Acha mambo ya ovyo hiyo title yako imenifanya nisihangaike kuangalia video. Hata kama unataka views wengi jitahidi kuwa mbinifu sio unaandika title za ovyo ambazo hazina uhalisia mnakera sana
Kweli huyu jamaa aliyetuma hii video ni hovyooooo😂😂 eti Zanzibar dk 10..halafu heading boti inayopaaa..sasa kama boti inapaa basi hiyo sio boti tena bali ni ndege😂😂😂
Ach uwong ww
Hakuna kitu km icho uwongo dk kumi?
Acha mambo ya ovyo hiyo title yako imenifanya nisihangaike kuangalia video. Hata kama unataka views wengi jitahidi kuwa mbinifu sio unaandika title za ovyo ambazo hazina uhalisia mnakera sana
Mapigo gani sasa kama hapo
Mm nahisi hiyo Boat itakuwa ya wachawi
Yagujuu
Iyo boat ya dkk 10 😂😂😂 anaendesha. Baba ako au Zanzibar 3 ndo habari ssa ivi
Kweli huyu jamaa aliyetuma hii video ni hovyooooo😂😂 eti Zanzibar dk 10..halafu heading boti inayopaaa..sasa kama boti inapaa basi hiyo sio boti tena bali ni ndege😂😂😂