkoani kwa story za mambo ya dsm

  • @michaelcharles49
    @michaelcharles49 หลายเดือนก่อน

    Anarudia rudia sana

  • @user-xy8kl9wd2i
    @user-xy8kl9wd2i 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wao hawasikilizi hata kero za wana nchi

  • @amosmangura
    @amosmangura 2 หลายเดือนก่อน

    Ccm ni dhaifu kweli bidii binafsi ni Friday kwa ccm cha kikuu at maingizo ya2 wasanii

  • @DanielMjengi
    @DanielMjengi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi Hawa ni viongozi au vikojozi????

    • @AllyBabu-kr6lg
      @AllyBabu-kr6lg 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂🎉🎉😂

    • @djfunk255
      @djfunk255 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😅

    • @user-nb5fk2qh9c
      @user-nb5fk2qh9c 2 หลายเดือนก่อน

      Wamekukojolea wewe

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 2 หลายเดือนก่อน +7

    MAKONDA ANAUPIGA MWINGI ARUSHA

  • @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
    @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm หลายเดือนก่อน

    Ulikua unapuyanga tu hapo

  • @mohamedally4496
    @mohamedally4496 หลายเดือนก่อน

    Huo muda makonda hana hapo kero kama 2 zingeshamalizwaa yaani paap

  • @sozimelody8333
    @sozimelody8333 หลายเดือนก่อน +1

    Fundi

  • @user-vg4ph5zx8h
    @user-vg4ph5zx8h หลายเดือนก่อน +1

    Hii nchi hapana kwa kweli

  • @PiusNjelekela
    @PiusNjelekela 2 หลายเดือนก่อน

    tusikilize kero

  • @danielmakelemo2395
    @danielmakelemo2395 หลายเดือนก่อน

    Kwa makonda huu muda hautumiki vibaya

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe หลายเดือนก่อน

    Audience ngumu sana watu hawacheki. Bad day at work

  • @chage97
    @chage97 2 หลายเดือนก่อน

    Mavi mavi mavi

    • @siamnyone8403
      @siamnyone8403 20 วันที่ผ่านมา

      Ya bibi ako😊

  • @JilalaPawa
    @JilalaPawa 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wananchi walijiandaa kusikia utatuzi wa kero zao hawakujiandaa na kuchekeshwa

  • @fwc5552
    @fwc5552 หลายเดือนก่อน

    Kwisha kabisa

  • @BenardChegere-nl4mj
    @BenardChegere-nl4mj 25 วันที่ผ่านมา

    Achen roho mbaya ninyi

  • @imanimbwaga7005
    @imanimbwaga7005 2 หลายเดือนก่อน +1

    hii umezinguaa

    • @user-kd6fn8br2s
      @user-kd6fn8br2s หลายเดือนก่อน

      Kwanini

    • @djd-seth2558
      @djd-seth2558 22 วันที่ผ่านมา

      @imanimbwaga7005 we ungeweza ata kushika maiki au unalopoka tu

  • @Mwita171
    @Mwita171 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tunawathamini lakin kama mmeanza siasa za kutumiwa tutawakwepa

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 2 หลายเดือนก่อน +2

    Baada ya kutatua kero mnaweka wachekeshaji

    • @barrynzeyimana6270
      @barrynzeyimana6270 2 หลายเดือนก่อน +1

      Unataka kila mda walie?

    • @AllyBabu-kr6lg
      @AllyBabu-kr6lg 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @octavian54
    @octavian54 2 หลายเดือนก่อน +1

    Unajua Sana Ila haupo mahala sahihi kikazi

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 หลายเดือนก่อน

    Tatueni kero kwanza komed bdae😢

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 2 หลายเดือนก่อน

    Tatizo mnarudilia sana comedy zenu kila siku ni zilezil

    • @Juli-ep9dn
      @Juli-ep9dn 2 หลายเดือนก่อน +1

      Unadhani rahisi kupata comedy mpya Kila wiki

    • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
      @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 2 หลายเดือนก่อน

      Ni raisi sana tu dada waweze kubuni zaidi maana tumeshachoka kila mwezi bhn kiasi kwamba tunashidwa kukata ticket 🎫 ili tuweze kuwaona maana story ni zilezil

  • @user-gq4bk8ub7o
    @user-gq4bk8ub7o 2 หลายเดือนก่อน

    Angalieni na umri wa kuchekesha

  • @user-oz4gz8kq9e
    @user-oz4gz8kq9e 2 หลายเดือนก่อน +23

    Hawa siyo viongozi ni vikojozi wanaleta comedian kwenye kero za wananchi.

    • @davisnziku
      @davisnziku 2 หลายเดือนก่อน +12

      Ulitaka wamlete diamond ndio ushangilie acha roho mbaya we mjinga

    • @iam_sami
      @iam_sami 2 หลายเดือนก่อน +4

      Weee jmaaa kweli finyu kwann uliacha shule 😂😂😂

    • @JamesPaulo-oz7tb
      @JamesPaulo-oz7tb 2 หลายเดือนก่อน +4

      Comedy ni Sanaa pia😂😂

    • @AllyMauga-hq5vm
      @AllyMauga-hq5vm 2 หลายเดือนก่อน +2

      Huna akili wew

    • @greaterjustin2231
      @greaterjustin2231 2 หลายเดือนก่อน +3

      Kwahio angeletwa harmonize, alikiba,diamond ndo ungeona ni sawa? acha nao wapate ridhiki

  • @ronaldowilson8165
    @ronaldowilson8165 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu hana comedy,anarudia rudia zanyuma.Ndaro always winner.

    • @elsabio11
      @elsabio11 2 หลายเดือนก่อน

      Nenda kachekeshe ww utoe vitu vipya kila show

  • @sylivestersalatiely8985
    @sylivestersalatiely8985 29 วันที่ผ่านมา

    Hajawahi kujua kuchekesha huyu,huaga analazimisha watu wacheke.Not talented

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 หลายเดือนก่อน

    Mental illness is a serious issue in bongo, this guy needs help

  • @Mwita171
    @Mwita171 2 หลายเดือนก่อน

    Na nyie comedian tutawatenga mkiendelea hivo