Amen. Ni habari njema sana hii. Kwa alipokua amefikia nadhani alikua na machaguo mawili au kuokoka au kupotea. Mungu asingekubali jina lake kuchafuliwa zaidi na zaidi na kupotosha watu wake namna ile tena. Amechagua fungu jema.
jaman kamke kazur jaman sijui ulimpata wapi tito huyu jaman eeeh mungu tuongoze wengine Ambao bado hatujaolewa Mungu utuoneshe wanaume Wenye kumjua mungu kani haki ya kwako!!!😮😮😮😮
ujumbe kwa tito jambo lililofanyiko kwako linaitwa .neema yaan wengine wanaisikia ĺakini wewe umeiona . jambo la kufaham kwa sasa wewe ni mwanafunzi. tulia jïfunze chin ya baba yako wa kiroho na njia za roho mtakatifu utaziona vizuri na atakuaminisha kwa watu.na jamii yote......Akili za Mungu Hazïchunguzik.Amen Amen
Yaa ALLAAH tuhurumie na utusamehe na uwongo na ujinga tunao ufanya kwenye ardhi yako na ukiamua kutukanya uwe unatuonea huruma kwa sababu kuna wengineo hawajaku kosea.
hakika Yesu anasamehe kwelikwel, Mungu akubariki bishop Gamanywa, utukufu kwa Mung, Najifunza kuwa haijarish unadhambi nyingi kiasi ukimwamin Yesu anakusamehe!
wakristo bwana yani kudanganya ni sekunde tu na waumini wake walivyowajinga hata wakisikia jambo gani utasikia eimmeen😂🤣😂😂🤣eti alikua na joka likatoka ndio mmeamini hapo dude lilikua chizi hili na mpak leo akili zake bado sasa nyinyi wale wapumbavu ndio mnawaona wapumbavu na huyu mchungaji wenu mpuuzi sijui anaonaje kuelekeza uongo kwa watu nashindwa hata kucheka wallahi
Aliyemwona nabii Tito uso na mikono haviendani rangi, agonge like
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@mariamjuma1068 nawe umeona ee
Anatafut kiki huyu
@@albertludago7374 hahaha
Namfahamu Tito Machibya na tumeongea naye uso kwa uso Dodoma. Nimemshangaa sana Mungu. Yesu ambebe Tito
Titto ubarikiwe sana,Mungu akusafishe uwe mtumishi wa Mungu kweli kweli
Mungu amtumie kwa viwango vya juu ubarikiwe sana Tito kwa kuokaka
Hongera Sana Tito Kwakumpokea YESU Kristo
Carlos Mgimwa jmn tito anatia huruma Mungu akubariki uwe mwema Amina
Amen. Ni habari njema sana hii. Kwa alipokua amefikia nadhani alikua na machaguo mawili au kuokoka au kupotea.
Mungu asingekubali jina lake kuchafuliwa zaidi na zaidi na kupotosha watu wake namna ile tena. Amechagua fungu jema.
jaman kamke kazur jaman sijui ulimpata wapi tito huyu jaman eeeh mungu tuongoze wengine Ambao bado hatujaolewa Mungu utuoneshe wanaume Wenye kumjua mungu kani haki ya kwako!!!😮😮😮😮
Nitafute angel
Huyu ndio Yesu! Anasamehee na kututengeneza upya
Hawezi kabisa soma yohana 12- 49 hadi mwisho kabisa soma kiucha mungu acha ubishani jifunze
Tatizo hawa jamaa hawaisomi bibilia ndo maana kila kukicha wanamtegemea kiumbe .
