Mbagala kama China watu wengi sana | Many people Live here in Dar es Salaam | Vlog
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 มี.ค. 2023
- Habari hapa ni Mbagala Rangi 3 Wilaya ya Temeke nilipata fursa ya kutembelea eneo la Soko, Stand ya Mabus ya kwenda Lindi na Mtwara pia eneo la Uwanja wa Zakhem eleo maarufu la kufanyia Matamasha mbalibali yakiwemo ya Muziki na Mikutano Mikubwa ya Kisiasa.
Hii Video ni Part 1 unaweza kutazama Part 2 kwa kubonyeza hapa kwenye Link 👉👉 • Soko la Mbagala na Mra... pia naomba usisahau kuniunga mkono kwa kubonyeza neno Subscribe 🙏
Kama ni mala yako ya kwanza kutazama Mtindo wa Video zangu za Vlog nakukaribisha sana katika Channel yangu.
Naomba uniunge Mkono kwa Kubonyeza neno Subscribe 🙏
.
.
.
.
Hellow, my name is Swahili the Traveller 'm from Tanzania, East Africa. I love travelling in different places mostly new places to meet new people and learn the overall lifestyle of different people and show the reality of every stuff.
Please Subscribe my Backup Channel 👇👇
TH-cam
/ @swahilithetravels
INSTAGRAM
invitescon...
Twitter
Swahilitravel25?t...
TIKTOK
www.tiktok.com/@swahilithetra...
WhatsApp
whatsapp.com/biz/
Support Me 🙏👇👇
World remit or AirtelMoney +255 692 499 666 | WhatsApp
#traveling #vlog #travels #adventure #africa
Kutoka Pakistan mimi ni mtanzania mwenzenu nimefurahi sana leo kuiona nchi yangu ikivutia sana like zenu WATANZANIA wenzangu
Oooh!! Asante sana Dada Rehema kwa kutazama Video hii karibu kuniunga mkono kwa kubonyeza neno Subscribe na Like kila nikiweka Videos zingine ❤💪🇹🇿
@@SwahiliTheTraveller kuwa na amani Tupolev pamoja bega kwa shingo mkono kwa vidole
Asante sana kwa support yenu ndugu zangu pia nina ndoto ya kuja Pakistan kutembea hapo Mungu akinijaalia Afya siku moja nitakuja
@@SwahiliTheTraveller tunakukaribisha karibu sana
Kazi nzuri rafki yangu...hongera sana..kazi iendelee....
Asante sana rafiki yangu barikiwa sana 🙏
Usikose kizuiyan dah k umebadilika sana hom ❤️❤️❤️📌🔨
Ooh kumbe itabidi pia nije hapo
Nipo Zambia nikija dar nitazulula kote huko mbagala niliwai ishi kibonde maji
Karibu tena Mjini kumenoga 🇹🇿💗🙏
Kazi nzuri dogo👊unatumia lugha ambayo wateja wako wengi wanaielewa. Pita pita na uswazi kwenye uhalisia wa maisha yetu. Diaspora wengi wameshasahau baadhi ya maeneo, so wakicheki video zako na maelezo wanaenjoy sana.
Asante sana brother Moses ushauri wako nimeuchukua barikiwa sana.
@@SwahiliTheTraveller🙏kwa kuwa video zako contents zake ni za mandhari, maeneo, na mazingira, ziwe na dk nyingi. Piga kazi, pambana, haina kufeli💪
Amen amen 💪🔥
ni kweli afanye hivyo aende mpka kinondoni vichochoroni aisee inakuwa poa sana
Nitafanya hivo fanya kuwasha Notification on pia niunge mkono kwa ku Subscribe Channel yangu pia like Video kila nikiweka 🙏🇹🇿💪❤
Long time ago,nimesahau kabisa!hii ni mbagala!!
Hii ndo Mbagala bhana 😁🔥🇹🇿
Duh sio nchezo mpka tujekulivua shati sio leo
😂😂
Japo mimi ni mfuatiliaji wa video za aina hii, lkn hii video yako imenikosha sana. Umenifanya nipakumbuke nyumban. Lakini nashauri usafi ufanyike ili kuliweka jiji letu katika mazingira mazuri na ya kupendeza muda wote.
Home sweet home. Nacomment kutokea Norway
Ooh asante sana 🙏 kuveta kwa kuwa mtazamaji wa Channel yangu karibu sana tena Bongo.
Mbagala iwe na manispaa yake kudadeki
Au uwe mkoa tu 😂😂
2 big like my friend 🌹🌹👌👌👌👍👍👍 very nice🌹🌹👌👌👍
Thank you so much Imran your amazing 💪❤
Kazi nzuri sana kijana nenda na gongolamboto hadi chanika
Amen nitafanya hivyo Mungu akinipa Afya 💪🔥
Asante kaka
Umenikuna sana kwa
Hii content ya Mbagala 🙏🙏🙏
Mbagala is my home town
So I missed it for almost two years now
So you gave me an update of
The town development that
I left under construction
I can see the BRT road is almost completed
The Main UDART Bus Stand is already completed out there
Waoowww that's great achievement.
At Zakheim I can see new Mbagala/ Kigamboni transport available waoow 😘😘😘😘
I missed Mbagala a lot family 😌😌😌😘😘😘🥰🥰
Ooh!! Thank you so much karibu nyumbani uwekeze kumependeza sana 🙏❤🔥
@@SwahiliTheTraveller Nimeshawishika sana nitakuja 🙏🙏🙏
Karibu sana 🙏
Chifu, nadhani Stendi ya Mabasi ya Mikoani imehamia Kijichi! Kama kuna mabasi hapo Mbagala basi yapo Kimagumashi tu. So, sio mbaya ukituletea kinachoendelea pale Kijichi kwa sababu kama ilivyo kawaida yetu Wabongo, mwanzoni raia walikuwa wanapinga kwenda Kijichi
Ooh sawa nitalifanyia kazi pia maana hili wenyeji hawakunambia kama stand imehama labda niliowauliza kabla ya kuanza kurekodi walinipotosha japo bado naona Mabus bado yapo pale ndani na ofisi zao za kukata tiketi bado zipo.
ALAA KUMBE
Absolutely! 🇹🇿🇹🇿💯❣️
Thank you so much brother Michael
@@SwahiliTheTraveller anytime! Keep pushing brother
Mbagala home kbs hapo R/ tatu, Zakhem 😂😂😂
Nimekugusa sehemu muhimu 😂 asante sana kwa kutazama Video❤ pia namba usisahau ku Subscribe na kuweka Like kuna part 2 inakuja. 🔥🔥
@@SwahiliTheTraveller 😂😂😂kbs yaani
Km najiona vile hapo stendi ya rangi 3
Alafu ukiwa na mimi ukionionesha mitaa mingine 😂😂
@@SwahiliTheTraveller watakuonesha tu walio kuwa huko
😂😂
But swahili the traveller should speak in english becaurse the name traveller is in English
I'm not good at that language but I'm learning to speak it. also thank you very much for visiting my channel 🙏