Ni movie lakn vijana wengi tunaishi maisha kama haya yan kuwa na mwanamke usiyeweza kum mudu ni fedheha kubwa mnooooooo... Utateseka mpaka ujihisi unamikosi kumbe duuh unatumia moyo na hisia so akili.....😭😭😭😭
Mwanamke kama huyo anaetumia pesa vibaya ogopa akijapata pesa anakuhepa na kutafuta mwanaume mwenye pesa na wanaishia kuchezewa na kuachwa tumieni pesa yetu vizuri na muache tamaa
Hemed ww ni muislam jina tu unawapa watu misifa mitandaoni ila ukumbuk hujafa hujaumbik Mwanaume mzima unavaa herin cheni etiy kuwafurahisha watu ogopa zambi na uziache Kabla yakuliogop kabur ambalo halitakuwacha,??
Kaka hemed wahenga walisema kwamaba;kizur chajitembeza chenyewe na maneno ya watu wazima ni dawa hvyo uyo bint hakufahi mla bata kinomahaache tamaa ili maisha muweze kuyasongesha vyema;
So sirii nimeagania kwa sabbu ya kajala na hemed ❤❤ nawapend sana broo and ssstr❤
Hongera sana dah kajala kwa KAZInzuri, kipaji chako kiko hapa kwa uigizaji na wala sio kwenye mziki❤❤❤
Nilivomuona Kajal nikapat nguvu y kutazama,,,I really love her❤
Me too jamani ❤
Move ya mwaka gani hii?
Me too
Yan hat mm kajala kanipa nguvu yakuangalia.
Movie tamu sana mwanamke wa hivi ni shida mwanaume hawezi kufanikiwa kimaisha
Ni movie lakn vijana wengi tunaishi maisha kama haya yan kuwa na mwanamke usiyeweza kum mudu ni fedheha kubwa mnooooooo... Utateseka mpaka ujihisi unamikosi kumbe duuh unatumia moyo na hisia so akili.....😭😭😭😭
Salute umenena ukweli kabisa wallah niwatu wabadilike la sivyo maisha yatachapa watu sana
@@hamisisalim hahahaha tunabaki kusema kwann wanaume tunakufa mapema kumbe tunajichanganya sisi wenyew😂😂😂😂
@@benedictinelusambo069 hapa hemed amenifunza wallah
Ndio tunasema ni maisha ya kuiga wengine wakt huwezo wk wala haufikii kipato chao muhimu nikujikubal tu maana hii inafilisi had Umri 😂😂😂
@@hafsahmassemoh3598 hahaha 😂🤣🤣😂
Kenya Watching, twapenda. Kazi nzuri
Jaman wanawake tuwen na huruma eeeh🙌
Mnapenda wenye sura nzuri na mishepu yao ila nanyi mnalikuta sio haba😂😂😂
Wanaanza kulalamika ooooh sijui kaniroga kumbe kakimbilia tako na sura nzuri tu 😂😂
Hemed leo umepatkan mtu wang kushawates sn na wy inabid uvumilie 😅😅😂😂😂❤
Kajala Wang nakupenda sana bby❤❤❤
Mwanamke ni ududu mwing huyu
😂😂😂 naceka kama mazuri mwanamke gani uyo wakurudishana nyuma pole sana hemed umepatikana 😢😢
😅
Hawa wanaume ni vizur wapate mabibi kama hawa ,wakipata wale wanyenyekevu huwa hawaheshimu
Piga moyo konde kaka Hemed 😂😂 nakuhurumia sna 😢
Jmn atatuuria mtu uyu mdangaji sio mke aise ata mdangaj anauruma huyu shetan asee 😢😢😢😢😢😢
Wow nime ipenda
Mwanamke wa hovyo huyu umekuaje mpka umri huo usijue kupika
Mapenzi shikamoo
Huyu ni utumwa sio mapenzi
Dadaa ana komwe alfuu anataka maisha ya classic 😂😂
Ahahahaahahahaha🤣🤣🤣🙌napitaa tu
@@ChristinaInnocent-ns2hz unaenda wap 😂😂😂
@@emmaa_God1 ahaaaaaa kunasehem naelekea
Wenye makomwe ndo wanaongoza kwa kutaka maisha mazuri na wavivu kupambana
@@sharifamahamudu182 😂😂😂😂
Mwanamke wa hivi utafukuzwa adi kazi mwanamke ajui kupika ajui ata kula ugali mlenda wala dagaa bamia mwanamke gn huyo jini kifilisi😅
Taahira kabisa 😂😂😂
Wake wengine c o wa kuoa n wa kutimiza haja zako na kupita tu
Ohh kajala
hii ipo kwa mabiti walioko kwenye family zenye uwezo.hawajui kupika.pia hata mamake kupika.tusishange.halfa watto wao vicheche.