DAAH WAKRISTO SIJUI HAMJIJUI KAMA MUNAANGAMIZWA .WACHUNGAJI .WANAVITAMBI KUMAMAKE #SADAKA HIZO HAMKENI BHANA
Huko n kuvuka mipaka kila mtu ana imani yake acha zengwe angalia upande wako
Hahahahah
Wewe unamwamini Tito mbona bado anajiita nabii
Amen nampenda YESU wangu
Kutoka Kanisa la mpapaso mpaka hapo ulipofikia Dah,panachezea Mnazareti.Hakika Yesu ni mwema
Ubarikiwe sana baba Askofu ......kondoo amerudi hallelujah
kweli mungu ni mwema san
Hahahaha kondoo amerudi hahahaha nawakati ana pakuliwa tu kama dawa kama kawa hahaha mecap mbele kwa mbele
Bless up! Glory to our lord Jesus Christ.
ahsante mungu kwaajili ya Tito kutambua kuwa alikuwa nabii wa uongo. maana neno la mungu linasema walio wangu nawajua
Jina la BWANA YESU KRISTO libarikiwe sana....
Walio okoka mbona wamevaa hirizi bado?
Tito umefanya uamuzi wa busara pamoja na mkeo nyote Mungu awasaidie mema katika jina la Yesu Kristo amina
Kiukwer mungu awasaidie awape maisha malefu
ujumbe kwa tito jambo lililofanyiko kwako linaitwa .neema yaan wengine wanaisikia ĺakini wewe umeiona .
jambo la kufaham kwa sasa
wewe ni mwanafunzi. tulia jïfunze chin ya baba yako wa kiroho na njia za roho mtakatifu utaziona vizuri na atakuaminisha kwa watu.na jamii yote......Akili za Mungu Hazïchunguzik.Amen Amen
😂😂😂😂😂😂😂😂😂inalilah wainalilah rajium msiba huu
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Nmchka
Mi huwa nashangaa watu wanaomchukulia Tito serious 😀😀, hata Askofu hapa kapigwa changa la macho😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣apana bwana kaamuwa kuokoka
Hahahahahaha hongera kwa kugundua mapema ujanja wa tito 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Wiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Angalia mijitu inapiga makofi achen judanganywa nyie watu hvi mnaakili gani jaman hv mnamjua roho mtakatifu nyie wote nimachiz haswaaa
Sema huyu jamaa anamke wa pekee kweli tena mweny uvumilivu wa hali ya juu, sababu kuishi na mtu kama Tito ya hitaji moyo
Kwel huyu mwanamke ni watofaut
Ana moyo wa mnyama😂😂😂
Ukijazwa ujinga na mumeo utaukimbiaje? Mumeo Taahira utamkimbia?
Amen Yesu anaweza yote
OK...tunashukuru kwa ukiri!!
Asante kwani upon tayari kufundishwa
Huyu Tito bado anandanganya wokovu bado
Naungana na wewe
Askofu Gwajima alikusalisha toba,ukavua na cheni,leo umemkimbia tena!watumishi mna kazi.
Tito anamatatizo ya akili muacheni kama alivyo. MUNGU mwenyewe atajitwalia utukufu wake kwa wakati wake dhidi ya huyu kiumbe wa ajabu kweli
Oh, Haleluya, BWANA YESU amtie NGUVU HUYO TITO,
Mungu amsaidie asirudi nyuma,
Mungu nakusihi umhurumie Tito, muokoe nakusihi baba mungu wangu. Mponye akawe ushuhuda kwa watu wanao mchukulia kama kituko. Ameen 🙏
Muombee Mungu hana akaunt youtube
Mungu ni mwema!nina imani hawa ni wa Mungu.Mungu uwaone hawa watu.
Ubarikiwe sana kwa kumwamini Yesu katika maisha yako Kwa Yesu woye yanawezekana
Michael Moro mbona hapo afadhali, siku za nyuma ndo ulikua mkorogo haswa
great testimony
hongereni sana kwa kumpa Yesu maisha. Yote ya nyuma Yesu ameyafuta.
jina la Yesu libarikiwe.
