USI-PANIC VITA INAPOINUKA UPANDE WAKO // SIKILIZA HEKIMA HIZI...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2024
- +255 758 708 804 {Whatssap Group}
Pastor Innocent Mashauri
Kutoka 14:13
Musa akawaambia watu, Msiogope, simameni tu, mkauone wokovu wa BWANA atakaowafanyia leo; kwa maana hao Wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Nakushukuru MUNGU KWA KILA NIYAONAYO na NISIYOYAONA! KWELI WEWE NI JEMEDARI SITAKUACHA KAMWE. ZIDI KUNIKUMBATIA NA KUNZINGIRA BADO NINAWINDWA NA IUSINIICHOKE BABA MPAKA MWIISHO WA DAHALI,nakuomba unikomboe.
Mungu was mbinguni akuzidishie neema kwa ajili ya kaz yke ndani mwako, nainuliwa na mafundisho yko mchungaji
Amen 🙏🙏🙏,tunayashinda yote kwa yeye anayetutia nguvu, Amen 🙏
Natamni Yesu akaa ndani yangu mtumishi😢
Amen mungu nisaidie niweze kukujuazaidi iliniweze kua mushindi katika Maputo ninayo pitia
Ubalikiwe sana MUCHUNGAJI WA MUNGU
Amen napokea kwa jina la yesu kristo
Ameni,nimekua mfatiliaj mzuri wa vipi hivi vya siri za bibilia kweli naona mabadiliko juu ya maisha yangu
Amen 🙏 asante roho mtakatifu kwa kuachilia mafundisho mazuri.ubarikiwe zaidi mtumishi
Ameen, Mungu niondolee uoga .
Mungu yuko hapa heri mtu yule asie namashaka na madhabau hii
Napitia wakati mugum sana mtumishi wa mungu naitaji zaidi ili nikwepane na magumu ya nchi
Hakika Mtumishi MUNGU anakutumia sana,ninazidi kukua kiroho kila iitwapo leo nikiwa na hasira,huzuni, msongo wa mawazo au nikiwa njia panda naweka mafundisho yako nakutana na jibu langu hapa.
Amen 🙏🙏🙏
ẞzzßsssa
Ameni
Amen 🙏
Baba mungu wambingu nachi, nakushururuneema yakuijua madhabau hi ya Siri ya biblia naamini ulinikutanisha na madhabau sahii ameeen
Amen
Niko katika halingumu nahitajimaombi yako mtumishi
❤❤❤ amen
Asanti mtumishi nilikuwa nimepanic bt sahi nimejua siri ubarikiwe sana
Ahsante kwa mafundisho mazuri sana
🙏🙏🙏🇹🇿
Amen 🙏🙏
AMEEEN MTUMISHI WA MUNGU nabarkiwa sana.
❤
😊
Emeeeem
Asante sana Yesu kwa haya mafundisho tumeinuliwa sana sana. Amina Amen
Mwenyezi Mungu nakushukuru kwakuwa unanipigania vita ambazo nazijuwa na nisizozijuwa,nivalishe siraha zako Mungu wangu nipate kushinda kesho yangu iwe yakutowa shukrani kwako Mungu wangu.🎉
asante sana mtumishi
Asante Kwa neno limenifungua
Ameni,nimekua mfatiliaj mzuri wa vipi hivi vya siri za bibilia kweli naona mabadiliko juu ya maisha yangu
Amen 🙏
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen 🙏🙏🙏
Amina