Really love its next please
Acha hivyo bwana mimi mwna mkee hawz kunitekeleza na kunishawishi kihivyo jamani toka mkosi
Usiseme ivo broo waeza fanya anything because of love
Najifunza sana na hii movie wallah Big up team PHD
Nachek sababu yupo hmd na kajala
😂😂😂😂 uyooo dada vp anajivunia nini 😢komwelile
😂😂😂😂😂
😂😂😂
Kma bus za chuo😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂@@QueenMishy
Wow 😮
Uyu mdad hajui ata kuigza😅
Kumbe umeona pia wewe😂😂😂
Hasala hii hapa kwa huyu mwana mke
Waah stress tubu.
Movie nzuri mno
Bobi maneno ya watu wazima n dawa 😢 Leo yamekukuta hii sio ndoa ni ndoano
Waaah
Filam iko vizur sana❤❤❤
Ogopa kupata mwanamk anaependa cfa km uyu
Angempiga kbsaaa
mwanamke mwenyewe chefu
mbon sasa mimi simuon kajala
kudadeki php huli unaliwa kwa mwanamke gan
Hemed toa series Broo mi nakuamini sana tena uchanganya na mtoto ambae anakaa msumbufu kama Jennifer wa kanumba please 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Vzr
Macho yakupnd waga hayaoni haswa
Tuhame tuhame tukahamia wapi 😂😂😂
Hilo ni gumegume
Nice❤❤❤
😂😂😂😂😂 Tuhame Bongo mbona kazi ipo
Mmmh!!! Hayo ni mateso hemed
Ukiwaza ongea chinichini tujue linalo kusibu hemed😢
Kaz nzur San
Uzuri wte huo kupika pia hujui mackini khaaah😂😂😂😂
Nice
Bure mwanaume.
Waoo 🥰
Hemmed si ukuje unioe mm 😂😂😂🎉❤🎉
Pazia
Nimeipenda Kwa kweli
Umependa pabaya bro
Am here because of kajala❤❤❤❤❤
Me too atavafanye nn kamala nampenda sana😂😂
Kajala unfanya kazi vizuri Ilove you
Jaman hv huyo anayeitwa Irene ndio kajala
Mbona ni tofauti sana na alvyo sasa
Hemedy kwenye hii movie umebakwa
Hemed lafa san ww😂😂😂😂😂
Kwel wamama tunjifunze njisiakurea watoto wetu kwakuafuza kimaisha😊
lamu
abdilive2
Kweli wanavyosema wanawake mashetan hawa ndo wanasababisha tuitwe ivooo daaaa😢😢😢
mwanamke kama hyu ni changamoto sana mi kama mimi namrdisha kwa wazazi wke unaoaje mwanamke kama hyo
Uyu mdada walimtowa wapi?hata kuigiza hajuwi😂😂
😂😂😂😂yy kasema ntakuvutavuta kumbe ndo atavutwa yy😂😂😂😂
Mume bwege kabisa 😅
Kabisa huyu ni zaid ya bwege maana sio kwamba mkewe aniba hzo pesa ni yeye mwenyew na ujinga wake ndio anatoa si ujinga huo
Achana nae huyo mwanamke wa hovyo
Ouais
Hivi huyu dada hana akili nzuri 🤷 yaan anamuacha mchumba ake kwenye gari anamufuat mwanaume mwingine 🤦🤦🤦🙆🙆🙆 dharau kweli
Mbona huyu jamaa anae itwa hamedi kavaa herini kwema?
Mwanamke kama huyo anaetumia pesa vibaya ogopa akijapata pesa anakuhepa na kutafuta mwanaume mwenye pesa na wanaishia kuchezewa na kuachwa tumieni pesa yetu vizuri na muache tamaa
Yani hap😂 kunashid kwel map3nz daaaa any😂 way madem na maboy tuwe wavumilivu na kuheshimiana
Tunaomba muendelezo jamany
Hemed ww ni muislam jina tu unawapa watu misifa mitandaoni ila ukumbuk hujafa hujaumbik Mwanaume mzima unavaa herin cheni etiy kuwafurahisha watu ogopa zambi na uziache Kabla yakuliogop kabur ambalo halitakuwacha,??
Text pleas jamn nimeipenda hii❤❤❤❤❤
Mwanamk wa hivy sio wa kuoa
Ujinga hua sipendi, najua hii ni film tu, ila inaniumiza ishu kama hii, maana kunamaisha halisia Ya watu yako mfumo kama huu
Nikweli
Hujakosea upo sahihi
Nimtihani
😂😂😂😂
Kaka hemed wahenga walisema kwamaba;kizur chajitembeza chenyewe na maneno ya watu wazima ni dawa hvyo uyo bint hakufahi mla bata kinomahaache tamaa ili maisha muweze kuyasongesha vyema;
😂😂😂😂😂😂
Mbona kajala simwoni bn
Kajala ni huyo wif yake Irene mke wa hemed
Yaan dada yake hemed kwenye movie anayejiita wendi
Kajala hapo umefunza wanawako wenzako ❤
This kind of woman is a disaster and a disgrace 😢😢😢😢😢
Mwanamke wa hovyo huyu umekuaje mpka umri huo usijue kupika