BWANA YESU KRISTO NI MUNGU ANAYETISHA SANAAAA.....PIA NI WA HURUMA SANA NA ANATUWAZIA MEMA.....MUNGU AMTIE NGUVU!
erick mutungi
naam
Yesu sio mungu hata siku moja na hawezi kua mungu
Pole sana
yesu sio mungu.. ni ndugu yangu katka iman
Titooooooooooooooooooo paza sauti Bwana amesikia kuhangaika kwako.
Jamani someni ili muokoke na mutokane na wacheni haya maigizo njooni katika njia iyonyooka.
Mungu awajalie muwetayari kuja katika njia sahihi.
Aisee, kumbe kweli kuna manabii wa uongo
Yesu Ni Mwema
Asante Yesu Kwa kuokoa Tito
Ajuaye ni Mungu na ndiye mmilki wa kila nafsi!
Tito ubarikiwe kumpokea yesu Kristo
Vipi kuhusu marinda yake
Yaa ALLAAH tuhurumie na utusamehe na uwongo na ujinga tunao ufanya kwenye ardhi yako na ukiamua kutukanya uwe unatuonea huruma kwa sababu kuna wengineo hawajaku kosea.
Jamani naona chamuhimu mumuombeye tito awe vizuli kihakili
Kweli hii ni habari mpasuko🤣🤣🤣🤣🤣tito weee
shoga
unatembea kama dem shoga mkubwa
Moureen Meneja 😂😂😂😂😂mpasuko kweli
Jamani, Mungu mkubwa....
Tito kajitambua ? Asante Mungu kuokowa hii nafsi baba 😀😀😀😂😂
K
Hongera tito
Mukanya Taki kweli
Haleluya asante Mungu kumbadilisha huyu baba
hakika Yesu anasamehe kwelikwel, Mungu akubariki bishop Gamanywa, utukufu kwa Mung, Najifunza kuwa haijarish unadhambi nyingi kiasi ukimwamin Yesu anakusamehe!
Kama unaamini tito anawainjoy na hata luga yake anayotumia ni ileile ya kipindi kile like
Forced Labour Wewe acha uchochezi , mwenzako ananena kwa Lugha ,
Forced Labour huyo nitapeli tu, yaani leo nimemuona anashawishi watu wanywe pombe!!!
msumbufu tu huyo, bado hayupo vizuri akili yake
Forced Labour masela wapo kazini chezea pesa wajinga ndio waliwao
Forced Labour mzee wa mpapaso huyooooo
Mungu ni mkubwa kweli!!! Mwenyezi Mungu aendelea kukuokoa ndugu Tito na familia yako!
Amen
Haleluya haleluya haleluya haleluya
Hahahahahaha mie simuamuni hata chembe maana akili yake ni ya ajabu kweli
Tito mungu awabariki
Uyu dada nae hajielewi utakuwa naupungufu wa vinjuz viwili ktk ubongo
😂😂
😂😂😂😂
@@mjedengwapoizon8726 😅
Huyo tito ni msanii kwani hata huo ushuhuda ameongopa, siyo kweli. Kwani kama ungekuwa kweli angeacha kutembea mitaani na kuhubiri upuuzi.
Mungu wasamehe wanawake maaana huyu dada kumkatikia huyu nabii tito na kuzaa nae nibonge la kazi
Haaaaaahaaaaaa Ni kwel
Yesu Kristo hakuja kwa ajili ya wenye haki
Muogopeni mungu
Nimefurahi sana kwa Shuda nzr sana. Pia NIMEFURAHI KUMUINA ASKOFU BABA YANGU. YESU KWETU NI KIMBILIO NA NGUVU
Kimbilio lako ni Mungu na c yesu maana yesu ni kiumbe kama wewe.
mungu akubaliki sana askofu
My sweetie home.napakumbuka
Huyu Titto bado ni kichaa tu
Hatimaye amekutana Yesu,
Tito anazuga Sasa hivi Yuko mtaani na mekap Kama kawaida
Angel Alphonce 🤣🤣🤣🤣 hawajamjua bado.. alikuwa anawaenjoy tu hapo anawang’ong’a kisogo🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂
😆😆😆😆😆😆
Hahaha
Huyu jamaa nliwah muona Dodoma km amebadilika bas makubwa
Aminaaa
Nampenda yesu,ooooh yesu mwenye huruma na msamaha nani kama wewe
Huyu sialipimwa akili na akaonekana ni kweli sio mzima leo mme mpa mwaliko kanisani kweli dunia inamambo
Ni kweli hata kama walisema hana akili timamu, Mungu anaponya na anaweka mambo sawa ukimwamini na kumkimbilia
Wote waongo hao huyo mwalim na huyo anaetaka kufundishwa(Tito) ila Tito alitaka zaid kiki apate cheo maisha yaendelee
Jamani mwagopeni Mungu
Mungu amponye
Jama ! Jama ! Sasa kule kwa askof Gwajima ! Leo yupo huku Bwana YESU akuponye
Yesu anatenda huwezi amino
Kibinadamu
Amina
Mimi nilijua ni chizi kumbe Ana akili timamu mungu amjalie asirudi kwenye dini yake alioianzisha ya shetani
UJIO MPYA WA TITO, HUO MSALABA SASA,,
Unaemshangilia chiz na yeye ni chiz.njoon mumuone na bii tito kaludi upya mtaan asaivi abatangaza kufilwa kwake
Mmmmh kazi kweli
Mungu mponye Tito anateseka kwa jina la yesu
L
Ameeeeeeeeeeeni
Amen
Bwana Yesu akuongoze daima
miki ni ukwel mtupu
Duh wakristo tunaangamia...kuamin kila mtu
Askofu gamanya alinishudia mwaka 2003 pale sabasaba nanikapokea uponyaji sitamsahau mtumishi huyu
ebu mpeni kitengo huyo jamaa naona kama anayaweza hv
I can't stop laughing
Waliowake Mungu anawajua.
Kwa gwajima alitoka hajaponywa kumbe..af si wanasemaga ana matatzo ya akili wana usalama..
🤣🤣🤣🤣🤣 namshukur mungu kwa neema ya uislamu🙏🙏
👍👍👍🙏🏼🙏🏼👍👍
Haki watu wa mungu wanadanganywa bureee
Yesu mtenda miujiza utukuzweeeee
Mungu amusaidiye kama nikweli ana matatizo yahakili amuponye
balkiwa sana
Kwakweli ulikua nabii wa uongo.. Ukue katika imani sasa
Hahahaaa,,,,,,,,kweli dunia haihishiwi kiki!!!!!!!!!
wakristo bwana yani kudanganya ni sekunde tu na waumini wake walivyowajinga hata wakisikia jambo gani utasikia eimmeen😂🤣😂😂🤣eti alikua na joka likatoka ndio mmeamini hapo dude lilikua chizi hili na mpak leo akili zake bado sasa nyinyi wale wapumbavu ndio mnawaona wapumbavu na huyu mchungaji wenu mpuuzi sijui anaonaje kuelekeza uongo kwa watu nashindwa hata kucheka wallahi
Kashachukua ela uyu nabii tito
YESU JUUUUUUUUUUUUU💥💥💥💥💥💥
Kudadadeki moto una watu wengi sana karuka mikojo kakanyaga kinyesi duh!
Mungu akusaidie ndugu
Aise huyu mke wa Nabii Tito mbona anazungumza Kiswahili kibaya . Huyu mwanamke nimtanzania kweli?
Wanawake jamani Tunamijiyoyo yetu WALAHI..Mungu tusaidie sn
Klara Green hahaha na kweli aisee
Sio kuwa ujui ulikuwa unajua kila kitu
Mungu mwema
Hii imani imekua biashara kila mahali nabii titto yupo keaho mtamuona msikitini hahahaha
Siyo kweli kwani roho mtakatifu hawez kuwashukia wote kwa pamoja yesu humtoa kila mtu kivyake siyo mke na mume
Mwili mmoja huhuhuuuu